Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?
Heeee jamani mmefika huko? Hapana msipotoke mie nilikuwa nachangia hoja kama mchangiaji mwengine yeyote na wala post zangu hazihusiani na maisha yangu asilia so Geof relax- You know me now bro. If no tas my Babu X-Pin. As for now I dont have a man that can be shared to the extent ya mimi kuja kulumbana na Da Sophy. Not a chance my dia
LOVE is a flower, and YOU,its only seed
Mjukuu Mtiifu, 2012.
Hii inaonekana wazi iko addressed to a certain 2nd person, huyo anayeibiwa mume. Lakini kwa jinsi ilivyosomwa na kuchangiwa na wengi (mimi nimeweza tu kusoma pages mbili za mwisho niko kibaruani na bosi mkali!), inaonekana ni mada inayogusa wengi, ni kama kuchoma chumba kimoja kwenye nyumba ya ghorofa hata 10, jengo zima watahaha.
Pengine is it something we are unable to control, kwamba iwe isiwe lazima wawepo watu wasio waaminifu katika ndoa zao? Labda japo measures za impact mitigation if we can't prevent it? Hizo pages 3 nilizosoma sijaona dalili kama anatumia condom huyu dada.
Issue nyingine ni huyu aliyeelekezewa kombora hili, nadhani inafaa kufundishana pia jinsi ya ku-react to such incidents. Pengine tutoe michango ya kwamba kwa mwanamke aliyeolewa akikumbana na mtu wa Da Sophy type, ni hatua gani muafaka za kuchukua.
No one is in charge of your happiness except you...
God time is the best..
Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma
Hii inaonekana wazi iko addressed to a certain 2nd person, huyo anayeibiwa mume. Lakini kwa jinsi ilivyosomwa na kuchangiwa na wengi (mimi nimeweza tu kusoma pages mbili za mwisho niko kibaruani na bosi mkali!), inaonekana ni mada inayogusa wengi, ni kama kuchoma chumba kimoja kwenye nyumba ya ghorofa hata 10, jengo zima watahaha.
Pengine is it something we are unable to control, kwamba iwe isiwe lazima wawepo watu wasio waaminifu katika ndoa zao? Labda japo measures za impact mitigation if we can't prevent it? Hizo pages 3 nilizosoma sijaona dalili kama anatumia condom huyu dada.
Issue nyingine ni huyu aliyeelekezewa kombora hili, nadhani inafaa kufundishana pia jinsi ya ku-react to such incidents. Pengine tutoe michango ya kwamba kwa mwanamke aliyeolewa akikumbana na mtu wa Da Sophy type, ni hatua gani muafaka za kuchukua.
LOVE is a flower, and YOU,its only seed
Mjukuu Mtiifu, 2012.
JAMANI FIRST LADY ngoja niongee kwa sauti JAMANI MADA HII HAINIHUSU MIMI. MIMI NILIKUWA NACHANGIA TU KAMA MWANAJAMII WA JAMII FORUM na pengine nilokuwa nayasema yamemchoma ndo maana akaelekeza mashambulio kwangu but ah si mimi mwibiwa kwanza sina wa kuibiwa jamani au mnataka nitangaze Call for Proposals???
LOVE is a flower, and YOU,its only seed
Mjukuu Mtiifu, 2012.
[QUOTE=Da Sophy;911474]Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?[QUOTE]
babu weee tafuta mume wako ndio utajua uchungu wake...
unataka kusambaza ujinga hapa ati tuanza kuembrace u-kimada eeh???nyooko
labda km ulizaliwa na kimada na wewe,sababu mamayo hakuwa na morals hivyo hakukufundisha any!.....and cycle ya ujinga wenu inataka kuendelea......
Any woman with self respect wont be kimada to anyone.....
Lastly kimada will baki kimada,and nothing else!! huwezi chukua status yangu kama mwanamke anayeshimika ktk jamii,never!!na nyie mnajua hilo ndio maana wengi wenu mko after money na sio lingine and ofcoz nitamchunguza mme wangu nikiona maslahi yetu na watoto wetu yametishiwa amani!!!be it money-wise ama mie nafasi yangu nikiona inawindwa....
babu wee mume mtamu tafuta wako ndio ujue!
wewe ni malaya hata ujiteteee vipi
****** zako
You dont have to win every Argument, Agree to Disagree
Follow Us Here