Habari zenu wana jamii forum
Napenda kuwajulisha kuwa nategemea kufunga harusi mwezi ujao,hivyo mimi nikiwa member wa forum nimeona sio vizuri kuwa kimya bila kuwajulisha wana-jamii.
Naomba pia mnisamehe kwa kuchelewa kuwahabarisha ni majukumu ya hapa na pale.
Mungu awabariki,nawakaribisha sana.
Habari zenu wana jamii forum
Napenda kuwajulisha kuwa nategemea kufunga harusi mwezi ujao,hivyo mimi nikiwa member wa forum nimeona sio vizuri kuwa kimya bila kuwajulisha wana-jamii.
Naomba pia mnisamehe kwa kuchelewa kuwahabarisha ni majukumu ya hapa na pale.
Mungu awabariki,nawakaribisha sana.
karibu kwenye game mrembo, nakutakia kila la kheri, mchele wapi sasa mami na mie nije nipige vigelegele.....
Leo hii Yesu angekuwepo, si ajabu angeenda saluni kupunguza sharubu, angeenda kwa Maumba kushona Tuxedo na angekua na IPAD....TIMING
A slippery of the tonque ni kufunga ndoa then baada ya hapo ndo atakuwa na kashere/harusi/reception.
Karibu kwenye hili chama la Mr and Mrs.
Tuko pamoja
WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.
Habari zenu wana jamii forum
Napenda kuwajulisha kuwa nategemea kufunga harusi mwezi ujao,hivyo mimi nikiwa member wa forum nimeona sio vizuri kuwa kimya bila kuwajulisha wana-jamii.
Naomba pia mnisamehe kwa kuchelewa kuwahabarisha ni majukumu ya hapa na pale.
Mungu awabariki,nawakaribisha sana.
hongera ni jambo zuri tupo pamoja na weka wazi ili tuweze kushiriki kwa namna moja au nyingine
THE BEST IS YET TO COME.
THE GREATEST EXPERIENCE IS TO MEET YOURSELF AND FALL IN LOVE WITH YOURSELF.
Follow Us Here