Wana JF
Nilitangaza humu jamvini kuwa natafuta jimama lililoachika mara tatu. Nimepata mijimama zaidi ya 100, nikashortlist na sasa nimebaki na mmoja ambaye kabila ni ------ wa Msata. Pamoja na kuwa ameachika mara tatu, kwa mila za Kikwere ni lazima nichumbie tena. Amesema kwa mila zao mshenga inabidi aende Msata na ni lazima awe anajua Kikwere na mila zao. Binafsi jimama nimelipenda, kwani limekaa kisawa sawa na hakika halina 'chinese' modification.
Ombi langu ni kwenu wanaJF kama kuna mwanaume anayejua Kikwere, au anamjua mtu yeyote anayejua lugha hiyo, naomba anisaidie.


Reply With Quote
A baby is something you carry inside you for nine months, in your arms for three years and in your heart till the day you die
Follow Us Here