Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

    Report Post
    Results 1 to 19 of 19
    1. #1
      tumbo nene's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Habari zenu wadau
      sisi ni vijana tulioanzisha asasi inayoshughulika na masuala ya kijamii.tulipata usajili mwaka jana mwez wa pili.katika kipindi tangu muda huo tumekuwa tunafanya internal capacity building ikiwemo na kufanya networking na asasi zingine kongwe kama TANGO,TACAIDS,TYC,TGNP nk
      tunachohitaji ni vijana kadhaa wenye shughuli zao yani ajira au shughuli zozote ambao wanapenda kufanya mambo ya kijamii na watakuwa tayari kujitolea kujiunga nasi.tunasema kujitolea kwani haitakuwa ajira rasmi na wala haitamzuia mtu kufanya shughuli zake kama ni muajiriwa au muajiri

      hata hivyo tuko na miradi miwili mikubwa ambayo tunatarajiakupata ufadhili muda siyo mrefu ndio maana tunahitaji watu potential tutakaoshirikiana nao kufanya mradi huo hapa dar es salaam..
      kwa yeyote atakaekuwa interesed tuwasiliane kwa namba 0717-478451

    2. Miaka 50

    3. #2
      Voice of Wisdom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Location : heaven
      Posts : 370
      Rep Power : 460
      Likes Received
      136
      Likes Given
      6

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      you are not serious! Instead of convicing you manage to confuse. Kama una maono mazuri kupita maono yote yaliyowah kuwapo na ukashindwa kuyaweka wazi kwa watu, kuwaondolea watu mashaka ya kifikra namna ya kufikia maono hayo, kamwe usitegemee kupata mkono wa shirika. Inakuja akilini mimi kuingia garama ya vocha, chaji, muda na uchakavu wa simu kukupigia simu kwa jambo ambalo halieleweki.
      Ushauri wa namna ya uzi wako ungekuwa na mvuto kama ungekidhi yafuatayo
      1. Jina la ngo
      2. Physical address
      3. Main activities
      3. Vision mission
      4. Objectives and goals
      5. Strategic plans
      6. Current project
      7. Financial sources
      wengine wanaweza kuongeza. Ingekuwa na ushawishi hata mimi labda ningejiunga. Ila nw sipo tayari kupoteza vocha chaji muda na uchakavu wa simu kwa jambo ambalo halielewiki.
      BabaDesi likes this.

    4. #3
      tumbo nene's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Quote By Voice of Wisdom
      you are not serious! Instead of convicing you manage to confuse. Kama una maono mazuri kupita maono yote yaliyowah kuwapo na ukashindwa kuyaweka wazi kwa watu, kuwaondolea watu mashaka ya kifikra namna ya kufikia maono hayo, kamwe usitegemee kupata mkono wa shirika. Inakuja akilini mimi kuingia garama ya vocha, chaji, muda na uchakavu wa simu kukupigia simu kwa jambo ambalo halieleweki.
      Ushauri wa namna ya uzi wako ungekuwa na mvuto kama ungekidhi yafuatayo
      1. Jina la ngo
      2. Physical address
      3. Main activities
      3. Vision mission
      4. Objectives and goals
      5. Strategic plans
      6. Current project
      7. Financial sources
      wengine wanaweza kuongeza. Ingekuwa na ushawishi hata mimi labda ningejiunga. Ila nw sipo tayari kupoteza vocha chaji muda na uchakavu wa simu kwa jambo ambalo halielewiki.

      asante kwa maoni.nilijua maswali ya namna hii yataibuka sana ila kutokana na sababu fulani ambazo syo busara kuzitaja nimeandika kwa kifupi kama hivyo just kuokoa muda na kama suala la vocha linakutatiza usijali wewe bipu au tuma mesej then mimi ntakupigia.ningesema niweke mambo yote uloyataja ni kweli ingekuwa ni kifanisi zaidi ila nilikuwa natoa ujumbe kwa kifupi then mengine ntaelezea kwenye simu kama mtu anahtaji anitafte.hata hvo asante kwa MAONO

    5. #4
      Fmewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Posts : 276
      Rep Power : 539
      Likes Received
      68
      Likes Given
      35

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Weka wazi hiyo miradi mnayotaka kufanya ni ya aina gani? Kumbuka unataka watu wenye ajira zao na sio job seekers. Hivo inabidi utoe maelezo kuhusu hiyo miradi miwili ambayo inahitaji ninyi muwe na hao watu, then mtu akiona aina ya mradi atajipima na interests zake lakini kwa maelezo hayo uliyotoa hapo juu yatapunguza kufanya upate idadi kubwa ya watu watakaokupigia simu lakini mwisho wa siku wengine hawatakua interested.
      So take time kuelezea mambo hapo.
      Hata hivo nakutakia kila la Kheri
      Thanks
      Pasipo maono watu huangamia

    6. #5
      paty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : never never land
      Posts : 1,025
      Rep Power : 975
      Likes Received
      270
      Likes Given
      62

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Quote By tumbo nene
      asante kwa maoni.nilijua maswali ya namna hii yataibuka sana ila kutokana na sababu fulani ambazo syo busara kuzitaja nimeandika kwa kifupi kama hivyo just kuokoa muda na kama suala la vocha linakutatiza usijali wewe bipu au tuma mesej then mimi ntakupigia.ningesema niweke mambo yote uloyataja ni kweli ingekuwa ni kifanisi zaidi ila nilikuwa natoa ujumbe kwa kifupi then mengine ntaelezea kwenye simu kama mtu anahtaji anitafte.hata hvo asante kwa MAONO
      acha ubabishaji mkuu
      CHADEMA mwendo mdundo - T 2015 CDM


    7. #6
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,932
      Rep Power : 5065
      Likes Received
      3204
      Likes Given
      2665

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Sasa kwanini mnataka watu wenye ajira? Kwanini msichukue wasio na ajira? Kuna kitu hapo weka wazi,mchango wa kiinglio na kuchangia taasisi kwa mwaka sh ngapi?

    8. #7
      Neylu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 1,495
      Rep Power : 651
      Likes Received
      632
      Likes Given
      617

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Mmh...Hii thread kwa kweli haishawishi hata kidogo..!
      We must either find a way or make one. - Hannibal

    9. #8
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,197
      Rep Power : 41585
      Likes Received
      6102
      Likes Given
      1068

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Usiri wa nini?

      Utafikiri mradi wenyewe wa kijamii ni unyonyadamu!
      ZeMarcopolo likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    10. #9
      Father of All's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3,093
      Rep Power : 1044
      Likes Received
      1830
      Likes Given
      3343

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Siku hizi kila mbabaishaji anakimbilia kuanzisha NGO. Iwapo first lady ana NGO ukiachia mbali wachungaji matapeli kama Rwakatare Gamanywa Kakobe Lusekelo Gwajima na wengine kwanini huyu naye asijaribu. Ila namna hii mnarushisha nyuma maendeleo yenu binafsi ya taifa. Huwezi kutaka watu wakuchangie wakati hauko tayari kujibu maswali yao muhimu. Hii ni kutaka kuuzia mbuzi kwenye gunia. Na isitoshe approach yako inakuua hata kabla hujazaliwa. Msaada utakaoupata ni kukufichua kuwa u tapeli au mbabaishaji.

    11. #10
      Malila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2007
      Posts : 2,606
      Rep Power : 10972
      Likes Received
      832
      Likes Given
      449

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Mtoa uzi, buni mbinu nyingine kama huwezi kujitokeza na kuielezea hiyo ngo yenu. Au haya ni mambo ya vijiweni kwenu?
      Mtu mwema huacha urithi kwa wana wa wanawe.

    12. #11
      ng'wandu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th April 2011
      Posts : 104
      Rep Power : 430
      Likes Received
      24
      Likes Given
      84

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Quote By Father of All
      Siku hizi kila mbabaishaji anakimbilia kuanzisha NGO. Iwapo first lady ana NGO ukiachia mbali wachungaji matapeli kama Rwakatare Gamanywa Kakobe Lusekelo Gwajima na wengine kwanini huyu naye asijaribu. Ila namna hii mnarushisha nyuma maendeleo yenu binafsi ya taifa. Huwezi kutaka watu wakuchangie wakati hauko tayari kujibu maswali yao muhimu. Hii ni kutaka kuuzia mbuzi kwenye gunia. Na isitoshe approach yako inakuua hata kabla hujazaliwa. Msaada utakaoupata ni kukufichua kuwa u tapeli au mbabaishaji.
      Acha uongo! nitajie kwa evidence jina la NGO iliyoanzishwa na askofu Kakobe. No evidence no right to speak

    13. #12
      Fmewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Posts : 276
      Rep Power : 539
      Likes Received
      68
      Likes Given
      35

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Quote By ng'wandu
      Acha uongo! nitajie kwa evidence jina la NGO iliyoanzishwa na askofu Kakobe. No evidence no right to speak
      Vita za kidini zitaanza sasa hivi.
      Pasipo maono watu huangamia

    14. #13
      tumbo nene's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Post Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Quote By Fmewa
      Vita za kidini zitaanza sasa hivi.
      Jamani wadau,hakuna haja ya kuzozana,kila mtu ana maoni yake humu ndani japo mengine yanaudhi...maswali yaliyoibuka nilijua tu kwamba yangekuja lakini ni vizuri mkafaham kwamba huwezi kusajiliwa na serikali kama asasi bila kuwa na mission,vision,objectivez n.k,hivyo vyote na vingine ambavyo sikuvitaja ndio vinafanya kitu kinaitwa katiba..mimi sikuweka vitu hivyo nilivotaja hapo juu kwa sababu 2,ya kwanza ni ya kibinafsi[sitaki kuitaja hapa labda kwa mtu atakaepiga simu],ya pili sikuona haja ya kuandika kila kitu kwani ingekua sawa na kuweka katiba yetu hapa kitu ambacho sikuona kama kina umuhim sana.
      kuhusu kusema tunahitaji watu wenye ajira au wenye kujiajiri ni kwa kua nilitaka ieleweke kwamba hii sio ajira hasa kwani kwa sasa bado mambo mengi tunafanya kwa kuvoluntia/kujitolea,na wote tunafahamu jinsi watu kibao wako mitaani kwa ukosefu wa ajira hivyo hatukutaka kuwaletea usumbufu
      hata hivyo wanakaribishwa sana tu na pengine baada ya muda fulani hii ikawa ndio ajira yenyewe...kuhusu miradi niliyosema pia ipo,atakaekua tayari kujua zaidi basi apige simu kwa maelezo zaidi.ahsanteni;

    15. #14
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Quote By Father of All
      Siku hizi kila mbabaishaji anakimbilia kuanzisha NGO. Iwapo first lady ana NGO ukiachia mbali wachungaji matapeli kama Rwakatare Gamanywa Kakobe Lusekelo Gwajima na wengine kwanini huyu naye asijaribu. Ila namna hii mnarushisha nyuma maendeleo yenu binafsi ya taifa. Huwezi kutaka watu wakuchangie wakati hauko tayari kujibu maswali yao muhimu. Hii ni kutaka kuuzia mbuzi kwenye gunia. Na isitoshe approach yako inakuua hata kabla hujazaliwa. Msaada utakaoupata ni kukufichua kuwa u tapeli au mbabaishaji.
      mkuu kuwa na heshima na imani za watu...sio kuja tu na kuziita NGO...
      unajua maana ya NGO weye??
      !!..BAR ikiwa na wahudumu wa KIUME TUPU sikai dakika nyingi..!!

    16. #15
      Father of All's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3,093
      Rep Power : 1044
      Likes Received
      1830
      Likes Given
      3343

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Asigwa pole sana. Heshima ni jina langu. Maana ya NGO ni Non-Governmental Organization au Asasi Isiyo ya Kiserikali. Madhehebu ya dini ni asasi zisizo za kiserikali. Kama hujui sema uelezwe. Hata usajili wake hufuata mkondo huu wa asasi za kiraia. Je hadi hapo umeelewa? Yupo aliyeuliza swali kuwa Kakobe ana NGO gani? Inaitwa FGBF.

    17. #16
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,932
      Rep Power : 5065
      Likes Received
      3204
      Likes Given
      2665

      Default

      Quote By Father of All
      Asigwa pole sana. Heshima ni jina langu. Maana ya NGO ni Non-Governmental Organization au Asasi Isiyo ya Kiserikali. Madhehebu ya dini ni asasi zisizo za kiserikali. Kama hujui sema uelezwe. Hata usajili wake hufuata mkondo huu wa asasi za kiraia. Je hadi hapo umeelewa? Yupo aliyeuliza swali kuwa Kakobe ana NGO gani? Inaitwa FGBF.
      Ushamuumbua!! Kova anapenda kuziita taasisi za kidini.

    18. #17
      Advicer's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Posts : 242
      Rep Power : 861
      Likes Received
      34
      Likes Given
      4

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Weka wazi tutelemke ma cv jomba,2kupe na mawazo coz 2shaendeshaga hzo mambo.

    19. #18
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,205
      Rep Power : 5041
      Likes Received
      2438
      Likes Given
      2229

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      Sijawahi kuona NGO ambayo iko radhi kutaja siku iliyosajiriwa lakini kutaja jina haitaki na aliyeianzisha anajiita tumbo nene
      BabaDesi and Kiranga like this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    20. #19
      BabaDesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2007
      Posts : 2,382
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      251
      Likes Given
      1400

      Default Re: Jiunge na asasi yetu kujitolea mambo ya kijamii uwe mdau

      ...Mkuu ZeMarcopolo umeua na umekamilisha siku yangu japo bado ni asubuhi!!! Teh teh teh...
      Sema Kwa Sauti, Mimi Ni Mweusi Na Najivunia Kuwa Hivyo!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...