Wana JF mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza Tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini ili wanitumie kwa bure ili baade zikifika niziuze mara moja na kutuma hela zao na kuendelea nao hivyo hivyo.
Ombi. Wanajanvi naomba ambao mko tayari kununua tuwasliane mimi sitataka unilipe hela ila unihakikishie tu kuwa utanunua mara tu ya mzigo kuingia then muniruhusu niwambie wanitumie. Unaweza ukaniPM au ukanicall 0683714488. Mi napatikana DAR.
WADAU TULIOAGIZA TABLET TUJIANDAE BAADA YA WIKI MBILI MZIGO UTAKUWEPO BONGO, NA WALE WA LAPTOP NA IPAD TUANZE KUAGIZA HIZO NDO BEI ZAKE USIOGOPE BEI NDOGO WW AGIZA TU KAMA UNAYO HIYO HELA
ILIYOANDIKWA. BEI ZA LAPTOP NA IPAD TU TUNAWEZA KUDISCUSS KAMA UNATAKA ZAIDI YA MOJA.

Reply With Quote

inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)
Follow Us Here