Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 44
    1. #1
      Ikwanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Posts : 553
      Rep Power : 508
      Likes Received
      106
      Likes Given
      48

      Thumbs down JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Wana JF, nimesikia sasa hivi kutoka TBC taifa kuwa Kikwete aka Vasco Dagama kuwa hajawahi kusema popote kuwa serikali yake itajenga barabara ya rami kuunganisha Arusha na Mara kupitia mbuga ya Serengeti. Amesema hayo akimwambia Zuma kuwa yeye ni mtu wa mazingara.

      Mimi ninvyokumbuka ni kuwa alisema tajenga na alisema hata watu wasemaje yeye anawajali wananchi wake. wenye video ya hayo mambo tujuzeni tafadhali. nimesikitika sana kwa rais wetu kuwa mwongo. hii ni janja ya kuomba misaada.

      naomba mwogozo wenu.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,025
      Rep Power : 2563
      Likes Received
      788
      Likes Given
      28

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Huyu jamaa ni mwepesi wa kusahau maana atasema hata zile hotels alizo jenga kule mbugani hakuwahi kumpeleka Lowasa Bungeni kutetea ujinga ule au leo kasahau .

    4. #3
      Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 1,825
      Rep Power : 800
      Likes Received
      455
      Likes Given
      40

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Kaaz kweli kweli!

    5. #4
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,117
      Rep Power : 5479
      Likes Received
      3525
      Likes Given
      1949

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Kama huwezi kufikiri utakuwaje na kumbu kumbu?
      TIMING, Edson, MANI and 2 others like this.

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    6. #5
      muya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : TABATA DSM
      Posts : 53
      Rep Power : 508
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      hiyo karibuni ni lini katika kipindi gani?????????? Isije ikawa majungu

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,238
      Rep Power : 5109
      Likes Received
      2789
      Likes Given
      232

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      ukiwa na mtu kama huyu usifanye mambo aliokuagiza maana utaumbuka..

      Mungu Ibariki Tanzani
      Mungu mnusuru Rais..
      Reply With Quote

    9. #7
      Mzalendo80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Magogoni, Tanganyika
      Posts : 2,270
      Rep Power : 958
      Likes Received
      815
      Likes Given
      1589

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Mbona mtu wenye ni Bogus, hajui chochote hata Matatizo ya nchi hajui, hajui kama Nchi ipo gizani anasikia, hajui kuwa kuna mgao anaambiwa, hajui kama nchi imemshinda, bali anasikia. Hajui kwanini Tanzania ni maskini, anasikia watu wakisema, Hajui kama nchi imeja rushwa, anasikia tu. Kila Kitu hajui na hajui chochote zaidi ya kusikia kwa watu.

      Hata Watanzania hawajui kwanini Dowans imelipwa, Watanzania hawajui kwanini walimchagua Kikwete 2005.
      kiloni, Unstoppable and gambatoto like this.
      The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.

    10. #8
      POSHO MAVYEO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2011
      Posts : 288
      Rep Power : 461
      Likes Received
      66
      Likes Given
      88

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      another kikwete record duh, hii mimi nilimsikia kwa masikio yangu wala sikuambiwa na mtu.

      nadhani kunatatizo kubwa up stair
      huyu jamaa aka check up stair kabla ajauza nchi bila kujua
      kiloni and Mzalendo80 like this.
      Tanzania ni nchi pekee kiongozi anaweza kuwa na vyeo saba na vyote akalipwa mafao ya kustaafu, mafao ya vyeo vyote mkapa kufa, na posho za kufa mtu,

    11. SMU
      #9
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,534
      Rep Power : 3811
      Likes Received
      1312
      Likes Given
      1916

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      "Mh Rais alikuwa anatania tu"!
      Consigliere likes this.
      "Rather than love, than money, than fame, give me truth" ----Thoreau

    12. #10
      Amigo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 147
      Rep Power : 549
      Likes Received
      1
      Likes Given
      4

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      ''Lairs should have good memories'' otherwise lazima wakubambe sasa huyo tunamuona coz ndio tabia yake, kwani aliwahaidi watanzania watakua na maisha bora lakini sasa hivi ni kila mtanzania na jiza.

    13. #11
      salisalum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2010
      Posts : 308
      Rep Power : 500
      Likes Received
      68
      Likes Given
      4

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Quote By Ikwanja
      Wana JF, nimesikia sasa hivi kutoka TBC taifa kuwa Kikwete aka Vasco Dagama kuwa hajawahi kusema popote kuwa serikali yake itajenga barabara ya rami kuunganisha Arusha na Mara kupitia mbuga ya Serengeti. Amesema hayo akimwambia Zuma kuwa yeye ni mtu wa mazingara.

      Mimi ninvyokumbuka ni kuwa alisema tajenga na alisema hata watu wasemaje yeye anawajali wananchi wake. wenye video ya hayo mambo tujuzeni tafadhali. nimesikitika sana kwa rais wetu kuwa mwongo. hii ni janja ya kuomba misaada.

      naomba mwogozo wenu.
      Kiswahili basi ndugu yangu; hebu angalia maneno hayo yenye rangi nyekundu!

    14. #12
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,345
      Rep Power : 2004
      Likes Received
      2124
      Likes Given
      7828

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Quote By Rev Fr Masanilo
      Kama huwezi kufikiri utakuwaje na kumbu kumbu?

      ha ha ha ha ha haa! na kama umezoea uongo hushindwi kuukana uongo wako wa kwanza.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    15. #13
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,345
      Rep Power : 2004
      Likes Received
      2124
      Likes Given
      7828

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Quote By SMU
      "Mh Rais alikuwa anatania tu"!
      maneno yake yalikuwa ya kimjini mjini zaidi.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    16. #14
      kiloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Posts : 580
      Rep Power : 555
      Likes Received
      68
      Likes Given
      113

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Quote By salisalum
      Kiswahili basi ndugu yangu; hebu angalia maneno hayo yenye rangi nyekundu!
      Umeelewa lakini, usileweshe mada kwa maswali yasiyo na msingi. Bora mawasiliano.

    17. #15
      Ndallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : LaRusa
      Posts : 4,146
      Rep Power : 6368
      Likes Received
      1489
      Likes Given
      423

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Hata kule Kigoma alishawaahidi kua mkoa wao ataugeuza na kua kama Dubai! Lakini alishakana na kusema hakusema bali ulimi hauna mfupa!
      '' Mtu ni Utu sio Kitu''

    18. #16
      Ikwanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Posts : 553
      Rep Power : 508
      Likes Received
      106
      Likes Given
      48

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Quote By salisalum
      Kiswahili basi ndugu yangu; hebu angalia maneno hayo yenye rangi nyekundu!
      wewe ulichoona ni hicho tu, lazima utakuwa na gamba

    19. #17
      Ikwanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Posts : 553
      Rep Power : 508
      Likes Received
      106
      Likes Given
      48

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      kwa taarifa zaidi hii ilikuwa katika taarifa ya habari ya saa saba leo mchana. na hiyo ni taarifa iliyotolewa na Salva aki quote mazungumzo ya kikwete na zuma

    20. #18
      AmaniGK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2008
      Location : MAHALI FLANI
      Posts : 827
      Rep Power : 746
      Likes Received
      64
      Likes Given
      150

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Quote By Rev Fr Masanilo
      Kama huwezi kufikiri utakuwaje na kumbu kumbu?
      Mkuu kwenye ile list ya Ahadi zake sabini na nyingi hii haipo?
      He who wants to keep his garden tidy doesn't reserve a plot for weeds

    21. #19
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,117
      Rep Power : 5479
      Likes Received
      3525
      Likes Given
      1949

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Quote By AmaniGK
      Mkuu kwenye ile list ya Ahadi zake sabini na nyingi hii haipo?
      Imo Kiongozi! Huyu jamaa huwa anasahau sana
      AmaniGK likes this.

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    22. #20
      Fabolous's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Posts : 454
      Rep Power : 530
      Likes Received
      66
      Likes Given
      25

      Default Re: JK: Sijawahi kusema serikali yangu itajenga Barabara kupitia Mbuga ya Serengeti

      Bado kidogo tu atasema hakuwahi kuahidi ''maisha bora kwa kila Mtanzania'' atasema watu tulimuelewa vibaya. Huyo ndio Vasco !
      Mzalendo80 likes this.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 6
      Last Post: 10th August 2011, 19:42
    2. Replies: 53
      Last Post: 14th January 2011, 18:10
    3. Replies: 14
      Last Post: 11th January 2011, 16:33
    4. Kwanini Serikali inajenga Airport kwenye Mbuga ya SERENGETI?
      By Dua in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 28
      Last Post: 22nd March 2007, 18:02

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...