Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Outing kwa wanandoa.

    Report Post
    Page 1 of 9 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 161
    1. #1
      Pretty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2009
      Location : Chumbani.
      Posts : 2,287
      Rep Power : 1118
      Likes Received
      188
      Likes Given
      84

      Default Outing kwa wanandoa.

      ----Imekuwa kawaida watu wakiwa katika kipindi cha uchumba wanapenda kwenda outing kwa pamoja, utakuta mara nyingi haswa siku za weekend watu tunatoka out kujiburudisha/ kujiliwaza baada ya uchovu wa kazi na majukumu ya week nzima. Mnaweza kwenda kuhang out clubs, bar,beach, pub au restaurant.Inategemea sehemu gani mnayopendelea.

      Hawa wachumba baada ya kuwa wanandoa, haswa kwa wanaume utakuta ni wachache wanaoambatana na wake zao au family zao kwenda outing. Hapa bongo siku za weekend bar nyingi zinajaa wanaume, na hawa wanaume ni watu ambao wanandoa zao.

      Swali langu ni hili, je wewe mwanaume inakuwaje unamuacha mkeo nyumbani na kwenda bar peke yako?

      Na wewe mwanamke inakuwaje ukubali mumeo aende bar peke yake na wakati ilikuwa kawaida yenu kwenda pamoja kipindi cha uchumba?

      Haya wanajamii tujadili hapa, najua wapo wanandoa humu wanaoenda out haswa bar na kuwaacha wake/waume nyumbani.
      A mother who is really a mother is never free.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Gudboy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2009
      Location : DSM
      Posts : 805
      Rep Power : 658
      Likes Received
      9
      Likes Given
      10

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Mimi nafikiri ni kwa sababu wake kipindi cha ndoa wana majukumu mengi tofauti na waume. Halafu pia wake wakati mwingine hawapendi kutoka outing kwa sababu ya kuchoka na shughuli za kazini au nyumbani, so anaona bora apumzike home. Ni mawazo yangu tu mdada
      Kuwa na Mashori wengi si kipimo cha Urijali, kama mwanaume wa kweli, nyumbani wapate Ugali

    4. #3
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,970
      Rep Power : 3703
      Likes Received
      3578
      Likes Given
      5766

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Ni kweli tuna majukumu mengi lakini kuna wakati wa kutoka out ,utasikia eti ooh naenda kubadilishana mawazo na marafiki zangu kwani sisi hatutaki kubadilishana mawazo??
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    5. #4
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,970
      Rep Power : 3703
      Likes Received
      3578
      Likes Given
      5766

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Ila mie baba watoto simusemi vibaya huwa ananiruhusu kutoka out na marafiki zangu pale ninapojisikia ,mradi tu nimuombe /nimtaarifu
      na mala kwa mala natoka nae labda siku hiyo akiniomba na nikiwa sijisikii namwambia aende mwenyewe
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    6. #5
      Fugwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Tabata Dampo
      Posts : 847
      Rep Power : 717
      Likes Received
      95
      Likes Given
      43

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Wanaume tunaenda kupata vile ambavyo home hatuwezi kupata (Natania tu). Mie natoka naye out, leo nanunua jezi za ushabiki, wife ni yanga na mtoto wangu wa kiume, mimi ni simba na watoto wangu wawili wa kike. Eeeebwana hapatoshi. Gari moja kutakuwa na jezi za simba na yanga hiyo jumamosi. Jamani tokeni na familia nzima sio mume na mke tu je, watoto??? FirstLady sema hapo

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      mwanamke ukitaka mume akutoe out mkishakuwa katika ndoa............akikwambia naenda kuzungumza na rafiki zangu, mwambie basi na mie acha niende kuzungumza na rafiki zangu pia.
      ukishakuwa tayari kurudi nyumbani ni-beep....
      uone ataacha mara moja :D

    9. #7
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,970
      Rep Power : 3703
      Likes Received
      3578
      Likes Given
      5766

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Quote By Fugwe
      Wanaume tunaenda kupata vile ambavyo home hatuwezi kupata (Natania tu). Mie natoka naye out, leo nanunua jezi za ushabiki, wife ni yanga na mtoto wangu wa kiume, mimi ni simba na watoto wangu wawili wa kike. Eeeebwana hapatoshi. Gari moja kutakuwa na jezi za simba na yanga hiyo jumamosi. Jamani tokeni na familia nzima sio mume na mke tu je, watoto??? FirstLady sema hapo
      Fugwe yaani umenichekesha hiyo itakuwa kama ze comedi teh teh mie nitakuwa pembeni na camera yangu
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    10. #8
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,970
      Rep Power : 3703
      Likes Received
      3578
      Likes Given
      5766

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Quote By Gaijin
      mwanamke ukitaka mume akutoe out mkishakuwa katika ndoa............akikwambia naenda kuzungumza na rafiki zangu, mwambie basi na mie acha niende kuzungumza na rafiki zangu pia.
      ukishakuwa tayari kurudi nyumbani ni-beep....
      uone ataacha mara moja :D
      teh teh teh atanuna huyo ,atahisi huyu maza house anataka kuwa kidume ndani ya nyumba?
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    11. #9
      carmel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2009
      Posts : 2,804
      Rep Power : 1071
      Likes Received
      202
      Likes Given
      128

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Wakati mwingine wanawake pia tusipende tu kusubiri kutolewa out, inabidi na sisi tuwe mstari wa mbele kupanga outing na kuwatoa waume zetu. Mi wangu tuna sheria, kila nikimtoa mara moja yeye anarudisha mara tatu. so hajisikii kama anaumizwa na budget maana hata mimi nashiriki.
      A gossip betrays a confidence; so avoid a man who talks too much.
      Proverbs 20:19


    12. #10
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Quote By Firstlady1
      teh teh teh atanuna huyo ,atahisi huyu maza house anataka kuwa kidume ndani ya nyumba?
      unamwambia hayo with ur cuttest innocent face ON..........
      lazima ajiulize mara mbili mbili "hapa inakuwaje sasa"

    13. #11
      Teamo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : KIJIWE SAMRI-BOM BOM
      Posts : 12,161
      Rep Power : 11897
      Likes Received
      804
      Likes Given
      630

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Quote By Gaijin
      mwanamke ukitaka mume akutoe out mkishakuwa katika ndoa............akikwambia naenda kuzungumza na rafiki zangu, mwambie basi na mie acha niende kuzungumza na rafiki zangu pia.
      ukishakuwa tayari kurudi nyumbani ni-beep....
      uone ataacha mara moja :D
      kwi kwi kwi kwi!nitaua mtu:D
      '!....Wakatafuta Namna Nzuuuuuuuuriiiiii.....WAKASHUG HULIKA....!'

    14. #12
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,049
      Rep Power : 9497
      Likes Received
      3172
      Likes Given
      1231

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Quote By Firstlady1
      Ni kweli tuna majukumu mengi lakini kuna wakati wa kutoka out ,utasikia eti ooh naenda kubadilishana mawazo na marafiki zangu kwani sisi hatutaki kubadilishana mawazo??
      Mambo ya kiume kiume wewe yatakuhusu nini? Kama wanajadiliana maswala ya style mbuzi sijui kafanya nini mara mende anakimbia wewe haya unatakiwa kuyaona uwanjani.
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    15. #13
      Kisoda2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2008
      Posts : 845
      Rep Power : 729
      Likes Received
      45
      Likes Given
      260

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Quote By Fidel80
      Mambo ya kiume kiume wewe yatakuhusu nini? Kama wanajadiliana maswala ya style mbuzi sijui kafanya nini mara mende anakimbia wewe haya unatakiwa kuyaona uwanjani.
      haaaaaaa haaaaaaaaaa

      umesahau na ile ya paka chong style nk,nk.hatakiwi kweli kuwepo.
      Vitu ingine vyatakiwa kuwa kama surprise ,.....lol
      " Masikini haishiwi NDOTO !!! "

    16. #14
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,970
      Rep Power : 3703
      Likes Received
      3578
      Likes Given
      5766

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Quote By Fidel80
      Mambo ya kiume kiume wewe yatakuhusu nini? Kama wanajadiliana maswala ya style mbuzi sijui kafanya nini mara mende anakimbia wewe haya unatakiwa kuyaona uwanjani.
      Fidel80 mwenzio akijua hizo style kuna ubaya ,
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    17. Iza
      #15
      Iza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2009
      Location : palipo na Internet
      Posts : 1,635
      Rep Power : 855
      Likes Received
      232
      Likes Given
      368

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      mwanamke ukitaka mume akutoe out mkishakuwa katika ndoa............akikwambia naenda kuzungumza na rafiki zangu, mwambie basi na mie acha niende kuzungumza na rafiki zangu pia.
      ukishakuwa tayari kurudi nyumbani ni-beep....
      uone ataacha mara moja.


      Tafadhaali mkuu,hayo sio mambo sikawii kughairi outin

    18. #16
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,049
      Rep Power : 9497
      Likes Received
      3172
      Likes Given
      1231

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Quote By Kisoda2
      haaaaaaa haaaaaaaaaa

      umesahau na ile ya paka chong style nk,nk.hatakiwi kweli kuwepo.
      Vitu ingine vyatakiwa kuwa kama surprise ,.....lol
      Unajua hawa iwa hawajui tu pale watu tunabadilishana mawazo wengine hawajui Katerero inapigwaje sasa mnapo kuwa kwenye mazungumzo mnabadilishana maufundi ukifika home lazima F1 uchanganyikiwe na maufundi.
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    19. #17
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,049
      Rep Power : 9497
      Likes Received
      3172
      Likes Given
      1231

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Quote By Firstlady1
      Fidel80 mwenzio akijua hizo style kuna ubaya ,
      Fikiria tumekukatana kwenye kikao chetu cha jmosi au j2 na Mr. nae yupo huku na huku Masanilo anaingizia story kuwa dah ile wheel barrow style balaa huku pembeni kuna mdau Nguli nae anapigilia msumari hapa kati kuna Geoff nae anapigilia msumari hiyo lazima uwe umeshiba pembeni mpwa Chrispin nae anamwaga vitu wewe joto halita panda?
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    20. #18
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14546
      Likes Given
      22033

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Quote By Gaijin
      mwanamke ukitaka mume akutoe out mkishakuwa katika ndoa............akikwambia naenda kuzungumza na rafiki zangu, mwambie basi na mie acha niende kuzungumza na rafiki zangu pia.
      ukishakuwa tayari kurudi nyumbani ni-beep....
      uone ataacha mara moja :D
      We danganya wenzako tu! Yaani aache kutoka kwa sababu umemwambia unaenda kuzungumza na rafiki zako? Kwani huwa anakunyimaga ruhusa? Pole. Mi wakwangu akitaka aende kuzungumza na marafiki zake, na aende! Hata akirudi asubuhi! Ila mi kutoka out kivyangu sitaacha.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    21. #19
      Triplets's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2007
      Posts : 676
      Rep Power : 730
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      huko baa kama shida ni kupiga story na wanaume wenzao, si kila mwanaume angekuwa anakwenda na mkewe, wanaume meza yao kuongea yanayowahusu na wanawake mezani kwao kupiga porojo zao, baada ya hapo kila mmoja anarudi kwake na wake..

      haya mambo ya kwenda bar bila wake zao si yanaweza kuzusha majambo? ukizingatia habari za ma baa maid, wachunaji. na hivi vikundi vya siku hizi vya shake shake tunavyosikia vina "tumbuiza" wanywaji ukiongeza na kinywaji kwenye vichwa vya watu...mmmhhh!!
      Why talk big when you can walk strong!

    22. #20
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14546
      Likes Given
      22033

      Default Re: Outing kwa wanandoa.

      Quote By Fidel80
      Fikiria tumekukatana kwenye kikao chetu cha jmosi au j2 na Mr. nae yupo huku na huku Masanilo anaingizia story kuwa dah ile wheel barrow style balaa huku pembeni kuna mdau Nguli nae anapigilia msumari hapa kati kuna Geoff nae anapigilia msumari hiyo lazima uwe umeshiba pembeni mpwa Chrispin nae anamwaga vitu wewe joto halita panda?
      Hahaha! Akiwa na timu hiyo, kesho yake FL1 hatathubutu kutoka tena na hubby wake!!
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    Page 1 of 9 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Hii ni kwa wanandoa tu!!!!!!!!!.
      By KIBURUDISHO in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 45
      Last Post: 27th October 2011, 15:21
    2. Kwa wanandoa
      By nyumba kubwa in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 36
      Last Post: 18th July 2011, 16:45
    3. Kumtoa outing mkeo mpaka ajipake annointing oil jamani??
      By Pdidy in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 14
      Last Post: 13th May 2011, 11:23
    4. Wanandoa...
      By Suki in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 1
      Last Post: 27th February 2011, 10:25
    5. Kwa wanandoa!!
      By Mkeshahoi in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 32
      Last Post: 29th July 2010, 18:35

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...