Mwanamke kutongoza mwanaume - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Mahusiano, mapenzi, urafiki


Mahusiano, mapenzi, urafiki Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 22nd June 2009, 02:50 AM   #1
Mwanamke kutongoza mwanaume
Pretty Pretty is offline 22nd June 2009, 02:50 AM

Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
__________________
"The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."

 
Pretty's Avatar
Pretty
JF Senior Expert Member
Points: 233,119, Level: 100 Points: 233,119, Level: 100 Points: 233,119, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,615
Thanks: 297
Thanked 414 Times in 273 Posts
Views: 5022
Reply With Quote
  #2  
Old 22nd June 2009, 03:36 AM
Ndugu's Avatar
Ndugu Ndugu is offline
Ndugu Loves You
JF Senior Expert Member
Points: 290,629, Level: 100 Points: 290,629, Level: 100 Points: 290,629, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sat Apr 2008
Location: Here
Posts: 499
Thanks: 44
Thanked 43 Times in 28 Posts
Rep Power: 22
Ndugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Ni jambo jema mtu kueleza hisia zake kwa yule anayemfeel, hivyo Kisura jisikie huru kuweka hisia zako bayana kama kuna Mkaka amekuvutia..

Hii kasumba ya kuonekana malaya itategemea na kiwango cha uelewa alicho nacho mwanaume husika au njia anayotumia mwanamke kuwasilisha hisia zake. Kwa mfano kama mwanamke anampenda mwanaume, huonesha dalili za kujirahisisha kwake ili kumweka aware jamaa na matokeo yake ndiyo hayo ya kuonekana malaya.

Hivyo Mamaa piga moyo konde, jipe ujasiri na mfuate jamaa na mweleze bayana hisia zako juu yake au mtumie mtu ambaye ataweza kukuwasilishia hisia zako bila ya pande yoyote kuathirika, i mean either rafiki yake wa karibu au rafiki yako wa karibu..

Ila sipati picha jamaa akilitolea nje ombi lako, manake sisi wanaume tumeshazoea kupigwa vibuti hivyo huwa tunachukulia powa tu, wewe utaweza kukivumilia lakini?

All the best.
__________________
Nobody can do everything but everybody can do something.
Reply With Quote
  #3  
Old 22nd June 2009, 03:48 AM
Pretty's Avatar
Pretty Pretty is offline
Pretty ''I'm really blessed."
JF Senior Expert Member
Points: 233,119, Level: 100 Points: 233,119, Level: 100 Points: 233,119, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,615
Thanks: 297
Thanked 414 Times in 273 Posts
Rep Power: 24
Pretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Ni jambo jema mtu kueleza hisia zake kwa yule anayemfeel, hivyo Kisura jisikie huru kuweka hisia zako bayana kama kuna Mkaka amekuvutia..

Hii kasumba ya kuonekana malaya itategemea na kiwango cha uelewa alicho nacho mwanaume husika au njia anayotumia mwanamke kuwasilisha hisia zake. Kwa mfano kama mwanamke anampenda mwanaume, huonesha dalili za kujirahisisha kwake ili kumweka aware jamaa na matokeo yake ndiyo hayo ya kuonekana malaya.

Hivyo Mamaa piga moyo konde, jipe ujasiri na mfuate jamaa na mweleze bayana hisia zako juu yake au mtumie mtu ambaye ataweza kukuwasilishia hisia zako bila ya pande yoyote kuathirika, i mean either rafiki yake wa karibu au rafiki yako wa karibu..

Ila sipati picha jamaa akilitolea nje ombi lako, manake sisi wanaume tumeshazoea kupigwa vibuti hivyo huwa tunachukulia powa tu, wewe utaweza kukivumilia lakini?

All the best.
Hii ni maada/mjadala tu, haimanishi hivyo kama ulivyofikiri.
__________________
"The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."
Reply With Quote
  #4  
Old 22nd June 2009, 05:00 AM
Nyani Ngabu's Avatar
Nyani Ngabu Nyani Ngabu is offline
Nyani Ngabu is on to the next one.
JF Senior Expert Member
Points: 1,207,257, Level: 100 Points: 1,207,257, Level: 100 Points: 1,207,257, Level: 100
Activity: 63% Activity: 63% Activity: 63%
 
Join Date: Mon May 2006
Location: Inside the Perimeter
Posts: 15,118
Thanks: 169
Thanked 905 Times in 484 Posts
Rep Power: 54
Nyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Hii ni maada/mjadala tu, haimanishi hivyo kama ulivyofikiri.
Stop lying...you know you got a thing for NN...Lol
__________________
Miafrika Ndivyo Tulivyo!!
Reply With Quote
  #5  
Old 22nd June 2009, 05:00 AM
MwanaFalsafa1's Avatar
MwanaFalsafa1 MwanaFalsafa1 is offline
MwanaFalsafa1 For the love of God and country
JF Premium Member
Points: 533,059, Level: 100 Points: 533,059, Level: 100 Points: 533,059, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Tue Feb 2008
Posts: 3,621
Thanks: 246
Thanked 466 Times in 308 Posts
Rep Power: 31
MwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enoughMwanaFalsafa1 will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
Pretty huo utamaduni au mazoea siyo Tanzania tu. Sehemu nyingi(at least nilizo tembelea mimi) mwanaume ndiyo huwa ana tegemewa kumapproach mwanamke. Mimi sioni ubaya yoyote mwanamke kumtongoza mwanaume. Kumkosa mwanaume umpendae kisa unangoja akutongoze mimi naona niujinga. Nadhani tatizo ni kwamba wanawake wengi wanaona wakitongoza mwanaume wataonekana malaya au kuonekana kuwa wana shida sana na kuwa na mwanaume. Kwangu mimi iswezi kumfikiria tofauti mwanamke yoyote anayemtongoza mwanaume. I think it is time mindset kama hizi zichange.
__________________
"Ask not what your country can do for you, ask what you can do for your country"-JFK.
Reply With Quote
  #6  
Old 22nd June 2009, 05:01 AM
Nyani Ngabu's Avatar
Nyani Ngabu Nyani Ngabu is offline
Nyani Ngabu is on to the next one.
JF Senior Expert Member
Points: 1,207,257, Level: 100 Points: 1,207,257, Level: 100 Points: 1,207,257, Level: 100
Activity: 63% Activity: 63% Activity: 63%
 
Join Date: Mon May 2006
Location: Inside the Perimeter
Posts: 15,118
Thanks: 169
Thanked 905 Times in 484 Posts
Rep Power: 54
Nyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Ni jambo jema mtu kueleza hisia zake kwa yule anayemfeel, hivyo Kisura jisikie huru kuweka hisia zako bayana kama kuna Mkaka amekuvutia..

Hii kasumba ya kuonekana malaya itategemea na kiwango cha uelewa alicho nacho mwanaume husika au njia anayotumia mwanamke kuwasilisha hisia zake. Kwa mfano kama mwanamke anampenda mwanaume, huonesha dalili za kujirahisisha kwake ili kumweka aware jamaa na matokeo yake ndiyo hayo ya kuonekana malaya.

Hivyo Mamaa piga moyo konde, jipe ujasiri na mfuate jamaa na mweleze bayana hisia zako juu yake au mtumie mtu ambaye ataweza kukuwasilishia hisia zako bila ya pande yoyote kuathirika, i mean either rafiki yake wa karibu au rafiki yako wa karibu..

Ila sipati picha jamaa akilitolea nje ombi lako, manake sisi wanaume tumeshazoea kupigwa vibuti hivyo huwa tunachukulia powa tu, wewe utaweza kukivumilia lakini?

All the best.
Nimeshapata ujumbe...mambo yote mswano
__________________
Miafrika Ndivyo Tulivyo!!
Reply With Quote
  #7  
Old 22nd June 2009, 05:03 AM
Pretty's Avatar
Pretty Pretty is offline
Pretty ''I'm really blessed."
JF Senior Expert Member
Points: 233,119, Level: 100 Points: 233,119, Level: 100 Points: 233,119, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,615
Thanks: 297
Thanked 414 Times in 273 Posts
Rep Power: 24
Pretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Stop lying...you know you got a thing for NN...Lol
We Nyani wewe!! mweeeeeeee....!
__________________
"The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."
Reply With Quote
  #8  
Old 22nd June 2009, 05:05 AM
Nyani Ngabu's Avatar
Nyani Ngabu Nyani Ngabu is offline
Nyani Ngabu is on to the next one.
JF Senior Expert Member
Points: 1,207,257, Level: 100 Points: 1,207,257, Level: 100 Points: 1,207,257, Level: 100
Activity: 63% Activity: 63% Activity: 63%
 
Join Date: Mon May 2006
Location: Inside the Perimeter
Posts: 15,118
Thanks: 169
Thanked 905 Times in 484 Posts
Rep Power: 54
Nyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
We Nyani wewe!! mweeeeeeee....!
What's up miss lady? you good?
__________________
Miafrika Ndivyo Tulivyo!!
Reply With Quote
  #9  
Old 22nd June 2009, 05:13 AM
Pretty's Avatar
Pretty Pretty is offline
Pretty ''I'm really blessed."
JF Senior Expert Member
Points: 233,119, Level: 100 Points: 233,119, Level: 100 Points: 233,119, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,615
Thanks: 297
Thanked 414 Times in 273 Posts
Rep Power: 24
Pretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
What's up miss lady? you good?
I'm good my dear!
__________________
"The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."
Reply With Quote
  #10  
Old 22nd June 2009, 05:14 AM
Nyani Ngabu's Avatar
Nyani Ngabu Nyani Ngabu is offline
Nyani Ngabu is on to the next one.
JF Senior Expert Member
Points: 1,207,257, Level: 100 Points: 1,207,257, Level: 100 Points: 1,207,257, Level: 100
Activity: 63% Activity: 63% Activity: 63%
 
Join Date: Mon May 2006
Location: Inside the Perimeter
Posts: 15,118
Thanks: 169
Thanked 905 Times in 484 Posts
Rep Power: 54
Nyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
I'm good my dear!
Now I can sleep better knowing that you're doing good.....
__________________
Miafrika Ndivyo Tulivyo!!
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
kutongoza, mwanamke, mwanaume


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Alipokuwa Mwanamke Alikuwa Msagaji Sasa Kawa Mwanaume Lakini ni Shoga MziziMkavu Habari na Hoja mchanganyiko 6 10th June 2009 09:01 AM
ndivyo wanaume wawazavyo kuhusu sex mr impossible Mahusiano, mapenzi, urafiki 8 8th June 2009 10:49 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 11:24 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com