Kina kaka mnawazaga nini kabla ya 'kumtokea' mdada
Naomba niwaulize kaka zetu huwa mnafikiria nini au mnajipangaje kwenda 'kumtokea' demu..
kwasababu inafurahisha sana wakati mwingine mtu anakwambia kitu kama 'sista nimekumind naona unalipa sijui unafaa kuwa demu wagu'... dooh kweli nikicheka nakuwa nimekosea
Kina dada please share experience za kutokewa zilizokufurahisha
Re: Kina kaka mnawazaga nini kabla ya 'kumtokea' mdada
By Tanzanite1
Naomba niwaulize kaka zetu huwa mnafikiria nini au mnajipangaje kwenda 'kumtokea' demu..
kwasababu inafurahisha sana wakati mwingine mtu anakwambia kitu kama 'sista nimekumind naona unalipa sijui unafaa kuwa demu wagu'... dooh kweli nikicheka nakuwa nimekosea
Kina dada please share experience za kutokewa zilizokufurahisha
mtu akianza hivyo tu hustahili hata kuendelea kumckiliza...tongoza gani hiyo icyo na adabu ahta kidogo?
Leo hii Yesu angekuwepo, si ajabu angeenda saluni kupunguza sharubu, angeenda kwa Maumba kushona Tuxedo na angekua na IPAD....TIMING
Re: Kina kaka mnawazaga nini kabla ya 'kumtokea' mdada
By FirstLady1
"Mrembo unajisiakiaje kupendwa na mtu kama mie" .. hapa cjui unajibuje mtu mwenyewe hata point hazieleweki
FirstLady1; Unamjibu hivi:
"Kaka nafurahi mno kusikia hivyo, ila kwa sababu wewe umenipenda na wakati mimi hata sikuwa kabisa na wazo hilo (wakati ukweli ni kuwa wewe ndiye uliyemchokoza hadi akafikia hatua ya kukutongoza,.... shiiii!!!!....., hii usiwaambie wenzako wanaweza kunishambulia ukweli huwa unauma) naomba unipe mda wa kutosha sasa kuanzia leo, ili nianze kufikiria nione kama na mimi naweza kukupenda wewe kama ulivyonipenda mimi (hapo sasa unampa mda wa yeye kujifaragua ili ujue kama kweli na yeye alikuwa anakupenda kabla ila kashindwa kukusemesha, au ni wewe tu umempenda pasipo yeye kukupenda wewe). Yaani wasichana waache tu kama walivyo. Anachoonyesha kuwa anakihitaji leo, anaweza kuwa amepanga kuwa nacho baada ya miezi sita mbele, au hata akajikuta amepokonywa na wenzake on the way anajifaragua!
"Believe those seeking the truth, doubt those who find it"; Andre Gide
Re: Kina kaka mnawazaga nini kabla ya 'kumtokea' mdada
By FirstLady1
"Mrembo unajisiakiaje kupendwa na mtu kama mie" .. hapa cjui unajibuje mtu mwenyewe hata point hazieleweki
Swala la kumtokea mtu ni gumu sana, kupanga sentensi mpaka zieleweke! namshukuru Mungu hiyo kazi sinayo, maana sipati picha ingekuwaje. nakumbuka shule tulikuwa tunasimuliana; enhe, alianzaje? halafu?.............. yaani raha tupu!
Don't wait for the Perfect Moment, Take the Moment and make it Perfect
Re: Kina kaka mnawazaga nini kabla ya 'kumtokea' mdada
By Kimey
Mi nawazaga kumega tu.....
.....nipo na wewe Kimey.....! kinachowazwa kabla ya kumwibukia demu ni kumega.....inafuata sasa unampataje ili ummege?.....ndo utasikia....(baada ya vi-offer na vi-outing kadhaa)...sister na kumind sana....sasa inakuwaje....? n bla bla bla......!
“When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land. - Rev.Bishop Desmond Tutu.
Re: Kina kaka mnawazaga nini kabla ya 'kumtokea' mdada
By Next Level
.....nipo na wewe Kimey.....! kinachowazwa kabla ya kumwibukia demu ni kumega.....inafuata sasa unampataje ili ummege?.....ndo utasikia....(baada ya vi-offer na vi-outing kadhaa)...sister na kumind sana....sasa inakuwaje....? n bla bla bla......!
Waelezee hao Kiongozi....
I may be walking slowly, But I never walk backwards! and Whenever I walk backwards, Its for a long jump!!
Re: Kina kaka mnawazaga nini kabla ya 'kumtokea' mdada
By Tanzanite1
Naomba niwaulize kaka zetu huwa mnafikiria nini au mnajipangaje kwenda 'kumtokea' demu..
kwasababu inafurahisha sana wakati mwingine mtu anakwambia kitu kama 'sista nimekumind naona unalipa sijui unafaa kuwa demu wagu'... dooh kweli nikicheka nakuwa nimekosea
Kina dada please share experience za kutokewa zilizokufurahisha
Re: Kina kaka mnawazaga nini kabla ya 'kumtokea' mdada
siku hizi hakuna hiyo mambo ya ohhh nimekufia.....unamualika ki-date...mara ya pili unamkaribisha getho/room.........ya tatu action....hakuna maneno mengi!
Re: Kina kaka mnawazaga nini kabla ya 'kumtokea' mdada
By YoungCorporate
siku hizi hakuna hiyo mambo ya ohhh nimekufia.....unamualika ki-date...mara ya pili unamkaribisha getho/room.........ya tatu action....hakuna maneno mengi!
Gheto ukimkaribisha tayari atajua mwenyewe what next...
The Goal is The Love Of a Lifetime, And a Lifetime Of Love Together.....
Re: Kina kaka mnawazaga nini kabla ya 'kumtokea' mdada
Mawasiliano yoyote nitakayokupa ndicho ninachowaza, na mara nyingi nakuwa naitikia hisia zako, hivyo kila niwezalo uwaze ninachokiwaza.....! Ila kwa uzoefu wangu, kujiandaa na kupanga maneno ni kosa kubwa sana, lazima utagonga mwamba. Cha msingi ni kuiachia nature ichukue nafasi yake...!
Follow Us Here