Kiwanja hiki kipo geza ulole kigamboni, kina hati zote na mmiliki yupo muda wowote unaweza muona . eneo hili limetegwa kwa ajiri ya ujenzi wa nyumba ( low density) . kimepimwa na kina hati zote muhimu kinauzwa 42milioni. ( mimi ni dalali nipigie nikakuoneshe na nikutanishe na mwenyewe niandalie na ujira wangu 0657 145555 )


Reply With Quote

Follow Us Here