mimi George Porjie, nikiwa na akili timamu na wala sijalazimishwa na mtu yoyote, najitokeza mbele yenu wanajamii wote wa JF na wengineo, ili muwe mashahihidi wangu. leo kwa dhati kabisa toka ndani ya moyo wangu pasina kushurutishwa na mtu yoyote, kwani moyo wangu umekua ukiniuma sana hasa pale nimuonapo mai waifu wangu kwamba kuna kipindi nilikua namchiti. roho ilinimua sana tena inaniuma sana kuona napata na ninapewa kila nikitakacho toka kwake (yale yaliyo halalishwa only) na mengine ni zaidi na matamu kuliko huko vichochoroni, nimekuja kugundua kwamba mwisho wa siku ladha, utamu na mengineyo ni sawa sawa kwa wanawake wote, kwani simu ni simu tu mambo ya kwamba ina kamera, ina slide au ina bluututhi hizo ni mbwembwe tuu!!.
napenda pia kuchukua fursa hii kutubu kwa mai waifu wangu popote alipo kwamba anisamehe sana na nina ahidi kuanzia leo kwamba mimi na yeye ni kufa na kuzikana. na wala sitarudia tena kumchiti.
wanaJF wenzangu, mabinamu, mashemeji na wazee wa kujiexpress jamani nyama ni nyama, tutamaliza mabucha but nyama ni ile ile, tubadilike.
nimeamua kubadilika kuanzia sasa.
oui, j'ai décidé de me changer, parce que la charité commencent à la maison….
eeeh Mwenyezi Mungu nisamehee kwa kumchiti mai waifu wangu.
nimeamua kuja kwa wapya na mabinamu mnishauri kwanza kabla sijajikusanya na kuanza kumwambia. inaniuma sanaaaaa jamani naandika kwa uchungu sana hapa, akili yote na mawazo yako kwake ukizingatia siku hizi ameongeza upendo kwangu mara dufu, sometimes nahisi sijui kanistukia?, yani hapo ndo naumia balaa. sio siri lazima nikonfess mbele yake
hapa utapata mawazo tofauti jinc mtu anavyolichukulia binafc, kama mie nilivyosema nicngependa uniambie, mwingine angependa umwambie, sasa cjui utashika lipi....unavyoelezea utasema hukuwa timamu ulivyokuwa unafanya hayo mambo, saa hivi unajishtukia mwenyewe, c ajabu hata mdada wa watu kajiongezea tu mapenzi wewe kwa mambo yako unahic kakushtukia, mna mambo sana nyie, mnajikosesha amani bure.
Leo hii Yesu angekuwepo, si ajabu angeenda saluni kupunguza sharubu, angeenda kwa Maumba kushona Tuxedo na angekua na IPAD....TIMING
hapa umenena shemeji, ndio maana kinachonikaba roho nimeamua nikiseme hapa nishaurike kwakua nimeamua hivyo kuanzia leo mie no kucheat.
na nimemuandalia zawadi spesheli leo usiku, a wonderful surprise.
mmh George_ Porjie kuna maswali amauliza Chaku niko entrest kuona majibu yake isee
No one is in charge of your happiness except you... God time is the best..
Shost Chaku si ndivyo wanavosingiziaga utasikia wewe siku hizi mvivu ndo mana ninakwenda kule na hata wakikaa wenyewe husimuliana kuwa kule wanapelekeshwa hadi basi
Sasa kama haiko exciting than big house wanafuata nini? ngono si ni ngono tu?
LOVE is a flower, and YOU,its only seed Mjukuu Mtiifu, 2012.
Tunaomba utubu kwa MWENYEZI MUNGU kwani ndo ulimwahidi kuwa HUTAZINI tena nje ya ndoa pale kanisani/msikitini. Pili katubu kwa mkeo halafu badilika kikwelikweli. Zamani mademu kibao ilikuwa ufahali lakini sasa hivi ni KIFO tena cha kubauliwa na jamii. Tatu kapime uone kama afya yako ipo sawasawa. KUMBUKA MTENDA AKITENDEWA.......
, nimekuja kugundua kwamba mwisho wa siku ladha, utamu na mengineyo ni sawa sawa kwa wanawake wote, kwani simu ni simu tu mambo ya kwamba ina kamera, ina slide au ina bluututhi hizo ni mbwembwe tuu!!.
hapa mkuu uliua zaidi!
yani bado naitafakari post yako kabla ya kuanza kuichangia rasmi
'!....Wakatafuta Namna Nzuuuuuuuuriiiiii.....WAKASHUG HULIKA....!'
Tunaomba utubu kwa MWENYEZI MUNGU kwani ndo ulimwahidi kuwa HUTAZINI tena nje ya ndoa pale kanisani/msikitini. Pili katubu kwa mkeo halafu badilika kikwelikweli. Zamani mademu kibao ilikuwa ufahali lakini sasa hivi ni KIFO tena cha kubauliwa na jamii. Tatu kapime uone kama afya yako ipo sawasawa. KUMBUKA MTENDA AKITENDEWA.......
Mkuu hajaoa bado ndo bado ni BF na GF kwa hiyo hana haja ya kwenda kutubu kwa mwenyezi kwa kuwa hakuahidi kuwa hatazini njee ya ndoa hivyo hajaoa
shemeji kwakweli maneno yako yananichoma kama ncha ya mkuki tena wa moto, yani kwakweli ndiye mwenyewe, nilifanya madudu haya baada ya kuona kama bado yuko mbali sana nami, ila ni hapo majuzi tu nikaja kujua a- z ya ukweli woote, kwamba there was nothing at all, she is so innocent!, basi tu mawazo potofu yaliniingia, now she has told me yuko kwangu kwa 100% ndio maana najikuta naumia sana coz sasa upendo kwake kwangu uko wazi mpaka nakuta kweli sikua mvumilivu.
ok ok ok pole sana na tamaa za kidunia zilizokuwa zimekutawala ubarikiwe na bwana mpendwa na ukae na amani yake katika maisha mema yoooooooote ya mahusiano
No one is in charge of your happiness except you... God time is the best..
siku mwenzangu akija ku-confence kwangu nampiga na mwiko usoni aende ku-confence kanisani teh teh
kwanza ataniumiza na kuniacha na maswali yasiyokuwa na majibu
No one is in charge of your happiness except you... God time is the best..
siku mwenzangu akija ku-confence kwangu nampiga na mwiko usoni aende ku-confence kanisani teh teh
kwanza ataniumiza na kuniacha na maswali yasiyokuwa na majibu
jamani nimecheka mpaka machozi....mbona hivi lakini FL! mie wala asijisumbue mana ctamjibu lolote nitadhani tu ame miss mtafaruku wangu.
Leo hii Yesu angekuwepo, si ajabu angeenda saluni kupunguza sharubu, angeenda kwa Maumba kushona Tuxedo na angekua na IPAD....TIMING
siku mwenzangu akija ku-confence kwangu nampiga na mwiko usoni aende ku-confence kanisani teh teh
kwanza ataniumiza na kuniacha na maswali yasiyokuwa na majibu
unaona sasa ugumu hapo unapokuja?. mie ndio maaana nimeamua nija hapa kupata mawazo na pia wengine wajue kwamba ugumu na urahisi wa kukonfes uko wapi. ila bado roho inaniuma jamani.
nifanyaje sasa, naogopa asije kunitandika na mwiko au mche wa kinu.
unaona sasa ugumu hapo unapokuja?. mie ndio maaana nimeamua nija hapa kupata mawazo na pia wengine wajue kwamba ugumu na urahisi wa kukonfes uko wapi. ila bado roho inaniuma jamani.
nifanyaje sasa, naogopa asije kunitandika na mwiko au mche wa kinu.
Its good u have decided to change your habit....very well! But for the sake of yourself and your partner (wife)........keep your mouth shut......! never and ever dare to open you bowl to your wife to tell her your were cheating while she was there....this will be the mistake of your life! Unless she discovered it and wants you to confess......! again never go back to your makandomakando, you need to bury them forever!
Some things are not meant to be told to our partners for the sake of good relationship and good future.....just keep it to your heart!
“When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land. - Rev.Bishop Desmond Tutu.
Its good u have decided to change your habit....very well! But for the sake of yourself and your partner (wife)........keep your mouth shut......! never and ever dare to open you bowl to your wife to tell her your were cheating while she was there....this will be the mistake of your life! Unless she discovered it and wants you to confess......! again never go back to your makandomakando, you need to bury them forever!
Some things are not meant to be told to our partners for the sake of good relationship and good future.....just keep it to your heart!
Hongele kwa hilo mzeya kitu chakfanya nenda ukamwabie umuombe msamaha,ili aweze kukulea kwa umakini zaidi.
Hebu imagine ur wife anakja kkuomba msamaha kama huo utakbali? Tafta maada nzuri yakmwngie then katkat dumbukiza hyo kwa unyenyekevu zaidi atakusikia na kkuelewa.
Hongele kwa hilo mzeya kitu chakfanya nenda ukamwabie umuombe msamaha,ili aweze kukulea kwa umakini zaidi.
Hebu imagine ur wife anakja kkuomba msamaha kama huo utakbali? Tafta maada nzuri yakmwngie then katkat dumbukiza hyo kwa unyenyekevu zaidi atakusikia na kkuelewa.
sawa mkuu nimekupata!.
mi nitakubali akija na kukonfes wala sina kinyongo kama kweli amedhamiria maana kutubu ni kkukiri na kuahidi kutorudia tena.
Sikushauri umwambie... ataanza kukudharau na hata ikitokea na yeye akafanya kitu cha ajabu utashindwa kumuuliza, maana hata ukimuuliza atakwambia "mbona wewe ulikuwa unafanya" or something like that...
All you have to do is change your attitude towards her...
Politicians and Diapers needs to be changed for the same reason...
Sikushauri umwambie... ataanza kukudharau na hata ikitokea na yeye akafanya kitu cha ajabu utashindwa kumuuliza, maana hata ukimuuliza atakwambia "mbona wewe ulikuwa unafanya" or something like that...
All you have to do is change your attitude towards her...
Follow Us Here