Je, wewe ni mwanamke na umeolewa???!!! Je, wewe ni mwanamume na umeo???!!! Kama jibu ni ndio, fungua hapa Haki Za Mume Na Mke | Alhidaaya.com ili usome na uelewe nini wajibu wako kwa mumeo/mkeo na ni nini haki yako kutoka kwa mumeo/mkeo. Ukishasoma unatakiwa umtekelezee mwenzio haki yake ili ndoa yenu idumu, na utakuwa na kila sababu ya kudai haki yako kutoka kwa mwenzio. Kazi kwenu nyie mlio katika ndoa.
MUHIMU: SOMA KWA MAZINGATIO ILI UELEWE, CHUKUA YANAYOKUFAA NA UYAACHE YASIYOKUFAA

Reply With Quote

Follow Us Here