Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: shamba linauzwa eneo la kiluvya

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      elmagnifico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2011
      Location : Brussels
      Posts : 1,933
      Rep Power : 2544
      Likes Received
      539
      Likes Given
      36

      Default shamba linauzwa eneo la kiluvya

      shamba linauzwa maeneo ya Kiluvya, Wilaya ya Kisarawe katika Mkoa wa Pwani. Shamba liko karibia kabisa na bonde la mto hivyo basi supply ya maji ni ya uhakika mwaka mzima.
      Lina ukubwa wa hekari 16 bei yake ni Tshs mil 65.
      Call 0717354243
      Last edited by elmagnifico; 19th August 2012 at 07:51.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Ubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 1,151
      Rep Power : 589
      Likes Received
      204
      Likes Given
      185

      Default Re: shamba linauzwa eneo la kiluvya

      N karibu na Tondoroni? Lina hati?

    4. #3
      Kiraka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Location : ILOGANZALA
      Posts : 1,352
      Rep Power : 743
      Likes Received
      258
      Likes Given
      438

      Default

      Quote By elmagnifico
      shamba linauzwa maeneo ya Kiluvya, Wilaya ya Kisarawe katika Mkoa wa Pwani. Shamba liko karibia kabisa na bonde la mto hivyo basi supply ya maji ni ya uhakika mwaka mzima.
      Lina ukubwa wa hekari 16 bei yake ni Tshs mil 65.
      Call 0717354243
      Vipi kama nataka heka tatu au nne tu kati ya hizo?

    5. #4
      Mahesabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2008
      Location : manzese
      Posts : 3,034
      Rep Power : 1318
      Likes Received
      218
      Likes Given
      677

      Default Re: shamba linauzwa eneo la kiluvya

      raha ya maelezo nusunusu ni kuibua maswali yasiyo na ulazima!
      inashindikana vipi mtu kuweka detail/taarif za kutosha ili mnunuzi afanye uamuzi mmoja na si kulazimishana kupiga simu na kuambiana tukutane tu hatutashindwana

    6. #5
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,569
      Rep Power : 858
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2908

      Default Re: shamba linauzwa eneo la kiluvya

      Lina hati?au pori tu
      Who Jah bless, No one Curse!

    7. Miaka 50

    8. #6
      elmagnifico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2011
      Location : Brussels
      Posts : 1,933
      Rep Power : 2544
      Likes Received
      539
      Likes Given
      36

      Default Re: shamba linauzwa eneo la kiluvya

      mkuu shamba linauzwa lote haliuzwi nusu nusu nahitajika mtaja wa kulinunua lote
      All my life I've lived by a code and the code is simple: honour God, love your woman
      and defend your country.

    9. #7
      cement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Location : Tanganyika-Dar es salaam
      Posts : 438
      Rep Power : 442
      Likes Received
      152
      Likes Given
      173

      Default Re: shamba linauzwa eneo la kiluvya

      Quote By elmagnifico
      mkuu shamba linauzwa lote haliuzwi nusu nusu nahitajika mtaja wa kulinunua lote


      hutaweza kuliuza lote mkubwa nakupa taarifa pokea hata wateja wa namna hy pengine hata bei mpk unaliuza lote waweza ambulia zaidi ya ml 100,fanya biashara kaka ww vp???

    10. #8
      elmagnifico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2011
      Location : Brussels
      Posts : 1,933
      Rep Power : 2544
      Likes Received
      539
      Likes Given
      36

      Default Re: shamba linauzwa eneo la kiluvya

      mkubwa hiyo itakuwa ngumu kidogo mkubwa ila ngoja nione siku mbili tatu itakuwaje naweza change mawazo
      All my life I've lived by a code and the code is simple: honour God, love your woman
      and defend your country.

    11. #9
      BabaDesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2007
      Posts : 2,382
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      251
      Likes Given
      1395

      Default Re: shamba linauzwa eneo la kiluvya

      Quote By ubungo
      N karibu na Tondoroni? Lina hati?
      ...Mkuu, Tondoroni zipo Ekari 20 na kila Ekari ni shilingi Milioni 5 lakini kipimo cha chini kabisa unachoweza kununua ni Ekari 4. Ni shamba. Hati utatengeneza Mwenyewe. Kwa maelezo zaidi 0754 340606

      Sema Kwa Sauti, Mimi Ni Mweusi Na Najivunia Kuwa Hivyo!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...