Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 34
    1. #1
      Viper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2007
      Location : Zaragoza (Spain)
      Posts : 3,336
      Rep Power : 3365
      Likes Received
      1080
      Likes Given
      769

      Exclamation swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      una mpenzi wako toka mwaka 2005 ni wapenzi hasa lakin hamjawahi kufanya NGONO.na sababu zilikuwa yeye alikuwa bado sekondari na wewe chuo na muda wote alikuwa akiniahidi kuwa akimaliza shule atakuwa freee kwa hiyo ngono mtafanya.ulivumilia sana mpaka alipomaliza shule,akaingia chuoni.bahati mbaya wewe ukaondoka tanzania kuishi nje ya TZ.kweli mmekuwa mkiwasiliana sana wakati woote na ni umekuwa kama uko nae karibu.

      mwaka unapita unamtaarifu kuwa utakwenda likizo(ukiwa na maana akae tayari kwa kufanya NGONO) lakn akaja juu KUWA HAWEZI SASA MPAKA MUOANE.Mnaona? unamuuliza sababu anakwambia sababu kubwa ifuatayo

      1.Tukifanya ngono atashindwa kuvumilia na mamabo yake mengi yatalala kwa kuniwaza,akanipa mfano wa rafiki yake ambae alikuwa bikira na akafanya ngono ss anapata shida hakai chuoni wakati woote anasafiri kumfata bf wake.kwa hiyo na yy anaona atakuwa namna hiyo.Hataki kuwa namna hiyo so anaona ni bora tufanye ngono tukioana.Gf wangu ni bikira kwa maneno yake ananiambia hivyo.

      Anasema atakuwa na mawazo meeengi ukirudi abroad.

      UKIFIKIRIA MADEMU WENGI UMEWAKATAA KUSEMA UKWELI KWA KUMTUNZIA HESHIMA YEYE LAKN NAONA NAMNA GANI.
      WEWE KAMA RIJALI na Una matamanio UTAFANYAJE ??! na bint kama kuolewa hataki mpaka baada ya miaka 3 ya degree yake ikiisha? UTASUBIRI? !! UTAENDELEA KUMTUNZIA HESHIMA DEMU WAKO AU?!
      “Not only am I better looking….I’m just plain better.”
      Arsenal My heart Juventus My soul

    2. Study Abroad

    3. #2
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      huyo ana lake jambo.

    4. #3
      mpangwa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th July 2009
      Posts : 283
      Rep Power : 556
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      mbuzi ndani ya gunia nunua au acha!! kazi kwako
      Lying can never save us from another lie!!

    5. #4
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,244
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Unapoteza muda wako

    6. #5
      KakaKiiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Location : Here Where you see me!!
      Posts : 6,037
      Rep Power : 16326
      Likes Received
      2217
      Likes Given
      1259

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Chukua hatua!!hivi wewe una umri gani??hatakwenda nje bado unatongotongo???cha kwanza yeye ana bf wake wewe anakuzuga na hataki umuharibie kwa bf wake kwani anajua utamdu unatambaa hivyo sikweli eti anakupenda tafuta uliyenaye karibu wanasema fimbo yambali....................!!! !!!
      Its only crazy who will be against to CDM!,only a fool who will fly CCM flag while is hungry!!

    7. Miaka 50

    8. #6
      jumalesso's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2008
      Posts : 71
      Rep Power : 569
      Likes Received
      5
      Likes Given
      4

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Quote By KakaKiiza
      Chukua hatua!!hivi wewe una umri gani??hatakwenda nje bado unatongotongo???cha kwanza yeye ana bf wake wewe anakuzuga na hataki umuharibie kwa bf wake kwani anajua utamdu unatambaa hivyo sikweli eti anakupenda tafuta uliyenaye karibu wanasema fimbo yambali....................!!! !!!
      Tatizo uchumba wa muda mrefu una mashaka hususan mnapopendana bado mko masomoni. Uamuzi wa huyo dada ni sawa tu kwa kuwa hatuna hakika kama wewe ulioko ughaibuni hutomsaliti baada ya kummega hata hivyo mambo ya kupakuana yanatakiwa mkiwa ndani ya ndoa. Kama ushafikia muda wa kuoa na yeye hataki tafuta aliye tayari kuolewa usitake kuchezeachezea watoto wa watu ingekuwa dada yako ungekubali apakuliwe kwanza?

    9. #7
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,789
      Rep Power : 2146
      Likes Received
      1220
      Likes Given
      542

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      clever girl + dumb man =marriage

    10. #8
      Viper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2007
      Location : Zaragoza (Spain)
      Posts : 3,336
      Rep Power : 3365
      Likes Received
      1080
      Likes Given
      769

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Quote By jumalesso
      Tatizo uchumba wa muda mrefu una mashaka hususan mnapopendana bado mko masomoni. Uamuzi wa huyo dada ni sawa tu kwa kuwa hatuna hakika kama wewe ulioko ughaibuni hutomsaliti baada ya kummega hata hivyo mambo ya kupakuana yanatakiwa mkiwa ndani ya ndoa. Kama ushafikia muda wa kuoa na yeye hataki tafuta aliye tayari kuolewa usitake kuchezeachezea watoto wa watu ingekuwa dada yako ungekubali apakuliwe kwanza?
      hahaha umenichekesha kweli.. kwani dada hata akipakuliwa atakwambia kaka... utasikia stories tu mitaani
      “Not only am I better looking….I’m just plain better.”
      Arsenal My heart Juventus My soul

    11. #9
      Tata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2009
      Posts : 2,338
      Rep Power : 948
      Likes Received
      516
      Likes Given
      332

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Quote By Viper
      una mpenzi wako toka mwaka 2005 ni wapenzi hasa lakin hamjawahi kufanya NGONO.na sababu zilikuwa yeye alikuwa bado sekondari na wewe chuo na muda wote alikuwa akiniahidi kuwa akimaliza shule atakuwa freee kwa hiyo ngono mtafanya.ulivumilia sana mpaka alipomaliza shule,akaingia chuoni.bahati mbaya wewe ukaondoka tanzania kuishi nje ya TZ.kweli mmekuwa mkiwasiliana sana wakati woote na ni umekuwa kama uko nae karibu.

      mwaka unapita unamtaarifu kuwa utakwenda likizo(ukiwa na maana akae tayari kwa kufanya NGONO) lakn akaja juu KUWA HAWEZI SASA MPAKA MUOANE.Mnaona? unamuuliza sababu anakwambia sababu kubwa ifuatayo

      1.Tukifanya ngono atashindwa kuvumilia na mamabo yake mengi yatalala kwa kuniwaza,akanipa mfano wa rafiki yake ambae alikuwa bikira na akafanya ngono ss anapata shida hakai chuoni wakati woote anasafiri kumfata bf wake.kwa hiyo na yy anaona atakuwa namna hiyo.Hataki kuwa namna hiyo so anaona ni bora tufanye ngono tukioana.Gf wangu ni bikira kwa maneno yake ananiambia hivyo.

      Anasema atakuwa na mawazo meeengi ukirudi abroad.

      UKIFIKIRIA MADEMU WENGI UMEWAKATAA KUSEMA UKWELI KWA KUMTUNZIA HESHIMA YEYE LAKN NAONA NAMNA GANI.
      WEWE KAMA RIJALI na Una matamanio UTAFANYAJE ??! na bint kama kuolewa hataki mpaka baada ya miaka 3 ya degree yake ikiisha? UTASUBIRI? !! UTAENDELEA KUMTUNZIA HESHIMA DEMU WAKO AU?!
      Issue hapa hasa ni nini? binti kuwa bikira? wewe ambaye ulaya kutaka kuja kufanya ngono na binti? binti kukukatalia ngono? Kuwakataa mademu wengi? wewe kuwa rijali? matamanio? confused.

    12. RR
      #10
      RR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2007
      Location : Close
      Posts : 5,601
      Rep Power : 1743
      Likes Received
      1017
      Likes Given
      481

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Kama msichana ni bikira kama usemavyo, basi atakua anatafuta sababu kila mara, hata siku ya ndoa. Ana woga wa kufanya mara ya kwanza...kwa hiyo akili za kumbiwa changanya na zako.

    13. #11
      Lady N's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2009
      Location : Dar es salam
      Posts : 1,899
      Rep Power : 864
      Likes Received
      96
      Likes Given
      84

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Quote By Roya Roy
      Kama msichana ni bikira kama usemavyo, basi atakua anatafuta sababu kila mara, hata siku ya ndoa. Ana woga wa kufanya mara ya kwanza...kwa hiyo akili za kumbiwa changanya na zako.
      pamoja na uoga wa 1st tym pia mapenzi ya mbali ni tatizo hapo
      "BUSINESS FOR FRIENDSHIP IS BETTER THAN FRIENDSHIP FOR BUSINESS"

    14. #12
      Magulumangu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2010
      Posts : 2,987
      Rep Power : 1073
      Likes Received
      370
      Likes Given
      419

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Quote By Viper
      una mpenzi wako toka mwaka 2005 ni wapenzi hasa lakin hamjawahi kufanya NGONO.na sababu zilikuwa yeye alikuwa bado sekondari na wewe chuo na muda wote alikuwa akiniahidi kuwa akimaliza shule atakuwa freee kwa hiyo ngono mtafanya.ulivumilia sana mpaka alipomaliza shule,akaingia chuoni.bahati mbaya wewe ukaondoka tanzania kuishi nje ya TZ.kweli mmekuwa mkiwasiliana sana wakati woote na ni umekuwa kama uko nae karibu.

      mwaka unapita unamtaarifu kuwa utakwenda likizo(ukiwa na maana akae tayari kwa kufanya NGONO) lakn akaja juu KUWA HAWEZI SASA MPAKA MUOANE.Mnaona? unamuuliza sababu anakwambia sababu kubwa ifuatayo

      1.Tukifanya ngono atashindwa kuvumilia na mamabo yake mengi yatalala kwa kuniwaza,akanipa mfano wa rafiki yake ambae alikuwa bikira na akafanya ngono ss anapata shida hakai chuoni wakati woote anasafiri kumfata bf wake.kwa hiyo na yy anaona atakuwa namna hiyo.Hataki kuwa namna hiyo so anaona ni bora tufanye ngono tukioana.Gf wangu ni bikira kwa maneno yake ananiambia hivyo.

      Anasema atakuwa na mawazo meeengi ukirudi abroad.

      UKIFIKIRIA MADEMU WENGI UMEWAKATAA KUSEMA UKWELI KWA KUMTUNZIA HESHIMA YEYE LAKN NAONA NAMNA GANI.
      WEWE KAMA RIJALI na Una matamanio UTAFANYAJE ??! na bint kama kuolewa hataki mpaka baada ya miaka 3 ya degree yake ikiisha? UTASUBIRI? !! UTAENDELEA KUMTUNZIA HESHIMA DEMU WAKO AU?!


      Mkuu vipi hii ni story yako au unatunga tu?maana umeanza kwa kuandika UN MPENZI wako then ukaendelea,Mpenzi wangu so tuelewe lipi?Unajizungumzia wewe au unauliza kwa wana jf walichakachue hili au unaomba msaada yamekukta?By the way huyo hana bikra wala nini ni mwizi mtupu....
      The Goal is The Love Of a Lifetime, And a Lifetime Of Love Together.....

    15. #13
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Quote By Viper
      nina mpenzi wangu toka mwaka 2005 ni wapenzi hasa lakin hatujawahi kufanya NGONO.na sababu zilikuwa yeye alikuwa bado sekondari na mimi chuo na muda wote alikuwa akiniahidi kuwa akimaliza shule atakuwa freee kwa hiyo ngono tutafanya.nilivumilia sana mpaka alipomaliza shule,akaingia chuoni.bahati mbaya mimi nikaondoka tanzania kuishi nje ya TZ.kweli tumekuwa tukiwasiliana sana wakati woote na nimekuwa kama niko nae karibu.

      mwaka unapita ninamtaarifu kuwa nitakwenda likizo(ukiwa na maana akae tayari kwa kufanya NGONO) lakn akaja juu KUWA HAWEZI SASA MPAKA MUOANE.Mnaona? unamuuliza sababu anakwambia sababu kubwa ifuatayo

      1.Tukifanya ngono atashindwa kuvumilia na mamabo yake mengi yatalala kwa kuniwaza,akanipa mfano wa rafiki yake ambae alikuwa bikira na akafanya ngono ss anapata shida hakai chuoni wakati woote anasafiri kumfata bf wake.kwa hiyo na yy anaona atakuwa namna hiyo.Hataki kuwa namna hiyo so anaona ni bora tufanye ngono tukioana.Gf wangu ni bikira kwa maneno yake ananiambia hivyo.

      Anasema atakuwa na mawazo meeengi ukirudi abroad.

      UKIFIKIRIA MADEMU WENGI UMEWAKATAA KUSEMA UKWELI KWA KUMTUNZIA HESHIMA YEYE LAKN NAONA NAMNA GANI.
      WEWE KAMA RIJALI na Una matamanio UTAFANYAJE ??! na bint kama kuolewa hataki mpaka baada ya miaka 3 ya degree yake ikiisha? UTASUBIRI? !! UTAENDELEA KUMTUNZIA HESHIMA DEMU WAKO AU?!
      angalia marekebisho unachanganya nafsi
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    16. #14
      matambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Location : malenga matitu
      Posts : 731
      Rep Power : 656
      Likes Received
      69
      Likes Given
      14

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Quote By Chimunguru
      clever girl + dumb man =marriage
      the opposite is the perfect marriage

      i mean clever man +dumb girl is the perfect mix







      =

    17. #15
      funzadume's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2010
      Location : Kwenye Uchafu/Uozo
      Posts : 3,465
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      547
      Likes Given
      591

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      mapenzi ya utotoni yana shida sana mtu unakuwa kama umerogwa unapenda halafu unyumba upewi hapa kitakachofuata ni kukuta huyo demu ana w/ume msululu halafu wanamega kiulaini ndipo utakapo data halafu akili itakaa sawa baadae
      All good things in the World are not things

    18. #16
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,424
      Rep Power : 32072
      Likes Received
      14530
      Likes Given
      22033

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Quote By Remmy
      huyo ana lake jambo.
      Ulitaka amkubalie? We mbona umenikatalia?
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    19. #17
      bacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2010
      Posts : 3,901
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      623
      Likes Given
      1258

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Quote By funzadume
      mapenzi ya utotoni yana shida sana mtu unakuwa kama umerogwa unapenda halafu unyumba upewi hapa kitakachofuata ni kukuta huyo demu ana w/ume msululu halafu wanamega kiulaini ndipo utakapo data halafu akili itakaa sawa baadae
      Kiongozi hapo umenena!kweli haya ni mapenzi ya kitoto, we binti ameshakwambia kuwa ngono ni mpaka amalize chuo sasa hapo unamshangaa nini?ni sawa kabisa,kinyume cha hapo ni uzinzi!kama kweli anataka kumfanya huyo dada awe mkewe wa baadae basi hana haja ya kumpa pressure na matamanio yake ya kungonoka!Aendelee kumsubiri, lakini akizidiwa atafute binti mwingine wa pembeni ili achakachue na kupunguza tamaa zake wakati huo anamsubiri mpendwa wake!very simple..........!!!!!!!

    20. #18
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      huyo demu mpotezee kwa muda, usiwasiliane nae wala nini. akikutafuta kwa simu/email mjibu kwamba upo busy kuna vitu unavifanya! Akikuuliza kwanini unamkimbia mwambie haumkimbii ila 'you got to deal with those who are ready to give'...nakuhakikishia siku ya siku atachojoa mwenyewe!

    21. #19
      Baba Mtu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2008
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 848
      Rep Power : 716
      Likes Received
      93
      Likes Given
      634

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Quote By bacha
      Kiongozi hapo umenena!kweli haya ni mapenzi ya kitoto, we binti ameshakwambia kuwa ngono ni mpaka amalize chuo sasa hapo unamshangaa nini?ni sawa kabisa,kinyume cha hapo ni uzinzi!kama kweli anataka kumfanya huyo dada awe mkewe wa baadae basi hana haja ya kumpa pressure na matamanio yake ya kungonoka!Aendelee kumsubiri, lakini akizidiwa atafute binti mwingine wa pembeni ili achakachue na kupunguza tamaa zake wakati huo anamsubiri mpendwa wake!very simple..........!!!!!!!


      Bacha hujatulia, unahitaji kupepewa!!!!!!!

    22. #20
      Baba Mtu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2008
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 848
      Rep Power : 716
      Likes Received
      93
      Likes Given
      634

      Default Re: swali kwa kina kaka wenye wapenzi

      Quote By CBZ
      huyo demu mpotezee kwa muda, usiwasiliane nae wala nini. akikutafuta kwa simu/email mjibu kwamba upo busy kuna vitu unavifanya! Akikuuliza kwanini unamkimbia mwambie haumkimbii ila 'you got to deal with those who are ready to give'...nakuhakikishia siku ya siku atachojoa mwenyewe!
      CBZ nawe pia hujatulia kama mwenzako bacha, unahitaji kupepewa!!!!!

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Hivi kwa nini siku hizi nyumba nyingi kina mama ndio wenye sauti kuzidi kina baba?
      By Galileo Galilei in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 67
      Last Post: 26th October 2011, 19:04
    2. Wababa..kina kaka...wajomba...waume....wapenzi na marafiki!!!!
      By Lizzy in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 83
      Last Post: 7th March 2011, 19:11
    3. hili liwe fundisho kwetu kina dada/mama/bibi hata kwa baadhi ya kina kaka/baba.
      By cheusimangala in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 55
      Last Post: 20th October 2010, 23:34
    4. Kwa kina kaka wenzangu wa JF.....
      By Ambassador in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 46
      Last Post: 30th July 2010, 19:05

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...