Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hiki si kisasi huu ni unyama!

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 51
    1. #1
      AK-47's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2009
      Location : Abbottabad
      Posts : 1,364
      Rep Power : 756
      Likes Received
      149
      Likes Given
      80

      Default Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Wana JF nimekutana na kisa ambacho kimeniacha na mshangao wa ajabu na kujiuliza hivi binadamu wengine kwenye vichwa vyao kunasehemu ya akili ?, Hii ni baada ya kusikia gumzo la vijana wa Uswazi eneo la Tandale ambapo mmoja alikua akimsimulia mwenzie mikasa ya jirani yao ambaye mkewe alimegwa na mfanyabiashara na kupata ujauzito...Jamaa alikaa kimya hajasema lolote na mtoto alipozaliwa ambaye ni wa kike akawa anafanana na huyo mfanyabiashara. Baba akaamua kumlea mtoto kwa mapenzi ya hali ya juu bila ya kuuliza chochote na binti alivyokomaa baba akaanza kummega huku akionyesha mapenzi yake wazi kwa mtoto huyo kwa mwizi wake mfanyabiashara. Hali hiyo imemuuma sana baba aliyeiba penzi na kufikia hatua ya kumueleza mke wa jamaa kuwa mtoto wetu anamegwa na mumeo. Mama kaishiwa nguvu hawezi kumueleza mumewe anajua so limebumbuluka... wote wanashindwa pa kuanzia. Inge kuwa wewe ungefanyaje ?
      An Eye for an Eye Makes the whole World Blind

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,211
      Rep Power : 31383
      Likes Received
      9592
      Likes Given
      683

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Quote By AK-47
      Wana JF nimekutana na kisa ambacho kimeniacha na mshangao wa ajabu na kujiuliza hivi binadamu wengine kwenye vichwa vyao kunasehemu ya akili ?, Hii ni baada ya kusikia gumzo la vijana wa Uswazi eneo la Tandale ambapo mmoja alikua akimsimulia mwenzie mikasa ya jirani yao ambaye mkewe alimegwa na mfanyabiashara na kupata ujauzito...Jamaa alikaa kimya hajasema lolote na mtoto alipozaliwa ambaye ni wa kike akawa anafanana na huyo mfanyabiashara. Baba akaamua kumlea mtoto kwa mapenzi ya hali ya juu bila ya kuuliza chochote na binti alivyokomaa baba akaanza kummega huku akionyesha mapenzi yake wazi kwa mtoto huyo kwa mwizi wake mfanyabiashara. Hali hiyo imemuuma sana baba aliyeiba penzi na kufikia hatua ya kumueleza mke wa jamaa kuwa mtoto wetu anamegwa na mumeo. Mama kaishiwa nguvu hawezi kumueleza mumewe anajua so limebumbuluka... wote wanashindwa pa kuanzia. Inge kuwa wewe ungefanyaje ?
      Ouuuch!! This is one hell of a weird, sick revenge, to put it mildly. Dude must be some kind of an evil genius.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    4. #3
      Mzizi wa Mbuyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 3,209
      Rep Power : 1271
      Likes Received
      531
      Likes Given
      404

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Kama ni kweli huyo jamaa ni mbinifu na mvumilivu wa ajabu!!! yaani amevumilia itakuwa kama miaka 18 hivi ili tunda likomae!!!!
      Kutafuniwa mke inauma mno!! naona siyo vizuri alivyo fanya, ila ni adhabu safi sana kwa wakware wale!!!!??
      Ukweli ni maji ya chumvi unayotakiwa kuyaoga, ukiona mahali panawasha usiyachukie hayo maji....jua hapo pana jeraha pafanyie kazi.

    5. #4
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,850
      Rep Power : 6966
      Likes Received
      1994
      Likes Given
      1545

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Kuna ushahidi gani kama anakula? Si ajabu jamaa kaamua kupritend tu ili amuumize jamaa!! Kama angekuwa kweli anamega basi mama mwenye nyumba angekuwa wa kwanza kujua kabla ya huyo mfanyabiashara. Binafsi namwona jamaa ni muungwana sana hata hivyo, kwa sababu angekuwa mwingine angekiua kitoto kikiwa bado kichanga.

    6. #5
      Masaki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 3,042
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      333
      Likes Given
      769

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      I feel sorry to the daugher kwa kuwa hana makosa. Na je huyo binti anafahamu kwamba huyo mume wa mama yake si baba yake mzazi?

      Ila kwa kifupi tu huyo jamaa siyo mtu mzuri, anaweza hata kumuua mkewe na huyo mkware wake siku moja. Mtu anayeweza kuweka kisasi kwa miaka zaidi ya 18 ni wa kuogopa sana! Au kaanza kummega huyo binti akiwa na umri chini ya miaka 18?
      Ability may get you to the top, but it takes character to keep you there.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Masaki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 3,042
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      333
      Likes Given
      769

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Quote By Vangi
      Kuna ushahidi gani kama anakula? Si ajabu jamaa kaamua kupritend tu ili amuumize jamaa!! Kama angekuwa kweli anamega basi mama mwenye nyumba angekuwa wa kwanza kujua kabla ya huyo mfanyabiashara. Binafsi namwona jamaa ni muungwana sana hata hivyo, kwa sababu angekuwa mwingine angekiua kitoto kikiwa bado kichanga.
      Kwa hiyo bora anavyomtafuna huyo binti kuliko kama angemuua akiwa bado katoto kachanga!

      Na what if kama mtoto angezaliwa wa kiume, kisasi cha jamaa kingekuwaje?
      Ability may get you to the top, but it takes character to keep you there.

    9. #7
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,962
      Rep Power : 3700
      Likes Received
      3576
      Likes Given
      5759

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      sijawahi kuona kisasi cha namna hii sio bure huyu aliyemegewa mke ana akili kama za samaki ..
      Anachofanya ni ukatili wa hali ya ajabu sana ,Mwanamke nae hapo inabidi avunje ukimya .....
      Dunia hii imekwisha ni bora yesu kristu arudi upesi tunakoelekea siko kabisa
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    10. #8
      RRONDO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2010
      Posts : 2,055
      Rep Power : 888
      Likes Received
      19
      Likes Given
      5

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Quote By AK-47
      Wana JF nimekutana na kisa ambacho kimeniacha na mshangao wa ajabu na kujiuliza hivi binadamu wengine kwenye vichwa vyao kunasehemu ya akili ?, Hii ni baada ya kusikia gumzo la vijana wa Uswazi eneo la Tandale ambapo mmoja alikua akimsimulia mwenzie mikasa ya jirani yao ambaye mkewe alimegwa na mfanyabiashara na kupata ujauzito...Jamaa alikaa kimya hajasema lolote na mtoto alipozaliwa ambaye ni wa kike akawa anafanana na huyo mfanyabiashara. Baba akaamua kumlea mtoto kwa mapenzi ya hali ya juu bila ya kuuliza chochote na binti alivyokomaa baba akaanza kummega huku akionyesha mapenzi yake wazi kwa mtoto huyo kwa mwizi wake mfanyabiashara. Hali hiyo imemuuma sana baba aliyeiba penzi na kufikia hatua ya kumueleza mke wa jamaa kuwa mtoto wetu anamegwa na mumeo. Mama kaishiwa nguvu hawezi kumueleza mumewe anajua so limebumbuluka... wote wanashindwa pa kuanzia. Inge kuwa wewe ungefanyaje ?
      LOL........hii stori ni moja ya movie za kibongo nilizowahi kuangalia jina lake nimesahau.....inawezekana hao watu huko tandale walikuwa wanasimuliana hio movie.

    11. #9
      Sajenti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Posts : 3,555
      Rep Power : 1345
      Likes Received
      303
      Likes Given
      95

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Quote By Masaki
      Kwa hiyo bora anavyomtafuna huyo binti kuliko kama angemuua akiwa bado katoto kachanga!

      Na what if kama mtoto angezaliwa wa kiume, kisasi cha jamaa kingekuwaje?
      ...Kama aliweza kuweka kisasi kwa miaka yote na kuamua kummega binti sitashangaa kusikia binti ana mimba ya huyo sijui nimwite baba yake au nani?? Dunia ina mambo ya ajabu ajabu!!
      To get something you never had, you need to do something you never did

    12. #10
      Tall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2010
      Location : Tandale kwa mtogole
      Posts : 1,431
      Rep Power : 759
      Likes Received
      142
      Likes Given
      245

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      1. Mtoto ni mtoto awe wa kumzaa mwenyewe au wa mkeo/mmeo bado ni mwanao,ni makosa kutembea nae.
      2. Hata siku moja katika mapenzi kulipiza si suluhisho,ukishalipiza unagundua kuwa bado tu hujafanya kitu.
      3.ningekuwa mimi baada ya kugundua kuwa mke wangu kazini na kuna ushahidi wa kutosha si kuoneana basi ndoa ingeishia hapo
      always use low profile........ajikwezae atashushwa.

    13. #11
      Askofu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2009
      Location : Synagogue
      Posts : 1,672
      Rep Power : 857
      Likes Received
      77
      Likes Given
      64

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Quote By AK-47
      Wana JF nimekutana na kisa ambacho kimeniacha na mshangao wa ajabu na kujiuliza hivi binadamu wengine kwenye vichwa vyao kunasehemu ya akili ?, Hii ni baada ya kusikia gumzo la vijana wa Uswazi eneo la Tandale ambapo mmoja alikua akimsimulia mwenzie mikasa ya jirani yao ambaye mkewe alimegwa na mfanyabiashara na kupata ujauzito...Jamaa alikaa kimya hajasema lolote na mtoto alipozaliwa ambaye ni wa kike akawa anafanana na huyo mfanyabiashara. Baba akaamua kumlea mtoto kwa mapenzi ya hali ya juu bila ya kuuliza chochote na binti alivyokomaa baba akaanza kummega huku akionyesha mapenzi yake wazi kwa mtoto huyo kwa mwizi wake mfanyabiashara. Hali hiyo imemuuma sana baba aliyeiba penzi na kufikia hatua ya kumueleza mke wa jamaa kuwa mtoto wetu anamegwa na mumeo. Mama kaishiwa nguvu hawezi kumueleza mumewe anajua so limebumbuluka... wote wanashindwa pa kuanzia. Inge kuwa wewe ungefanyaje ?
      Kama Baba, Mama, Mwizi au Mtoto??

      Kwa kweli this is sad... dunia umekwisha... hiki sio kisasi ni ukatili na udhalilishaji.... Lakini hata kama Mama atavunja ukimya alivyo-suggest FL1, imeshakuwa too late and may be the girl is pregnant if not HIV+... God Forbid ooh...
      Politicians and Diapers needs to be changed for the same reason...

    14. #12
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,551
      Rep Power : 23551
      Likes Received
      6968
      Likes Given
      11318

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Hii hadithi inaonesha kuwa binadamu ni viumbe wa ajabu sana. Kuna mambo mengi unaweza kuwaza juu ya huyo baba alieyeamua kulipiza kisasi kwa njia ya kusikitisha kiasi hicho. Nashindwa hata kueleza zaidi ila atakuwa ni mtu hatari sana!
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    15. Mom
      #13
      Mom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2009
      Location : home
      Posts : 704
      Rep Power : 629
      Likes Received
      11
      Likes Given
      56

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      huyo ailebiwa mke ni katili sana, iweje umlee mtoto kama wako then uje umle mwenyewe? mtoto amekukosea nini? na huyo wenye mtoto si alitakiwa adai mtoto wake? real dunia hii inaelekea pabaya kama kisa hiki ni cha kweli
      "I'm not afraid of storms, for I'm learning to sail my ship"

    16. #14
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,878
      Rep Power : 7239
      Likes Received
      1281
      Likes Given
      105

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Hii nomaaaaaaaa
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    17. #15
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,551
      Rep Power : 23551
      Likes Received
      6968
      Likes Given
      11318

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Quote By Mom
      huyo ailebiwa mke ni katili sana, iweje umlee mtoto kama wako then uje umle mwenyewe? mtoto amekukosea nini? na huyo wenye mtoto si alitakiwa adai mtoto wake? real dunia hii inaelekea pabaya kama kisa hiki ni cha kweli
      Mom, nimepata shida sana kuelewa hii story. Naomba nisieleweke kuwa naunga mkono unyama aliofanya huyu baba. Lakini najaribu kujiuliza, hivi huyu mtoto walibakwa? Inawezekana mtoto alijilegeza kwa baba naye akafanya kama wanavyofanya baba wengine wapuuzi wanaotembea na watoto wao wa kuwazaa. Tatizo linaweza kuonekana kubwa kwa sababu huyu mtoto siyo wake na huyo baba mzazi ameona hicho kitendo kikamuuma! Kuna ugumu kidogo kuitafakari hii hadithi!
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    18. #16
      mwalimally's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2010
      Posts : 22
      Rep Power : 465
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Duu! Kweli dunia ina mambo na ukiyastaajabu ya Musa utayaona ya Firauni.

    19. #17
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      mmmmh ....hii kali. lakini naona inawezekana kuwa baba hajafanya tendo na mwanawe just yule mwizi wa mama mtu kajishtukia kuwa hajaulizwa kitu na kaona labda mtoto na baba yake wako close sana.

      lakini ikiwa kweli baba kaweka kisasi kwa miaka 18 ...he must be sick, hapo mama aweke wazi, na atafute safari na mtoto wake unless jamaa akikubali kwenda mental hospital. duh

    20. #18
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      weraweraaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!! !!.hiyo safi sana.kama alisubiri mpaka miaka 18 ikatimia.hana kosa awapigie hesabu ya matunzo yote ya huyo mtoto ili huyo mfanya biashara na ms......zi mwenzake wakate hapo ya mahari chenchi wamrudishie jamaa.hicho sio kisasi na wala sio dhambi kwa imani ya dini yoyote hapa duniani,ila ukichunguza kwa makini kuna adhabu ndani yake kwa mke wake na huyo baba mkwe.wanawake wanajifanya wanatunza siri sana sasa hiyo najua wamebloo mapigo kwamba wanaume tukiamua kuwa na siri matokeo yake ni msiba kwa wezi hao.mimi nilishawahi kulishuhudia ndio maana namsifu jamaa.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    21. #19
      Askofu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2009
      Location : Synagogue
      Posts : 1,672
      Rep Power : 857
      Likes Received
      77
      Likes Given
      64

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Quote By Dark City
      Mom, nimepata shida sana kuelewa hii story. Naomba nisieleweke kuwa naunga mkono unyama aliofanya huyu baba. Lakini najaribu kujiuliza, hivi huyu mtoto walibakwa? Inawezekana mtoto alijilegeza kwa baba naye akafanya kama wanavyofanya baba wengine wapuuzi wanaotembea na watoto wao wa kuwazaa. Tatizo linaweza kuonekana kubwa kwa sababu huyu mtoto siyo wake na huyo baba mzazi ameona hicho kitendo kikamuuma! Kuna ugumu kidogo kuitafakari hii hadithi!
      DC, wazazi kama hawa na akiwa na lengo kama hili hawezi kusubiri mpaka mtoto afikishe miaka 18, anaanza kumuweka karibu sana tangu akiwa mdogo... then anaamza kumfanyia hivyo vitendo kidogo kidogo at tender age, mtoto anaweza akadhani ni kitu cha kawaida na ma-zawadi na mapenzi yale anayoonyeshwa, akiambiwa usimwambie Mama naye anakaa kimya... kwa hiyo anavyozidi kukua na mzee anazidi kujivinjari... kwa sababu fikiria at 18yrs halafu baba aanze tu from nowhere kumweleza mambo kama hayo, lazima atashtuka...
      Politicians and Diapers needs to be changed for the same reason...

    22. Mom
      #20
      Mom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2009
      Location : home
      Posts : 704
      Rep Power : 629
      Likes Received
      11
      Likes Given
      56

      Default Re: Hiki si kisasi huu ni unyama!

      Quote By Dark City
      Mom, nimepata shida sana kuelewa hii story. Naomba nisieleweke kuwa naunga mkono unyama aliofanya huyu baba. Lakini najaribu kujiuliza, hivi huyu mtoto walibakwa? Inawezekana mtoto alijilegeza kwa baba naye akafanya kama wanavyofanya baba wengine wapuuzi wanaotembea na watoto wao wa kuwazaa. Tatizo linaweza kuonekana kubwa kwa sababu huyu mtoto siyo wake na huyo baba mzazi ameona hicho kitendo kikamuuma! Kuna ugumu kidogo kuitafakari hii hadithi!
      mtoto analawama zake, lakini kwann huyu baba amtongoze mtoto wake?na ukisoma kisa kizma ni kama aliplan toka mtoto hajazaliwa maana alijua si mimba yake akale avizuri then anakuja kutembea na huyo mtoto na kuhakikisha bilogical father ameona, akasahau yy ndio baba maana he has been there since mimba mpaka mtoto alipokua
      "I'm not afraid of storms, for I'm learning to sail my ship"

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Kisasi
      By KAKA A TAIFA in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 0
      Last Post: 25th May 2011, 16:16
    2. CCM hiki ni kisasi Kawe au?
      By Wa Ndima in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 2
      Last Post: 8th November 2010, 19:38
    3. Tetesi: Anafaa kuwa rais kwa kisasi hiki?
      By ZLATAN in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 8
      Last Post: 18th October 2010, 16:53
    4. Hiki kisasi ni kibokoooo!!!!!
      By Chipyopyo in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 28
      Last Post: 11th June 2010, 12:39

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...