Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tablets, smart phone and laptops

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 42
    1. #1
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 355
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Tablets, smart phone and laptops

      Wana JF mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza Tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini ili wanitumie kwa bure ili baade zikifika niziuze mara moja na kutuma hela zao na kuendelea nao hivyo hivyo.


      Ombi. Wanajanvi naomba ambao mko tayari kununua tuwasliane mimi sitataka unilipe hela ila unihakikishie tu kuwa utanunua mara tu ya mzigo kuingia then muniruhusu niwambie wanitumie. Unaweza ukaniPM au ukanicall 0683714488. Mi napatikana DAR.


      WADAU TULIOAGIZA TABLET TUJIANDAE BAADA YA WIKI MBILI MZIGO UTAKUWEPO BONGO, NA WALE WA LAPTOP NA IPAD TUANZE KUAGIZA HIZO NDO BEI ZAKE USIOGOPE BEI NDOGO WW AGIZA TU KAMA UNAYO HIYO HELA
      ILIYOANDIKWA.
      BEI ZA LAPTOP NA IPAD TU TUNAWEZA KUDISCUSS KAMA UNATAKA ZAIDI YA MOJA.
      Attached Files
      Last edited by Maberere; 19th August 2012 at 10:26.


    2. #2
      Kaka''s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 437
      Rep Power : 508
      Likes Received
      67
      Likes Given
      14

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      kaka nimezichek hzo bei za laptop ni reasonable, ningependa jua kama hizo bei (in USD) nitaweza pata laptop husika kwa bei iloainishwa katika list ama itanibidi niongeze cha juu.? pili ni lini mzigo unatarajiwa kufika nchini baada ya mtu kuweka booking.?

    3. #3
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 355
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      bei haibadiliki ila kwa apple laptop inaweza kubadilika,
      kuhusu mzigo kuja ni baada ya wiki moja na siku tano unaingia nikipata hiyo idadi on time,

    4. #4
      alphoncetz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2011
      Location : Mwanza - Tanzania
      Posts : 256
      Rep Power : 463
      Likes Received
      44
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Maberere View Post
      Wana JF mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza Tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini ili wanitumie kwa bure ili baade zikifika niziuze mara moja na kutuma hela zao na kuendelea nao hivyo hivyo.


      Ombi. Wanajanvi naomba ambao mko tayari kununua tuwasliane mimi sitataka unilipe hela ila unihakikishie tu kuwa utanunua mara tu ya mzigo kuingia then muniruhusu niwambie wanitumie. Unaweza ukaniPM au ukanicall 0683714488. Mi napatikana DAR.

      Hey! Send me those price sheets on email, I'm on mobile and just failed to download attachments. [email protected]

    5. #5
      Ronaldinho's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th August 2009
      Posts : 70
      Rep Power : 516
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      mkuu hiyo namba yako haipatikani hewani


    6. #6
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 355
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By Ronaldinho View Post
      mkuu hiyo namba yako haipatikani hewani
      air tel inasumbua toka mchana mkuu,

    7. #7
      Kimox Kimokole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2010
      Posts : 848
      Rep Power : 627
      Likes Received
      404
      Likes Given
      2001

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      mimi nihesabu kwenye Apple iPad 2(16G/WIFI+3G) na Mac Book Pro 17"
      " A politician thinks of the next "Election" while a LEADER thinks of the next "Generation" - Nelson 'Madiba' Mandela 1999


    8. #8
      Kingmairo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Location : In the Palace
      Posts : 875
      Rep Power : 538
      Likes Received
      268
      Likes Given
      87

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Hizi price hasa za apple mbona zipo chini sana? Is it true?

    9. #9
      SYENDEKE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 433
      Likes Received
      20
      Likes Given
      54

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      hapo bado sijaelewa unataka idadi ya watu ishirini in total au at each product ebu funguka
      "Mchakato wa vazi la taifa kwenye nchi ya wavaaa mitumba"

    10. #10
      snagnax's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 36
      Rep Power : 368
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      ni add kwenye tablet ya 200,000

    11. #11
      Trustme's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 505
      Rep Power : 529
      Likes Received
      94
      Likes Given
      27

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By Kingmairo View Post
      Hizi price hasa za apple mbona zipo chini sana? Is it true?
      Ni kweli kaka, coz mi nipo USA, na nimenunua MacBookPro 15" i7 ni dola 1,800, sasa naangalia bei za huyu mkuu wangu, MacBookPro 17" i5 $ 405!!! naona ni kama bure. Ila nilichoambiwa hapa USA bei za apple zinapangwa na kampuni na zinakua sawa kote, sasa nimeshangaa kuona bei sawa na bure, labda huyu mshkaji atuhakikishie ubora wake coz ni oda ya MacBookPro 2 za washkaji wangu wanataka kununua, so kama kweli hiyo ndo bei na ubora ni sawa, nitawaunganisha kwako
      A successful man is one who makes more money than his wife can spend.
      A successful woman is one who can find such a man.

    12. #12
      Trustme's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 505
      Rep Power : 529
      Likes Received
      94
      Likes Given
      27

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Hapa USA, MacBookPro 17'' i5 ni yenye hizo sifa alizozitaja hapo ni dola 2,000
      A successful man is one who makes more money than his wife can spend.
      A successful woman is one who can find such a man.

    13. #13
      Amoeba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2009
      Posts : 3,330
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      438
      Likes Given
      725

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By Trustme View Post
      Ni kweli kaka, coz mi nipo USA, na nimenunua MacBookPro 15" i7 ni dola 1,800, sasa naangalia bei za huyu mkuu wangu, MacBookPro 17" i5 $ 405!!! naona ni kama bure. Ila nilichoambiwa hapa USA bei za apple zinapangwa na kampuni na zinakua sawa kote, sasa nimeshangaa kuona bei sawa na bure, labda huyu mshkaji atuhakikishie ubora wake coz ni oda ya MacBookPro 2 za washkaji wangu wanataka kununua, so kama kweli hiyo ndo bei na ubora ni sawa, nitawaunganisha kwako
      Amesema wanaomuuzia ni watengenezaji, kwa maelezo hayo tu hizo zitakuwa si genuine (labda kama kuna maelezo tofauti), kiwanda kinachotengeneza bidhaa za apple kamwe si wauzaji wala wasambazaji wa bidhaa za apple! Cha muhimu kuangalia hapo ni viwango vya ubora.
      Maberere likes this.
      If you love something, set it free; if it comes back.....its yours,...
      if it doesn't.......hunt it down and
      kill it!

    14. #14
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 355
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By mfianchi View Post
      mimi nihesabu kwenye tablet ya tsh 380,000
      mdau baada ya wiki ijayo mzigo utakuwepo kwa tablet tu, so nipm contacts zako

    15. #15
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 355
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By maberere View Post
      wana jf mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini ili wanitumie kwa bure ili baade zikifika niziuze mara moja na kutuma hela zao na kuendelea nao hivyo hivyo.


      Ombi. Wanajanvi naomba ambao mko tayari kununua tuwasliane mimi sitataka unilipe hela ila unihakikishie tu kuwa utanunua mara tu ya mzigo kuingia then muniruhusu niwambie wanitumie. Unaweza ukanipm au ukanicall 0683714488. Mi napatikana dar.
      wadao tulioagiza tablet tujiandae baada ya wiki mbili mzigo utakuwepo bongo, na wale wa laptop na ipad naomba tusubiri subiri afu bei zizoonekana hapo ni za kiwandani na si zakununulia coz kuna shipping cost na custom tax so mda si mrefu nitaatach buying price in tsh. Karibun saana.

    16. #16
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 355
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By snagnax View Post
      ni add kwenye tablet ya 200,000
      mkuu pamoja sana, nipe contacts zako pm

    17. #17
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 355
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By trustme View Post
      hapa usa, macbookpro 17'' i5 ni yenye hizo sifa alizozitaja hapo ni dola 2,000
      hivi vitu ni bei dogo sana sema watu tu tunavipandisha nenda kiwandani utajionea mwenyewe,, mtu unanunua kitu $100 unakiuza $300 hii sio haki,, laptop na ipad bei zizoonekana hapo ni za kiwandani na si zakununulia coz kuna shipping cost na tax so mda si mrefu nitaatach buying price in tsh

    18. #18
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 355
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By Trustme View Post
      Hapa USA, MacBookPro 17'' i5 ni yenye hizo sifa alizozitaja hapo ni dola 2,000
      hivi vitu ni bei dogo sana sema watu tu tunavipandisha nenda kiwandani utajionea mwenyewe AU UANGALIE KWENYE MTANDAO,, mtu unanunua kitu $100 unakiuza $300 hii sio haki,,

    19. #19
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 4,085
      Rep Power : 1237
      Likes Received
      988
      Likes Given
      247

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By Maberere View Post
      Wana JF mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza Tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini ili wanitumie kwa bure ili baade zikifika niziuze mara moja na kutuma hela zao na kuendelea nao hivyo hivyo.


      Ombi. Wanajanvi naomba ambao mko tayari kununua tuwasliane mimi sitataka unilipe hela ila unihakikishie tu kuwa utanunua mara tu ya mzigo kuingia then muniruhusu niwambie wanitumie. Unaweza ukaniPM au ukanicall 0683714488. Mi napatikana DAR.


      WADAO TULIOAGIZA TABLET TUJIANDAE BAADA YA WIKI MBILI MZIGO UTAKUWEPO BONGO, NA WALE WA LAPTOP NA IPAD NAOMBA TUSUBIRI SUBIRI AFU BEI ZIZOONEKANA HAPO NI ZA KIWANDANI NA SI ZAKUNUNULIA COZ KUNA SHIPPING COST NA TAX SO MDA SI MREFU NITAATACH BUYING PRICE IN TSH. KARIBUN SAANA.
      Iko siku utatafutwa kuisaidia polish bila yunifomu, chunguza kama hao washkaji wako hawavunji sheria ya copiraiti.
      Ni rahisi zaidi popo kuwa ndege, kuliko ndizi kuwa tunda

    20. #20
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 355
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By jogi View Post
      iko siku utatafutwa kuisaidia polish bila yunifomu, chunguza kama hao washkaji wako hawavunji sheria ya copiraiti.

      dunia hii kila kitu cha kichina china,
      mabumbe likes this.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...