Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Huyu mtu ni mtu wa namna gani?

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      pmoses95's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2012
      Location : dsm
      Posts : 398
      Rep Power : 403
      Likes Received
      96
      Likes Given
      158

      Default Huyu mtu ni mtu wa namna gani?

      Ilikuwa ni jumamosi mnamo mwaka 2012 nilipokuwa kanisani nikishuhudia ndoa ya rafiki yangu.
      Ilifika mda wa kufungishwa ndoa na mchungaji.......hapo ndipo nilipoacha mdomo wazi
      Msichana alikataa kuolewa akiwa ndani ya shela tena madhabahuni.
      Daaa iliniuma sana ijapokuwa sikukataliwa mm.
      Lakini cha kushangaza baada ya mshikaji kukataliwa live waliendelea na mahusiono na cha ajabu zaidi baada ya hapo wakaanza kuishi pamoja .

      Mm najiuliza sana huyu alie kataliwa siku ya kufunga ndoa ni mtu mwenye roho gani?
      je wewe ungeweza fanya kama yeye (kurudiana na huyu binti)?

    2. Miaka 50

    3. #2
      lilly petet's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th February 2013
      Posts : 67
      Rep Power : 327
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: Huyu mtu ni mtu wa namna gani?

      cjui.......

    4. #3
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,154
      Rep Power : 6554
      Likes Received
      2693
      Likes Given
      1304

      Default Re: Huyu mtu ni mtu wa namna gani?

      Mapenzi ndugu....acha tu
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    5. #4
      bornagain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : Nyakanazi - Biharamulo
      Posts : 1,616
      Rep Power : 693
      Likes Received
      438
      Likes Given
      320

      Default Re: Huyu mtu ni mtu wa namna gani?

      Labda ndo walikuwa wamepanga style yao watoke hivo huwezi jua
      There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".

    6. #5
      SWEEPER's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th July 2012
      Posts : 149
      Rep Power : 374
      Likes Received
      40
      Likes Given
      38

      Default Re: Huyu mtu ni mtu wa namna gani?

      Wote wawili manzaganya! Mmoja hampendi mwenzake lakini wote wawili hawana second options

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      asakuta same's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 2,526
      Rep Power : 986
      Likes Received
      660
      Likes Given
      429

      Default Re: Huyu mtu ni mtu wa namna gani?

      Kuna watu wanaroho ngumu hapa kwenye uso wa dunia

    9. #7
      snowhite's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Location : nyumbani
      Posts : 7,728
      Rep Power : 19938
      Likes Received
      7739
      Likes Given
      7253

      Default Re: Huyu mtu ni mtu wa namna gani?

      huyu mtu huuuuyu enh!
      ni aina ya mtu anayeweza kukataloiwa kanisani na kisha kurudiana na aliyemkataa na wakaishi!
      enh bana!ndiyo aina ya huyu mtu!
      IT TAKES A MAN TO CONSTRUCT A HOUSE BUT IT NEEDS A WOMAN TO MAKE A HOME!

    10. #8
      Dr Ngoffi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th February 2013
      Posts : 19
      Rep Power : 317
      Likes Received
      1
      Likes Given
      3

      Default Re: Huyu mtu ni mtu wa namna gani?

      Walikuwa wamepanga hivyo...ili waliowachangia waone kuwa harudi imevunjika hivyo hakutakuwa na tafrija ....so michango yao ndio imekwenda kimjinimjini

    11. #9
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,877
      Rep Power : 7037
      Likes Received
      2046
      Likes Given
      1572

      Default Re: Huyu mtu ni mtu wa namna gani?

      Hapo tatizo ni kwamba mwanaume anampenda sana huyo binti wakati binti hana mpango naye. Hata huko kuishi naye ni mwanaume ndiyo amefanya kazi ya kujibembeleza na kupiga magoti kwa huyo binti. Haya mambo yapo na ni sehemu ya maisha ya jamii yetu.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    12. #10
      kabanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th December 2011
      Location : Kisarawe
      Posts : 2,024
      Rep Power : 780
      Likes Received
      472
      Likes Given
      104

      Default Re: Huyu mtu ni mtu wa namna gani?

      hao wanaChezeana ....

    13. #11
      SI unit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2012
      Posts : 999
      Rep Power : 565
      Likes Received
      180
      Likes Given
      22

      Default Re: Huyu mtu ni mtu wa namna gani?

      Aah, ngumu kumeza

    14. amu
      #12
      amu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th August 2012
      Posts : 3,004
      Rep Power : 17693
      Likes Received
      1688
      Likes Given
      419

      Default

      Naona mamito umemuelewa embu nieleweshe inaelekea wanapenda vya haramu vya halali hawaviwezi
      Quote By snowhite
      huyu mtu huuuuyu enh!
      ni aina ya mtu anayeweza kukataloiwa kanisani na kisha kurudiana na aliyemkataa na wakaishi!
      enh bana!ndiyo aina ya huyu mtu!
      snowhite likes this.

    15. #13
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,651
      Rep Power : 32147
      Likes Received
      5004
      Likes Given
      5175

      Default

      Quote By snowhite
      huyu mtu huuuuyu enh!
      ni aina ya mtu anayeweza kukataloiwa kanisani na kisha kurudiana na aliyemkataa na wakaishi!
      enh bana!ndiyo aina ya huyu mtu!
      hahahahaha. Man U inaongoza
      snowhite likes this.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...