Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters! - Page 4 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Mahusiano, mapenzi, urafiki


Mahusiano, mapenzi, urafiki Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 1st July 2009, 11:28 PM  
Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters!
Yo Yo Yo Yo is offline 1st July 2009, 11:28 PM

Jamaa’ngu mmoja ana mchumba’ke ila sasa ni kama hawaelewani kwenye suala la kuzaa…..jamaa sasa ana 30yrs old anataka mtoto na msichana ndio kwanza yuko college…..na shori kakomaa anasema yeye atazaa mpaka ahitimu masters ambayo kama kuipata ni baada ya miaka minne 4….
…mna mshaurije huyu jamaa na mchumba’ke…...
__________________


 
Yo Yo's Avatar
Yo Yo
JF Senior Expert Member
Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
Join Date: Sat May 2008
Posts: 5,484
Thanks: 57
Thanked 54 Times in 37 Posts
Views: 2225
Reply With Quote
  #31  
Old 2nd July 2009, 09:54 AM
MwanaFalsafa1's Avatar
MwanaFalsafa1 MwanaFalsafa1 is offline
MwanaFalsafa1 For the love of God and country
JF Premium Member
Points: 534,819, Level: 100 Points: 534,819, Level: 100 Points: 534,819, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Tue Feb 2008
Posts: 3,642
Thanks: 253
Thanked 492 Times in 318 Posts
Rep Power: 31
MwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
nakubaliana nawe kwa mengine lakini hili sio. Miaka sio issue saana. Yaani mtu ana 35 akioa wa 25 imepitwa na wakati? Mkiwa wate 30s utaona jinsi atakavyokuwa anazeeka faster kabla yako then unaanza za huku na kule.

Ungesema reasonable age difference.
Mkuu age ndiyo is not a matter. Ila ninacho sema mimi unaangalia on a person to person basis. Mkuu hapa hauoni jamaa kaona anachelewa but the girl yeye anaona bado muda anao na anataka kusoma? Kama anaona anachelewa atatute binti ambae kamaliza mambo yote ya shule na pia kama yupo tayari kumsubiria amsubirie. SIkumaanisha mkuu kuwa mkipishana miaka kumi msioane ila ni obvious hapa kuwa jamaa anaona muda kwake umeenda na binti kwake anaona time is on her side.
__________________
"Ask not what your country can do for you, ask what you can do for your country"-JFK.
Reply With Quote
  #32  
Old 2nd July 2009, 10:03 AM
Amosam Amosam is offline
Amosam has no status.
Senior Member
Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 156
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 22
Amosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
Jamaa yako inaonesha anakuwa mgumu sana kusoma alama za nyakati..Kwa kifupi huyo shori hamzimii msela kiivo na ndio maana jamaa anapomletea mambo ya kuzaa sijui kutotoa..anamchek kidaini huku moyoni akijisemea ' huyu vipi!!? '

Mi nawajua sana mademu mazee, akiwa hakuzimii na wala haoni future na wewe ataleta gunia la visingizio..Kwa kifupi shori ameegesha tu kwa mshikaji kujikinga mvua na mvua ikiisha anatambaa..
100% nakuunga mkono,miguu,kichwa na kiwiliwili,huyo demu ameshamuona jamaa mzigo wa kinyesi haubebeki.Jamaa ajue kuwa hiyo master ndio utenganisho wao,aaamini aasiaaamini ukweli ndio huo.
Reply With Quote
  #33  
Old 2nd July 2009, 10:07 AM
Amosam Amosam is offline
Amosam has no status.
Senior Member
Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 156
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 22
Amosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
kwani jamani...inaruhusiwa kuzaa na mchumba wako au mke wako??....nadhani jamaa anapanick upuuzi tuu...wewe huwezi kuzaa na mchumba...anatakiwa azae na mkewe...hapo naona shorty yupo smart...ila kama ungeniambia short hataki kuolewa na kuwa mke kabla hajachukuwa masterz then ningesema mshkaji atafute demu mwingine aoe kisha azae naye

kingine ambacho najaribu kujiuliza...kwani mwanaume ukiwa na 30yrs ndio mwisho wa kuzaa?...au anataka kutuambia kuwa right time ya mwanaume kuzaa ni 30yrs?....

nachokiona hapa ni kuwa dada yetu amakuwa smart kuliko mshkaji ambaye hata mie naona anataka kumzalisha dada yetu bila ndoa kisha aoe mtu mwingine then dada yetu awe na mtoto asiye na malezi ya pande mbili......PATAMU HAPO.

USHAURI.....kijana kama unampenda binti...toa mahari, funga ndoa...then watoto na mipango mingine itakuwa ndani ya ndoa yenu...mkitaka kuzaa watoto 1, 2, 10, 20 etc na mkitaka kuzaa kabla ya masters, au hata baada ya kuwa mawaziri....yooote ni maamuzi yenu wanandoa.....usipende shortcut za mambo serious na maisha ya wenzako,....NI MTAZAMO TU
Naomba nenda uchagani ukaone wapenzi wengi wanazaa wakiwa wachumba na kufunga ndoa wakiwa na wajukuu japo maadili ya dini hayaruhusu,tembea uone.
Reply With Quote
  #34  
Old 2nd July 2009, 10:07 AM
Nasolwa Nasolwa is offline
Nasolwa has no status.
Senior Member
Points: 74,503, Level: 100 Points: 74,503, Level: 100 Points: 74,503, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Thu Jun 2008
Posts: 206
Thanks: 21
Thanked 28 Times in 22 Posts
Rep Power: 22
Nasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enoughNasolwa will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Pengine binti anahofia kutokuolewa akizaa kabla ya ndoa. Mwambie rafiki yako amwoe huyo binti kwanza na atakubali tu kuzaa akiwa kwenye ndoa kuliko kuzaa akiwa kwenye uchumba.
Reply With Quote
  #35  
Old 2nd July 2009, 10:10 AM
Mtabiri's Avatar
Mtabiri Mtabiri is online now
Mtabiri says we can't change the past we can change the future
Senior Member
Points: 69,572, Level: 100 Points: 69,572, Level: 100 Points: 69,572, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Jun 2009
Posts: 158
Thanks: 0
Thanked 10 Times in 6 Posts
Rep Power: 21
Mtabiri will become famous soon enoughMtabiri will become famous soon enoughMtabiri will become famous soon enoughMtabiri will become famous soon enoughMtabiri will become famous soon enoughMtabiri will become famous soon enoughMtabiri will become famous soon enoughMtabiri will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Heri kutofautiana mapema kuliko kubahatisha relationship. Yanini ulazimishe lifestyle? Kakuona sio type yake,nawe tafuta type yako uishi kwa furaha.
Reply With Quote
  #36  
Old 2nd July 2009, 10:10 AM
Kaizer's Avatar
Kaizer Kaizer is offline
Kaizer loving you everyday
JF Premium Member
Points: 273,389, Level: 100 Points: 273,389, Level: 100 Points: 273,389, Level: 100
Activity: 84% Activity: 84% Activity: 84%
 
Join Date: Tue Sep 2008
Posts: 3,361
Thanks: 976
Thanked 1,045 Times in 655 Posts
Rep Power: 28
Kaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
mkuu ni mipangilio ya jamaa akifikisha umri fulani aachane na kuzaa.....imagine unazaa una 40 huyo mtoto atakuita baba au babu? pia kumbuka life expactancy ya mtanzania ni miaka 37 kama sijakosea....


Mkuu kulingana na UN life expectancy kwa male ni 51 na female ni 54 (kwa TZ) so hapo ni too much exaggeration,
Quote:
suala lilikuwa ndoa+mtoto.....
kama ni hivyo na bado binti akakataa, basi hakuna kitu apo, jamaa atambae tu
__________________
"" Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana, naye atanisamehe upotovu wa dhambi zangu"

Kaizer@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #37  
Old 2nd July 2009, 10:20 AM
Kalunguyeye Kalunguyeye is offline
Kalunguyeye has no status.
Member
Points: 63,425, Level: 100 Points: 63,425, Level: 100 Points: 63,425, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Jan 2009
Posts: 48
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Kalunguyeye will become famous soon enoughKalunguyeye will become famous soon enoughKalunguyeye will become famous soon enoughKalunguyeye will become famous soon enoughKalunguyeye will become famous soon enoughKalunguyeye will become famous soon enoughKalunguyeye will become famous soon enoughKalunguyeye will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
Mimi nimemshauri wakati akimsubiria bibie amalize masters yake na yeye anahitaji mtoto basi atafute wa kumzalia na wakubaliane na bibie......maana naona jamaa ananyanyaswa...

Sina uhakika kama nimesoma vizuri.....si ni wachumba?watazaaje sasa!Wasubiri wafunge ndoa ndo wazae.Si ndo taratibu au?
Sorry kama siendi na wakati !
Reply With Quote
  #38  
Old 2nd July 2009, 10:28 AM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100
Activity: 75% Activity: 75% Activity: 75%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,398
Thanks: 517
Thanked 987 Times in 685 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
Kama huyo dada amekataa kuzaa inamaana chances are high kuwa amekataa vyote
Huyu binti anatengeneza mazingira ya kumkatisha tamaa jamaa na huyu binti tayari katika kichwa chake anayo plan yake na anajua wazi jamaa hawezi vumilia kwa 4yrs na sasa jamaa ana 30 lazima atakata tamaa ni bora amweke wazi na jamaa awe na msimamo.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #39  
Old 2nd July 2009, 10:43 AM
Malila Malila is offline
Malila has no status.
JF Premium Member
Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 726
Thanks: 18
Thanked 135 Times in 68 Posts
Rep Power: 64
Malila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the rough
Talking Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Siku atakapoambiwa nasafiri kikazi kwenda mkoa wiki mbili na yeye akae na mtoto wa miezi mitatu atafanyaje? Huyo demu yuko sahihi ila jamaa yetu ndo kimeo. Ndoa za kupulizia zilikuwa zamani, mwambie jamaa awe makini,atavurugwa na huyo demu bure.
Reply With Quote
  #40  
Old 2nd July 2009, 11:18 AM
Yo Yo's Avatar
Yo Yo Yo Yo is offline
Yo Yo is praying
JF Senior Expert Member
Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
 
Join Date: Sat May 2008
Posts: 5,484
Thanks: 57
Thanked 54 Times in 37 Posts
Rep Power: 32
Yo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enoughYo Yo will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
kwani jamani...inaruhusiwa kuzaa na mchumba wako au mke wako??....nadhani jamaa anapanick upuuzi tuu...wewe huwezi kuzaa na mchumba...anatakiwa azae na mkewe...hapo naona shorty yupo smart...ila kama ungeniambia short hataki kuolewa na kuwa mke kabla hajachukuwa masterz then ningesema mshkaji atafute demu mwingine aoe kisha azae naye
mkuu hukunisoma.....nilisema jamaa anataka ndoa+kuzaa....upo? kitu ambaco yeye anataka ni wafunge ndoa then wazae sasa kwa 4yrs muhanga anaona kama ni mateso kisa masters......

Quote:
View Post
kingine ambacho najaribu kujiuliza...kwani mwanaume ukiwa na 30yrs ndio mwisho wa kuzaa?...au anataka kutuambia kuwa right time ya mwanaume kuzaa ni 30yrs?....
mkuu nani ana mpango wa kuitwa babu na watoto wake? miaka hii maisha mafupi......
__________________

Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
anakataa, baada, eti, kumaliza, kuzaa, masters, mpaka


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 03:53 PM
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 01:29 PM
Mapambano ya Polisi na MajambaziArusha Yapamba moto! Pinokyo Jukwaa la Siasa 34 10th May 2008 01:07 AM
Patashika nguo kuchanika.... Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 8 27th August 2007 10:06 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:10 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com