jamani wana jamvi, nina 6.5mil nataka gari simple but economy mfano toyota carina GT or the like. Anayeuza ajitokeze.
jamani wana jamvi, nina 6.5mil nataka gari simple but economy mfano toyota carina GT or the like. Anayeuza ajitokeze.
Nina Toyota Baloon Cresta marekebisho madogo Sana engine 4s ni economic sana ulaji wake wa mafuta Nimelipaki ukilipenda nitakupunguzi ana bei
Toyota Caldina, CC1980, Odometer 197,000, Naanzia na hiyohiyo 6.5Mil
Nina chaser, 182,000 km haijawahi kupata ajali, imelipiwa kila kitu last week! Ni PM tufanye biashara.
Mie nauza bajaj, Ngoja nikupm Kabla wanga hawajalianzisha
I can be changed by what happens to me. But I refuse to be reduced by it-Maya Angelou
Nimekumbuka Kuna Ki Corolla Cha South Africa Kilikuwa kinatumika kwa kazi za Office Model ya 1990 kimeenda kama km90,000 hivi kilikuja kikiwa Brand New Speed Meter ni 220 kwa Mwendo Wacha kabisa ila Ujue ni Manual car five Gear... kama unaiweza lakini kipo in Good Condition... kama upo fresh nikupeleke ukaione
Kuna Hummer H2 inazwa
Toyota Kluger (Toyota Highlander0, 2002, 75,000+ Km, 2WD, vvti Engine USD 18,000
Kama unahitaji ni-PM au send email to [email protected]
SIPENDI: "UDHAIFU wa Rais, UZEMBE wa Bunge, UPUUZI wa CCM"
toyota spacio 2000 km 109000 cc1580 mill 6 cash haipoi
Wadau vipi kwa Mil 5 siwezi kupata GX 100 Cresta ya kuanzia mwaka 2000 and above?
mkuu gari ya hiyo hela utaweka undugu na mafund,kila siku linakorofisha,gari bovu linaudh sana!acha tuu ndg.yangu
TOYOTA DUET.
(kama size ya starlet)
KM- 100,000 approx.
FUEL- 12ltr kwa 1 km.
BEI- 5.8m only !!!
MESSAGE ME kama interested !
Follow Us Here