Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters! - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Mahusiano, mapenzi, urafiki


Mahusiano, mapenzi, urafiki Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 1st July 2009, 11:28 PM  
Anakataa kuzaa, eti mpaka baada ya kumaliza Masters!
Yo Yo Yo Yo is offline 1st July 2009, 11:28 PM

Jamaa’ngu mmoja ana mchumba’ke ila sasa ni kama hawaelewani kwenye suala la kuzaa…..jamaa sasa ana 30yrs old anataka mtoto na msichana ndio kwanza yuko college…..na shori kakomaa anasema yeye atazaa mpaka ahitimu masters ambayo kama kuipata ni baada ya miaka minne 4….
…mna mshaurije huyu jamaa na mchumba’ke…...
__________________


 
Yo Yo's Avatar
Yo Yo
JF Senior Expert Member
Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100 Points: 853,756, Level: 100
Activity: 8% Activity: 8% Activity: 8%
Join Date: Sat May 2008
Posts: 5,484
Thanks: 57
Thanked 54 Times in 37 Posts
Views: 2223
Reply With Quote
  #11  
Old 2nd July 2009, 12:41 AM
MwanaFalsafa1's Avatar
MwanaFalsafa1 MwanaFalsafa1 is offline
MwanaFalsafa1 For the love of God and country
JF Premium Member
Points: 534,610, Level: 100 Points: 534,610, Level: 100 Points: 534,610, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Tue Feb 2008
Posts: 3,640
Thanks: 253
Thanked 489 Times in 316 Posts
Rep Power: 31
MwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Ndiyo madada hao. Kila kitu mwanamke lazima abembelezwe ndiyo akubali. Kuanzia kumapproach mpaka mambo mengine. Hapo ana only two options.
1.Kampenda sana na amngojee
2.Kama hata weza kuvumilia asipoteze muda aende kwa mwingine. Because by the sound of it time is on the girl's side.

Mimi nashauri watu wasiwe in a committed relationship na mtu ambao wamepishana kimaisha unless wamependana kweli. SIyo mtu upo chuo unamsubiria binti wa high school amalize au mtu kama huyo jamaa wako ana 30 anakua na uhusiano na mtu ambae sijui ndiyo kwanza yuko degree ya kwanza. Mambo ya kuoana watu mumepishana miaka 10 sijui yamesha pitwa na wakati. Tell your bro to wait or move on.
__________________
"Ask not what your country can do for you, ask what you can do for your country"-JFK.
Reply With Quote
  #12  
Old 2nd July 2009, 12:55 AM
Daina's Avatar
Daina Daina is offline
Daina has no status.
Member
Points: 52,895, Level: 100 Points: 52,895, Level: 100 Points: 52,895, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Jun 2009
Posts: 12
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Daina will become famous soon enoughDaina will become famous soon enoughDaina will become famous soon enoughDaina will become famous soon enoughDaina will become famous soon enoughDaina will become famous soon enoughDaina will become famous soon enoughDaina will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Yoyo mbona hii thread nayo kama ile ya yule jamaa aliyekuja na 'Liyumba kunywa maji?'(Joke)
Mwambie mshkaji hakuna jibu la moja kwa moja kumwambia mpenzio sitaki au sijisikii kuzaa na wewe,ila amejibiwa kiutu uzima.Kama vipi atafute tu mtu watakaefanana mawazo ya kuamua kuzaa sasa maana huyo dada anaweza kumpotezea mda tu,akishamaliza masters ataleta sababu nyingine au lah kabla hata hajafika huko akambwaga njianialafu iwe imekula kwake.
Reply With Quote
  #13  
Old 2nd July 2009, 05:45 AM
Pretty's Avatar
Pretty Pretty is offline
Pretty ''I'm really blessed."
JF Senior Expert Member
Points: 234,067, Level: 100 Points: 234,067, Level: 100 Points: 234,067, Level: 100
Activity: 15% Activity: 15% Activity: 15%
 
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,626
Thanks: 306
Thanked 421 Times in 277 Posts
Rep Power: 25
Pretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Kama huyo jamaa yako kampenda huyo msichana mie naona bora awe na subira, asubiri mpenzi wake amalize masters then ndio amuoe. Watu wanasubiri miaka 10, halafu yeye hiyo miaka 4 wala sio mingi, maana baada ya 4 years yeye atakuwa na 34 ambao ndio muda muafaka hapo kwa kuoa na kuwa na watoto.
__________________
"The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."
Reply With Quote
  #14  
Old 2nd July 2009, 06:04 AM
Kibunango's Avatar
Kibunango Kibunango is offline
Kibunango Mapinduzi Daima...! CCM Damu.
JF Senior Expert Member
Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100
Activity: 39% Activity: 39% Activity: 39%
 
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 4,870
Thanks: 351
Thanked 207 Times in 169 Posts
Rep Power: 4033
Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!
Send a message via MSN to Kibunango Send a message via Yahoo to Kibunango
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Huyo bibie ana lake jambo, anaweza kuzaa sasa na kuendelea na masters yake pasipo shaka wala tatizo. Ajue tu jinsi ya kutegesha ili aweze kuzaa wakati wa moja ya likizo zake...! subiri subiri yaumiza matumbo
__________________
Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problems,
But, if you think again, neither does milk."
Vituko Vya Zenj
Reply With Quote
  #15  
Old 2nd July 2009, 06:11 AM
Abdulhalim's Avatar
Abdulhalim Abdulhalim is online now
Abdulhalim is enjoying his sabbatical leave
JF Senior Expert Member
Points: 360,519, Level: 100 Points: 360,519, Level: 100 Points: 360,519, Level: 100
Activity: 80% Activity: 80% Activity: 80%
 
Join Date: Fri Jul 2007
Posts: 7,238
Thanks: 296
Thanked 852 Times in 558 Posts
Rep Power: 37
Abdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
Jamaa’ngu mmoja ana mchumba’ke ila sasa ni kama hawaelewani kwenye suala la kuzaa…..jamaa sasa ana 30yrs old anataka mtoto na msichana ndio kwanza yuko college…..na shori kakomaa anasema yeye atazaa mpaka ahitimu masters ambayo kama kuipata ni baada ya miaka minne 4….
…mna mshaurije huyu jamaa na mchumba’ke…...
Jamaa yako inaonesha anakuwa mgumu sana kusoma alama za nyakati..Kwa kifupi huyo shori hamzimii msela kiivo na ndio maana jamaa anapomletea mambo ya kuzaa sijui kutotoa..anamchek kidaini huku moyoni akijisemea ' huyu vipi!!? '

Mi nawajua sana mademu mazee, akiwa hakuzimii na wala haoni future na wewe ataleta gunia la visingizio..Kwa kifupi shori ameegesha tu kwa mshikaji kujikinga mvua na mvua ikiisha anatambaa..
__________________
Avatar's Msg: Hiyo ni trailer ya wapenda kula vya watu. Ha ha ha..
Reply With Quote
  #16  
Old 2nd July 2009, 07:33 AM
Kigogo's Avatar
Kigogo Kigogo is online now
Kigogo amekatazwa kuvaa suti
JF Premium Member
Points: 120,375, Level: 100 Points: 120,375, Level: 100 Points: 120,375, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Fri Dec 2007
Location: Kipatimu
Posts: 1,588
Thanks: 19
Thanked 309 Times in 225 Posts
Rep Power: 26
Kigogo will become famous soon enoughKigogo will become famous soon enoughKigogo will become famous soon enoughKigogo will become famous soon enoughKigogo will become famous soon enoughKigogo will become famous soon enoughKigogo will become famous soon enoughKigogo will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
Jamaa yako inaonesha anakuwa mgumu sana kusoma alama za nyakati..Kwa kifupi huyo shori hamzimii msela kiivo na ndio maana jamaa anapomletea mambo ya kuzaa sijui kutotoa..anamchek kidaini huku moyoni akijisemea ' huyu vipi!!? '

Mi nawajua sana mademu mazee, akiwa hakuzimii na wala haoni future na wewe ataleta gunia la visingizio..Kwa kifupi shori ameegesha tu kwa mshikaji kujikinga mvua na mvua ikiisha anatambaa..
kwa kweli hata mimi nimewaza hivyo hivyo.kuzaa na kupata masters mbona sipati connection!!!
Reply With Quote
  #17  
Old 2nd July 2009, 08:37 AM
Edson Edson is offline
Edson has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 103,555, Level: 100 Points: 103,555, Level: 100 Points: 103,555, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Sat Mar 2009
Posts: 602
Thanks: 80
Thanked 131 Times in 83 Posts
Rep Power: 23
Edson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enoughEdson will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

akifunga ndoa tu, tayari atapata mtoto.vinginevyo hana nia thabiti na binti.
Reply With Quote
  #18  
Old 2nd July 2009, 08:56 AM
Akili Unazo!'s Avatar
Akili Unazo! Akili Unazo! is offline
Akili Unazo! Kichwangum
JF Premium Member
Points: 324,263, Level: 100 Points: 324,263, Level: 100 Points: 324,263, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Wed Feb 2009
Location: Tanzania
Posts: 522
Thanks: 295
Thanked 69 Times in 45 Posts
Rep Power: 23
Akili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
Jamaa’ngu mmoja ana mchumba’ke ila sasa ni kama hawaelewani kwenye suala la kuzaa…..jamaa sasa ana 30yrs old anataka mtoto na msichana ndio kwanza yuko college…..na shori kakomaa anasema yeye atazaa mpaka ahitimu masters ambayo kama kuipata ni baada ya miaka minne 4….
…mna mshaurije huyu jamaa na mchumba’ke…...
Mkuu huyo rafikiyo na muda gani kwenye mahusiano na mchumnake!!?kama ni muda mrefu basi rafikiyo amekuwa muongo kwa mchumbaye kwa kumdaganya kwa muda mrefu na ndo maana hamwamini tena.au kama si hivyo basi huyo mchumba ana mtu mwingine ambaye anataka kumzalia na si huyo mwenye uchumba sugu.

ninavyofahamu huwezi kuzaa na mtu uchumbani ndo maana mwenzie anampa sababu ambazo ni zakumkatisha tamaa.
kikubwa tu atafute mtu mwingine wa kumzalia siye huyo tena.

tatizo wanaume wanakuwa waongo!!kwa nini anizalishe uchumbani????????
__________________
"Wote Ndivyo Tulivyo"
Reply With Quote
  #19  
Old 2nd July 2009, 08:59 AM
muhanga muhanga is offline
muhanga has no status.
Senior Member
Points: 63,738, Level: 100 Points: 63,738, Level: 100 Points: 63,738, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Thu Apr 2009
Posts: 146
Thanks: 0
Thanked 29 Times in 22 Posts
Rep Power: 21
muhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enoughmuhanga will become famous soon enough
Angry Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

Quote:
View Post
sawa sawa na mie nilimwambia hicho kitu.....shori anasema anataka maisha mazuri yaani akiwa na masters yeye kwake ndio atakuwa na maisha mazuri....wakati jamaa atakuwa keshakuwa kijeba......

......kitu kingine hawa wanawake hawaelewi jambo moja kuwa as siku zinavyozidi kwenda wanazidi kuchoka am sure after masters hatakuwa na mvuto kama alionao sasa hivi....
Yo yo acha kuwa na mtazamo finyu! suala la huyo dada kusoma ni suala la mtu binafsi na future yake (ni maisha ya mtu hapa unazungumzia) na kati ya vitu ambavyo mimi binafsi sipendi kuingiliwa ni pamoja na maisha yangu binafsi, to me my first priority is me & myself! siwezi kuruhusu eti mchumba alazimishe kuharibu mipangilio yangu eti kisa mtoto, wakati majority hata si waaminifu, wewe utakatisha mambo yako kisa mimba na mtoto, yeye huku akiwa kakutia mimba still anaendelea na mambo yake kwani habebi tumbo wala hanyonyeshi, yeye anapata PhD, wewe ndio unaanza kurudi kwenye masters, then kesho aseme hukusoma kama yeye, mara akuletee watoto wa nje. Mie ningemuona hy dada namwambie akomae na msimamo wake, huyo mume akiona anchelewa mbona visichana vya x-std 7 ambavyo havina wazo laolote la kuendelea hata na kozi ya ushonaji viko kibao tu mtaani, atafute kamoja aoe ili azae hata 10 akitaka! halafu mke wa ndoa usijali ana mvuto gani ukitaka mivuta tafuta machangu hao alwayz wana mvuto! mambo ya kuangalia sura na shepu hata kama mke mwenyewe mzigo yamepitwa na wakati kaka! get up
Reply With Quote
  #20  
Old 2nd July 2009, 09:02 AM
Kingi's Avatar
Kingi Kingi is offline
Kingi is down to earth
JF Senior Expert Member
Points: 531,720, Level: 100 Points: 531,720, Level: 100 Points: 531,720, Level: 100
Activity: 47% Activity: 47% Activity: 47%
 
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,632
Thanks: 166
Thanked 218 Times in 172 Posts
Rep Power: 25
Kingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enough
Default Re: Anataaka kuzaa baada ya kumaliza Masters

No discussion. Madem kibao wanazaa hapo mlimani na wako UG. Huyo dem keshaona jamaa si type yake. Waachane tu
__________________
"The only problem with Africans is implementation and maintenance"- Kingi.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
anakataa, baada, eti, kumaliza, kuzaa, masters, mpaka


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 03:53 PM
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 01:29 PM
Mapambano ya Polisi na MajambaziArusha Yapamba moto! Pinokyo Jukwaa la Siasa 34 10th May 2008 01:07 AM
Patashika nguo kuchanika.... Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 8 27th August 2007 10:06 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 07:44 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com