Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: ATM za UmojaSwitch

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 47
    1. #1
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default ATM za UmojaSwitch

      Hello wanaJF, heshima kwenu

      Kama una swali lolote kuhusu huduma za ATM za umojaswitch tuulize kwenye twitter uswegelm au @Linassamson mara zote tumia hashtag #UmojaSwitch


      1. tuambie kuhusu experience yako ya ATM za umoja
      2. Tupe mapendekezo ya maeneo gani ungependa tuboreshe.
      3. tuulize kama uko na swali lolote kuhusu ATM za Umoja.
      4. Tufikie wakati wowote utapohitaji kufanya hivyo kuhusu huduma zetu za ATM
      Last edited by Uswe; 20th June 2012 at 23:24.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    2. Miaka 50

    3. #2
      Tripo9's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2009
      Posts : 1,623
      Rep Power : 818
      Likes Received
      255
      Likes Given
      459

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Quote By Uswe
      Hello wanaJF, heshima kwenu

      Kama una swali lolote kuhusu huduma za ATM za umojaswitch tuulize kwenye twitter uswegelm au @Linassamson mara zote tumia hashtag #UmojaSwitch


      1. tuambie kuhusu experience yako ya ATM za umoja
      2. Tupe mapendekezo ya maeneo gani ungependa tuboreshe.
      3. tuulize kama uko na swali lolote kuhusu ATM za Umoja.
      4. Tufikie wakati wowote utapohitaji kufanya hivyo kuhusu huduma zetu za ATM
      Wewe/ninyi ni kama nani hapa!
      "Smile though your heart is aching"...Me says

    4. #3
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Quote By Tripo9
      Wewe/ninyi ni kama nani hapa!
      Sisi UmojaSwitch, mtandao unaomilikiwa na mabenki, ambapo kwa pamoja (haya mabenki) wanamiliki ATM zilizoenea nchi nzima, naamini umeshawahi kuona ATM zetu.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    5. #4
      mandieta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Posts : 2,841
      Rep Power : 911
      Likes Received
      293
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Uswe
      Sisi UmojaSwitch, mtandao unaomilikiwa na mabenki, ambapo kwa pamoja (haya mabenki) wanamiliki ATM zilizoenea nchi nzima, naamini umeshawahi kuona ATM zetu.
      Nina wasiwasi na wewe,Ebu funguka zaidi na ikiwezekana weka na some more informations ili watu wasikutilie shaka,otherwise u must be nigerian swindler/trickster!

    6. #5
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Quote By spika
      Nina wasiwasi na wewe,Ebu funguka zaidi na ikiwezekana weka na some more informations ili watu wasikutilie shaka,otherwise u must be nigerian swindler/trickster!

      kitu gani specific ungependa nifunguke. ukisoma maelezo unaona ninakaribisha maoni na ninasema tuko tayari kutoa maelezo kama wateja wetu wanayahitaji, kama mimi ndio natoa taarifa zetu na sio nakuomba wewe unipe taarifa zako ni vipi utapeliwe?

      katika hayo maelezo yangu hakuna namna mtu anaweza kutapeliwa, tunajaribu tu kuwa karibu na wateja wetu, sio tu humu lakini ktk twitter na soon katika facebook, kwenye official website yetu ambayo currently na vyombo vingine vya habari.

      lengo letu ni wateja wa UmojaSwitch waweze kupata huduma na habari kwa urahisi.

      Kitu gani specific kwa mfano ungependa nifunguke au kinakupa wasiwasi?


      Last edited by Uswe; 22nd June 2012 at 06:19.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Tripo9's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2009
      Posts : 1,623
      Rep Power : 818
      Likes Received
      255
      Likes Given
      459

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Quote By Uswe
      Sisi UmojaSwitch, mtandao unaomilikiwa na mabenki, ambapo kwa pamoja (haya mabenki) wanamiliki ATM zilizoenea nchi nzima, naamini umeshawahi kuona ATM zetu.
      And I have 1
      "Smile though your heart is aching"...Me says

    9. #7
      Tripo9's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2009
      Posts : 1,623
      Rep Power : 818
      Likes Received
      255
      Likes Given
      459

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Quote By Uswe
      Hello wanaJF, heshima kwenu

      Kama una swali lolote kuhusu huduma za ATM za umojaswitch tuulize kwenye twitter uswegelm au @Linassamson mara zote tumia hashtag #UmojaSwitch


      1. tuambie kuhusu experience yako ya ATM za umoja
      2. Tupe mapendekezo ya maeneo gani ungependa tuboreshe.
      3. tuulize kama uko na swali lolote kuhusu ATM za Umoja.
      4. Tufikie wakati wowote utapohitaji kufanya hivyo kuhusu huduma zetu za ATM
      "Your financial institution is unavailable" What the ef does this msg mean?
      "Smile though your heart is aching"...Me says

    10. #8
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Quote By Tripo9
      "Your financial institution is unavailable" What the ef does this msg mean?
      Tripo,


      1. Asante kwa kufunguka, nitakujibu hili na pia tutaweka maswali ninayopata hapa kwenye FQA (Frequent Asked Questions) kwenye website yetu.
      2. Hiyo msg inatokea wakati server zinazoendesha ATM zinashindwa kuona server ya benki yako, taarifa za mteja zinakaa kwenye benki yako, unapoingiza kadi server ya ATM inawasiliana na server ya benki kupata kupata taarifa zako mfano balance ya account.

        Inapotokea benki yako, kwa sababu zozote, hawapo hewani, labda wanafanya matengenezo, au wana-run COB (wanafunga siku), basi utapata hiyo msg.

        ziko njia nyingine za kutatua hilo tatizo, benki nyingi zinatumia lakini baadhi ya benki hazifanyi kwa sababu report zinawaambia si mara nyingi watu wanashindwa kupata huduma kwa sababu hii, lakini kama itakua inaleta usumbufu sana tofauti na hizi benki zimekua zikiamini, (ambapo watu wa kutumbia ni ninyi wateja), basi UmojaSwitch itaongea na benki husika kuhakikisha wote wanadeploy stand-in.


      Nimejibu swali lako tripo?


      Tripo9 likes this.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    11. #9
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Quote By Tripo9
      And I have 1
      vizuri, so utapotaka kujua kitu chochote wakati wowote, tupate kwenye hizo twitter account mbili, remember hashtag #UmojaSwitch au kwenye facebook page, sasa hivi huduma kwa wateja ziko kwa kila benki, wakati tunaanza mwaka 2007 tulikua benki 6 sasa hivi benki ziko 23, sasa tunalazimika kufikiri tofauti, ndio maana tunafunguka zaidi hata kwenye mitandao ya kijamii na pia Plans are underway to have centralized call centre.

      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    12. #10
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Usisite kuwasiliana nasi ukitakakufanya hivyo
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    13. #11
      DullyJr's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th April 2011
      Location : Mbeya
      Posts : 200
      Rep Power : 0
      Likes Received
      24
      Likes Given
      3

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Kwanini ATM zenu zinatoa ela chafu sana?kuna siku nilitoa pesa zilikuwa chakavu kupitiliza na baadhi zilikuwa zimelika kama zimeliwa na panya?

    14. #12
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Quote By DullyJr
      Kwanini ATM zenu zinatoa ela chafu sana?kuna siku nilitoa pesa zilikuwa chakavu kupitiliza na baadhi zilikuwa zimelika kama zimeliwa na panya?
      Hello Dully,

      Pole kama umewahi kukutana na hilo tatizo, kuna wakati haikua kati ya vitu tunavyovifatilia kwa karibu, lakini tukagundua kuna tatizo kwenye ubora wa noti, moja kati ya vitu tunaviwekea mkazo sana sasa hivi ni ubora wa noti zinazowekwa kwenye machine.

      Lakini naomba ieleweke kwamba pamoja na kwamba UmojaSwitch inasimamia uendeshwaji wa ATM na ubora wa huduma, tunategemea sana taarifa kutoka kwa wateja wetu ili kuboresha huduma.

      kama utapata tatizo lolote, ikiwa ni pamoja na noti mbovu, tafadhali wasiliana nasi kupitia hizo twitter account zetu, au kupitia email address yetu au kupitia simu nambari 022-2775371 tuambie ni ATM gani kwa mfano kuna pesa mbovu sisi tutawasiliana na mhusika anayehudumia hiyo ATM kwa ajili ya kutatua hilo tatizo
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    15. #13
      Lidaku's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 71
      Rep Power : 365
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By DullyJr
      Kwanini ATM zenu zinatoa ela chafu sana?kuna siku nilitoa pesa zilikuwa chakavu kupitiliza na baadhi zilikuwa zimelika kama zimeliwa na panya?
      hili ni kweli kabisa,mimi nilishakutana nalo kwenye ATM ya pale manzese darajani karibu na ofic ya tigo
      Uswe likes this.

    16. #14
      Lidaku's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 71
      Rep Power : 365
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Nilitaka kujua viwango vya makato ambavyo mteja anakatwa pindi kuchukua pesa tafadhari

    17. #15
      Mwenzetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2010
      Location : Hapa na Pale
      Posts : 410
      Rep Power : 510
      Likes Received
      41
      Likes Given
      87

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Quote By Uswe
      Hello wanaJF, heshima kwenu

      Kama una swali lolote kuhusu huduma za ATM za umojaswitch tuulize kwenye twitter uswegelm au @Linassamson mara zote tumia hashtag #UmojaSwitch


      1. tuambie kuhusu experience yako ya ATM za umoja
      2. Tupe mapendekezo ya maeneo gani ungependa tuboreshe.
      3. tuulize kama uko na swali lolote kuhusu ATM za Umoja.
      4. Tufikie wakati wowote utapohitaji kufanya hivyo kuhusu huduma zetu za ATM

      ........Uswege,Mimi ni mtumiaji wa hizo ATM,tatizo hasa ilea pale bamaga petro station hakuna network kila Mara.Ile ya mwenge adjacent nanjeshini karibu na BRU haifanyi kazi kabisa.................naomba unifahamishe locations za ATM jijini Mwanza.
      mwenzetu
      Uswe likes this.
      "It takes two to make a quarrel and the one in the wrong side does the most talking"

    18. #16
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Quote By Lidaku
      Nilitaka kujua viwango vya makato ambavyo mteja anakatwa pindi kuchukua pesa tafadhari

      Unapotoa Pesa
      Unapotoa Pesa kwenye ATM unachajiwa - Tsh 550
      Unapohamisha pesa kwenye kwenye account yako mwenyewe kwenye benki hiyohiyo - Tsh 550

      Kuanzia mwezi wa nane kutakua na huduma nyingine
      Kuhamisha pesa kwenda Account kwa mtu mwingine, benki hiyohiyo au benki nyingine mwanachama wa umoja - Tsh 550
      Kumtumia mtu mwingine asiye na account wala kadi ya ATM (Cardless) - Tsh 550


      Nimejibu swali lako Lidaku?
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    19. #17
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Quote By Mwenzetu
      ........Uswege,Mimi ni mtumiaji wa hizo ATM,tatizo hasa ilea pale bamaga petro station hakuna network kila Mara.Ile ya mwenge adjacent nanjeshini karibu na BRU haifanyi kazi kabisa.................naomba unifahamishe locations za ATM jijini Mwanza.
      mwenzetu

      Asante Mwenzetu,

      1. Tumesikia kuhusu ATM ya Bamaga, Mwenge kama ni ile ilikua karibu maduka ya vifaa vya ujenzi, imehamishiwa sehemu nyingine, lakini kuna ATM nyingine pale kwenye branch ya AZANIA opposite na soko la matunda mwenge.

      2. ATM zilizoko Mwanza

        • Mwaloni kwenye branch ya AZANIA
        • Kenyatta Road kwenye branch ya CBA
        • Nyerere Road kwenye branch ya AZANIA
        • PPF Plaza
        • Liberty Street kwenye branch ya Twiga Bancorp


      Mwenzetu likes this.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    20. #18
      Mwenzetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2010
      Location : Hapa na Pale
      Posts : 410
      Rep Power : 510
      Likes Received
      41
      Likes Given
      87

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Quote By Uswe

      Asante Mwenzetu,

      1. Tumesikia kuhusu ATM ya Bamaga, Mwenge kama ni ile ilikua karibu maduka ya vifaa vya ujenzi, imehamishiwa sehemu nyingine, lakini kuna ATM nyingine pale kwenye branch ya AZANIA opposite na soko la matunda mwenge.

      2. ATM zilizoko Mwanza

        • Mwaloni kwenye branch ya AZANIA
        • Kenyatta Road kwenye branch ya CBA
        • Nyerere Road kwenye branch ya AZANIA
        • PPF Plaza
        • Liberty Street kwenye branch ya Twiga Bancorp


      ....................asante sana kwa taarifa,.................
      Mwenzetu
      "It takes two to make a quarrel and the one in the wrong side does the most talking"

    21. #19
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      Quote By Mwenzetu
      ....................asante sana kwa taarifa,.................
      Mwenzetu
      Karibu!
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    22. #20
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25470
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default Re: ATM za UmojaSwitch

      mkuu ni mara mbili nimeshapata tatizo la Pesa kugoma kutoka kwenye ATM Machine, nilipita kwenye ATM za PBZ hapa Malindi Zanzibar, siku ya kwanza rlinasa 10,000 baada ya wiki 3 ikanasa 40,000, ATM machine ile ile nikaingia mpaka ndani ya Bank sikupata maelezo ya kuridhisha nikawapigia Azania Bank Dar ikawa hakuna maelezo ya kutosha sikuridhika, kwanini ikitokea tatizo kama hii hamuwezi kulishughulikia? Mbona CRDB nilipata tatizo nilipata huduma within 10 Minutes? Inabidi muangalie hayo mabenki mnayoshirikiana nao sio wastaarabu

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...