Mahusiano, mapenzi, urafikiTubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!
I am in Heaven now, my heart has been broken...
I so wanted to be your little girl. I don't quite understand what has happened...!
I was so excited when I began realizing my existence. I was in a dark, yet comfortable place. I saw I had fingers and toes.
I was pretty far along in my developing, yet not near ready to leave my surroundings. I spent most of my time thinking or sleeping. Even from my earliest days, I felt a special bonding between you and me. Sometimes I heard you crying and I cried with you. Sometimes you would yell or scream, then cry. I heard Daddy yelling back. I was sad, and hoped you would be better soon. I wondered why you cried so much.
One day you cried almost all of the day. I hurt for you. I couldn't imagine why you were so unhappy. That same day, the most horrible thing happened. A very mean monster came into that warm, comfortable place I was in. I was so scared, I began screaming, but you never once tried to help me. Maybe you never heard me. The monster got closer and closer as I was screaming and screaming, "Mommy, Mommy, help me please; Mommy, help me."
Complete terror is all I felt. I screamed and screamed until I thought I couldn't anymore. Then the monster started ripping my arms off. It hurt so bad; the pain I can never explain. It didn't stop. Oh, how I begged it to stop. I screamed in horror as it ripped my leg off. Though I was in such complete pain, I was dying. I knew I would never see your face or hear you say how much you love me. I wanted to make all your tears go away. I had so many plans to make you happy.
Now I couldn't; all my dreams were shattered. Though I was in utter pain and horror, I felt the pain of my heart breaking, above all. I wanted more than anything to be your daughter. No use now, for I was dying a painful death. I could only imagine the terrible things that they had done to you. I wanted to tell you that I love you before I was gone, but I didn't know the words you could understand.
And soon, I no longer had the breath to say them; I was dead.
I felt myself rising. The angel took me away to a wonderful place. Then I was happy. I was still crying, but the physical pain was gone. I asked Him what the thing was that killed me. He answered, "Abortion. I am sorry, my child; for I know how it feels." I don't know what abortion is; I guess that's the name of the monster.
I'm writing to say that I love you and to tell you how much I wanted to be your little girl. I tried very hard to live. I wanted to live. I had the will, but I couldn't; the monster was too powerful. It sucked my arms and legs off and finally got all of me. It was impossible to live.
I just wanted you to know I tried to stay with you. I didn't want to die.
Also, Mommy, please watch out for that abortion monster.
Mommy, I love you and I would hate for you to go through the kind of pain I did.
Please be careful.
Love,
Your Baby Girl
__________________
“I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you.”
'O Allah! Keep me alive as long as life is better for me, and let me die if death is better for me.
Last edited by X-PASTER; 30th June 2009 at 04:02 AM..
Hizo picha ndio ukweli halisi wa kile kinacho fanyika.
Sitakuchukia mkuu na wewe ukiahidi kufanya hivyo. Vile vile juwa kwamba upo huru kabisa kubadilisha msimamo wako.
Hivyo vitoto vinavyo nyofyolewa matumboni mwa mama zao ni binadamu, kama mimi na wewe. Tatizo ni kuwa havina uwezo wa kujitetea.
Ndugu yangu, dah! Yaani nashindwa hata namna ya kukujibu hapa...! Mmmh!
Hayo mamtatizo au hali ya uwezo wa kushindwa kupumua, kutoa uchafu na feelings, bado hazi-halalishi uhuwaji wa vichanga... Hali kama hizo ulizo ziorozesha hapo juu zinaweza kumkuta binadamu wa umri wowote aliye hai na haipelekei madaktari au ndugu wahusika kuamua kuwaangamiza wale wenye matatizo kama hayo.
Vipi ndugu zetu walio pata matatizo ya ugonjwa wa kupooza (kiharusi - paralysed) Tuwauwe wote kwa kuwa wamepoteza uwezo wa kujitegemea?
Kuwa na uwezo wa kujitetea sio swali mkuu. Tena umegusa point nzuri...watu waliopooza. Hapa wapo wa aina nyingi. Sasa tuongelee wale wanaoshindwa kupumua, hadi wanasaidiwa na mashine. Hapo madaktari si huwa wanaishauri familia wazime mashine? Hii si ilitokea hadi kwa baba wa taifa? Mngetaka mpaka leo angeweza kuendelea kuwa 'hai'. Sema ndo hivyo...he seizes to be a human. Kwa nini? Anashindwa kuji-support mwenyewe hata kwa basic function ya kupumua.
Kwa hiyo wewe unasema fetus ni mwanadamu? Na ni kitu gani kinamfanya awe mwanadamu kwa maoni yako?
I don't hate you mtoto, you can stand on whatever you choose and ofcourse you are free to give your ideas humu
Hatuwezi kusema embryo/fetus anageuka kuwa binadamu anapoweza ku survive kwenye incubators, NICU etc, incubators zilivumbuliwa miaka ya 1800 na tangu technology hii iwe invented imekuwa ikiongezwa ubora ili ku support watoto wachanga premature wenye umri mdogo zaidi na zaidi na bado teknologia hii inaendelea kuongezwa ubora wake, sasa karne hii umri wa mtoto premature kuweza kuishi baada ya kuzaliwa unategemea sana na kukua kwa technologia na postnal care
Labda tuongelee kuhusu human biological development ambayo ni process in which human being grow to maturity, biologically, this covers human growth from a human zygote to a human adult,
Human being starts life as prenatal (zygote then embryo then fetus), after he is born he is called a child, then the same human becomes an adolescent etc
For that reason, human becomes human as soon as there is life in him (as soon as fertilization takes place) being small, not able to survive out of uterus, being premature etc does not make him less human,
Point yako ya kwanza ni kweli. Jinsi technologia inavyobadilika basi imetubidi na sisi binadamu kubadilisha terminologies mbalimbali. Mfano mwingine ni kifo. Kwa sasa hii inaleta tatizo hata kwenye sheria. Maana tumekuja kugundua mtu anaweza kuwa brain dead, na asiwe kafa. Sijui umenipata hapo? Yani hizi mashine zitamsaidia kufanya function kama kupumua na kusambaza damu. Kwa hivyo, ni kitu ambacho lazima tuwe tayari kukabiliana nacho na tuwe tayari kubadilika na nyakati na teknologia.
Kwa hiyo wewe unasema mwanadamu ni pale sperm inapokutana na egg, na sababu uliyotoa ni kuwa ndo mwanzo wa maisha yake. Sawa, Kwa hiyo wewe unavyoona mtu anayetumia 'morning after pill' na mtu anayetoa mimba ya wiki 24+ ni sawa?
Point yako ya kwanza ni kweli. Jinsi technologia inavyobadilika basi imetubidi na sisi binadamu kubadilisha terminologies mbalimbali. Mfano mwingine ni kifo. Kwa sasa hii inaleta tatizo hata kwenye sheria. Maana tumekuja kugundua mtu anaweza kuwa brain dead, na asiwe kafa. Sijui umenipata hapo? Yani hizi mashine zitamsaidia kufanya function kama kupumua na kusambaza damu. Kwa hivyo, ni kitu ambacho lazima tuwe tayari kukabiliana nacho na tuwe tayari kubadilika na nyakati na teknologia.
Kwa hiyo wewe unasema mwanadamu ni pale sperm inapokutana na egg, na sababu uliyotoa ni kuwa ndo mwanzo wa maisha yake. Sawa, Kwa hiyo wewe unavyoona mtu anayetumia 'morning after pill' na mtu anayetoa mimba ya wiki 24+ ni sawa?
swala la brain death nakuelewa unaongelea nini, ni swala pana hili na tukitaka tulijadili hapa labda itabidi tuanzishe thread nyingine
Okay, kuhusu “morning after pill” kwanza tuangalie inafanyaje kazi
Hii huwa administered within 72 hours baada ya kujamiiana
Kwanza inasimamisha kwa muda kazi ya ovary kutoa mayai ya uzazi
Pili ina zuia fertilization, kwa maneno mengine huzuia mbegu za kiume zisisafiri kufikia falopian tubes litakakokutana na yai la kike
Tatu iwapo fertilazion imeshafanyika morning after pill inaweza kuzuia fertilized egg kujipandikiza kwenye kuta za tumbo la uzazi
Katika hali ya kawaida yai la kike huwa hai katika fallopian tube kwa muda wa kama masaa 24 lakini mbegu za kiume (sperms) zinaweza kuwa hai ndani ya tumbo la uzazi kwa muda wa mpaka siku 5, fertilazion inaweza kutokea wakati wowote sperm hai inapokutana na yai hai, process ambayo inaweza kutokea ambapo sperms zipo hai siku 5 kabla ya yai la kike kutolewa (ovulation), au kwa maneno mengina fertilazion inaweza kutokea hadi siku tano baada ya kujamiiana, katika hali hiyo kutumia morning after pill kutafanya kazi ya kuzuia utoaji wa mayai ya uzazi au kuzuia fertilazation
Wakati mwingine morning after pill hutumiwa wakati fertilazion imeshafanyika, katika hali hiyo morning after pill inaweza kufanya kazi kwa kuzuia embyo isijipandikize katika tumbo la uzazi hivyo kukosa virutubisho na kufa, kitendo ambacho ni kukatiza uhai wa binadamu sawa na kukatiza uhai huo mimba ikiwa na wiki 24
Tofauti ni kwamba the one who choose abortion at 24 weeks is for sure terminating human life, and the one who use morning after pill may or may not be terminating human life kutegemea na mazingira niliyoelezea hapo juu
For that reason, human becomes human as soon as there is life in him (as soon as fertilization takes place) being small, not able to survive out of uterus, being premature etc does not make him less human,
Wakati mwingine morning after pill hutumiwa wakati fertilazion imeshafanyika, katika hali hiyo morning after pill inaweza kufanya kazi kwa kuzuia embyo isijipandikize katika tumbo la uzazi hivyo kukosa virutubisho na kufa, kitendo ambacho ni kukatiza uhai wa binadamu sawa na kukatiza uhai huo mimba ikiwa na wiki 24
Tofauti ni kwamba the one who choose abortion at 24 weeks is for sure terminating human life, and the one who use morning after pill may or may not be terminating human life kutegemea na mazingira niliyoelezea hapo juu
Asante kwa kutoa maelezo sahihi juu ya matumizi ya 'morning after pill'. Going back to what u said earlier..."human life begins at fertilisation", and taking the 3rd scenerio of the workings of the 'morning after pill' - (i.e.: preventing the implantation of a fertilised egg on the uterus), Je unasema mtu huyo atakuwa ame-commit MURDER na anastahili kuhukumiwa kwa sheria za murder?
Kweli bro, wakati mwingine nashindwa kuelewa hao watoto wanao tetewa hapa, wakiomba tiketi ya kuingia majukwaa ya kijitu kizima huwa wanawachuja au wanawafahamu na kuwakatalia kuingia kule!?
JF inakosa radha kila kukicha...!
What do you mean? Mnamaanisha hii post ni mojawapo ya huo ujinga mnaouzungumzia? You cant be serious guys!!!!!!!!!!!!!
namshukuru mungu kweli zambi ya kudinya nafanya kwani sijaoa ila natumia kondomu katika vitu ambavyo sivipendi ni kuona kuwa nampeleka mtu kutoa mimba!! da ssoo yaani ukiangalia hivyo vipicha soo sad!!
lakini cha kushangaza kuwa kila rafiki yangu wa karibu niliyemuliza kuwa uliwahi kuwa karibu na msichana ambaye kwa wiki ni lazima mkutane hata kwa masaa mawili hivi angalau siku tano per wiki alinijibu kuwa ukaribu huu ulinifanya nigonge dry bila kondomu na mwisho ni mimba sijui sasa na ukimwi je tutapona kwani wengi wao walishaachana na wewe mulize rafikiyo wa karibu huu ni uchunguzi wangu na hivi ndivyo tunavyotia mimba watoto wa watu kisha tukatoe.
namshukuru mungu kweli zambi ya kudinya nafanya kwani sijaoa ila natumia kondomu katika vitu ambavyo sivipendi ni kuona kuwa nampeleka mtu kutoa mimba!! da ssoo yaani ukiangalia hivyo vipicha soo sad!!
lakini cha kushangaza kuwa kila rafiki yangu wa karibu niliyemuliza kuwa uliwahi kuwa karibu na msichana ambaye kwa wiki ni lazima mkutane hata kwa masaa mawili hivi angalau siku tano per wiki alinijibu kuwa ukaribu huu ulinifanya nigonge dry bila kondomu na mwisho ni mimba sijui sasa na ukimwi je tutapona kwani wengi wao walishaachana na wewe mulize rafikiyo wa karibu huu ni uchunguzi wangu na hivi ndivyo tunavyotia mimba watoto wa watu kisha tukatoe.
Yaani watu wanaogopa zaidi Ukimwi kuliko M'Mungu...! Duh kazi ipo!
__________________
“I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you.”
'O Allah! Keep me alive as long as life is better for me, and let me die if death is better for me.