Hello wanaJF, heshima kwenu
Kama una swali lolote kuhusu huduma za ATM za umojaswitch tuulize kwenye twitter uswegelm au @Linassamson mara zote tumia hashtag #UmojaSwitch
- tuambie kuhusu experience yako ya ATM za umoja
- Tupe mapendekezo ya maeneo gani ungependa tuboreshe.
- tuulize kama uko na swali lolote kuhusu ATM za Umoja.
- Tufikie wakati wowote utapohitaji kufanya hivyo kuhusu huduma zetu za ATM

Reply With Quote

"It takes two to make a quarrel and the one in the wrong side does the most talking"
Follow Us Here