Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 635
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

      Ninauza viwanja vifuatavyo katika eneo la kibada huko kigamboni, ni km 16 kutoka feri hapa naweka ukubwa wa kiwanja na bei yake. vyote vimepimwa na vinaonekana kwenye ramani.
      2000 sqm Tsh. 52,000,000
      640 sqm T.sh 18,000,000
      600 sqm T.sh 18,000,000
      1050 sqm T.sh 25,000,000
      1500 sqm T.sh 27,000,000
      800sqm T. sh 45,000,000 kipo pembeni ya barabara
      1400sqm T. sh 40,000,000
      1445sqm T.sh 41,000,000
      9000sqm T. sh 300,000,000 ni maalum kwa ujenzi wa shule au chuo

      12500sqm sh 300,000,000 ni maalum kwa ujenzi wa kituo cha mafuta zipo eneo la gomvu ( eneo hili mmiliki wake amelipia vibari vyote kwa ajiri ya biashara ya mafuta pamoja na leseni anayo hivyo mnunuzi atapewa hati hizo ili aendeleze.

      kwa anayetaka tuwasiliane 0755 099 291, 0657 14 55 55, na 0686 200 117.
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,396
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

      Mmmh mkuu sio eneo la Bush hili alilo gawiwa huko Kigamboni?
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    4. #3
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 635
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

      Quote By Mende0
      Mmmh mkuu sio eneo la Bush hili alilo gawiwa huko Kigamboni?
      hapana mkuu, viko salama vimetolewa na manispaa ya Tmk
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    5. #4
      19don's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th May 2011
      Posts : 441
      Rep Power : 494
      Likes Received
      67
      Likes Given
      198

      Default Re: Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

      CHEZEA bush wewe

    6. #5
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,396
      Rep Power : 7348
      Likes Received
      1060
      Likes Given
      1088

      Default Re: Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

      Quote By Akiri
      Ninauza viwanja vifuatavyo katika eneo la kibada huko kigamboni, ni km 16 kutoka feri hapa naweka ukubwa wa kiwanja na bei yake. vyote vimepimwa na vinaonekana kwenye ramani.
      2000 sqm Tsh. 52,000,000
      640 sqm T.sh 18,000,000
      600 sqm T.sh 18,000,000
      1050 sqm T.sh 25,000,000
      1500 sqm T.sh 27,000,000
      800sqm T. sh 45,000,000 kipo pembeni ya barabara
      1400sqm T. sh 40,000,000
      1445sqm T.sh 41,000,000
      9000sqm T. sh 300,000,000 ni maalum kwa ujenzi wa shule au chuo

      12500sqm sh 300,000,000 ni maalum kwa ujenzi wa kituo cha mafuta zipo eneo la gomvu ( eneo hili mmiliki wake amelipia vibari vyote kwa ajiri ya biashara ya mafuta pamoja na leseni anayo hivyo mnunuzi atapewa hati hizo ili aendeleze.

      kwa anayetaka tuwasiliane 0755 099 291, 0657 14 55 55, na 0686 200 117.
      Mkuu...hii ni pesa ya bongo ama zimbabwe??
      pamoja na umuhimu wa ardhi nadhani tunakuza thamani yake kwa hapa kwetu...sasa hapo si bora ninunue flat ya NHC tu tena mjini kati?
      Maana hapo unaweza kuishia kununua plot na usipate hela ya kujenga ukabaki na mawazo yakakupunguzia siku za kuishi duniani...wenzet ulaya walishaacha
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,396
      Rep Power : 7348
      Likes Received
      1060
      Likes Given
      1088

      Default Re: Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

      Posho hizi za magumashi na mshahara wa kula three days ndo unaishia kujenga huku ukila chukuchuku na siku nyumba ikiisha wewe unahamia muhimbili afya imedorora ama kazini wanakufire maana ili hadi ujenge hapo uliponunua kwa mahela hayo lazima uibe au na akaunti uswis
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    9. #7
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 635
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

      Quote By Inkoskaz
      Mkuu...hii ni pesa ya bongo ama zimbabwe??
      pamoja na umuhimu wa ardhi nadhani tunakuza thamani yake kwa hapa kwetu...sasa hapo si bora ninunue flat ya NHC tu tena mjini kati?
      Maana hapo unaweza kuishia kununua plot na usipate hela ya kujenga ukabaki na mawazo yakakupunguzia siku za kuishi duniani...wenzet ulaya walishaacha
      We unaona ni hera ya nchi gani? na kama we huna hera wenzako wanazo , ulaya wameacha so what? hii ni biashara ni ya hiari, mbona wenzako wanapiga cm na mmoja kanunua. kama unaona mada haikuhusu pita bila kuchangia
      Inkoskaz likes this.
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    10. #8
      bidada's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Location : Mpunguti
      Posts : 105
      Rep Power : 392
      Likes Received
      28
      Likes Given
      32

      Default Re: Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

      Quote By Akiri
      We unaona ni hera ya nchi gani? na kama we huna hera wenzako wanazo , ulaya wameacha so what? hii ni biashara ni ya hiari, mbona wenzako wanapiga cm na mmoja kanunua. kama unaona mada haikuhusu pita bila kuchangia
      Mkuu punguza hasira, kwenye biashara kuna hitaji busara..........kumbuka kuna wateja wa aina mbalimbali na wenye tabia mbalimbali jifunze jinsi ya ku deal nao ili usipoteze wateja wengine.
      Inkoskaz likes this.

    11. #9
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 635
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

      Quote By bidada
      Mkuu punguza hasira, kwenye biashara kuna hitaji busara..........kumbuka kuna wateja wa aina mbalimbali na wenye tabia mbalimbali jifunze jinsi ya ku deal nao ili usipoteze wateja wengine.
      Asante kwa ushauri na samahani , ila mkuu kuna watu humu wanaudhi kazi yao ni kuponda tu, kwelii nimekosea hatatokea tena
      bidada and TZ biashara like this.
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    12. #10
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 635
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

      Quote By Inkoskaz
      Posho hizi za magumashi na mshahara wa kula three days ndo unaishia kujenga huku ukila chukuchuku na siku nyumba ikiisha wewe unahamia muhimbili afya imedorora ama kazini wanakufire maana ili hadi ujenge hapo uliponunua kwa mahela hayo lazima uibe au na akaunti uswis
      hamna kiongozi kila kitu ni mipango , ni kweli unaweza nunua flat za nssf lakini kuna wengine hawataki nyumba za kushea na wengine wanataka za kwao wenyewe, lakini pia ni vizuri tukaacha uonga aridhi ni asset nzuri sana viwanja kama hivi ambavyo vimepimwa huwa havina hasara kamwe. unaweza nunua na kisha ukakijengea ukuta ukaenda zako hata ukakiacha miaka 15 au zaidi . na hakika unaweza uza bei . binafsi nilinununa eneo miaka 10 iliyopita kwa 17m hapo kinondoni mwezi huu nimeuza 130m. usiongope kuwekeza kwenye aridhi. inalipa.
      Inkoskaz likes this.
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    13. #11
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,396
      Rep Power : 7348
      Likes Received
      1060
      Likes Given
      1088

      Default Re: Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

      Quote By Akiri
      hamna kiongozi kila kitu ni mipango , ni kweli unaweza nunua flat za nssf lakini kuna wengine hawataki nyumba za kushea na wengine wanataka za kwao wenyewe, lakini pia ni vizuri tukaacha uonga aridhi ni asset nzuri sana viwanja kama hivi ambavyo vimepimwa huwa havina hasara kamwe. unaweza nunua na kisha ukakijengea ukuta ukaenda zako hata ukakiacha miaka 15 au zaidi . na hakika unaweza uza bei . binafsi nilinununa eneo miaka 10 iliyopita kwa 17m hapo kinondoni mwezi huu nimeuza 130m. usiongope kuwekeza kwenye aridhi. inalipa.
      Nakubaliana nawe ila nazungumzia uhasia wa maisha ya tz...hata nikienda benki hiyo pesa sikopeshwi....labda kimipango kama usemavyo lakini si kihalali.hizo 300m nazionaga benki tu kwa mateller
      Akiri likes this.
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    14. #12
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,396
      Rep Power : 7348
      Likes Received
      1060
      Likes Given
      1088

      Default Re: Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

      Quote By Akiri
      We unaona ni hera ya nchi gani? na kama we huna hera wenzako wanazo , ulaya wameacha so what? hii ni biashara ni ya hiari, mbona wenzako wanapiga cm na mmoja kanunua. kama unaona mada haikuhusu pita bila kuchangia
      umesomeka mkuu
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    15. #13
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 635
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Nauza viwanja vilivyopo kigamboni eneo la kibada

      Quote By Inkoskaz
      umesomeka mkuu
      Pamoja sana mkuu
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...