Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      Omutwale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2008
      Location : Kanyigo
      Posts : 1,138
      Rep Power : 811
      Likes Received
      578
      Likes Given
      496

      Default Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Wapendwa wana ukumbi, JF
      Napenda kuwafikishia salamu za utangulizi juu ya kujiunga rasmi kwa aliyekuwa mbunge wa Bukoba mjini kwa tiketi ya CUF mwaka 2000-2005 hapa jukwaani, JF
      Mh. Lwakatare atafanya hivyo kesho mida ya mchana. Kama ilivyo ada na utamaduni tunaoujenga hapa jukwaani, tunaombwa kumkaribisha mgeni huyu mwenye hazina muhimu kwa mustakabali wa siasa za nchi yetu.
      Binafsi natanguliza shukrani kwa Mh. Lwakatare kwa kukubali mwaliko huu ili aweze kuzungumza moja kwa moja na Watanzania walio katika majukwaa ya mitandao.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Ipole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2008
      Location : Kisarawe11
      Posts : 300
      Rep Power : 626
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Quote By Omutwale
      Wapendwa wana ukumbi, JF
      Napenda kuwafikishia salamu za utangulizi juu ya kujiunga rasmi kwa aliyekuwa mbunge wa Bukoba mjini kwa tiketi ya CUF mwaka 2000-2005 hapa jukwaani, JF
      Mh. Lwakatare atafanya hivyo kesho mida ya mchana. Kama ilivyo ada na utamaduni tunaoujenga hapa jukwaani, tunaombwa kumkaribisha mgeni huyu mwenye hazina muhimu kwa mustakabali wa siasa za nchi yetu.
      Binafsi natanguliza shukrani kwa Mh. Lwakatare kwa kukubali mwaliko huu ili aweze kuzungumza moja kwa moja na Watanzania walio katika majukwaa ya mitandao.
      We eleza tu kwanba huyo Mhe ataongea na wana JF usiseme ni hazina anaweza akawa hazina kwako na siyo kwa watu wote.
      KAMA KESI YA MBUZI HAKIMU ATAKUWA FISI................

    4. #3
      Superman's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 5,362
      Rep Power : 1807
      Likes Received
      1360
      Likes Given
      1174

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Mkuu;

      Subira kakaaa . . . asipokuja hiyo kesho je?

      Si tumsubiri mwenyewe? Ama?

    5. #4
      Omutwale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2008
      Location : Kanyigo
      Posts : 1,138
      Rep Power : 811
      Likes Received
      578
      Likes Given
      496

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Quote By Superman
      Mkuu;

      Subira kakaaa . . . asipokuja hiyo kesho je?

      Si tumsubiri mwenyewe? Ama?
      Hapana.
      Nina hakika maana ni mtekelezaji wa ahadi zake.

    6. #5
      Bluray's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2008
      Posts : 3,450
      Rep Power : 1272
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Anakaribishwa,

      Awe na kifua tu, kifua cha kuchukua maneno maana hapa kuna ya kila aina kutoka kila sehemu ya demographic ya Watanzania.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Omutwale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2008
      Location : Kanyigo
      Posts : 1,138
      Rep Power : 811
      Likes Received
      578
      Likes Given
      496

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Quote By Bluray
      Anakaribishwa,

      Awe na kifua tu, kifua cha kuchukua maneno maana hapa kuna ya kila aina kutoka kila sehemu ya demographic ya Watanzania.
      Natumaini alikwisha elezwa hilo. Na nilifurahi kusikia kuwa anawajua hata wale waliojaribu kuingia na majina yao, wakakaribishwa, wakachangia lakini kilipoanza kibano, wakaacha ku-log-in kwa hayo majina. Miongoni mwao ni "Dowans", etc

    9. #7
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,684
      Rep Power : 3250
      Likes Received
      973
      Likes Given
      745

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Quote By Omutwale
      Wapendwa wana ukumbi, JF
      Napenda kuwafikishia salamu za utangulizi juu ya kujiunga rasmi kwa aliyekuwa mbunge wa Bukoba mjini kwa tiketi ya CUF mwaka 2000-2005 hapa jukwaani, JF
      Mh. Lwakatare atafanya hivyo kesho mida ya mchana...
      Aaaaaa.. tunajuaje labda wewe mwenyewe ndio Lwakatare!!!!
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    10. #8
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,121
      Rep Power : 5023
      Likes Received
      2371
      Likes Given
      2206

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Tusientertain elitism hapa JF. Kama anataka kujiunga aje hapa na kujitambulisha akishakuwa tayari. Watu tuna shughuli nyingi na muhimu zaidi za kufanya kuliko kujitayarisha kumkaribisha yeye. Kama kakutuma mwambie anajitengezea sifa mbaya mapema, kama umejituma mwenyewe basi usirudie tena tabia ya ushabikishabiki.

      JF sio chama cha siasa, JF ni jamvi ambalo walioketi wote wana thamani sawa.
      "To greed, all nature is insufficient"

    11. #9
      Makaayamawe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2009
      Location : Global
      Posts : 340
      Rep Power : 590
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Ni vizuri anapoingia JF kwa jina lake lakini asije akakimbia kama Zitto alivyofanya mambo yatakapomgeukia, maana hapa haonewi aibu mtu.

    12. #10
      Kaniki1974's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2008
      Posts : 357
      Rep Power : 604
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Quote By Makaayamawe
      Ni vizuri anapoingia JF kwa jina lake lakini asije akakimbia kama Zitto alivyofanya mambo yatakapomgeukia, maana hapa haonewi aibu mtu.
      Twamkaribisha, twamtisha? Natumai amekuwa akilitizama jamvi letu kitambo kabla ya kuamua kulikalia. Hivyo anajua aina wa wachangiaji waliomo. Mara nyingi Msafiri hujiandaa.Karibu Lwakatare. Kukaa au kuondoka jamvini hiari yako, uhuru wako.
      'The rich of the future are those who are rich in mind'. Winston Churchill

    13. #11
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,050
      Rep Power : 5465
      Likes Received
      3478
      Likes Given
      1898

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Omutwale

      Ninamkaribisha sana mpiganaji Rwakatare, ila naomba ukumbushie mkono mtupu huwa haulambwi, asisiste kuwasiliana na Maxence Demelo, kwa ajili ya mambo ya kusaidia JF...

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    14. #12
      MawazoMatatu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th September 2008
      Posts : 505
      Rep Power : 647
      Likes Received
      41
      Likes Given
      41

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Quote By Omutwale
      Natumaini alikwisha elezwa hilo. Na nilifurahi kusikia kuwa anawajua hata wale waliojaribu kuingia na majina yao, wakakaribishwa, wakachangia lakini kilipoanza kibano, wakaacha ku-log-in kwa hayo majina. Miongoni mwao ni "Dowans", etc
      Ni vizuri anapoingia JF kwa jina lake lakini asije akakimbia kama Zitto alivyofanya mambo yatakapomgeukia, maana hapa haonewi aibu mtu.


      Sasa wakuu nyie tafsiri yenu ya kukimbia ni nini? mbona muheshimiwa tuko nae hapa na juzi tu (12 June 2009) kaposti hapa http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...tml#post486568 au ndio maji taka yenyewe haya!

    15. #13
      Omutwale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2008
      Location : Kanyigo
      Posts : 1,138
      Rep Power : 811
      Likes Received
      578
      Likes Given
      496

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Quote By Mpita Njia
      Aaaaaa.. tunajuaje labda wewe mwenyewe ndio Lwakatare!!!!
      Watu kama SteveD ni wataalamu wa kuwajua watu wanaotumia majina bandia au
      majina mengi humu ndani. Si rahisi kuzuga ndani ya jamvi hili, utajulikana tu.

    16. #14
      Omutwale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2008
      Location : Kanyigo
      Posts : 1,138
      Rep Power : 811
      Likes Received
      578
      Likes Given
      496

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Quote By Masanilo
      Omutwale

      Ninamkaribisha sana mpiganaji Rwakatare, ila naomba ukumbushie mkono mtupu huwa haulambwi, asisiste kuwasiliana na Maxence Demelo, kwa ajili ya mambo ya kusaidia JF...
      Ujumbe wako ataukuta, kuusoma na ataufanyia maamuzi mwenyewe

    17. #15
      Kituko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2009
      Posts : 3,706
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      490
      Likes Given
      173

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      mzee omutwale umeshavuta za kampeni nini,
      sikuona haja kabisa ya jamaa kuanza kutambulishwa ujio wake humu JF, na ameingia baada ya kushawishiwa ili iweje, humu sio sehemu ya kuingia kwa ushawishi,
      hata kama alikuwa mbunge na mpiganaji mzuri sio kwamba akiingia humu ndio atakuwa na hoja ambazo azipingiki, aje na hoja na awe tayari mkupingwa kwa hoja

    18. #16
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,065
      Rep Power : 12248
      Likes Received
      6011
      Likes Given
      6836

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Quote By Omutwale
      Ujumbe wako ataukuta, kuusoma na ataufanyia maamuzi mwenyewe
      Omutwale, sidhani kama ulikuwa na sababu ya kuja na matarumbeta kwa new member kama tuko wenye harusi pale kipleft cha Impala hotel!!!

      Nina wasiwasi na hizi campaign za chinichini hapa.... tutasikia mpaka wabunge wote wanaingia na entourage humu ...akija apige hodi na si kupigiwa hodi

      Waitu anyway!!!
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    19. #17
      Rwabugiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Posts : 2,731
      Rep Power : 1156
      Likes Received
      66
      Likes Given
      31

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Quote By MTM
      Omutwale, sidhani kama ulikuwa na sababu ya kuja na matarumbeta kwa new member kama tuko wenye harusi pale kipleft cha Impala hotel!!!

      Nina wasiwasi na hizi campaign za chinichini hapa.... tutasikia mpaka wabunge wote wanaingia na entourage humu ...akija apige hodi na si kupigiwa hodi

      Waitu anyway!!!

      Hahaaa umenikumbusha jamaa fulani alienda soma majuu kwa myaka miwili, alipo rudi anafika airpoti, akakuta kaandaliwa msafara hadi wa matarumbeta! jamaa alinitonya kwamba alijisikia vibaya hadi shati lililowa jasho ghafla!

      Lwakatare karibu, ila huyu aliyeleta matarumbeta mhhh..

    20. #18
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,050
      Rep Power : 5465
      Likes Received
      3478
      Likes Given
      1898

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Wakuu kujipigia matarumbeta inaruhusiwa na hata kujifagilia...Karibu Mh Lwakatare!

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    21. #19
      Mwazange's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2007
      Location : Nyanda za Juu Kusini
      Posts : 1,038
      Rep Power : 795
      Likes Received
      58
      Likes Given
      4

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Mbona muheshimiwa kimya.....Omutwale Vipi muheshimiwa kapatwa na miguu baridi nini??
      A positive attitude may not solve all your problems,but it will annoy enough people to make it worthwhile......

    22. #20
      Omutwale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2008
      Location : Kanyigo
      Posts : 1,138
      Rep Power : 811
      Likes Received
      578
      Likes Given
      496

      Default Re: Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho

      Quote By Mwazange
      Mbona muheshimiwa kimya.....Omutwale Vipi muheshimiwa kapatwa na miguu baridi nini??
      Nina hakika alifika hapa jukwaani jana.

      Kwa leo na siku 2-3 zinazokuja natumaini atakuwa busy kujiandaa na safari ya kwenda BK kupata ushauri wa wananchi juu ya nini afanye na nini kifuate.

      Wananchi watampa majibu juu ya kwa nini ahame CUF, na wanataka ahamie chama gani.

    23. Study Abroad
    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Hatimae Nimeamua Kujiunga Rasmi.
      By Borro in forum Utambulisho (Member Intro Forum)
      Replies: 18
      Last Post: 3rd January 2012, 17:14
    2. NAOMBA KUJIUNGA RASMI MNIPOKEE NDUGU ZANGUi
      By lyimoc in forum Utambulisho (Member Intro Forum)
      Replies: 7
      Last Post: 11th March 2011, 23:13
    3. JK kutangazwa Rasmi Kesho, Kuapishwa Jumamosi!
      By Pasco in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 40
      Last Post: 5th November 2010, 07:00
    4. Bilawal Butto kusimikwa rasmi kesho kuwa mwenyekiti wa PPP
      By Richard in forum International Forum
      Replies: 1
      Last Post: 7th August 2010, 03:03

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...