Tupo hapa kwenye Facebook, kwa waliosoma Songea Boys Sec Schoool ( wa Luila )
Log In | Facebook
![]()
Tupo hapa kwenye Facebook, kwa waliosoma Songea Boys Sec Schoool ( wa Luila )
Log In | Facebook
![]()
Last edited by ngoshwe; 28th October 2011 at 13:53.
"Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.
Nilikuwepo pale 2002-2005 o'level,Mtaliban na Conja ndo walikuwa role model wangu teh teh
mmmmm....... 2000-2002
haaaa, kuna siku MAPS aliibuka saa nane ya usiku pale UHURU 2 huku yuko tungi..... aliaamsha wanafunzi wote.....mimi nilikuwa bado nimelala kile kitanda cha minyonyororo nikiingia kinakuwa level....hakuniona!!! kuja kushituka anamwaga mikwara...loooooo!!!!!!!
Maisha Ni Lazima Yaendelee, iwe kwa mapanga, sulululu, visu....
Follow Us Here