Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters! - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Mahusiano, mapenzi, urafiki


Mahusiano, mapenzi, urafiki Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 1st July 2009, 11:28 PM   #1
Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters!
Yo Yo Yo Yo is offline 1st July 2009, 11:28 PM

Jamaa’ngu mmoja ana mchumba’ke ila sasa ni kama hawaelewani kwenye suala la kuzaa…..jamaa sasa ana 30yrs old anataka mtoto na msichana ndio kwanza yuko college…..na shori kakomaa anasema yeye atazaa mpaka ahitimu masters ambayo kama kuipata ni baada ya miaka minne 4….
…mna mshaurije huyu jamaa na mchumba’ke…...
__________________


 
Yo Yo's Avatar
Yo Yo
JF Senior Expert Member
Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
Join Date: Sat May 2008
Posts: 5,484
Thanks: 57
Thanked 54 Times in 37 Posts
Views: 2226
Reply With Quote
  #2  
Old 1st July 2009, 11:39 PM
Yo Yo's Avatar
Yo Yo Yo Yo is offline
Yo Yo is praying
JF Senior Expert Member
Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
 
Join Date: Sat May 2008
Posts: 5,484
Thanks: 57
Thanked 54 Times in 37 Posts
Rep Power: 32
Yo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Mimi nimemshauri wakati akimsubiria bibie amalize masters yake na yeye anahitaji mtoto basi atafute wa kumzalia na wakubaliane na bibie......maana naona jamaa ananyanyaswa...
__________________

Reply With Quote
  #3  
Old 1st July 2009, 11:43 PM
Bluray's Avatar
Bluray Bluray is offline
Bluray is the one talked about by the fashion bloggers
JF Senior Expert Member
Points: 224,597, Level: 100 Points: 224,597, Level: 100 Points: 224,597, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Tue Mar 2008
Posts: 3,453
Thanks: 55
Thanked 948 Times in 514 Posts
Rep Power: 29
Bluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Wakubaliane kuachana, kwani inaonekana wana mielekeo tofauti, huyu mwingine anamind kuzaa na mwingine kusoma.

Akimaliza masters na kusema anataka kufanya PhD?
__________________
The Singularity is Near.
Reply With Quote
  #4  
Old 1st July 2009, 11:44 PM
Kaizer's Avatar
Kaizer Kaizer is offline
Kaizer loving you everyday
JF Premium Member
Points: 273,389, Level: 100 Points: 273,389, Level: 100 Points: 273,389, Level: 100
Activity: 84% Activity: 84% Activity: 84%
 
Join Date: Tue Sep 2008
Posts: 3,361
Thanks: 976
Thanked 1,045 Times in 655 Posts
Rep Power: 28
Kaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
Mimi nimemshauri wakati akimsubiria bibie amalize masters yake na yeye anahitaji mtoto basi atafute wa kumzalia na wakubaliane na bibie......maana naona jamaa ananyanyaswa...
kwani uyo jamaa ameambiwa akifikisha miaka 35 hataweza kuzaa tena? angekuwa mwanamke ningeelewa.

Kama hawawezi kuelewana kwa suala dogo kama hilo, je wakiingia kwenye ndoa itakuwaje

By the way wanatakaje mtoto na huku hawajaoana?
__________________
"" Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana, naye atanisamehe upotovu wa dhambi zangu"

Kaizer@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #5  
Old 1st July 2009, 11:50 PM
Yo Yo's Avatar
Yo Yo Yo Yo is offline
Yo Yo is praying
JF Senior Expert Member
Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
 
Join Date: Sat May 2008
Posts: 5,484
Thanks: 57
Thanked 54 Times in 37 Posts
Rep Power: 32
Yo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
Akimaliza masters na kusema anataka kufanya PhD?
sawa sawa na mie nilimwambia hicho kitu.....shori anasema anataka maisha mazuri yaani akiwa na masters yeye kwake ndio atakuwa na maisha mazuri....wakati jamaa atakuwa keshakuwa kijeba......

......kitu kingine hawa wanawake hawaelewi jambo moja kuwa as siku zinavyozidi kwenda wanazidi kuchoka am sure after masters hatakuwa na mvuto kama alionao sasa hivi....
__________________

Reply With Quote
  #6  
Old 1st July 2009, 11:53 PM
Ndumbayeye's Avatar
Ndumbayeye Ndumbayeye is offline
Ndumbayeye jiwe kuu la pembeni
Senior Member
Points: 106,670, Level: 100 Points: 106,670, Level: 100 Points: 106,670, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sat Jan 2009
Posts: 125
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 3 Posts
Rep Power: 22
Ndumbayeye will become famous soon enoughNdumbayeye will become famous soon enoughNdumbayeye will become famous soon enoughNdumbayeye will become famous soon enoughNdumbayeye will become famous soon enoughNdumbayeye will become famous soon enoughNdumbayeye will become famous soon enoughNdumbayeye will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

atafute mke wa kuoa amzalie, asitake kuoa degree hilo ndio kosa la watu wengi wasomi.. wanaoa degree si mwanamke, matokeo inajengwa familia ya ajabu.
Reply With Quote
  #7  
Old 1st July 2009, 11:54 PM
Bluray's Avatar
Bluray Bluray is offline
Bluray is the one talked about by the fashion bloggers
JF Senior Expert Member
Points: 224,597, Level: 100 Points: 224,597, Level: 100 Points: 224,597, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Tue Mar 2008
Posts: 3,453
Thanks: 55
Thanked 948 Times in 514 Posts
Rep Power: 29
Bluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enoughBluray will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Halafu ushahidi wa kisayansi unaonyesha kwamba watoto wanaozaliwa na kinamama wakubwa sana - late thirties and on - wana nafasi kubwa ya kuzaliwa na matatizo kama ya autism na mengine.

Hili analijua nalo?
__________________
The Singularity is Near.
Reply With Quote
  #8  
Old 1st July 2009, 11:54 PM
Yo Yo's Avatar
Yo Yo Yo Yo is offline
Yo Yo is praying
JF Senior Expert Member
Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
 
Join Date: Sat May 2008
Posts: 5,484
Thanks: 57
Thanked 54 Times in 37 Posts
Rep Power: 32
Yo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
kwani uyo jamaa ameambiwa akifikisha miaka 35 hataweza kuzaa tena? angekuwa mwanamke ningeelewa.
mkuu ni mipangilio ya jamaa akifikisha umri fulani aachane na kuzaa.....imagine unazaa una 40 huyo mtoto atakuita baba au babu? pia kumbuka life expactancy ya mtanzania ni miaka 37 kama sijakosea....

Quote:
View Post
By the way wanatakaje mtoto na huku hawajaoana?
suala lilikuwa ndoa+mtoto.....
__________________

Reply With Quote
  #9  
Old 2nd July 2009, 12:07 AM
Yo Yo's Avatar
Yo Yo Yo Yo is offline
Yo Yo is praying
JF Senior Expert Member
Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
 
Join Date: Sat May 2008
Posts: 5,484
Thanks: 57
Thanked 54 Times in 37 Posts
Rep Power: 32
Yo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

hapa nakusanya ushauri wenu ili nikam samaraizie jamaa......
__________________

Reply With Quote
  #10  
Old 2nd July 2009, 12:30 AM
Mwawado's Avatar
Mwawado Mwawado is offline
Mwawado Mossad Sensei
JF Senior Expert Member
Points: 220,605, Level: 100 Points: 220,605, Level: 100 Points: 220,605, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Nov 2006
Location: Tulsa, Oklahoma/MFA-TZ
Posts: 1,075
Thanks: 51
Thanked 73 Times in 33 Posts
Rep Power: 26
Mwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Mshauri Rafiki yako amuoe mchumba wake kwanza na baadaye ndio afikirie kupata Mtoto..Wasichana wengi sasa hivi wanaogopa mtego wa kuzaa kabla ya ndoa!
__________________
Its not enough to do good if you can do better.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
anakataa, baada, eti, kumaliza, kuzaa, masters, mpaka


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 03:53 PM
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 01:29 PM
Mapambano ya Polisi na MajambaziArusha Yapamba moto! Pinokyo Jukwaa la Siasa 34 10th May 2008 01:07 AM
Patashika nguo kuchanika.... Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 8 27th August 2007 10:06 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 09:38 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com