Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: naitaji asali

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      frozen's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Posts : 134
      Rep Power : 471
      Likes Received
      24
      Likes Given
      2

      Default naitaji asali

      habari wanajamii,
      plz naitaji asali, ila sina uzoefu wa bei zake, mwenye kujua bei kwa lita na wapi asali nzuri inapatikana hapa dar, asante

    2. Miaka 50

    3. #2
      phina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : the gate of no gate
      Posts : 399
      Rep Power : 476
      Likes Received
      117
      Likes Given
      8

      Default Re: naitaji asali

      ungekuwa mbeya ningekuelkeza sehemu ya kupata..
      nasikiaga watu wanapenda asaki ya nyuki wadogo-kwamba ndo nzuri..
      au asali mbichi..nasikiaga ni nzuri pia.sijui kama ni kitu kilekile au kuna tofauti..
      kama vipi nenda katafute kariakoo ila ujiandae kupoteza mda mwingi na bugdha haswaa!!
      Please God-if you cant make me thin make my friends FAT!!

    4. #3
      cheseo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 57
      Rep Power : 399
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By frozen
      habari wanajamii,
      plz naitaji asali, ila sina uzoefu wa bei zake, mwenye kujua bei kwa lita na wapi asali nzuri inapatikana hapa dar, asante
      Mkunwa niPM tuwasiliane mimi niko morogoro nna asali mbichi kutoka tabora

    5. #4
      phina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : the gate of no gate
      Posts : 399
      Rep Power : 476
      Likes Received
      117
      Likes Given
      8

      Default Re: naitaji asali

      Quote By cheseo
      Mkunwa niPM tuwasiliane mimi niko morogoro nna asali mbichi kutoka tabora
      hivi..asali mbichi ndio nini haswaa??nasikiaga tu ikisifiwa
      Please God-if you cant make me thin make my friends FAT!!

    6. #5
      Fernandes Rodri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2009
      Posts : 295
      Rep Power : 574
      Likes Received
      23
      Likes Given
      18

      Default Re: naitaji asali

      Litre moja ya asali ni shilingi elfu kumi, njoo mtaa wa mkunguni na sikukuuu, ulizia kwa Mfalme Katungunya, utapata

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Chuck j's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2011
      Location : DAR ES SALAM/KINONDONI
      Posts : 444
      Rep Power : 489
      Likes Received
      53
      Likes Given
      5

      Default Re: naitaji asali

      unahitaji lita ngapi? mimi ninayo kama lita 360 hivi,,
      otto

    9. #7
      Chuck j's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2011
      Location : DAR ES SALAM/KINONDONI
      Posts : 444
      Rep Power : 489
      Likes Received
      53
      Likes Given
      5

      Default Re: naitaji asali

      lita nauza shs 6000,,ni kwa jumla mkuu,,
      otto

    10. #8
      mzee wa busara's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th August 2011
      Posts : 68
      Rep Power : 406
      Likes Received
      9
      Likes Given
      1

      Default Re: naitaji asali

      mkuu ni PM nikupatie asali mbichi kutoka TBR,naweza kukufanyia TSH 35,000 kwa lita tano,pia ukitaka ya nyuki wadogo inapatikana pia lkn bei yake ipo juu kidogo.

    11. #9
      Mparanyanga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th May 2010
      Posts : 17
      Rep Power : 460
      Likes Received
      1
      Likes Given
      9

      Default Re: naitaji asali

      Kwa mahitaji ya MDALASINI WA UNGA na ASALI MBICHI,tafadhali wasiliana nami kwa namba hizi: 0754 255 734/0712 259 129Asali lita1 Tsh10,000 na Mdalasini ni Tsh 2,000

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...