Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Natafuta mtu au taasisi ya kuingia nayo ubia(joint venture) katika ujenzi wa apartment

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 636
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Natafuta mtu au taasisi ya kuingia nayo ubia(joint venture) katika ujenzi wa apartment

      Nina eneo kubwa zaidi ya nusu heka hapa Upanga Dar - Es - Salaam,eneo ni zuri kwa ajiri ya kitega uchumi , kama apartment n.k , eneo lipo kiharali na kila nyaraka muhimu ipo. eneo limezungushiwa ukuta na ndani lina nyumba moja.ni karibu na mjini na linafikika kwa urahisi. kwa aliyetayari tuwasiliane 0657 145555, [email protected]
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    2. Miaka 50

    3. #2
      Ndinani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Posts : 2,950
      Rep Power : 1532
      Likes Received
      745
      Likes Given
      237

      Default Re: Natafuta mtu au taasisi ya kuingia nayo ubia(joint venture) katika ujenzi wa apartment

      Jaribu kuzungumza na National Housing mbona nasikia wanaingia ubia kujenga nyumba na watu au wanafanya hivyo na wahindi tu?

    4. #3
      TZ biashara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 513
      Rep Power : 532
      Likes Received
      98
      Likes Given
      224

      Default Re: Natafuta mtu au taasisi ya kuingia nayo ubia(joint venture) katika ujenzi wa apartment

      Quote By Ndinani
      Jaribu kuzungumza na National Housing mbona nasikia wanaingia ubia kujenga nyumba na watu au wanafanya hivyo na wahindi tu?
      Unampa Idea halafu hapohapo unamrudisha nyuma kwa kuhisi!!! it's a lack of confidence.
      Waswahili wanasema penye nia pana njia,sidhani kama NH wanabagua kwa rangi gani isipokuwa nadhani hutegemea uchumi wako wa kiasi gani pengine huendana na asilimia ngapi ya ubia unahitajika.Ukishakuwa na dhana kichwani mwako basi huwezi kujifanikisha lolote ktk dunia hii,tumia akili yako jenga imani yako na kuwa positive wakati wote u can do it.
      Silicon Valley and webondo like this.

    5. #4
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 636
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default

      Quote By Ndinani
      Jaribu kuzungumza na National Housing mbona nasikia wanaingia ubia kujenga nyumba na watu au wanafanya hivyo na wahindi tu?
      nashukuru nitaenda kuwaona.

    6. #5
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 636
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Natafuta mtu au taasisi ya kuingia nayo ubia(joint venture) katika ujenzi wa apartment

      Jamani bado sijapata mdau wa kufanya naye ubia, sio lazima iwe taasisi hata mtu binafsi anakaribishwa
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7


    7. #6
      TZ biashara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 513
      Rep Power : 532
      Likes Received
      98
      Likes Given
      224

      Default Re: Natafuta mtu au taasisi ya kuingia nayo ubia(joint venture) katika ujenzi wa apartment

      Quote By Akiri
      Jamani bado sijapata mdau wa kufanya naye ubia, sio lazima iwe taasisi hata mtu binafsi anakaribishwa
      Akiri hebu ifafanue zaidi hii ishu ipo vipi haswa.

      Je hiyo nyumba au ardhi ipo kwa jina la nani?
      Na ubia wenyewe upo vipi ni 50% au ni ngapi?
      Je upo tayari kuandikishana mahakamani?
      Na je ubia wenyewe ni kwenye ujenzi tu au ni moja ya kumuuzia na nusu au robo kiwanja?
      Nadhani watu wengi wanaweza kupata jibu la haraka kwasababu wengine ni wavivu au hawapendi kumtafuta mtu na pengine wanauwezo wa kipesa.

      Labda majibu yanaweza kumuweka mtu sawa kwa alie na uwezo wa kuin-vesti,
      Wapo wanaopenda kuona na kusikia lakini wapo wanaojifanya vipofu na viziwi

    8. #7
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 636
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Natafuta mtu au taasisi ya kuingia nayo ubia(joint venture) katika ujenzi wa apartment

      Quote By TZ biashara
      Akiri hebu ifafanue zaidi hii ishu ipo vipi haswa.

      Je hiyo nyumba au ardhi ipo kwa jina la nani?
      Na ubia wenyewe upo vipi ni 50% au ni ngapi?
      Je upo tayari kuandikishana mahakamani?
      Na je ubia wenyewe ni kwenye ujenzi tu au ni moja ya kumuuzia na nusu au robo kiwanja?
      Nadhani watu wengi wanaweza kupata jibu la haraka kwasababu wengine ni wavivu au hawapendi kumtafuta mtu na pengine wanauwezo wa kipesa.

      Labda majibu yanaweza kumuweka mtu sawa kwa alie na uwezo wa kuin-vesti,
      Hii aridhi ipo kwa jina la mmiliki wa eneo ambaye yupo hai, na ndiye aliyenipa kazi ya kumtafutia mbia, yeye anatoa yeye anachangia arithi tu, ( ni jambo ambalo kwa sasa nanafanyika sana hasa maeneo ya kariakoo ambapo kuna mtu anamiliki arithi lakini hana pesa ya kujenga kitega uchumi na wala hataki kuuza eneo lake. na wakati huo kuna mtu ana pesa na kuna eneo karipenda lkn wenye eneo hawauzi sasa wanakubaliana kisheria huyu anatoa arithi na huyu anatoa pesa na kufanikisha ujenzi kwa makubaliano ya kisheria inaweza kuwa miaka 10, 50 , ....)

      Mwenye arithi yuko tayari kuandikisha mahari popote ambapo mbia ataona panafaa, ( kwa uzoefu wangu huwa inakuwa kila upande unakuja na mwanasheria wake kisha wanakubaliana na kuandika mkataba)

      Huu ubia sio kwenye ujenzi tu, kwa baadhi ya sehemu nilizoona huwa wanakubaliana mfn unaweza jenga majengo 2 makubwa kwenye hiyo arithi na nyumba ikikamilika unaweza wapa sehemu ya nyumba wale wenye arithi,

      hapana arithi hii haiuzwi ni kwa ubia tu na hakuna hila yoyote iliyofichika.

      Asante na karibu tena
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    9. #8
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Natafuta mtu au taasisi ya kuingia nayo ubia(joint venture) katika ujenzi wa apartment

      Mpango ukishakamilika usinisahau japo kunipa chumba kimoja.

    10. #9
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 636
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default Re: Natafuta mtu au taasisi ya kuingia nayo ubia(joint venture) katika ujenzi wa apartment

      Quote By webondo
      Mpango ukishakamilika usinisahau japo kunipa chumba kimoja.
      powa nitakutafutia kageto saaafiiiii. hutalipa k2 kwa miezi 0, Asante
      Wale wanataja magari na wale wanataja farasi , bali mimi nitalitaja jina la Bwana , Mwamba wangu Tegemeo langu. Zab 20: 7

    11. #10
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Natafuta mtu au taasisi ya kuingia nayo ubia(joint venture) katika ujenzi wa apartment

      Quote By Akiri
      powa nitakutafutia kageto saaafiiiii. hutalipa k2 kwa miezi 0, Asante
      Ovyoooo!

    12. #11
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Natafuta mtu au taasisi ya kuingia nayo ubia(joint venture) katika ujenzi wa apartment

      Quote By Ndinani
      Jaribu kuzungumza na National Housing mbona nasikia wanaingia ubia kujenga nyumba na watu au wanafanya hivyo na wahindi tu?
      Wao wanaingia ubia na wanaotaka kujenga sio kujengewa.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...