Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tablets, smart phone and laptops

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 42
    1. #1
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 351
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Tablets, smart phone and laptops

      Wana JF mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza Tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini ili wanitumie kwa bure ili baade zikifika niziuze mara moja na kutuma hela zao na kuendelea nao hivyo hivyo.


      Ombi. Wanajanvi naomba ambao mko tayari kununua tuwasliane mimi sitataka unilipe hela ila unihakikishie tu kuwa utanunua mara tu ya mzigo kuingia then muniruhusu niwambie wanitumie. Unaweza ukaniPM au ukanicall 0683714488. Mi napatikana DAR.


      WADAU TULIOAGIZA TABLET TUJIANDAE BAADA YA WIKI MBILI MZIGO UTAKUWEPO BONGO, NA WALE WA LAPTOP NA IPAD TUANZE KUAGIZA HIZO NDO BEI ZAKE USIOGOPE BEI NDOGO WW AGIZA TU KAMA UNAYO HIYO HELA
      ILIYOANDIKWA.
      BEI ZA LAPTOP NA IPAD TU TUNAWEZA KUDISCUSS KAMA UNATAKA ZAIDI YA MOJA.
      Last edited by Maberere; 19th August 2012 at 10:26.

    2. Study Abroad

    3. #21
      mfianchi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Location : Likulufusi
      Posts : 3,564
      Rep Power : 1219
      Likes Received
      578
      Likes Given
      1189

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      [QUOTE=mfianchi;4450479]Mimi nihesabu kwenye tablet ya Tsh 380,000[/QUOTE]
      Hapo kwenye RED nimeghairi nihesabu kwenye Apple iPad(64G/WIFI+3G) pamoja na MacBook Pro(MC024CH)
      Last edited by mfianchi; 19th August 2012 at 16:32.
      MFUNGWA HACHAGUI GEREZA

    4. #22
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 351
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      [QUOTE=mfianchi;4454004]
      Quote By mfianchi
      Mimi nihesabu kwenye tablet ya Tsh 380,000[/QUOTE]
      Hapo kwenye RED nimeghairi nihesabu kwenye Apple iPad(64G/WIFI+3G) pamoja na MacBook Pro(MC024CH)
      angalia bei za ipad nimezibadilisha kidogo ile ilikuwa bei ya kiwandani.

    5. #23
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      [QUOTE=Maberere;4457058]
      Quote By mfianchi

      angalia bei za ipad nimezibadilisha kidogo ile ilikuwa bei ya kiwandani.
      nimeshindwa ku dowload ili kuona bei,natumia sim,ila nahitaj laptop,,,but siwez kuweka oda wakat sijui bei na ubora

    6. #24
      Mchakatoh's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st December 2011
      Posts : 167
      Rep Power : 407
      Likes Received
      16
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Maberere
      mkuu pamoja sana, nipe contacts zako pm
      Na mie add kwenye huo mzigo kwa bei hyo vp bei za laptop na zinafka lini?

    7. #25
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 351
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By Mchakatoh
      Na mie add kwenye huo mzigo kwa bei hyo vp bei za laptop na zinafka lini?

      J5 naagiza mkuu so itachukua kama 7working days mzigo kufika, bei za laptop ndo hizo nimeziupdates nambie model uitakayo,

    8. Miaka 50

    9. #26
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 351
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By Kingmairo
      Hizi price hasa za apple mbona zipo chini sana? Is it true?
      check now,, na uweke order.

    10. #27
      Access Denied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2012
      Posts : 293
      Rep Power : 399
      Likes Received
      51
      Likes Given
      52

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Weka bei kwny laptop alaf wngn 2nämia simu hiyo speedsheet haijakaa fresh!

    11. #28
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 351
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By access denied
      weka bei kwny laptop alaf wngn 2nämia simu hiyo speedsheet haijakaa fresh!
      pdf hii hapo kwa wenye cm,

    12. #29
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 351
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

    13. #30
      Maberere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 351
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By Trustme
      Hapa USA, MacBookPro 17'' i5 ni yenye hizo sifa alizozitaja hapo ni dola 2,000

      $2,000 unanunua Gari,? zipo lkn,,

    14. #31
      mfianchi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Location : Likulufusi
      Posts : 3,564
      Rep Power : 1219
      Likes Received
      578
      Likes Given
      1189

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      [QUOTE=Maberere;4457058]
      Quote By mfianchi

      angalia bei za ipad nimezibadilisha kidogo ile ilikuwa bei ya kiwandani.
      Nimeangalia kwenye list sijaona hiyo bei wala hiyo iPad,hebu niwekee bei hapa kwa hizo model ambazo nazitaka kwa USD au kwa TSh
      MFUNGWA HACHAGUI GEREZA

    15. #32
      marty's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th August 2011
      Posts : 664
      Rep Power : 0
      Likes Received
      24
      Likes Given
      29

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Mlioagiza mtoage ushuhuda kama kweli mlipata hzo bizaa kwa bei hyo itasaidia ku motivate na wengine waagizaji wawe wengi..

    16. #33
      RGforever's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2011
      Posts : 2,081
      Rep Power : 1129
      Likes Received
      412
      Likes Given
      102

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Mkuu tuhakikishie mambo kama ni Orginal au ni Copy ya Mchina. Mana hata ukisearch Google Model hizo hazipo kabisa

    17. GP
      #34
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 918
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      CHEAP is always EXPENSIVE,
      stuka.

    18. #35
      Buswelu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th August 2007
      Location : Lake Victora Gold Field.
      Posts : 1,929
      Rep Power : 990
      Likes Received
      174
      Likes Given
      142

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Kama Kweli Macbook pro ni pesa za kitanzania hizo naomba ushuhuda kwa walio agiza seems fishy kiana kwani maduku ya uko mbele zinaonekana ni 2999 hivi. ipad ziko kwenye dola 800 16GB etc.

      Duu Mkuu usituingize chaka.
      Live Life so Well That even Death Loves to see you Alive.

    19. #36
      Shark's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th January 2010
      Posts : 4,573
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      245

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Mi zikija nishtue nije nizione kwanza!!

    20. #37
      MOSHIZZLE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th February 2010
      Posts : 50
      Rep Power : 480
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      Quote By maberere
      wana jf mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini ili wanitumie kwa bure ili baade zikifika niziuze mara moja na kutuma hela zao na kuendelea nao hivyo hivyo.


      Ombi. Wanajanvi naomba ambao mko tayari kununua tuwasliane mimi sitataka unilipe hela ila unihakikishie tu kuwa utanunua mara tu ya mzigo kuingia then muniruhusu niwambie wanitumie. Unaweza ukanipm au ukanicall 0683714488. Mi napatikana dar.


      wadau tulioagiza tablet tujiandae baada ya wiki mbili mzigo utakuwepo bongo, na wale wa laptop na ipad tuanze kuagiza hizo ndo bei zake usiogope bei ndogo ww agiza tu kama unayo hiyo hela
      iliyoandikwa.
      bei za laptop na ipad tu tunaweza kudiscuss kama unataka zaidi ya moja.
      huu ni uongo nakama ni ukweli walikwambia hivyo kuwa wanakutumia bure basi ni sawa ila mimi niko hapa china hakuna kitu kama hicho na nakushauri kama wamekwambia uwatumie hela zitaliwa take care nakushauri kama rafiki yangu. Apple kwa bei hiyo hakuna labda kama ni tunda siyo computer, au kama unataka fake. Ukibahatika kuletewa bidhaa halisi nakupa hongera kwakuwa mfanya biashara wa kwanza mwenye faida kubwa. Bei halisi ni kwa bidhaa halisi bei rahisi ni kwa bidhaa fake angalia usije kuingia hasara. Kingine hakuna speed ya kutuma mzigo kutoka huku kwa siku ulizotaja hapo kwa bei cheap kama uliyotaja hapo maana itakubidi utumie dhl, ups, au ems ni gharama. Kuwa muangalifu kama unafanya biashara online ya kutuma hela na kupokea mzigo. Itakuwa kitu kizuri kama ulishawai kufanya biashara na hao watu kwa mara kadhaa hivyo mnaaminiana. Tablet kuna cheap mbovu na za gharama nzuri.
      Mwisho nakushauri kama mtanzania mwenzangu kuwa makini na usikimbilie cheap products maana hapo ndipo kwenye mtego wakuliwa pesa yako. Zaidi bei iliyotaja hapo hata used apple huwezi kupata.
      Jioni njema waungwana
      mfianchi likes this.

    21. #38
      RGforever's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2011
      Posts : 2,081
      Rep Power : 1129
      Likes Received
      412
      Likes Given
      102

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      umeona Eh!! Jamaa ukimwambia hakuakikishie kuwa ni Orginal anakuwa Bubu. Wajinga ndo Waliwao

    22. leh
      #39
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 682
      Rep Power : 773
      Likes Received
      260
      Likes Given
      12

      Default Re: Tablets, smart phone and laptops

      mkuu your prices are too good to be true. naona kuna alienware m17x. nakutumia pm ya contacts zangu, kama vp unishtue nipo atown lakini nitakufuata dar zikifika. but please hakikisha hizi mashine ni za kweli. nipe feedback kama zinakuja lini nianze kurudi dar
      "I am doing that which I cannot do, in order that I may learn how to do it." -Picaso
      "I trust everybody, it's the inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)

    23. #40
      tusichoke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2011
      Posts : 657
      Rep Power : 543
      Likes Received
      77
      Likes Given
      8

      Default

      [QUOTE=Maberere;4457058]
      Quote By mfianchi

      angalia bei za ipad nimezibadilisha kidogo ile ilikuwa bei ya kiwandani.

    24. FemaTV & Radio
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...