shamba linauzwa maeneo ya Kiluvya, Wilaya ya Kisarawe katika Mkoa wa Pwani. Shamba liko karibia kabisa na bonde la mto hivyo basi supply ya maji ni ya uhakika mwaka mzima.
Lina ukubwa wa hekari 16 bei yake ni Tshs mil 65.
Call 0717354243
shamba linauzwa maeneo ya Kiluvya, Wilaya ya Kisarawe katika Mkoa wa Pwani. Shamba liko karibia kabisa na bonde la mto hivyo basi supply ya maji ni ya uhakika mwaka mzima.
Lina ukubwa wa hekari 16 bei yake ni Tshs mil 65.
Call 0717354243
Last edited by elmagnifico; 19th August 2012 at 07:51.
N karibu na Tondoroni? Lina hati?
raha ya maelezo nusunusu ni kuibua maswali yasiyo na ulazima!
inashindikana vipi mtu kuweka detail/taarif za kutosha ili mnunuzi afanye uamuzi mmoja na si kulazimishana kupiga simu na kuambiana tukutane tu hatutashindwana
Lina hati?au pori tu
Who Jah bless, No one Curse!
mkuu shamba linauzwa lote haliuzwi nusu nusu nahitajika mtaja wa kulinunua lote
All my life I've lived by a code and the code is simple: honour God, love your woman
and defend your country.
mkubwa hiyo itakuwa ngumu kidogo mkubwa ila ngoja nione siku mbili tatu itakuwaje naweza change mawazo
All my life I've lived by a code and the code is simple: honour God, love your woman
and defend your country.
Sema Kwa Sauti, Mimi Ni Mweusi Na Najivunia Kuwa Hivyo!
Follow Us Here