Nauza
digital camera aina YASHIKA Lens yake haitoki nje kama digital camera
nyingine ipo tu flati ni nzima kabisa Nimeitumia kidogo niliinunua laki
1 na nusu kwa anayehitaji hata kwa laki 1 nitampa nina shida na hela. Inatumia memory card ila ctaiuza na memory

Reply With Quote
Follow Us Here