Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters! - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Mahusiano, mapenzi, urafiki


Mahusiano, mapenzi, urafiki Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 1st July 2009, 11:28 PM  
Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters!
Yo Yo Yo Yo is offline 1st July 2009, 11:28 PM

Jamaa’ngu mmoja ana mchumba’ke ila sasa ni kama hawaelewani kwenye suala la kuzaa…..jamaa sasa ana 30yrs old anataka mtoto na msichana ndio kwanza yuko college…..na shori kakomaa anasema yeye atazaa mpaka ahitimu masters ambayo kama kuipata ni baada ya miaka minne 4….
…mna mshaurije huyu jamaa na mchumba’ke…...
__________________


 
Yo Yo's Avatar
Yo Yo
JF Senior Expert Member
Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
Join Date: Sat May 2008
Posts: 5,484
Thanks: 57
Thanked 54 Times in 37 Posts
Views: 2218
Reply With Quote
  #21  
Old 2nd July 2009, 09:05 AM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 805,285, Level: 100 Points: 805,285, Level: 100 Points: 805,285, Level: 100
Activity: 100% Activity: 100% Activity: 100%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,381
Thanks: 511
Thanked 976 Times in 679 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Yo Yo mi naona huyu binti hampendi jamaa ako hii ni zuga tu unajua kama shori hakupendi atakutafutia visababu vidogo vidogo ili ushindwe mwambie jamaa apige chini tu mashori wapo kibao.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #22  
Old 2nd July 2009, 09:07 AM
Abdulhalim's Avatar
Abdulhalim Abdulhalim is offline
Abdulhalim is enjoying his sabbatical leave
JF Senior Expert Member
Points: 359,613, Level: 100 Points: 359,613, Level: 100 Points: 359,613, Level: 100
Activity: 83% Activity: 83% Activity: 83%
 
Join Date: Fri Jul 2007
Posts: 7,210
Thanks: 289
Thanked 827 Times in 545 Posts
Rep Power: 37
Abdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
Yo yo acha kuwa na mtazamo finyu! suala la huyo dada kusoma ni suala la mtu binafsi na future yake (ni maisha ya mtu hapa unazungumzia) na kati ya vitu ambavyo mimi binafsi sipendi kuingiliwa ni pamoja na maisha yangu binafsi, to me my first priority is me & myself! siwezi kuruhusu eti mchumba alazimishe kuharibu mipangilio yangu eti kisa mtoto, wakati majority hata si waaminifu, wewe utakatisha mambo yako kisa mimba na mtoto, yeye huku akiwa kakutia mimba still anaendelea na mambo yake kwani habebi tumbo wala hanyonyeshi, yeye anapata PhD, wewe ndio unaanza kurudi kwenye masters, then kesho aseme hukusoma kama yeye, mara akuletee watoto wa nje. Mie ningemuona hy dada namwambie akomae na msimamo wake, huyo mume akiona anchelewa mbona visichana vya x-std 7 ambavyo havina wazo laolote la kuendelea hata na kozi ya ushonaji viko kibao tu mtaani, atafute kamoja aoe ili azae hata 10 akitaka! halafu mke wa ndoa usijali ana mvuto gani ukitaka mivuta tafuta machangu hao alwayz wana mvuto! mambo ya kuangalia sura na shepu hata kama mke mwenyewe mzigo yamepitwa na wakati kaka! get up
He he he..

Ahh nyie mnaongeaga tu..Hivi wewe umeona wapi watu wanaaihirisha ndoa kwa miaka 4? Miaka 4 ni mingi sana aisee na kama ni katoto katakuwa kanaenda nursery school tena kanaweza hata kujua kusoma na kuandika...! hi hi hi

Jamaa kutaka mtoto inamaanisha jamaa ndo amefika Kigoma mwisho wa reli, anataka kuanzisha ka-familia na yeye aitwe baba..na mamsapu pembeni ..ila mdada ndio hivyo..stimu hazipo..anachelea kusema ukweli. Suala la kusema mdada ajitangulize maono yake ndio dalili ya kutompenda msela..hakuna kingine..kama unampenda..shori anayemzimia mtu hawezi kurusha hilo suala kwa miaka 4..huo utakuwa ujuha flani ivi..
__________________
Avatar's Msg: Hiyo ni trailer ya wapenda kula vya watu. Ha ha ha..
Reply With Quote
  #23  
Old 2nd July 2009, 09:09 AM
Who Cares?'s Avatar
Who Cares? Who Cares? is offline
Who Cares? COZ WE DONT DIE WE JUST MULTIPLY
JF Senior Expert Member
Points: 81,218, Level: 100 Points: 81,218, Level: 100 Points: 81,218, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Fri Jul 2008
Location: JUPITER PLANET
Posts: 275
Thanks: 12
Thanked 107 Times in 53 Posts
Rep Power: 22
Who Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

kwani jamani...inaruhusiwa kuzaa na mchumba wako au mke wako??....nadhani jamaa anapanick upuuzi tuu...wewe huwezi kuzaa na mchumba...anatakiwa azae na mkewe...hapo naona shorty yupo smart...ila kama ungeniambia short hataki kuolewa na kuwa mke kabla hajachukuwa masterz then ningesema mshkaji atafute demu mwingine aoe kisha azae naye

kingine ambacho najaribu kujiuliza...kwani mwanaume ukiwa na 30yrs ndio mwisho wa kuzaa?...au anataka kutuambia kuwa right time ya mwanaume kuzaa ni 30yrs?....

nachokiona hapa ni kuwa dada yetu amakuwa smart kuliko mshkaji ambaye hata mie naona anataka kumzalisha dada yetu bila ndoa kisha aoe mtu mwingine then dada yetu awe na mtoto asiye na malezi ya pande mbili......PATAMU HAPO.

USHAURI.....kijana kama unampenda binti...toa mahari, funga ndoa...then watoto na mipango mingine itakuwa ndani ya ndoa yenu...mkitaka kuzaa watoto 1, 2, 10, 20 etc na mkitaka kuzaa kabla ya masters, au hata baada ya kuwa mawaziri....yooote ni maamuzi yenu wanandoa.....usipende shortcut za mambo serious na maisha ya wenzako,....NI MTAZAMO TU
__________________
if we die the next generation will fight them too..and the one after them untill the victory is on our side
Reply With Quote
  #24  
Old 2nd July 2009, 09:17 AM
Abdulhalim's Avatar
Abdulhalim Abdulhalim is offline
Abdulhalim is enjoying his sabbatical leave
JF Senior Expert Member
Points: 359,613, Level: 100 Points: 359,613, Level: 100 Points: 359,613, Level: 100
Activity: 83% Activity: 83% Activity: 83%
 
Join Date: Fri Jul 2007
Posts: 7,210
Thanks: 289
Thanked 827 Times in 545 Posts
Rep Power: 37
Abdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
kwani jamani...inaruhusiwa kuzaa na mchumba wako au mke wako??....nadhani jamaa anapanick upuuzi tuu...wewe huwezi kuzaa na mchumba...anatakiwa azae na mkewe...hapo naona shorty yupo smart...ila kama ungeniambia short hataki kuolewa na kuwa mke kabla hajachukuwa masterz then ningesema mshkaji atafute demu mwingine aoe kisha azae naye

kingine ambacho najaribu kujiuliza...kwani mwanaume ukiwa na 30yrs ndio mwisho wa kuzaa?...au anataka kutuambia kuwa right time ya mwanaume kuzaa ni 30yrs?....

nachokiona hapa ni kuwa dada yetu amakuwa smart kuliko mshkaji ambaye hata mie naona anataka kumzalisha dada yetu bila ndoa kisha aoe mtu mwingine then dada yetu awe na mtoto asiye na malezi ya pande mbili......PATAMU HAPO.

USHAURI.....kijana kama unampenda binti...toa mahari, funga ndoa...then watoto na mipango mingine itakuwa ndani ya ndoa yenu...mkitaka kuzaa watoto 1, 2, 10, 20 etc na mkitaka kuzaa kabla ya masters, au hata baada ya kuwa mawaziri....yooote ni maamuzi yenu wanandoa.....usipende shortcut za mambo serious na maisha ya wenzako,....NI MTAZAMO TU
Kama huyo dada amekataa kuzaa inamaana chances are high kuwa amekataa vyote
__________________
Avatar's Msg: Hiyo ni trailer ya wapenda kula vya watu. Ha ha ha..
Reply With Quote
  #25  
Old 2nd July 2009, 09:18 AM
JosM's Avatar
JosM JosM is offline
JosM where do we go? what do we know?
JF Senior Expert Member
Points: 152,694, Level: 100 Points: 152,694, Level: 100 Points: 152,694, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Sat Oct 2008
Location: Dar es salaam/Kampala/lam
Posts: 638
Thanks: 8
Thanked 6 Times in 6 Posts
Rep Power: 23
JosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
kwani uyo jamaa ameambiwa akifikisha miaka 35 hataweza kuzaa tena? angekuwa mwanamke ningeelewa.

Kama hawawezi kuelewana kwa suala dogo kama hilo, je wakiingia kwenye ndoa itakuwaje

By the way wanatakaje mtoto na huku hawajaoana?
Anaweza kuzaa,naona huyu ndugu anaehitaji mtoto amekaa akafikiria musktaka bali wa maisha yake akaona siku zina songea na umri wa kuishi nao unapungua,so naona ameona asiondoke kwenye hii dunia pasipo kuacha mtoto.

Na mshauri jamaa atafute mwanamke ambae atakuwa ni mke wake then ndio wazaae nae.Unajua kuna madhara mengi sana kuzaa mtoto nje ya ndoa mwishowe mtoto hanakosa malezi ya pande zote mbili.
__________________
Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki,na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.
Reply With Quote
  #26  
Old 2nd July 2009, 09:20 AM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 805,285, Level: 100 Points: 805,285, Level: 100 Points: 805,285, Level: 100
Activity: 100% Activity: 100% Activity: 100%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,381
Thanks: 511
Thanked 976 Times in 679 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Wangapi wanazaa wakiwa college jamani na wanaendelea na kitabu kama kawa? Huyu binti anatafuta njia ya kumkataa jamaa ndo maana kampa miaka 4 akivumilia hiyo atawepewa tena 6 hehehehe
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #27  
Old 2nd July 2009, 09:25 AM
Mfamaji's Avatar
Mfamaji Mfamaji is offline
Mfamaji Is Very very serious against Ufisadi
JF Senior Expert Member
Points: 131,811, Level: 100 Points: 131,811, Level: 100 Points: 131,811, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Tue Nov 2007
Posts: 546
Thanks: 13
Thanked 96 Times in 44 Posts
Rep Power: 24
Mfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
Mambo ya kuoana watu mumepishana miaka 10 sijui yamesha pitwa na wakati. Tell your bro to wait or move on.
nakubaliana nawe kwa mengine lakini hili sio. Miaka sio issue saana. Yaani mtu ana 35 akioa wa 25 imepitwa na wakati? Mkiwa wate 30s utaona jinsi atakavyokuwa anazeeka faster kabla yako then unaanza za huku na kule.

Ungesema reasonable age difference.
Reply With Quote
  #28  
Old 2nd July 2009, 09:41 AM
muhanga muhanga is offline
muhanga has no status.
Senior Member
Points: 63,738, Level: 100 Points: 63,738, Level: 100 Points: 63,738, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Thu Apr 2009
Posts: 146
Thanks: 0
Thanked 29 Times in 22 Posts
Rep Power: 21
muhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
Wangapi wanazaa wakiwa college jamani na wanaendelea na kitabu kama kawa? Huyu binti anatafuta njia ya kumkataa jamaa ndo maana kampa miaka 4 akivumilia hiyo atawepewa tena 6 hehehehe
na huyo bwana nae asiwe king'ang'anizi lazima usomi wake umsaidie pia kusoma alama za nyakati, kama binti ni myeyushaji atamjua tu si lazima apige ramli, na kama nia ni kusoma tu ila wanapendana atamvumilia tu, kwani upendo wa kweli huvumilia!
Reply With Quote
  #29  
Old 2nd July 2009, 09:42 AM
MwanajamiiOne MwanajamiiOne is offline
MwanajamiiOne has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 502,684, Level: 100 Points: 502,684, Level: 100 Points: 502,684, Level: 100
Activity: 20% Activity: 20% Activity: 20%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Location: TANZANIA
Posts: 2,671
Thanks: 1,775
Thanked 840 Times in 496 Posts
Rep Power: 27
MwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
kwani uyo jamaa ameambiwa akifikisha miaka 35 hataweza kuzaa tena? angekuwa mwanamke ningeelewa.

Kama hawawezi kuelewana kwa suala dogo kama hilo, je wakiingia kwenye ndoa itakuwaje

By the way wanatakaje mtoto na huku hawajaoana?
Ah mie nna la kusema hapa? Ntalipataje wakati weye ami ushamaliza yooote?

Very well said, broda!
__________________
The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
Reply With Quote
  #30  
Old 2nd July 2009, 09:48 AM
MwanajamiiOne MwanajamiiOne is offline
MwanajamiiOne has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 502,684, Level: 100 Points: 502,684, Level: 100 Points: 502,684, Level: 100
Activity: 20% Activity: 20% Activity: 20%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Location: TANZANIA
Posts: 2,671
Thanks: 1,775
Thanked 840 Times in 496 Posts
Rep Power: 27
MwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Ajaribu kumwambia kwanza anataka kumuoa then aone kama bibie atamwambia amsubiri hadi amalize Masters! Au kabila lao hao hawana kitu kinachoitwa ndoa?
__________________
The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
anakataa, baada, eti, kumaliza, kuzaa, masters, mpaka


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 03:53 PM
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 01:29 PM
Mapambano ya Polisi na MajambaziArusha Yapamba moto! Pinokyo Jukwaa la Siasa 34 10th May 2008 01:07 AM
Patashika nguo kuchanika.... Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 8 27th August 2007 10:06 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:09 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com