Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nawapenda rafiki zangu kuliko ndugu zangu.

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,136
      Rep Power : 24894
      Likes Received
      4159
      Likes Given
      584

      Default Nawapenda rafiki zangu kuliko ndugu zangu.

      Ndugu wengi ni watu wa lawama, hawana jema jamani. Hawawezi kukufanyia zuri na zuri utakalowafanyia wewe hawana shukrani nalo.
      Wengi ni wasiopenda kuona unafanikiwa hata sijui kwanini.
      Kuwasiliana au kuonana ni hadi kwenye matukio eg msiba au harusi.
      Wale waliofanikiwa huwa ni wenye kujisikia na wale wenye hali za chini hujiona dhaifu.
      Jamani mnafanyaje kukabiliana na ndugu wa aina hizo?

    2. Study Abroad

    3. #2
      Babuyao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2009
      Posts : 1,719
      Rep Power : 850
      Likes Received
      177
      Likes Given
      148

      Default Re: Nawapenda rafiki zangu kuliko ndugu zangu.

      Hongera. Ukipata rafiki wa kweli umepata tunu. Ndugu wengi kwa hakika wana mauzauza. Wana wivu, husuda, ukiwasaida whawaoni kipya kwani wanaona ni haki yao. Ndugu huumizana (rejea Abeli na Kaini; Yusufu na nduguze = wana wa Isaka, nk katika maandiko matakatifu) na kutendeana kila aina ya uovu.
      God writes straight with crooked lines.

    4. #3
      daughter's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd June 2009
      Posts : 1,243
      Rep Power : 752
      Likes Received
      667
      Likes Given
      307

      Default Re: Nawapenda rafiki zangu kuliko ndugu zangu.

      Kweli kabisa uyasemayo. Mi nimefika point ambayo nikiwa na inshu inanitatiza ushauri nitauomba kwa rafiki,ndugu nitamjulisha tu juu ya maamuzi yangu kama itabidi sana. Nashukuru Mungu nina rafiki ambao ni yaidi ya ndugu.

    5. #4
      Elia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2009
      Location : magogoni
      Posts : 3,173
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      484
      Likes Given
      823

      Default Re: Nawapenda rafiki zangu kuliko ndugu zangu.

      Hujatueleza ni ndugu wa vipi! Shangazi, mjomba binam, bibi au wakuzaliwa nao? sikatai kuna wanandugu hawafai. Lakini kumbuka ndugu hasa wa damu hata ukilost hawata kutupa lakini ni bahati sana kupata rafiki wa hivyo. Nina uzoefu na marafiki na ndugu walio fanya mambo ya ajabu na mazuri. Tueleze kategori ya ndugu unao maanisha

    6. #5
      Elia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2009
      Location : magogoni
      Posts : 3,173
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      484
      Likes Given
      823

      Default Re: Nawapenda rafiki zangu kuliko ndugu zangu.

      Quote By Husninyo
      Ndugu wengi ni watu wa lawama, hawana jema jamani. Hawawezi kukufanyia zuri na zuri utakalowafanyia wewe hawana shukrani nalo.
      Wengi ni wasiopenda kuona unafanikiwa hata sijui kwanini.
      Kuwasiliana au kuonana ni hadi kwenye matukio eg msiba au harusi.
      Wale waliofanikiwa huwa ni wenye kujisikia na wale wenye hali za chini hujiona dhaifu.
      Jamani mnafanyaje kukabiliana na ndugu wa aina hizo?
      Haya mambo hayana fomula YEYOTE AWEZA KUTOSA ndugu au rafiki

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mabel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2010
      Location : Ikunguigazi
      Posts : 852
      Rep Power : 616
      Likes Received
      25
      Likes Given
      11

      Default Re: Nawapenda rafiki zangu kuliko ndugu zangu.

      Quote By Husninyo
      Ndugu wengi ni watu wa lawama, hawana jema jamani. Hawawezi kukufanyia zuri na zuri utakalowafanyia wewe hawana shukrani nalo.
      Wengi ni wasiopenda kuona unafanikiwa hata sijui kwanini.
      Kuwasiliana au kuonana ni hadi kwenye matukio eg msiba au harusi.
      Wale waliofanikiwa huwa ni wenye kujisikia na wale wenye hali za chini hujiona dhaifu.
      Jamani mnafanyaje kukabiliana na ndugu wa aina hizo?
      Let me tell you one thing: Unawependa ndugu zako bali rafiki zako unawafurahia. Mungu ndio anatupenda sisi wanadamu, no matter tunamkosea vipi lakini upendo wake kwetu bad upo. Wengine tunafurahiana tu na si kupendana, unadai unampenda mkeo kwa sababu anakufurahia, anakupikia, anakuliwaza wakati wa huzuni, haya asipoyaonyesha upendo unaisha na unatafuta nyumba ndogo ili uyapate. Upendo hauna kikomo, sie twafurahiana na hatupendani!
      Aakulu taa siluka, aape taa tumbu(Time and the world moves on).[Ovambo proverb]

    9. #7
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,136
      Rep Power : 24894
      Likes Received
      4159
      Likes Given
      584

      Default

      Quote By Elia
      Hujatueleza ni ndugu wa vipi! Shangazi, mjomba binam, bibi au wakuzaliwa nao? sikatai kuna wanandugu hawafai. Lakini kumbuka ndugu hasa wa damu hata ukilost hawata kutupa lakini ni bahati sana kupata rafiki wa hivyo. Nina uzoefu na marafiki na ndugu walio fanya mambo ya ajabu na mazuri. Tueleze kategori ya ndugu unao maanisha
      ndugu wote ukiacha wa kuzaliwa nao tumbo moja.

    10. #8
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,136
      Rep Power : 24894
      Likes Received
      4159
      Likes Given
      584

      Default

      Quote By Mabel
      Let me tell you one thing: Unawependa ndugu zako bali rafiki zako unawafurahia. Mungu ndio anatupenda sisi wanadamu, no matter tunamkosea vipi lakini upendo wake kwetu bad upo. Wengine tunafurahiana tu na si kupendana, unadai unampenda mkeo kwa sababu anakufurahia, anakupikia, anakuliwaza wakati wa huzuni, haya asipoyaonyesha upendo unaisha na unatafuta nyumba ndogo ili uyapate. Upendo hauna kikomo, sie twafurahiana na hatupendani!
      mi nafikiri kupenda na kufurahia vinaendana pamoja.
      Hivi unaweza ukakifurahia kitu wakati hukipendi?
      Au unaweza ukakipenda kitu huku haukifurahii?
      Labda unieleweshe zaidi juu ya hilo.

    11. #9
      Mabel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2010
      Location : Ikunguigazi
      Posts : 852
      Rep Power : 616
      Likes Received
      25
      Likes Given
      11

      Default Re: Nawapenda rafiki zangu kuliko ndugu zangu.

      Quote By Husninyo
      mi nafikiri kupenda na kufurahia vinaendana pamoja.
      Hivi unaweza ukakifurahia kitu wakati hukipendi?
      Au unaweza ukakipenda kitu huku haukifurahii?
      Labda unieleweshe zaidi juu ya hilo.
      Upendo hauna kikomo
      Furaha na upendo ni vitu tofauti
      Mvuta sigara anapenda kuvuta sigara au anafurahia tendo la kuvuta sigara?
      Aakulu taa siluka, aape taa tumbu(Time and the world moves on).[Ovambo proverb]

    12. #10
      Elia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2009
      Location : magogoni
      Posts : 3,173
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      484
      Likes Given
      823

      Default Re: Nawapenda rafiki zangu kuliko ndugu zangu.

      Quote By Husninyo
      ndugu wote ukiacha wa kuzaliwa nao tumbo moja.
      Kwa hilo lisikuu mize kichwa hapo nakuunga mkono 61% Unachotakiwa
      1. Ishinao kimjini mjini
      2. Watu wapo busy na kuonana ni kwenye matukia ni sawa
      3. Kama upo Dsm foleni inasababisha watu wasitembeleane/inatia uvivu
      4. '' '' Kupanda daladala kunachosha (kwa asiye na gari)
      5. Acha mtindo wa kutafutiana viwanja jirani na unapoishi Sio lazima wote muishi kimara nk
      6. Unapoishi mbali heshima na upendo vinaongezeka
      7. Ukifuata hayo utapendana na hao ndugu japo kwa hizo 61%

    13. #11
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,136
      Rep Power : 24894
      Likes Received
      4159
      Likes Given
      584

      Default

      Quote By Mabel
      Upendo hauna kikomo
      Furaha na upendo ni vitu tofauti
      Mvuta sigara anapenda kuvuta sigara au anafurahia tendo la kuvuta sigara?
      mmmh! Hata sijui. Kama kuna mvutaji humu atatujibu.

    14. FemaTV & Radio

    Similar Topics

    1. Nawapenda maadui zangu hawa wa muda mrefu JF..
      By Leonard Robert in forum JF Chit-Chat
      Replies: 26
      Last Post: 23rd November 2011, 04:39
    2. Mambo Vp Ndugu Zangu?
      By Lawize in forum Matangazo madogo
      Replies: 1
      Last Post: 19th October 2011, 13:48
    3. Ndugu zangu wa jf naomc 2msaidie huyu ndugu yangu!!!
      By Nothing4good in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 27
      Last Post: 3rd March 2011, 20:54
    4. Rafiki zangu wote wa JF salaam
      By mchakachuaji192 in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 3
      Last Post: 22nd December 2010, 09:14
    5. Nawapenda sana ndugu zangu: Umoja na upendo wetu ni wa pekee
      By TIMING in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 25
      Last Post: 1st November 2010, 23:36

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...