Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters! - Page 9 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Mahusiano, mapenzi, urafiki


Mahusiano, mapenzi, urafiki Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 1st July 2009, 11:28 PM  
Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters!
Yo Yo Yo Yo is offline 1st July 2009, 11:28 PM

Jamaa’ngu mmoja ana mchumba’ke ila sasa ni kama hawaelewani kwenye suala la kuzaa…..jamaa sasa ana 30yrs old anataka mtoto na msichana ndio kwanza yuko college…..na shori kakomaa anasema yeye atazaa mpaka ahitimu masters ambayo kama kuipata ni baada ya miaka minne 4….
…mna mshaurije huyu jamaa na mchumba’ke…...
__________________


 
Yo Yo's Avatar
Yo Yo
JF Senior Expert Member
Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
Join Date: Sat May 2008
Posts: 5,484
Thanks: 57
Thanked 54 Times in 37 Posts
Views: 2227
Reply With Quote
  #81  
Old 3rd July 2009, 05:13 PM
Balingilaki Balingilaki is offline
Balingilaki has no status.
Senior Member
Points: 69,757, Level: 100 Points: 69,757, Level: 100 Points: 69,757, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sat Aug 2008
Posts: 72
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 22
Balingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
sawa sawa na mie nilimwambia hicho kitu.....shori anasema anataka maisha mazuri yaani akiwa na masters yeye kwake ndio atakuwa na maisha mazuri....wakati jamaa atakuwa keshakuwa kijeba......

......kitu kingine hawa wanawake hawaelewi jambo moja kuwa as siku zinavyozidi kwenda wanazidi kuchoka am sure after masters hatakuwa na mvuto kama alionao sasa hivi....
mmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhh ebu tuone,masters inasaidia kuzaaa labda
Reply With Quote
  #82  
Old 3rd July 2009, 05:14 PM
Balingilaki Balingilaki is offline
Balingilaki has no status.
Senior Member
Points: 69,757, Level: 100 Points: 69,757, Level: 100 Points: 69,757, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sat Aug 2008
Posts: 72
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 22
Balingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enoughBalingilaki will become famous soon enough
Default Re: Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters!

Quote:
View Post
Jamaa’ngu mmoja ana mchumba’ke ila sasa ni kama hawaelewani kwenye suala la kuzaa…..jamaa sasa ana 30yrs old anataka mtoto na msichana ndio kwanza yuko college…..na shori kakomaa anasema yeye atazaa mpaka ahitimu masters ambayo kama kuipata ni baada ya miaka minne 4….
…mna mshaurije huyu jamaa na mchumba’ke…...
vp game inatoka
Reply With Quote
  #83  
Old 6th July 2009, 10:20 AM
mwaJ mwaJ is offline
mwaJ has no status.
Junior Member
Points: 75,361, Level: 100 Points: 75,361, Level: 100 Points: 75,361, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Sep 2007
Posts: 6
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
mwaJ will become famous soon enoughmwaJ will become famous soon enoughmwaJ will become famous soon enoughmwaJ will become famous soon enoughmwaJ will become famous soon enoughmwaJ will become famous soon enoughmwaJ will become famous soon enoughmwaJ will become famous soon enough
Default Re: Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters!

Quote:
View Post
Jamaa’ngu mmoja ana mchumba’ke ila sasa ni kama hawaelewani kwenye suala la kuzaa…..jamaa sasa ana 30yrs old anataka mtoto na msichana ndio kwanza yuko college…..na shori kakomaa anasema yeye atazaa mpaka ahitimu masters ambayo kama kuipata ni baada ya miaka minne 4….
…mna mshaurije huyu jamaa na mchumba’ke…...

Huyo jamaa aache ujinga! Unatakaje mtoto kabla ya ndoa? Hata ningekuwa mimi ningetafuta visingizio kibao. Wafunge ndoa aone kama suala la Masters litakuwepo.
Reply With Quote
  #84  
Old 8th July 2009, 05:26 PM
Masanja Masanja is offline
Masanja Warning all Mafisadi wakae chonjo: Habari ndiyo hiyooo!
JF Senior Expert Member
Points: 126,532, Level: 100 Points: 126,532, Level: 100 Points: 126,532, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Wed Aug 2007
Location: Msewe
Posts: 1,322
Thanks: 40
Thanked 241 Times in 88 Posts
Rep Power: 25
Masanja will become famous soon enoughMasanja will become famous soon enoughMasanja will become famous soon enoughMasanja will become famous soon enoughMasanja will become famous soon enoughMasanja will become famous soon enoughMasanja will become famous soon enoughMasanja will become famous soon enough
Default Re: Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters!

Nisikilizie sasa.. ingekuwa mwanume..kama binti ndo katoa suggestion muoane na ndo ukamwambia asubiri umalize masters au PhD..Hapa pangekuwa hapatoshi ati...(akina Shishi, Mwanajamii, WoS na Pretty -lol) wangekuwa wameshakuja na silaha za gender hapa!

Anyway ukweli ni kwamba hapa hakuna direct answer..kuna mambo mengi yanachangia maamuzi. Mwambie jamaa apime upendo wake kwa binti na aangalie nafasi aliyonayo. Na vile vile umri wa sasa wa msichana ni factor..kama yuko above 28..hapo.....maana akimaliza atakuwa above 32...kuna shughuli kidogo...Na lazima ajue kabisa..demu anayefanya masters ni more likely atakuwa na kazi nzuri na..sasa kama jamaa kisomo chake hakijatulia au kazi yake..ndo hivyo tena..uwezekano wa mdada kubadilisha line kwenda tigo au Zain upo..na kama demu yuko nje jamaa ndo yuko bongo..ningemshauri ajiondoe mapema tuu..aombe urafiki wa kalamu......

Hivi jamani naomba kuuliza..umri gani ni mzuri kwa msichana kuolewa?
__________________
For Africa to achieve progress, it is absolutely necessary to move from the current absolute misery to dignified poverty.
Reply With Quote
  #85  
Old 9th July 2009, 06:54 PM
Sugar wa Ukweli's Avatar
Sugar wa Ukweli Sugar wa Ukweli is offline
Sugar wa Ukweli has no status.
Senior Member
Points: 64,009, Level: 100 Points: 64,009, Level: 100 Points: 64,009, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu Jun 2009
Posts: 182
Thanks: 524
Thanked 64 Times in 41 Posts
Rep Power: 21
Sugar wa Ukweli will become famous soon enoughSugar wa Ukweli will become famous soon enoughSugar wa Ukweli will become famous soon enoughSugar wa Ukweli will become famous soon enoughSugar wa Ukweli will become famous soon enoughSugar wa Ukweli will become famous soon enoughSugar wa Ukweli will become famous soon enoughSugar wa Ukweli will become famous soon enough
Default Re: Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters!

Huyu mdada anamyeyusha tu mshikaji,jamaa afanyanye mpango wa utafuta mwanake mwingine,huyu wa masters hawak sambamba kimwelekeo
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
anakataa, baada, eti, kumaliza, kuzaa, masters, mpaka


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 03:53 PM
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 01:29 PM
Mapambano ya Polisi na MajambaziArusha Yapamba moto! Pinokyo Jukwaa la Siasa 34 10th May 2008 01:07 AM
Patashika nguo kuchanika.... Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 8 27th August 2007 10:06 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 09:10 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com