Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Shule inauzwa bei powa! Shule inauzwa bei powa!

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 640
      Likes Received
      101
      Likes Given
      142

      Default Shule inauzwa bei powa! Shule inauzwa bei powa!

      Shule hii ipo Kisalawe mkoani Pwani, ina vibari vyote muhimu na ina eneo la ukubwa wa hekari 15, tayari madarasa 2 yamejengwa yapo katika hatua za mwisho kabisa . mnunuzi atamalizia ujenzi wa hayo madarasa na kuongeza mengine kama atakavyopenda. nyumba ya mlinzi imejengwa na imekamilika na mlinzi anaishi hapo. maji na umeme hayapo ila huduma hizi tayari zimefika eneo hilo. mfano eneo hili linapakana na Chuo Cha Maendeleo upande wa kulia na kushoto linapakana na Lutherani mission taasisi hizo 2 zina huduma ya maji na umeme. hivyo mnunuzi atavuta umeme kutoka sehemu mojawapo. Bei yake ni Tsh 75m. kwa aliyetayari tuwasiliane
      (0657 14 5555, 0755 099 291 na 0686 200 117. Akiri)
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7


    2. #2
      tedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,755
      Rep Power : 4694
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      913

      Default Re: Shule inauzwa bei powa! Shule inauzwa bei powa!

      Haya ndugu zangu Waislam chamgamkieni fursa hiyo msilalamike sana tunataka vitendo sio porojo, si mnaona Wakatoliki wenzenu wamenunua Arusha Modern kwa billion nne...
      GP, Akiri and Excellent like this.

    3. #3
      Amoeba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2009
      Posts : 3,330
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      438
      Likes Given
      725

      Default Re: Shule inauzwa bei powa! Shule inauzwa bei powa!

      Quote By Akiri View Post
      Shule hii ipo Kisalawe mkoani Pwani, ina vibari vyote muhimu na ina eneo la ukubwa wa hekari 15, tayari madarasa 2 yamejengwa yapo katika hatua za mwisho kabisa . mnunuzi atamalizia ujenzi wa hayo madarasa na kuongeza mengine kama atakavyopenda. nyumba ya mlinzi imejengwa na imekamilika na mlinzi anaishi hapo. maji na umeme hayapo ila huduma hizi tayari zimefika eneo hilo. mfano eneo hili linapakana na Chuo Cha Maendeleo upande wa kulia na kushoto linapakana na Lutherani mission taasisi hizo 2 zina huduma ya maji na umeme. hivyo mnunuzi atavuta umeme kutoka sehemu mojawapo. Bei yake ni Tsh 75m. kwa aliyetayari tuwasiliane
      (0657 14 5555, 0755 099 291 na 0686 200 117. Akiri)
      Bei nzuri tu sana!...Labda kama hayo madarasa ni madogo sana!
      Akiri likes this.
      If you love something, set it free; if it comes back.....its yours,...
      if it doesn't.......hunt it down and
      kill it!

    4. #4
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 640
      Likes Received
      101
      Likes Given
      142

      Default Re: Shule inauzwa bei powa! Shule inauzwa bei powa!

      Quote By Amoeba View Post
      Bei nzuri tu sana!...Labda kama hayo madarasa ni madogo sana!
      Hapana yamejengwa kulingana na ukubwa wa madarasa ya shule za kata
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    5. #5
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 640
      Likes Received
      101
      Likes Given
      142

      Default Re: Shule inauzwa bei powa! Shule inauzwa bei powa!

      Quote By tedo View Post
      Haya ndugu zangu Waislam chamgamkieni fursa hiyo msilalamike sana tunataka vitendo sio porojo, si mnaona Wakatoliki wenzenu wamenunua Arusha Modern kwa billion nne...
      Watu wa dini zote mnakaribishwa kununa , na hata msio na dini cha msingi mukinunua muhakikishe watoto wote bila ubaguzi wa dini wanapata elimu bora na si bora elimu.
      TZ biashara likes this.
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7


    6. #6
      leloch's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 317
      Rep Power : 458
      Likes Received
      40
      Likes Given
      0

      Default Re: Shule inauzwa bei powa! Shule inauzwa bei powa!

      wanafunzi wanauzwa, wanfunzi wanauzwa bei sawa na bure kla mmoja.. Lak.. Kumi bei ya jumla lak sita

    7. #7
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 640
      Likes Received
      101
      Likes Given
      142

      Default Re: Shule inauzwa bei powa! Shule inauzwa bei powa!

      Quote By leloch View Post
      wanafunzi wanauzwa, wanfunzi wanauzwa bei sawa na bure kla mmoja.. Lak.. Kumi bei ya jumla lak sita
      Sijakuelewa mkuu, hope ulikuwa unajaribu kuandika mashairi ya wimbo
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    8. #8
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 640
      Likes Received
      101
      Likes Given
      142

      Default Re: Shule inauzwa bei powa! Shule inauzwa bei powa!

      Shule inauzwa vibari vyote vimelipiwa na mmiliki njoo uiendeleze
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...