KAMA kichwa cha habari kinavyosema hapo juu...kiwe ndani ya mji au nje kiduchu ya mji
habari ndo hiyo
KAMA kichwa cha habari kinavyosema hapo juu...kiwe ndani ya mji au nje kiduchu ya mji
habari ndo hiyo
kilichopiwa au ambacho hakijapimwa?
just inbox me your contact kuna mtu atakutafuta muwasiliane..kiwanja kiko maeneo ya nyakato hakijapimwa bado ila nadhani jiji watakwenda kupima siku si nyingi bei 2.5 Mill
jamii,hivyo vinavotaka kupimwa si tayari viko kwenye mpango tayari? sasa mtu akinunua wakati vimewekwa kwenye mpango si ndo mwanzo wa kuuziwa kiwanja ambacho kimeshakuwa allocated tayari halafu ukaja kuingia kwenye ugomvi na aliyepewa na mamlaka, huku yule aliyekuuzia kienyeji ameshatokomea?
Nahitaji kile ambacho ni magumashi free.
Nime ku pm hata hivyo mkuu.
Nitafute kwa Namba hii 0717-706259.kiwanja kipo Kiloleni.kina umeme na maji hichi ni uhakika.
Weka bei kiloleni tukutafute.
Follow Us Here