Gang Chomba anaanza kwa salam...
wakuu kwema?
Kama kuna mtu anayeweza kurahisisha kwa upatikanaji Samaki aina ya Prons naomba anijuze kwa Inbox then tuweze fanya Biashara, niko Dar.
Jieleze Kilo inapatikana kwa bei gani, na wana ukubwa gani, na wanapatikana wapi?

Reply With Quote


Follow Us Here