Natafuta gari kwa yeyote anayo GX100 or premio. please i am serious need
Natafuta gari kwa yeyote anayo GX100 or premio. please i am serious need
ipo Subaru forester
"JF ni zaidi ya Google"-Mentor Jamiiforums
niPM nikupe namba ya mtu muwasiliane mojakwamoja bila dalali
Jitahidi gari utakayonunua iwe Toyota.
Mbona unatumia Jamii kwa mambo yasiyo ya maana, vipi wewe, mi nimesema natafuta gari, we mkimbizi nini tz hujui kiswahili, kama uko low profille nenda facebook
ngapi mkuu, naomba i we serious
yes naomba kwa private massage
Kiswahili ulichotumia wewe ndio kibovuna unaonekana hujui kiswahili zaidi ya uhuni tu unaleta ungeenda facebook wewe ndio panakufaa Ndugu Punda... Kuna watu wanaweka matangazo yao vizuri na yanaeleweka....
Wengine tuna magari ya aina hiyo sasa umesema unayatafuta!
na mimi nimekuuliza for what? kuwa mstaarabu.. Ficha upumbavu
Toyota Corrola X available
Call: 0755 842 986
nina toyota carina TI,rangi ya silver mpaya ipo njiani kutoka japan inafika bandarini tarehe 25/8
bei ni mil11 nimepata emergency nikatumia hela ya kutoa so if you need it welcome.you may also pm me
JAMANI YESU ANAOKOA NA KUWEKA HURU, HEBU WOTE TUOKOKE SASA.
(2 CORRINTHIANS 6:2-4)
* LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF
Mi nnayo cresta GX 100 NI PM tu tete !!
Last edited by MWAMUNU; 17th August 2012 at 09:57.
RESPECT IS FOR THOSE WHO DESERVE IT,
NOT FOR THOSE WHO DEMAND IT.
Pia ninayo CRESTA GX 100,EXCEED.Kama uko tayari kwa 9m nakuachia,piga 0765829257
Follow Us Here