Re: Tablets, smart phone and laptops

By
Maberere
Wana JF mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza Tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini ili wanitumie kwa bure ili baade zikifika niziuze mara moja na kutuma hela zao na kuendelea nao hivyo hivyo.
Ombi. Wanajanvi naomba ambao mko tayari kununua tuwasliane mimi sitataka unilipe hela ila unihakikishie tu kuwa utanunua mara tu ya mzigo kuingia then muniruhusu niwambie wanitumie. Unaweza ukaniPM au ukanicall 0683714488. Mi napatikana DAR.
WADAO TULIOAGIZA TABLET TUJIANDAE BAADA YA WIKI MBILI MZIGO UTAKUWEPO BONGO, NA WALE WA LAPTOP NA IPAD NAOMBA TUSUBIRI SUBIRI AFU BEI ZIZOONEKANA HAPO NI ZA KIWANDANI NA SI ZAKUNUNULIA COZ KUNA SHIPPING COST NA TAX SO MDA SI MREFU NITAATACH BUYING PRICE IN TSH. KARIBUN SAANA.
Iko siku utatafutwa kuisaidia polish bila yunifomu, chunguza kama hao washkaji wako hawavunji sheria ya copiraiti.
Ni rahisi zaidi popo kuwa ndege, kuliko ndizi kuwa tunda
Follow Us Here