pole kijana, pole sana wanasema is the greatest pain ever,
pongezi kwako- kwa uamuzi ulochukua baada ya kumfumania ndiyo uliko na hasira lakin hukumpiga hata mmoja wao,,
ulifanya pia vizuri kumpeleka kwa wazazi, ila ningependa uruhusu maongezi kati yako wewe nae kwanza,,
vipi mkeo anaonesha moyo wa kuomba msamaha au ilikuaje, ndugu hapo juu kauliza swali la msingi vipi walitumia kinga,,
ni vema mkazungumza wewe na mkeo kwa mapana na marefu, hivi ni kitu gani hasa ni tabia yake, kuna kitu kinakosekana katika mapenzi, au ni gani? je unamridhisha mkeo kimapenzi? mnafanya mara nyingi apendavyo, upendavyo mpendavyo?
psychologia ya mapenzi inasemaje? mwanaume anaweza kutoka ni kawaida kwa wanaume wengi, sasa ukiona hata mkeo nae anatoka labda anajua unatoka na ameshindwa kukuambia na amejichukulia maamuzi pekee? au anakosa kitu? anything is rit
kinachouma apa ni kumfumania sio? jiulize ni mazuri mangapi mnafanya pamoja. mnaenjoy mapenzi mara ngapi. mbona hili limekua kubwa kwako kiasi unataka kumkatakata
je? hakuna tatizo jingine lolote kati yako wewe na mpenzi wako, lililotokea karibuni? ambalo unaweza ukalihusianisha na hili jambo? naamini mara nying hii ni triger tu kuna mambo mengi ups and down
jambo jingine usione ati huu muda ni mwingi saana at 13yrs, wengine tuna 13yrs baada ya drs la saba na bado tunasoma ni kitambo kidogo tu,, LOVE LAST IT'S ETERNAL
kwa ufupi unamjua mkeo kuliko mtu mwingine, yafaa kumsikiliza pia bibie jugdement ya upande moja haifai,,
ila kama upo CLEAN, HUJAWAHI TENDA JAMBO LISILO BAYA KWA MKEO,, , MAANDIKO YASEMA KOSA LA KUMFUMANIA MKEO WAWEZA FANYA MAAMUZI KUMWACHA MAANA UMEMWACHA KWA UZINZI
Follow Us Here