Ninauza viwanja vifuatavyo katika eneo la kibada huko kigamboni, ni km 16 kutoka feri hapa naweka ukubwa wa kiwanja na bei yake. vyote vimepimwa na vinaonekana kwenye ramani.
2000 sqm Tsh. 52,000,000
640 sqm T.sh 18,000,000
600 sqm T.sh 18,000,000
1050 sqm T.sh 25,000,000
1500 sqm T.sh 27,000,000
800sqm T. sh 45,000,000 kipo pembeni ya barabara
1400sqm T. sh 40,000,000
1445sqm T.sh 41,000,000
9000sqm T. sh 300,000,000 ni maalum kwa ujenzi wa shule au chuo
12500sqm sh 300,000,000 ni maalum kwa ujenzi wa kituo cha mafuta zipo eneo la gomvu ( eneo hili mmiliki wake amelipia vibari vyote kwa ajiri ya biashara ya mafuta pamoja na leseni anayo hivyo mnunuzi atapewa hati hizo ili aendeleze.
kwa anayetaka tuwasiliane 0755 099 291, 0657 14 55 55, na 0686 200 117.


Reply With Quote
Bajeti ya maskini tajiri haiwezi 


Follow Us Here