Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Unasemaje kuhusu hili?

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      Tall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2010
      Location : Tandale kwa mtogole
      Posts : 1,431
      Rep Power : 759
      Likes Received
      142
      Likes Given
      245

      Default Unasemaje kuhusu hili?

      Kila mtu ana jina lake ambalo aidha la kimila,au la kikristo au labda la kiislamu,lakini cha msingi ni kuwa kila mtu ana jina lake.Kuna usemi kuwa majina mara nyingi huathiri tabia ya mwenye jina na kufanana na jina hilo utakuta wenye majina fulani hupenda sana pombe,na wa majina mengine karibu wote wanapenda ngono.:KUNA ukweli katika hili?:
      kwa mfano ukimwita mwanao Tabu/Shida siku zote maisha yake yatakuwa ya shida shida tu.Kama kuna ukweli inabidi kutulia na kuwa makini tnapowapa majina watoto wetu.Mfano mwingine,
      Muddy..mara nyingi watu wasiotulia..machachari,...kwa maoni yangu.
      Ibrahim...watulivu sana wapole.........kwa maoni yangu
      Akina Jackline......dakika tano mbele.....kwa maoni yangu
      Akina michael............machachari sana,pombe,wanawake nk.
      1.je unaorodha ya majina na tabia zao kwa mtazamo wako?
      2.je kuna ukweli kuwa utakavyomwita jina mtoto tabia yake itakuwa kama haohao?
      Toa mchango wako,lakini nawaombeni kwa majina yanayotumika hapa JF MU YA OVERLOOK/MSIYATUMIE KAMA MFANO.
      ZOEZI HILI LITASAIDIA KUWAPA MAJINA YANAYOSTAHILI/FAA WATOTO.
      always use low profile........ajikwezae atashushwa.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,611
      Rep Power : 2003
      Likes Received
      1635
      Likes Given
      1614

      Default Re: Unasemaje kuhusu hili?

      Kwa mtazamo wangu majina yapo ili tuweze kutambuana tu.
      Lakini kimsingi majina hayana uhusino na tabia wala future ya mtu.
      kama ingekuwa hivyo watu wengi wangewaita watoto wao majina ya watu flani matajiri ili watoto wao nao waje kuwa matajiri.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    4. #3
      Anyisile Obheli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2009
      Location : Rohoni
      Posts : 3,261
      Rep Power : 1125
      Likes Received
      68
      Likes Given
      82

      Default Re: Unasemaje kuhusu hili?

      1. Side boy...wengi wengi wezi wa simu,
      2. ........

    5. #4
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,830
      Rep Power : 11191
      Likes Received
      7017
      Likes Given
      5189

      Default Re: Unasemaje kuhusu hili?

      Kina mwanaisha full majungu na umbea
      KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE

    6. #5
      Masikini_Jeuri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2010
      Location : Igangidung'u
      Posts : 5,953
      Rep Power : 2079
      Likes Received
      698
      Likes Given
      5029

      Default Re: Unasemaje kuhusu hili?

      Akina Rose .............walu walu na wapeku peku!
      24 hours in a day! 24 beers in a case, Coincidence? I think not!

    7. Miaka 50

    8. #6
      StaffordKibona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2008
      Location : Tabora
      Posts : 673
      Rep Power : 700
      Likes Received
      28
      Likes Given
      2

      Default Re: Unasemaje kuhusu hili?

      Usimpe bintinyako jina la Ashura au Amina ni mapepe mbaya yake

    9. #7
      roselyne1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 18th February 2010
      Posts : 1,374
      Rep Power : 0
      Likes Received
      75
      Likes Given
      3

      Default Re: Unasemaje kuhusu hili?

      Quote By Masikini_Jeuri
      Akina Rose .............walu walu na wapeku peku!
      haha haaaaaaa

    10. #8
      NGULI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2008
      Location : HOME
      Posts : 4,441
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      214
      Likes Given
      1

      Default Re: Unasemaje kuhusu hili?

      Mwajuma/chausiku/mwanaasha/bahati=Housegirls
      John=kicheche
      Some sweet hearts are bitter than chloroquine packed in a sweet paper

    11. #9
      Yetu Macho's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th June 2008
      Location : Tanzania
      Posts : 200
      Rep Power : 598
      Likes Received
      10
      Likes Given
      2

      Default Re: Unasemaje kuhusu hili?

      Rama, Hamisi, Abdala/Dula...... wasanii sanii na matapeli

    12. #10
      Masikini_Jeuri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2010
      Location : Igangidung'u
      Posts : 5,953
      Rep Power : 2079
      Likes Received
      698
      Likes Given
      5029

      Default Re: Unasemaje kuhusu hili?

      John ...............waongo ile mbaya
      24 hours in a day! 24 beers in a case, Coincidence? I think not!

    13. #11
      Tall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2010
      Location : Tandale kwa mtogole
      Posts : 1,431
      Rep Power : 759
      Likes Received
      142
      Likes Given
      245

      Default Re: Unasemaje kuhusu hili?

      Quote By roselyne1
      haha haaaaaaa
      vipi mbona umecheka,kapatia nini?
      always use low profile........ajikwezae atashushwa.

    14. #12
      roselyne1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 18th February 2010
      Posts : 1,374
      Rep Power : 0
      Likes Received
      75
      Likes Given
      3

      Default Re: Unasemaje kuhusu hili?

      Quote By Tall
      vipi mbona umecheka,kapatia nini?
      kusema waluwalu???eeh kapatia!...

    15. #13
      Tall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2010
      Location : Tandale kwa mtogole
      Posts : 1,431
      Rep Power : 759
      Likes Received
      142
      Likes Given
      245

      Default Re: Unasemaje kuhusu hili?

      Quote By roselyne1
      kusema waluwalu???eeh kapatia!...
      mmmmh,ok.
      always use low profile........ajikwezae atashushwa.

    Similar Topics

    1. Wewe unasemaje kuhusu hili
      By Kimbweka in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 27
      Last Post: 19th August 2011, 09:20
    2. Msaada kuhusu hili
      By gkipaka in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 0
      Last Post: 7th May 2011, 21:48
    3. Mnasemaje kuhusu hili...???
      By Papa Mopao in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 13
      Last Post: 1st November 2010, 16:35

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...