Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 30
    1. #1
      Tasia I's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2010
      Posts : 1,138
      Rep Power : 692
      Likes Received
      150
      Likes Given
      129

      Default Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Hi ni kisa ya ukweli bana imetokea hapa kitaani kwetu jana. wakati me natoka kazini kwangu mida ya saa 2 unusu usiku nikakuta watu kibao wamekusanyika mita kama 67 hivi toka nyumbani kwangu. Nilipouliza kulikoni nikajibiwa kua eti jamaa mwenye nyumba hua achelewa sana kumaliza (kufika kileleni) halaf anauwezo wa kwenda round hata sita, hivyo mke wake huchoka sana round tu yapili. (je tano au sita)??

      Nikarelate na kesi nyingine ambayo niliwahi kuisoma hukuhuku JF m2 akiomba ushauri kua yeye humaliza mno haraka hivyo mke wake humlalamikia kwa kua hainjoi.

      Sasa me naomba jamani wenye utaalam wa kisayansi au hata kienyeji watueleze
      1. sababu za kumaliza ( kufika kileleni) haraka mno
      2. Sababu za kuchelewa kumaliza (kupitiliza mda wa kawaida)
      3.Watusaidie pia kua mda wa kawaida hua ni dakika u masaa mangapi/kufika kileleni
      4. Njia za kuepukana na matatizo haya.

      NB: NAOMBENI TUWE SIRIAS JAMANI HAPA TUNAGUSA SEHEM NYETI MNO. Asanteni nasa.

    2. Miaka 50

    3. #2
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,289
      Rep Power : 1691
      Likes Received
      1564
      Likes Given
      3289

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      I m sufferind the same experience ,nasubiri wachangiaji kidogo then nitajaribu kutoa experience yangu may be we can help each other.
      UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.

    4. #3
      Mapinduzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd August 2008
      Posts : 2,429
      Rep Power : 1033
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Fanyeni mapenzi na watu mnaowapenda kwa dhati. Kuopoana kwa ajili ya sura, fedha, majina ya ukoo, kuwa desprate etc kunasababisha kutoweza kuvumiliana. Hii hupelekea kumaliza haraka au kuchelewa kumaliza. Hata hivyo mambo mengine ni ya kibaiolojia zaidi hivyo si lazima kuwa na mtu ambaye hamuendani in terms of speed. Mapenzi kuridhishana, ila kuridhishana huko basi kusisababishe manung'uniko au maumivu.
      Usiogope kufa, ogopa kukosa pesa. Kilimo kwanza

    5. Ngo
      #4
      Ngo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2010
      Posts : 285
      Rep Power : 513
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Kumaliza haraka ni tatizo, na kukawia sana nako inaweza kuwa shida kwa upande mwingine.Maana inatakiwa iwe raha kwa wote. Hopefully hizi njia zifuatazo zitakuwa ni msaada kwa mtu mwenye tatizo hilo.
      Tip 1 - Breathing
      One of the reason for premature ejaculation is not being relaxed. Therefore you need to start deep breathing throughout the day. Start by taking a 7 second long breath through your mouth, at the hold for 1 second and then breath out through your mouth for 11 seconds. Try doing this at least 5 times throughout the day. Also when having sex make sure you breathe through your mouth as it relaxes you way more than breathing through the nose.
      Tip 2 - Blood Flow
      Another reason for premature ejaculation is not being able to get or keep a full erection. In order to get rock solid erections you need a good flow of blood to that region. It's very easy to do this by adding a couple of ingredients into your diet. If you can add a 1/4 teaspoon of cayenne pepper or gingko biloba that will increase the blood flow dramatically and you will enjoy rock hard erections. Another ingredient is l-arginine as it helps with producing NO which is responsible for getting an erection.
      Tip 3 - Kegels
      Kegels are basically exercises for the PC muscle. When you are urinating an you try to stop it you use a muscle called the PC muscle which is located between your testicles and anus. You should also feel it when you ejaculate, it's basically the trigger that shoots the load. These are crucial to lasting way longer but there is a certain way to do the exercise. If you do it wrong it could have a negative impact and make you ejaculate quicker.
      These tips will definitely help you last longer in bed as soon as tonight. But if you want to be able to thrust hard for extended periods of time you need to take it to the next level.

      Good luck.

    6. #5
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,572
      Rep Power : 16763
      Likes Received
      2480
      Likes Given
      1844

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Huyo mzee labda anatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,572
      Rep Power : 16763
      Likes Received
      2480
      Likes Given
      1844

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Quote By Paka mweusi
      I m sufferind the same experience ,nasubiri wachangiaji kidogo then nitajaribu kutoa experience yangu may be we can help each other.
      Tupe uzoefu Paka.

    9. #7
      GodfreyTajiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 561
      Rep Power : 551
      Likes Received
      79
      Likes Given
      63

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Quote By tasia I
      Hi ni kisa ya ukweli bana imetokea hapa kitaani kwetu jana. wakati me natoka kazini kwangu mida ya saa 2 unusu usiku nikakuta watu kibao wamekusanyika mita kama 67 hivi toka nyumbani kwangu. Nilipouliza kulikoni nikajibiwa kua eti jamaa mwenye nyumba hua achelewa sana kumaliza (kufika kileleni) halaf anauwezo wa kwenda round hata sita, hivyo mke wake huchoka sana round tu yapili. (je tano au sita)??

      Nikarelate na kesi nyingine ambayo niliwahi kuisoma hukuhuku JF m2 akiomba ushauri kua yeye humaliza mno haraka hivyo mke wake humlalamikia kwa kua hainjoi.

      Sasa me naomba jamani wenye utaalam wa kisayansi au hata kienyeji watueleze
      1. sababu za kumaliza ( kufika kileleni) haraka mno
      2. Sababu za kuchelewa kumaliza (kupitiliza mda wa kawaida)
      3.Watusaidie pia kua mda wa kawaida hua ni dakika u masaa mangapi/kufika kileleni
      4. Njia za kuepukana na matatizo haya.

      NB: NAOMBENI TUWE SIRIAS JAMANI HAPA TUNAGUSA SEHEM NYETI MNO. Asanteni nasa.
      hujaeleza kuchelewa kufika kileleni ni muda gani?
      au kuwahi ni muda gani?

      ukipata muda utapata jibu mkuu wala hutategemea ujibiwe
      na mtu mwengine. kwani binadamu tunatofautiana

      “Unless power is legitimate there can be no social order“
      P. F. Drucker

    10. #8
      Rah_sputin's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd November 2009
      Posts : 82
      Rep Power : 501
      Likes Received
      9
      Likes Given
      22

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Quote By tasia I
      Hi ni kisa ya ukweli bana imetokea hapa kitaani kwetu jana. wakati me natoka kazini kwangu mida ya saa 2 unusu usiku nikakuta watu kibao wamekusanyika mita kama 67 hivi toka nyumbani kwangu. Nilipouliza kulikoni nikajibiwa kua eti jamaa mwenye nyumba hua achelewa sana kumaliza (kufika kileleni) halaf anauwezo wa kwenda round hata sita, hivyo mke wake huchoka sana round tu yapili. (je tano au sita)??

      Nikarelate na kesi nyingine ambayo niliwahi kuisoma hukuhuku JF m2 akiomba ushauri kua yeye humaliza mno haraka hivyo mke wake humlalamikia kwa kua hainjoi.

      Sasa me naomba jamani wenye utaalam wa kisayansi au hata kienyeji watueleze
      1. sababu za kumaliza ( kufika kileleni) haraka mno
      2. Sababu za kuchelewa kumaliza (kupitiliza mda wa kawaida)
      3.Watusaidie pia kua mda wa kawaida hua ni dakika u masaa mangapi/kufika kileleni
      4. Njia za kuepukana na matatizo haya.

      NB: NAOMBENI TUWE SIRIAS JAMANI HAPA TUNAGUSA SEHEM NYETI MNO. Asanteni nasa.
      Ina maana huko mtaani kwenu mnafanya tathmini baada ya tendo? MAKUBWA HAYA!

    11. #9
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,572
      Rep Power : 16763
      Likes Received
      2480
      Likes Given
      1844

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Quote By Rah_sputin
      Ina maana huko mtaani kwenu mnafanya tathmini baada ya tendo? MAKUBWA HAYA!
      Ahahahaaaah! Huo mtaa wao kama wanafanya hivyo ni utaratibu mzuri sana maana sehemu nyingi mambo ya unyumba huwa ni siri ya wanandoa/wahusika.

    12. #10
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      559

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Stori ya kupika..hata hivo mdau utenzi wako sio mbaya sana..

      btw, kwa utatuzi wa shida yako waone wataalamu wa afya..
      Moola's the motive

    13. #11
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,572
      Rep Power : 16763
      Likes Received
      2480
      Likes Given
      1844

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Quote By Abdulhalim
      Stori ya kupika..hata hivo mdau utenzi wako sio mbaya sana..

      btw, kwa utatuzi wa shida yako waone wataalamu wa afya..
      Du!

    14. #12
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,248
      Rep Power : 2621
      Likes Received
      1289
      Likes Given
      834

      Default

      Quote By Ama
      Fanyeni mapenzi na watu mnaowapenda kwa dhati. Kuopoana kwa ajili ya sura, fedha, majina ya ukoo, kuwa desprate etc kunasababisha kutoweza kuvumiliana. Hii hupelekea kumaliza haraka au kuchelewa kumaliza. Hata hivyo mambo mengine ni ya kibaiolojia zaidi hivyo si lazima kuwa na mtu ambaye hamuendani in terms of speed. Mapenzi kuridhishana, ila kuridhishana huko basi kusisababishe manung'uniko au maumivu.
      kwa hiyo wakati unanicoment kipindi hicho hukujua haya? Pia inaonyesha umekua sasa

    15. #13
      Mtende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 1,632
      Rep Power : 769
      Likes Received
      81
      Likes Given
      68

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Quote By Katavi
      Huyo mzee labda anatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume.
      hata mimi nahisi hivyo

    16. #14
      MgonjwaUkimwi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Abroad
      Posts : 697
      Rep Power : 815
      Likes Received
      62
      Likes Given
      57

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Kama wewe ni wakumaliza round ya kwanza, dawa ni moja tu: MAZOEZI. I mean mazoezi ya mwili wako wote. Fanya sit-ups na jogging za umbali wa wastani kila baada ya siku mbili. Lakini dawa hii HAIFANYI KAZI ENDAPO HUJAVUTIWA SEXUALLY NA DEMU WAKO.

      Kama wewe ni kumaliza round ya 12 unatakiwa ujuwe kwamba unamuumiza mwenzako, kwa hiyo njia mbadala za kukufanya umalize wakati muafaka zinahitajika. Including kumshirikisha demu wako katika "kujichua hadi kieleweke " au mpenzi wako afanye "mike check 1,2,3" au "siku ya gulio katerero" au funga main "entrance" na badala yake utumie main "exit", nk. Ukishindwa hiyo tia timu kwa sangoma ili ukafanyiwe ukandarasi.

      All in all, afya yako na mapenzi uliyonayo kwa demu ndio yatakayo determine muda wakumaliza. Wanaume wengine wasipovutiwa sana na demu wanamaliza haraka, wengine kinyume chake.
      Mwendawazimu ni binadamu mwenye Uhuru bila Nidhamu, na Mtumwa ni binadamu mwenye Nidhamu bila Uhuru.

    17. Ngo
      #15
      Ngo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2010
      Posts : 285
      Rep Power : 513
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Quote By MgonjwaUkimwi
      Kama wewe ni wakumaliza round ya kwanza, dawa ni moja tu: MAZOEZI. I mean mazoezi ya mwili wako wote. Fanya sit-ups na jogging za umbali wa wastani kila baada ya siku mbili. Lakini dawa hii HAIFANYI KAZI ENDAPO HUJAVUTIWA SEXUALLY NA DEMU WAKO.
      Quote By MgonjwaUkimwi

      Kama wewe ni kumaliza round ya 12 unatakiwa ujuwe kwamba unamuumiza mwenzako, kwa hiyo njia mbadala za kukufanya umalize wakati muafaka zinahitajika. Including kumshirikisha demu wako katika "kujichua hadi kieleweke " au mpenzi wako afanye "mike check 1,2,3" au "siku ya gulio katerero" au funga main "entrance" na badala yake utumie main "exit", nk. Ukishindwa hiyo tia timu kwa sangoma ili ukafanyiwe ukandarasi.

      All in all, afya yako na mapenzi uliyonayo kwa demu ndio yatakayo determine muda wakumaliza. Wanaume wengine wasipovutiwa sana na demu wanamaliza haraka, wengine kinyume chake.


      Mazoezi muhimu kwa afya yako kwa ujumla, lakini si mazoezi yote yanaweza kuwa msaada wa sexual organs. Huwezi kusema labda kunyanyua chuma/ kutunisha misuli ya mikono na kifuani itasaidia wewe kuchukuwa mda kumaliza.

      Tendo hilo linajumuisha Sexual organ na mind ya mtu. Kama mind haijatulia unaweza kushindwa hata kusimamisha, na kama ukisimamisha basi utatumia mda mchache tu unakuwa umemaliza. Mazoezi yaliyo ya msaada ni kuimalisha misuri ya mfumo wako wa uzazi. Ikiwa imara utakuwa na control nzima ya tendo hilo na kuamua ni lini umalize. Ikiwa lege lege basi ndo maana unakosa control unamaliza haraka. Misuri yenyewe Iko chini kidogo ya korodani. Nadhani ukiwa unakojoa mkojo, ukiamua kukojoa na kuubana gafla basi utajuwa ni misuri gani inahusika. Hiyo hiyo ndo inabidi uifanyishe mazoezi ya kuibana na kuichia ili iwe shupavu. Na hii ikiwa imara itakusaidia hata kusimamisha kwa mda na hata kwenye uzazi inakuwezesha kurusha mbali mbegu zako.

      Pia ukiwa kwenye tendo lenyewe, Usiende kwa papala kwa speed kama vile unataka kuuwa mtu, au unakimbia mita mia, relax, nenda taratibu, legeza viungo vyako vya sehemu za siri hasa misuri ya nyeti na mapajani/kiunoni hasa pale ukiona unakaribia kumaliza basi msukume mzee ndani kabisa / kinena chako kigote kwenye mlango wa nyeti ya mwenzi wako alafu legeza sehemu za muunganiko wa mapaja, utaona km vile nguvu ya mzee imepungua kidogo, alafu endelea.

      Jaribu pia kupulia mdomoni na siyo puani ili mwili u-relax na speed ya kumaliza Ipungue.Taratibu utaona mabadiliko kwa kutumia hizi tecnique ndogo ambazo hazigharimu pesa. Ila ya misuri hapo juu ni muhimu zaidi, jaribu utaona mabadiliko mzee.

    18. #16
      lambie's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd September 2009
      Posts : 20
      Rep Power : 498
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      duh huo mtaa soo.... !! anayechelewa kumaliza hana steam and anayewahi ana papara sana

    19. #17
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,098
      Rep Power : 41564
      Likes Received
      6001
      Likes Given
      1053

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Quote By Abdulhalim
      Stori ya kupika..hata hivo mdau utenzi wako sio mbaya sana..

      btw, kwa utatuzi wa shida yako waone wataalamu wa afya..
      Mjuba anakwambia "watu kibao wamekusanyika mita kama 67" utafikiri alikuwa na tape measure vile.
      Banda lishavunjika, jogoo kaondoka. Vifaranga hangaika, kumtoa nyoka.


    20. #18
      father-xmas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2010
      Posts : 336
      Rep Power : 532
      Likes Received
      58
      Likes Given
      84

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      huo mtaa hatari.....................!
      ni zaidi ya uswazi duu..................!
      The greatest conquerer is he who overcomes the enemy without a blow.

    21. #19
      kisukari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2010
      Posts : 2,579
      Rep Power : 3874
      Likes Received
      1382
      Likes Given
      647

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      mmh,sijawahi watu wa mtaani wanakusanyika kwa issue hiyo.huo mtaa basini balaa na umejaa umbea

    22. FP
      #20
      FP's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 30th September 2009
      Posts : 7,177
      Rep Power : 46334
      Likes Received
      6881
      Likes Given
      6772

      Default Re: Anachelewa mno kumaliza 2tu nachoka hoi.

      Quote By Katavi
      Ahahahaaaah! Huo mtaa wao kama wanafanya hivyo ni utaratibu mzuri sana maana sehemu nyingi mambo ya unyumba huwa ni siri ya wanandoa/wahusika.
      Kwa kweli, hayo mambo yanatakiwa kuishia kitandani, sasa hadi watoto tena wanasikiliza................ maana huo mkusanyiko nahisi asilimia nyingi tu walikuwa ni watoto
      Don't wait for the Perfect Moment,
      Take the Moment and make it Perfect


    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 0
      Last Post: 20th December 2011, 06:11
    2. Anadai huwa anachelewa kushika mimba
      By Baba Erick in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 29
      Last Post: 19th December 2011, 06:59
    3. Nachoka kabisa na bongo kama maigizo vile
      By howard in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 4th November 2011, 19:51

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...