Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr Magufuli & NSSF na ujenzi wa daraja la Kigamboni

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,636
      Rep Power : 10159
      Likes Received
      5646
      Likes Given
      12664

      Default Dr Magufuli & NSSF na ujenzi wa daraja la Kigamboni

      Dr Magufuli awataka NSSF kuanza ujenzi wa daraja la Kigamboni mwaka huu

      By admin– March 25, 2011Posted in: Habari Mchanganyiko


      Na Tiganya Vincent_MAELEZO-Dar es salam

      Serikali imeliagiza Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii(NSSF) kuanza ujenzi wa Daraja la Kigamboni ili kurahisisha usafiri kwa wakazi wa maeneo ya Kigamboni na jirani yake.

      Daraja hilo linatarajia kutumia zaidi ya shilingi bilioni 130 hadi litakapokamilika kwa ajili ya matumizi ,ambapo NSSF itatoa bilioni 100 na Serikali bilioni 30.

      Agizo hilo lilitolewa jana jijini Dar es salaam na Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli mara baada ya kutembelea eneo la Kurasini Vijibweni ambapo Daraja hilo linatarajiwa kujengwa.

      Alisema kuwa asilimia 60 ya fedha walizonazo NSSF ambazo ni sawa na bilioni 100 zinatosha kuanza ujenzi wa daraja hilo wakati Wizara ya Ujenzi inatafuta asilimia 40 sawa zaidi ya bilioni 30 zilizobaki ili kukamilisha ujenzi wa daraja zima.

      “Tumezungumza siku nyingi kuanza ujenzi wa Daraja la Kigamboni ifike wakati tuanze kwani Serikali haiwezi kukosa asilimia 40 ya fedha zinazohitajika kukamilisha ujenzi huo” alisema Magufuli.

      Alisema kuwa katika kipindi cha miaka mitatu ijayo Serikali itajitahidi kutafuta fedha ikiwemo kutenga katika bajeti ya Wizara ya Ujenzi ili kuhakikisha kuwa ujenzi wa Daraja hilo unakamilika kabla ya uongozi wa awamu ya nne haujamaliza muda wake.

      “NSSF nawaomba mjitahidi kukamilisha taratibu zote na kisha wiki ijayo (Ijumaa ) mtangaze zabuni ili ikiwezekana ujenzi uanze mara moja …ili likikamilika litusaidie katika kupunguza msongamano katikati ya Jiji kwani feli zitaanza kusafirisha abiria kwenda Tegeta na Bagamoyo badala ya kutumia barabara” alisistiza Dkt Magufuli.

      Alisema kuwa ki msingi NSSF kutokuwa na asilimia 100 za fedha zinazohitajika katika ujenzi wa daraja hilo hakuwezi kuwafanya wasianze mradi kwani katika mradi wowote mkandarasi anaanza kwa kulipwa fedha kiasi na kisha anaongezewa kulingana na anavyoondelea na mradi.

      Dkt. Magufuli alisema kuwa ujenzi wa Daraja la Kigamboni ni muhimu kwa kuwa eneo hilo linachukua wananchi wengi wanaofanyakazi katikati ya Jiji la Dar es salam halikadhalika kuna miradi mingi inayotarajiwa kuanzishwa ikiwemo ujenzi wa Kituo cha Mabasi yaendayo katika Mikoa ya Mtwara na Lindi na kuwepo kwa viwanja 10,000 vya NSSF.

      Kufuatia umuhimu wa Daraja hilo Waziri huyo aliwahakikishia viongozi waandamizi wa NSSF kuwa Serikali kupitia Wizara yake watachangaia asilimia 40 ya fedha zinazohitajika ili kukamilisha ujenzi wake.

      Alisema watatumia kipindi cha miaka mitatu kuhakikisha wanamaliza fedha hizo ambazo Serikali inapaswa kuchangia.

      Naye Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Crescentius Magori alisema kuwa NSSF hadi hivi sasa ina kiasi cha bilioni 100 kati ya bilioni 130 zinazohitajika ili kukamilisha ujenzi haraka.

      Alisema kuwa daraha hilo litakuwa na njia nne za magari na mbili kwa ajili ya watembea kwa miguu kupita.

      Hivyo Magoro amemuhakikishia Waziri huyo kuwa watajitahidi kutangaza zabuni wiki ijayo mara baada ya kuhakikishiwa kuwa Serikali itachangia asilimia 40 ya gharama za ujenzi wa daraja hilo.

      Daraja la kigamboni linatarajia kuchukua miaka mitatu hadi kukamilika pindi ujenzi wake utakapoanza.

      MWISHO
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,636
      Rep Power : 10159
      Likes Received
      5646
      Likes Given
      12664

      Default Re: Dr Magufuli awataka NSSF kuanza ujenzi wa daraja la Kigamboni mwaka huu

      Quote By Ivuga
      Dr Magufuli awataka NSSF kuanza ujenzi wa daraja la Kigamboni mwaka huu

      By admin– March 25, 2011Posted in: Habari Mchanganyiko


      Na Tiganya Vincent_MAELEZO-Dar es salam

      Serikali imeliagiza Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii(NSSF) kuanza ujenzi wa Daraja la Kigamboni ili kurahisisha usafiri kwa wakazi wa maeneo ya Kigamboni na jirani yake.

      Daraja hilo linatarajia kutumia zaidi ya shilingi bilioni 130 hadi litakapokamilika kwa ajili ya matumizi ,ambapo NSSF itatoa bilioni 100 na Serikali bilioni 30.

      Agizo hilo lilitolewa jana jijini Dar es salaam na Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli mara baada ya kutembelea eneo la Kurasini Vijibweni ambapo Daraja hilo linatarajiwa kujengwa.

      Alisema kuwa asilimia 60 ya fedha walizonazo NSSF ambazo ni sawa na bilioni 100 zinatosha kuanza ujenzi wa daraja hilo wakati Wizara ya Ujenzi inatafuta asilimia 40 sawa zaidi ya bilioni 30 zilizobaki ili kukamilisha ujenzi wa daraja zima.

      “Tumezungumza siku nyingi kuanza ujenzi wa Daraja la Kigamboni ifike wakati tuanze kwani Serikali haiwezi kukosa asilimia 40 ya fedha zinazohitajika kukamilisha ujenzi huo” alisema Magufuli.

      Alisema kuwa katika kipindi cha miaka mitatu ijayo Serikali itajitahidi kutafuta fedha ikiwemo kutenga katika bajeti ya Wizara ya Ujenzi ili kuhakikisha kuwa ujenzi wa Daraja hilo unakamilika kabla ya uongozi wa awamu ya nne haujamaliza muda wake.

      NSSF nawaomba mjitahidi kukamilisha taratibu zote na kisha wiki ijayo (Ijumaa ) mtangaze zabuni ili ikiwezekana ujenzi uanze mara moja …ili likikamilika litusaidie katika kupunguza msongamano katikati ya Jiji kwani feli zitaanza kusafirisha abiria kwenda Tegeta na Bagamoyo badala ya kutumia barabara” alisistiza Dkt Magufuli.

      Alisema kuwa ki msingi NSSF kutokuwa na asilimia 100 za fedha zinazohitajika katika ujenzi wa daraja hilo hakuwezi kuwafanya wasianze mradi kwani katika mradi wowote mkandarasi anaanza kwa kulipwa fedha kiasi na kisha anaongezewa kulingana na anavyoondelea na mradi.

      Dkt. Magufuli alisema kuwa ujenzi wa Daraja la Kigamboni ni muhimu kwa kuwa eneo hilo linachukua wananchi wengi wanaofanyakazi katikati ya Jiji la Dar es salam halikadhalika kuna miradi mingi inayotarajiwa kuanzishwa ikiwemo ujenzi wa Kituo cha Mabasi yaendayo katika Mikoa ya Mtwara na Lindi na kuwepo kwa viwanja 10,000 vya NSSF.

      Kufuatia umuhimu wa Daraja hilo Waziri huyo aliwahakikishia viongozi waandamizi wa NSSF kuwa Serikali kupitia Wizara yake watachangaia asilimia 40 ya fedha zinazohitajika ili kukamilisha ujenzi wake.

      Alisema watatumia kipindi cha miaka mitatu kuhakikisha wanamaliza fedha hizo ambazo Serikali inapaswa kuchangia.

      Naye Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Crescentius Magori alisema kuwa NSSF hadi hivi sasa ina kiasi cha bilioni 100 kati ya bilioni 130 zinazohitajika ili kukamilisha ujenzi haraka.

      Alisema kuwa daraha hilo litakuwa na njia nne za magari na mbili kwa ajili ya watembea kwa miguu kupita.

      Hivyo Magoro amemuhakikishia Waziri huyo kuwa watajitahidi kutangaza zabuni wiki ijayo mara baada ya kuhakikishiwa kuwa Serikali itachangia asilimia 40 ya gharama za ujenzi wa daraja hilo.

      Daraja la kigamboni linatarajia kuchukua miaka mitatu hadi kukamilika pindi ujenzi wake utakapoanza.

      MWISHO
      my take: Magufuli hizi zisije zikawa ni siasa tena na tunaomba haya uliyoyaongea yatendeke kwani tumechoka kusikia huu wimbo
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    4. #3
      pmwasyoke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,449
      Rep Power : 969
      Likes Received
      319
      Likes Given
      419

      Default Re: Dr Magufuli awataka NSSF kuanza ujenzi wa daraja la Kigamboni mwaka huu

      Quote By Ivuga
      my take: Magufuli hizi zisije zikawa ni siasa tena na tunaomba haya uliyoyaongea yatendeke kwani tumechoka kusikia huu wimbo

      Hivi kweli hili litafanyika kabla ya 2015? Yangu macho!

    5. #4
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,636
      Rep Power : 10159
      Likes Received
      5646
      Likes Given
      12664

      Default Re: Dr Magufuli awataka NSSF kuanza ujenzi wa daraja la Kigamboni mwaka huu

      Quote By pmwasyoke
      Hivi kweli hili litafanyika kabla ya 2015? Yangu macho!
      si ameenda hadi kurasini kukagua, ngoja tusikilize kam hiyo zabuni itaitngazwa next week
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    6. #5
      FUSO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 2,904
      Rep Power : 1024
      Likes Received
      750
      Likes Given
      330

      Default Re: Dr Magufuli & NSSF na ujenzi wa daraja la Kigamboni

      Binafsi mpaka nione wanaanza kupeleka vifaa vya ujenzi site otherwise sitaki kuisumbua akili yangu kuamini vitu visivyoaminika - hivi project ya Mji mpya wa Kigamoni nayo inaanza April Mosi 2011?

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Jikombe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th May 2010
      Posts : 130
      Rep Power : 484
      Likes Received
      12
      Likes Given
      6

      Default Re: Dr Magufuli & NSSF na ujenzi wa daraja la Kigamboni

      Daraja linawezekana. Muhimu utashi wa dhati.
      Kutokana na muda uliobaki ya 4yrs na umuhimu wa daraja,nashahuri NSSF pamoja na serikali watumie design and build tendering kwani itapunguza muda mwingi wa procurement.

    9. #7
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,416
      Rep Power : 1380
      Likes Received
      588
      Likes Given
      404

      Default Re: Dr Magufuli & NSSF na ujenzi wa daraja la Kigamboni

      Lini hii nchi itachwa kuendeshwa ki - Abunuasi?
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    10. #8
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,191
      Rep Power : 5099
      Likes Received
      2771
      Likes Given
      231

      Default Re: Dr Magufuli & NSSF na ujenzi wa daraja la Kigamboni

      mi naona hyo miaka 3 maana yake nin! Mpka kukamilika ndo itakuwa gia ya kuombea kura yaleyale ya machinga complex ndo yatajitokeza muda si mrefu

    11. #9
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,636
      Rep Power : 10159
      Likes Received
      5646
      Likes Given
      12664

      Default Re: Dr Magufuli & NSSF na ujenzi wa daraja la Kigamboni

      wakuu zabuni ishatangazwa?? au ulikuwa ni wimbo
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    12. #10
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,636
      Rep Power : 10159
      Likes Received
      5646
      Likes Given
      12664

      Default Re: Dr Magufuli & NSSF na ujenzi wa daraja la Kigamboni

      tanzaniaa
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    13. #11
      Nazjaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 2,865
      Rep Power : 1712
      Likes Received
      790
      Likes Given
      221

      Default

      Quote By Ivuga
      si ameenda hadi kurasini kukagua, ngoja tusikilize kam hiyo zabuni itaitngazwa next week
      Huko Kurasini kakagua nini wakati hamna kitu?

    Similar Topics

    1. NSSF & daraja la Kigamboni: Q&A
      By MrNSSF in forum Major Projects in Tanzania
      Replies: 36
      Last Post: 6th May 2013, 01:38
    2. Replies: 11
      Last Post: 9th June 2011, 09:03
    3. Ujenzi wa daraja la Kigamboni tumlaumu nani?
      By Nazjaz in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 30th April 2011, 07:57
    4. Dr Magufuli & NSSF na ujenzi wa daraja la Kigamboni
      By Saint Ivuga in forum Business & Economic Forum
      Replies: 10
      Last Post: 9th April 2011, 09:35
    5. Replies: 8
      Last Post: 25th March 2011, 23:48

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...