Habari magreat thinkers! Jamani wakuu ninatafuta laptop used kwa ajili ya matumiz madogo madogo 2, nina Tsh 300,000/= cash, so kwa anayeuza naomba anijuze, but isiwe mbovu mbovu, nipo serious jamani.
Habari magreat thinkers! Jamani wakuu ninatafuta laptop used kwa ajili ya matumiz madogo madogo 2, nina Tsh 300,000/= cash, so kwa anayeuza naomba anijuze, but isiwe mbovu mbovu, nipo serious jamani.
mie ninayo mpya , imetumika miezi kidogo tu, bado ina shine kinoma,ina run win 7, naiuza kwa vile ninazo mbili. ila chini ya laki nne siuzi. kama uko serious jivute kidogo
Praise the LORD, O my soul; and all that is within me, bless His holy name!
nina toshiba 120gb hdd 1gb ram na siemens
fugitsu 80gb hdd 3gb ram @ 450000. Sumsung rc
512 750 gb hdd 4gb ram i7 850000 na hp mini
haikai na umeme ni 80 gb hdd 1gb ram utaipata
kwa 300000
Follow Us Here