Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 636
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Thumbs up Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

      Eneo ni kubwa na linafaa kwa matumizi ya biashara kama garege, parking ya magari makubwa au kiwanda. lina ukubwa wa SQM 14,600. eneo lote limezungushiwa ukuta. ndani lina nyumba ya kisasa yenye vyumba 6 . huduma za umeme na maji zinapatika. lipo mbezi mwisho barabara ya morogoro. bei ni Tsh. 950,000,000/= mawasiliane
      +255 778 625039, na 657 145555.

      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 636
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

      ndani kuna nyumba 2 kubwa imekamilika na ina vyumba 6 vya kulala kama unavyoweza ona pichani, na ndogo hinaendelea kujengwa. mnunuzi wa eneo anaweza acha hizo nyumba au akazibomoa
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    4. #3
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 636
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

      nyumba iliyondani ya huo ukuta ambayo ni ya kisasa na unaweza ona picha ya ndani ya nyumba hiii
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    5. #4
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 636
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    6. #5
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,929
      Rep Power : 5064
      Likes Received
      3203
      Likes Given
      2661

      Default Re: Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

      Ok mkuu ngoja tuongee na washika dau!

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mrdash1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,379
      Rep Power : 1460
      Likes Received
      305
      Likes Given
      201

      Default Re: Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

      Kazi ipo kweli kweli miaka si mingi iliyopita ulikuwa mtu uki taja shillingi 100.00 nicknamed masai watu wanakuogopa, baadae ikawa elfu, ikafuatiwa na laki, miaka ya hivi karibuni tumeambiwa laki si pesa, kumbe hata millioni inaanza kukosa umaarufu, sasa tunaongelea billioni, yaani ukisikia mtu kafisadi au kalipwa tenda ni mabillioni, hata nyumba ya kawaida sana isiyo ya gorofa na kiwanja chake ni biliioni? hii nchi inaenda wapi?? Kuna haja ya kuongeza maombi. Fikiria nchi kama UK pamoja na kwamba wao waliaanza haya maisha ya kisasa karne nyingi sana kabla ya sisi hatujaamka lakini noti kubwa ya pesa yao ni 50, tena hilo noti la 50 halipo kwenye mzunguko wa biashara za kila siku, noti kubwa la kwenye matumizi ya kawaida ni 20, sisi tuna manoti mpaka 10000 na bilioni ndo pato la kawaida la kufanyia biashara???? watanzania tumelogwa, nasema tena tunahitaji maombi
      Mpalisya Imbogo and Akiri like this.

    9. #7
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16493
      Likes Received
      4301
      Likes Given
      5491

      Default Re: Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

      Mbona kumekaa kama bondeni,kuna usalama wakati wa mafuriko maeneo hayo?
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    10. #8
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 636
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

      Quote By King Kong III
      Ok mkuu ngoja tuongee na washika dau!
      vizuri kiongozi ongea nao nijulishe tufanye kazi, pia kuna heka tano pale visiga
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    11. #9
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 636
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

      Quote By Mrdash1
      Kazi ipo kweli kweli miaka si mingi iliyopita ulikuwa mtu uki taja shillingi 100.00 nicknamed masai watu wanakuogopa, baadae ikawa elfu, ikafuatiwa na laki, miaka ya hivi karibuni tumeambiwa laki si pesa, kumbe hata millioni inaanza kukosa umaarufu, sasa tunaongelea billioni, yaani ukisikia mtu kafisadi au kalipwa tenda ni mabillioni, hata nyumba ya kawaida sana isiyo ya gorofa na kiwanja chake ni biliioni? hii nchi inaenda wapi?? Kuna haja ya kuongeza maombi. Fikiria nchi kama UK pamoja na kwamba wao waliaanza haya maisha ya kisasa karne nyingi sana kabla ya sisi hatujaamka lakini noti kubwa ya pesa yao ni 50, tena hilo noti la 50 halipo kwenye mzunguko wa biashara za kila siku, noti kubwa la kwenye matumizi ya kawaida ni 20, sisi tuna manoti mpaka 10000 na bilioni ndo pato la kawaida la kufanyia biashara???? watanzania tumelogwa, nasema tena tunahitaji maombi
      pesa yetu inashuka thamani kila siku. ndiyo maana watu wanauza kwenye usd lkn tungeweka bei kwenye us pia mngelalama. pia maaneo kama haya huwa ni maalum kwa kupaki magari makubwa ambayo bei zake pia ziko juu. pia usisahau kwamba jamaa wameinvest hapa . watanzania hatujalogwa ila wachache wenye mawazo kama yako ndiyo vichwa vyao vina walakini.
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    12. #10
      Mrdash1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,379
      Rep Power : 1460
      Likes Received
      305
      Likes Given
      201

      Default Re: Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

      Quote By Akiri
      pesa yetu inashuka thamani kila siku. ndiyo maana watu wanauza kwenye usd lkn tungeweka bei kwenye us pia mngelalama. pia maaneo kama haya huwa ni maalum kwa kupaki magari makubwa ambayo bei zake pia ziko juu. pia usisahau kwamba jamaa wameinvest hapa . watanzania hatujalogwa ila wachache wenye mawazo kama yako ndiyo vichwa vyao vina walakini.
      bora kichwa cha walakini kinachotambua mwanguko wa nchi kuliko vile vichwa visivyo jua kuwa vinaishi kwenye failed state.

    13. #11
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 636
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

      Quote By Mrdash1
      bora kichwa cha walakini kinachotambua mwanguko wa nchi kuliko vile vichwa visivyo jua kuwa vinaishi kwenye failed state.
      sawa mkuuu we una bei gani tukuuzie?
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    14. #12
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,203
      Rep Power : 5040
      Likes Received
      2438
      Likes Given
      2228

      Default Re: Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

      Kwa sqm 14,000 zilizozungushiwa fence na kuna nyumba ya kisasa iliyoisha na nyingine unfinished Mbezi ni sawa kabisa. Bei fair.
      Akiri likes this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    15. #13
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 636
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Eneo la biashara linauzwa lipo barabara ya morogoro

      Quote By ZeMarcopolo
      Kwa sqm 14,000 zilizozungushiwa fence na kuna nyumba ya kisasa iliyoisha na nyingine unfinished Mbezi ni sawa kabisa. Bei fair.
      bora wewe mkuu umetathimini na ukaona kuna uwiano . wengi humu wakiona bei wanakimbia mi nafikiri ni vizuri kukiona kitu kisha mukazungumza kuhusu bei. kuna wengine tuonawapeleka wanaonana na mmiliki na wanaafikiane pesa ilipe ndani ya miaka 3 . au jamaa wanakubaliana kwa mwanasheria na mnunuzi anatumia hati za nyumba kuombea mkopo benk. penye nia ipo njia
      Mpalisya Imbogo likes this.
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...