Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,198
      Rep Power : 19212
      Likes Received
      8161
      Likes Given
      26633

      Default ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      USHAURI umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara ambazo zimejitokeza nchini Sudani ya Kusini.

      Ushauri huo ulitolewa Siku ya Jumatano na Meja Jenerali Wynjones Kisamba ambaye ni Naibu Kamanda wa vikosi vya kulinda amani katika jimbo la Darfur maarufu kama UNAMID, wakati alipokutana na kubadilishana mawazo na Maofisa wa Ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, New York.

      Meja Jenerali Kisamba yuko hapa Umoja wa Mataifa, kwa ziara ya kikazi na mafunzo ya maOfisa wa ngazi za juu katika misheni za Umoja wa Mataifa, mafunzo ambayo yameandaliwa na Idara ya Operesheni za Ulinzi wa Amani ya Umoja wa Mataifa (DPKO).

      “ Tanzania tuna kila sababu ya kuwekeza nchini Sudani ya Kusini, zipo fursa nyingi mno kuanzia upelekaji wa chakula hadi ujenzi. Nilikuwa nyumbani hivi karibuni, nimekutana na viongozi mbalimbali na kuwaelezea juu ya fursa hizi”, alisema.

      Alisema ana wasiwasi kwani Watanzania wanachelewa kwani majirani wa Tanzania wamekwisha zichangamkia fursa hizo na wako mbali na kwamba ni kama wameishaingia mpaka jikoni.

      Aidha katika mazungumzo yake na maofisa wa ubalozi, Naibu Kamanda wa vikozi vya UNAMID alibainisha kwamba kama kweli Serikali, kwa kushirikiana na sekta za umma na binafsi zikiamua kuingia kibiashara Sudani ya Kusini hakuna tutakachopoteza.

      “Sudani ya Kusini ndio kwanza wanaanza kuijenga nchi yao, wanachangamoto nyingi, sisi tunaweza kuwasaidia kwa maana ya kuwekeza na kwa kufanya biashara. Kwa mfano wale wanakula sana chapati, hawana ngano, tunaweza kuwauzia ngano, wanahitaji mafuta ya kupikia tunayo alizeti, wanahitaji vifaa vya ujenzi, tuna viwanda vya saruji na nondo pia, kwa kweli fursa zipo tunachotakiwa ni kujipanga.
      ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    2. Miaka 50

    3. #2
      Prodigal Son's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2009
      Location : Dili - ET
      Posts : 739
      Rep Power : 637
      Likes Received
      151
      Likes Given
      60

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Hili
      wameshaambiwa sio mara moja
      mfano kwa sasa kuna zaidi ya Wakenya zaidi ya elfu ishirini na tautu wanafanya shughuli mbalimbali za kuwaingizia kipato KUSINI MWA SUDANI
      badala ya serekali kuwekeza kwa kuajiri vijana wanaoweza kutambua fursa mablimbali zilizopo katika nchi mbalimbali WATAWALA wanajitahidi kuwekeza kuwaua wanaowaona wanawapinga na wanaopigania haki
      tumeshashauri kwakuwa hatuna platform hizi fursa lakini hata ukiwaandikiwa hawajibu, ukitum mail wala hawajibu

      kinachoniumiza kuna WATANGANYIKA wengi wamepata pesa kariakoo badala ya kujenga vihoteli vidogo kariakoo
      tumeshauri kwanini wasizijenge JUBA?au GOMA na kwingineko

      Natamani tena saan WAINGEREZA wasingetupa UHURU tungekuwa na maendeleo zaidi
      Ndahani and Maundumula like this.
      ,,,Give a man a fish and you feed him for a day; teach him to fish and you feed him forever,,,

    4. #3
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Quote By Prodigal Son
      Hili
      wameshaambiwa sio mara moja
      mfano kwa sasa kuna zaidi ya Wakenya zaidi ya elfu ishirini na tautu wanafanya shughuli mbalimbali za kuwaingizia kipato KUSINI MWA SUDANI
      badala ya serekali kuwekeza kwa kuajiri vijana wanaoweza kutambua fursa mablimbali zilizopo katika nchi mbalimbali WATAWALA wanajitahidi kuwekeza kuwaua wanaowaona wanawapinga na wanaopigania haki
      tumeshashauri kwakuwa hatuna platform hizi fursa lakini hata ukiwaandikiwa hawajibu, ukitum mail wala hawajibu

      kinachoniumiza kuna WATANGANYIKA wengi wamepata pesa kariakoo badala ya kujenga vihoteli vidogo kariakoo
      tumeshauri kwanini wasizijenge JUBA?au GOMA na kwingineko

      Natamani tena saan WAINGEREZA wasingetupa UHURU tungekuwa na maendeleo zaidi
      Nimeipenda sana hiyo picha ya Ben Curson. Huyo bwana ni one of the best neuro surguries in the world. But he built his fortune and career by hard working. He learned the importance of leading bookd earlier in his life to the extent that he became so knowledgable. Jamani wale wafanya biashara wa kariakoo wachache sana wanaweza kuvuka mpaka na kufanya biashara. hatuna maarifa sisi...na kibaya tu wazito sana kuyatafuta hayo maarifa. Ila sudan kusini is the place to be...
      Mtumishi Wetu and Maundumula like this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    5. #4
      mamasuma's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 361
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      usalama mhhh, juzijuzi mkenya kapigwa risasi kule tena mwalimu wa nursery school maskini eti sijui hakusimama wakati bendera inapandishwa, mie nilikuwa interested saana sana lakini usalama kwanza!
      Ndahani and TaiJike like this.

    6. #5
      TaiJike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Posts : 1,156
      Rep Power : 607
      Likes Received
      387
      Likes Given
      347

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Quote By mamasuma
      usalama mhhh, juzijuzi mkenya kapigwa risasi kule tena mwalimu wa nursery school maskini eti sijui hakusimama wakati bendera inapandishwa, mie nilikuwa interested saana sana lakini usalama kwanza!
      Hakuna asiye penda maendeleo/ mabadiliko ya biashara yake, lakini kama usemavyo usalama wa wangu na mali yangu unalindwa vipi?
      * Nitashangaa kama hawa Watanzania watakataa kuasi. Kwanini wasiasi? * - Julius Kambarage Nyerere


    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Ghost's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2010
      Location : ISS - Int'nal Space Station
      Posts : 395
      Rep Power : 541
      Likes Received
      34
      Likes Given
      155

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Quote By TaiJike
      Hakuna asiye penda maendeleo/ mabadiliko ya biashara yake, lakini kama usemavyo usalama wa wangu na mali yangu unalindwa vipi?
      kwenye business venture kuna kuwa na changamoto...na bigger the risk, the BIGGER the Cake!!
      Baby Steps...

    9. #7
      KOMANDOO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 413
      Rep Power : 631
      Likes Received
      254
      Likes Given
      17

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Mkuu Tanzania Bado sana, Na Tatizo kubwa linalo kabiri wafanya biashara wa Tanzania ni kupenda kufanya Biashara kiujanjaujanja sana, sasa sehemu ambazo hazina njia za mikato wanapata shida sana, that is wahy

      MFANO:
      1. Chukulia Ujenzi holela wa magorofa yasiyo fuata utaratibu kule kariakoo- Nchi nyingine hawana njia za mikato ni lazima sheria zifuatwe,

      2. Cheki sheri za mafuta zinavyo jengwa bila kufuata sheria

      KWA NCHI AMBAZO ZINAFUTA SHERIA ZOTE NA HAKUNA RUSHWA HATA KIDOGO WABONGO TUNAPATA SHIDA SANA


      Swala Jingine ni Watanzania kuto penda kabisa kufanya Network, tunasubiri serikali ndo ituambie twende SUDANI, wakati wakenya wao wameenda wenyewe na wala hawajasubiri kuambiwa, kwenye bara la africa kuna Maonyesho kibao ya biashara lakini sijui kama Watanzania huwa wanahudhuria,

      Angalia hata Maonyesho ya Sabasaba, Wakati Wafanya biashara wa Nchi zingine wamekuja kutafuta masoko na kutafuta watu wa kufanya nao BIASHARA Watanzania tuko bise kuuza, na ukipita Banda la wabongo usipo nunua wananuna, Wakati wachina wako bise kuchukua contact na kuuliza kama mnaweza fanya biashara,

      Nakumbuka kuna kipindi fulani kule Arusha wakati Jumuia ya Africa mashariki ndo inaanza, Kulifanyika MAONYESHO YA WAFANYA BIASHARA WA NCHI TATU KWENYE UWANJA WA MPIRA WA ARUSHA, na yalikuwa maalunu kwa ajiri ya wafanyabaisha wa Tanzania , kenya na Uganda kufahamiana, Cha kushangaza WAFANYA BIASHARA WA TANZANIA WAKATI WANAITWA KUJITAMBULISHA WAO WALIENDA NA BENDI YA TOT kipindi hicho ikipiga Bilingo, na hawakuwa na cha kuonyesha, Wakati wenzao wa Kenya na Uganda walikuja full na Business card na kazalika, Wabongo hata Business card waliona haina haja, KWA KIFUPI NDO HIVYO,

      Maonyesho ya SABASABA ni PICHA tosha kwamba hatuwezi hata kwenda Burundi Achilia mbali huko SUDANI KUSINI, maonyesho yametawaliwa na Promosheni za pombe, full miziki, na full kuchuuza bidhaa za kichina, NA KINACHO UMA ZAIDI NI KWAMBA UCHUUZI UNAOFANYWA NA WATANZANIA PALE NI WA KUCHUUZA BIDHAA ZA CHINA BORA HATA ZINGEKUWA ZA TANZANIA, hivi kwa stail hii tunaweza enda SUDANI?

      Mkuu kwa kifupi ni vigumu sana na Mifano ni mingi sana hata humu JANVINI KUNA MIFANO TOSHA,


    10. #8
      Mziba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th February 2010
      Posts : 228
      Rep Power : 517
      Likes Received
      34
      Likes Given
      73

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Quote By Prodigal Son
      Hili
      wameshaambiwa sio mara moja
      mfano kwa sasa kuna zaidi ya Wakenya zaidi ya elfu ishirini na tautu wanafanya shughuli mbalimbali za kuwaingizia kipato KUSINI MWA SUDANI
      badala ya serekali kuwekeza kwa kuajiri vijana wanaoweza kutambua fursa mablimbali zilizopo katika nchi mbalimbali WATAWALA wanajitahidi kuwekeza kuwaua wanaowaona wanawapinga na wanaopigania haki
      tumeshashauri kwakuwa hatuna platform hizi fursa lakini hata ukiwaandikiwa hawajibu, ukitum mail wala hawajibu

      kinachoniumiza kuna WATANGANYIKA wengi wamepata pesa kariakoo badala ya kujenga vihoteli vidogo kariakoo
      tumeshauri kwanini wasizijenge JUBA?au GOMA na kwingineko

      Natamani tena saan WAINGEREZA wasingetupa UHURU tungekuwa na maendeleo zaidi
      Prodigy son my brother, umefika mbali. Usifanye hasira za mkisi, furaha ya mvuvi., Nadhani tunahitaji kuelimisha watu na wafanyi biashara wetu. Haya yanaweza kurekebishika. Tufundishe Standard financial literacy and some basic economic theories, kwa kutumia lugha ya kawaida ambayo mwanaichi wa kawaida wataielewa. Na jinsi ya kutafsiri economic data. Pia tuwafundishe English.

      Quote By KOMANDOO
      Mkuu Tanzania Bado sana, Na Tatizo kubwa linalo kabiri wafanya biashara wa Tanzania ni kupenda kufanya Biashara kiujanjaujanja sana, sasa sehemu ambazo hazina njia za mikato wanapata shida sana, that is wahy

      MFANO:
      1. Chukulia Ujenzi holela wa magorofa yasiyo fuata utaratibu kule kariakoo- Nchi nyingine hawana njia za mikato ni lazima sheria zifuatwe,

      2. Cheki sheri za mafuta zinavyo jengwa bila kufuata sheria

      KWA NCHI AMBAZO ZINAFUTA SHERIA ZOTE NA HAKUNA RUSHWA HATA KIDOGO WABONGO TUNAPATA SHIDA SANA


      Swala Jingine ni Watanzania kuto penda kabisa kufanya Network, tunasubiri serikali ndo ituambie twende SUDANI, wakati wakenya wao wameenda wenyewe na wala hawajasubiri kuambiwa, kwenye bara la africa kuna Maonyesho kibao ya biashara lakini sijui kama Watanzania huwa wanahudhuria,

      Angalia hata Maonyesho ya Sabasaba, Wakati Wafanya biashara wa Nchi zingine wamekuja kutafuta masoko na kutafuta watu wa kufanya nao BIASHARA Watanzania tuko bise kuuza, na ukipita Banda la wabongo usipo nunua wananuna, Wakati wachina wako bise kuchukua contact na kuuliza kama mnaweza fanya biashara,

      Nakumbuka kuna kipindi fulani kule Arusha wakati Jumuia ya Africa mashariki ndo inaanza, Kulifanyika MAONYESHO YA WAFANYA BIASHARA WA NCHI TATU KWENYE UWANJA WA MPIRA WA ARUSHA, na yalikuwa maalunu kwa ajiri ya wafanyabaisha wa Tanzania , kenya na Uganda kufahamiana, Cha kushangaza WAFANYA BIASHARA WA TANZANIA WAKATI WANAITWA KUJITAMBULISHA WAO WALIENDA NA BENDI YA TOT kipindi hicho ikipiga Bilingo, na hawakuwa na cha kuonyesha, Wakati wenzao wa Kenya na Uganda walikuja full na Business card na kazalika, Wabongo hata Business card waliona haina haja, KWA KIFUPI NDO HIVYO,

      Maonyesho ya SABASABA ni PICHA tosha kwamba hatuwezi hata kwenda Burundi Achilia mbali huko SUDANI KUSINI, maonyesho yametawaliwa na Promosheni za pombe, full miziki, na full kuchuuza bidhaa za kichina, NA KINACHO UMA ZAIDI NI KWAMBA UCHUUZI UNAOFANYWA NA WATANZANIA PALE NI WA KUCHUUZA BIDHAA ZA CHINA BORA HATA ZINGEKUWA ZA TANZANIA, hivi kwa stail hii tunaweza enda SUDANI?

      Mkuu kwa kifupi ni vigumu sana na Mifano ni mingi sana hata humu JANVINI KUNA MIFANO TOSHA,

      Great posting. Lakini kumbuka kua hawa wenzetu wemekua kutoka kwenye siasa za ubepari (let's call for what it is) toka mkoloni. Sisi tumeanza hivi karibuni tu. Kwanza nawapa kredit kubwa sana Wafanya biashara wetu kwa sababu sidhani kama serikali yetu ilijiyarisha na how to manage a free enterprises system. Hata regulations mpaka leo bado wanazifanyia kazi kitu ambacho kinaongeza rushwa na pia kinamrudisha mfanya biashara nyuma. Kuna mambo flani kama hayo nilioandika hapo juu yakifanyika mfanya biashara wa Tanzania atakua very competative. Wewe naona ni muandishi mzuri, anza kufikiria na kuandika kuhusu solutions.

      Kuna WAJASIRIMALI wengi hapa Tanzania, wakipata information kama hii wanaweza kwenda. Najua vijana wengi wenye moyo wa kutaka maendeleo na wanaweza kupima kiwango cha faida na hatari zake. I am from the street and I 've done some tradings. There is an Entrepreneurial spirit out there. These are naturally talented and tenacious. something our neighbors have never seen. Just teach 'em english, since it's boils down to communication.
      Last edited by Mziba; 8th July 2012 at 06:05. Reason: typo

    11. #9
      KOMANDOO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 413
      Rep Power : 631
      Likes Received
      254
      Likes Given
      17

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Quote By Mziba
      Prodigy son my brother, umefika mbali. Usifanye hasira za mkisi, furaha ya mvuvi., Nadhani tunahitaji kuelimisha watu na wafanyi biashara wetu. Haya yanaweza kurekebishika. Tufundishe Standard financial literacy and some basic economic theories, kwa kutumia lugha ya kawaida ambayo mwanaichi wa kawaida wataielewa. Na jinsi ya kutafsiri economic data. Pia tuwafundishe English.



      Great posting. Lakini kumbuka kua hawa wenzetu wemekua kutoka kwenye siasa za ubepari (let's call for what it is) toka mkoloni. Sisi tumeanza hivi karibuni tu. Kwanza nawapa kredit kubwa sana Wafanya biashara wetu kwa sababu sidhani kama serikali yetu ilijiyarisha na how to manage a free enterprises system. Hata regulations mpaka leo bado wanazifanyia kazi kitu ambacho kinaongeza rushwa na pia kinamrudisha mfanya biashara nyuma. Kuna mambo flani kama hayo nilioandika hapo juu yakifanyika mfanya biashara wa Tanzania atakua very competative. Wewe naona ni muandishi mzuri, anza kufikiria na kuandika kuhusu solutions.

      Kuna WAJASIRIMALI wengi hapa Tanzania, wakipata information kama hii wanaweza kwenda. Najua vijana wengi wenye moyo wa kutaka maendeleo na wanaweza kupima kiwango cha faida na hatari zake. I am from the street and I 've done some tradings. There is an Entrepreneurial spirit out there. These are naturally talented and tenacious. something our neighbors have never seen. Just teach 'em english, since it's boils down to communication.
      Mkuu Ukiwa na sifa zote za Ujasiriamali huhitaji Serikali ikuwezeshe au ikujengee mazingira ya kwenda SUDANI, mfano Je kuna tatizo la kupata VISA?

      Mkuu kuhusu kwamba tulikuwa na mfumo wa Kijamaa, hiyo sio hoja sana make kuna Nchi nyingi sana zilizo kuwa zinapractise Ujamaa lakini leo hii ziko Mbali sana, HATA CHINA TUNAYO IONA LEO ILIKUWA INA PRACTISE UJAMAA TENA ULE UJAMAA WA HALI YA JUU(UCOMONIST)

      Tuna matatizo mengi sana sisi kama watanzania, tumeisha rizika na biashara za huku Tanzania, NA UNGEENDA SABASABA NDO UNGEAMINI KWAMBA TUNAMATATIZO MAKUBWA SANA INGAWA HATA VIONGOZI HAWAYAONI HAYA NA KUBAKIA KUSIFIA TU MAONYESHO,

      Kwa staili ile ya SABABSABA ni vigumu sana kufanya biashara hata BURUNDI, Jarubu kwenda pale SABASABA WAHAJO WAFANYA BIASHARA WETU USIKIE, oo maonyesho yamekuwa magumu sana hatujauuza kabisa, watu hawana pesa na kazalika, NA JARIBU KUWAHOJI WALE WACHINA, Utasikia yes tumeweza kupata patiners kadhaa, au tumeshindwa kabisa kupata patiners au supplya wa kusaply bidhaa zetu,

      Lakini kwa WABAONGO huwezi wasikia pale wakisema wamepata PATINERS AU WAMEPATA SOKO wao wanazungumzia kuuza tu, KWA STAIL HII HATUWEZI KABISA,

      NA kabla hatujataka kwenda SUDANI ni lazima tufanye vizuri Ndani ya NCHI YETU, swali, JE WAFANYA BIASHARA WATANZANIA WANAFANYA IPASAVYO KWENYE SOKO LA NDANI? Kama ni yes wanaweza kwenda lakini kama ni NO hawawezi kwenda SUDANI,

      Na Internatinal Trade Unaanza kwanza na DOMESTIC market ikisha jaa ndo unazungumzia kwenda Nje ya Nchi, Leo hii unakuta tunaanza kuzalisha ASALI NA KUTAKA KUUZA MAREKANI WAKATI SOKO LA NDANI LENYEWE HATUJALIKAMATA,

    12. #10
      Mziba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th February 2010
      Posts : 228
      Rep Power : 517
      Likes Received
      34
      Likes Given
      73

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Quote By KOMANDOO
      Mkuu Ukiwa na sifa zote za Ujasiriamali huhitaji Serikali ikuwezeshe au ikujengee mazingira ya kwenda SUDANI, mfano Je kuna tatizo la kupata VISA?

      Mkuu kuhusu kwamba tulikuwa na mfumo wa Kijamaa, hiyo sio hoja sana make kuna Nchi nyingi sana zilizo kuwa zinapractise Ujamaa lakini leo hii ziko Mbali sana, HATA CHINA TUNAYO IONA LEO ILIKUWA INA PRACTISE UJAMAA TENA ULE UJAMAA WA HALI YA JUU(UCOMONIST)

      Tuna matatizo mengi sana sisi kama watanzania, tumeisha rizika na biashara za huku Tanzania, NA UNGEENDA SABASABA NDO UNGEAMINI KWAMBA TUNAMATATIZO MAKUBWA SANA INGAWA HATA VIONGOZI HAWAYAONI HAYA NA KUBAKIA KUSIFIA TU MAONYESHO,

      Kwa staili ile ya SABABSABA ni vigumu sana kufanya biashara hata BURUNDI, Jarubu kwenda pale SABASABA WAHAJO WAFANYA BIASHARA WETU USIKIE, oo maonyesho yamekuwa magumu sana hatujauuza kabisa, watu hawana pesa na kazalika, NA JARIBU KUWAHOJI WALE WACHINA, Utasikia yes tumeweza kupata patiners kadhaa, au tumeshindwa kabisa kupata patiners au supplya wa kusaply bidhaa zetu,

      Lakini kwa WABAONGO huwezi wasikia pale wakisema wamepata PATINERS AU WAMEPATA SOKO wao wanazungumzia kuuza tu, KWA STAIL HII HATUWEZI KABISA,

      NA kabla hatujataka kwenda SUDANI ni lazima tufanye vizuri Ndani ya NCHI YETU, swali, JE WAFANYA BIASHARA WATANZANIA WANAFANYA IPASAVYO KWENYE SOKO LA NDANI? Kama ni yes wanaweza kwenda lakini kama ni NO hawawezi kwenda SUDANI,

      Na Internatinal Trade Unaanza kwanza na DOMESTIC market ikisha jaa ndo unazungumzia kwenda Nje ya Nchi, Leo hii unakuta tunaanza kuzalisha ASALI NA KUTAKA KUUZA MAREKANI WAKATI SOKO LA NDANI LENYEWE HATUJALIKAMATA,

      Mkuu, naandika kwa ajili ya paragraph yako ya kwanza na ya pili hapo juu. Malalamiko kuhusu SabaSaba 2012, nadhani ni muhumu tume ya maandalizi Uwanja wa sabasaba na wafanya biashara wa TZ, wajirudie na kuchuja hali yote na kujirekebisha. Ni aibu na inatuma meseji mbaya kwa wageni wetu. Kwenye trade shows biashara husaidiana kuhakikisha tafrija inaleta biashara. Na pia wasikose business card, lengo kuu la trade show ni networking na kujitambulisha kwa wateja.

      Kuhusu paragraph ya kwanza
      Wanaojifanya magwiji wa biashara ndio zao, Hata hivi juzi Europian Union imekubali kuzisaidia benki zilizopoteza hela. Ingawa hii bail out sio ya kawaida lakini misaada kutengenezewa mazingira mazuri ya biashara hufanyika mara kwa mara. Wanadai, Katika Free Enterprises system, kazi ya serikali ni kusaidia private sector na kutengeneza mazingira yakuhamasisha biashara (kuregulate). Tena nchi za ulaya, Japani na marekani ndio wanafanya sana hii kitu. Kampuni nyingi za China zinasaidiwa na serikali yao, hadi mikopo.

      Kuhusu Paragraph ya pili.
      Pointi nzuri, lakini China ilijiandaaa sana. Kwa mfano, kuna wakati USC (University of Southern California) ilipata kutaniwa na kuitwa University of Sino California. Kwa kua wachina walikua wengi yani majority. Na hio ni shule moja tu. Halafu ukipata nafasi soma kuhusu sheria walizowekewa wawekezaji huko China.

    13. #11
      Chimbuvu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 2,942
      Rep Power : 9111
      Likes Received
      1472
      Likes Given
      930

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Suala la msingi ktk kufanya biashara huko south sudan tokea watengane ni kuwa ar u tough?unaweza kumtisha mtu ama kumkomalia mpaka akupatie malipo yako?nna jamaa zangu wa uganda walikuwa wakifanya bznes huko sasa wamekuja kufanya tz wakisema watz ni wakarimu,xo kama unaenda kufanya ujijue kuwa ur tough enough n fearless

    14. #12
      robert josephat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 604
      Rep Power : 472
      Likes Received
      74
      Likes Given
      278

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Usalama ni jambo muhimu sana kibiashara wakati umefika kwa sudani-kusini kujizatiti katika hili kwanza alafu mambo mengine yatafuata likiwemo lile swala la kujiunga na eac.

    15. #13
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,194
      Rep Power : 5038
      Likes Received
      2435
      Likes Given
      2226

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Kama kuna mwenye websire mbalimbali za taarifa za Sudan ya Kusini tafadhali weka hapa. Asante...
      "To greed, all nature is insufficient"

    16. #14
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,194
      Rep Power : 5038
      Likes Received
      2435
      Likes Given
      2226

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      "To greed, all nature is insufficient"

    17. #15
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,969
      Rep Power : 3105
      Likes Received
      1354
      Likes Given
      5709

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Mtanzania tabia yake kukaa kwenye comfort zone siku zote. Ndio maana hata hii jumuia ya Afrika mashariki sisi haitatunufaisha sana kwa kuanzia labda hapo baadae tufaidi kwa kuchangamshwa na wakenya kutokana na zile mishe mishe zao. Kwa haraka haraka sioni mtanzania ambaye anaweza kwenda kwenye mazingira mapya kama huko akaanzisha mradi. Labda Bakhresa tu akafungue KIwanda cha unga.

    18. #16
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,194
      Rep Power : 5038
      Likes Received
      2435
      Likes Given
      2226

      Default Re: ‘Watanzania changamkieni biashara Sudani Kusini’

      Quote By Maundumula
      Mtanzania tabia yake kukaa kwenye comfort zone siku zote. Ndio maana hata hii jumuia ya Afrika mashariki sisi haitatunufaisha sana kwa kuanzia labda hapo baadae tufaidi kwa kuchangamshwa na wakenya kutokana na zile mishe mishe zao. Kwa haraka haraka sioni mtanzania ambaye anaweza kwenda kwenye mazingira mapya kama huko akaanzisha mradi. Labda Bakhresa tu akafungue KIwanda cha unga.
      Mkuu Bakhresa naye si mtanzania?
      Mkuu, na mitaji ya kuungaunga si rahisi kulianzisha katika nchi ambayo hata serikali yaek imegundua kuwa haiwezi kuanza kushughulikia maendeleo mpaka pale swala la amani litakapokuwa stable.
      Sasa hivi ninaoweza kuwashauri kulianzisha kisouth Sudan ni watu wanaotaka kufanya kazi za UN etc...
      "To greed, all nature is insufficient"

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...