Mwanamke kutongoza mwanaume - Page 5 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Mahusiano, mapenzi, urafiki


Mahusiano, mapenzi, urafiki Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 22nd June 2009, 02:50 AM  
Mwanamke kutongoza mwanaume
Pretty Pretty is offline 22nd June 2009, 02:50 AM

Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
__________________
"The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."

 
Pretty's Avatar
Pretty
JF Senior Expert Member
Points: 234,067, Level: 100 Points: 234,067, Level: 100 Points: 234,067, Level: 100
Activity: 15% Activity: 15% Activity: 15%
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,626
Thanks: 306
Thanked 421 Times in 277 Posts
Views: 5042
Reply With Quote
  #41  
Old 22nd June 2009, 05:31 PM
MwanajamiiOne MwanajamiiOne is offline
MwanajamiiOne has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 504,497, Level: 100 Points: 504,497, Level: 100 Points: 504,497, Level: 100
Activity: 20% Activity: 20% Activity: 20%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Location: TANZANIA
Posts: 2,671
Thanks: 1,775
Thanked 840 Times in 496 Posts
Rep Power: 27
MwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
You a female?
Does it matter Nyani?

Yes I am.
__________________
The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
Reply With Quote
  #42  
Old 22nd June 2009, 05:34 PM
Masanilo's Avatar
Masanilo Masanilo is offline
Masanilo is alcoholic
JF Premium Member
Points: 826,872, Level: 100 Points: 826,872, Level: 100 Points: 826,872, Level: 100
Activity: 46% Activity: 46% Activity: 46%
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Swat valley
Posts: 7,059
Thanks: 1,055
Thanked 1,106 Times in 724 Posts
Rep Power: 77
Masanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the rough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Dah kwa jinsi navyo kujua wewe huachi kitu hapo lazima ukandamiza mkuu kwi kwi na unavyo jua wanajua sana neno kupenda dah we acha tu watu tunaogopwa kufumwa maana ukifumwa utakacho kipata hehehe.
Hahahah nimkusoma mpwa ukifumwa ni hadithi pevu...lakini wenyewe ndo wanatulazimisha na kama mkijiexpress ndo kabisa umeroga mke wa muungwana!
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous

E-mail:
masanilo@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #43  
Old 22nd June 2009, 05:36 PM
Nyani Ngabu's Avatar
Nyani Ngabu Nyani Ngabu is offline
Nyani Ngabu is on to the next one.
JF Senior Expert Member
Points: 1,208,617, Level: 100 Points: 1,208,617, Level: 100 Points: 1,208,617, Level: 100
Activity: 58% Activity: 58% Activity: 58%
 
Join Date: Mon May 2006
Location: Inside the Perimeter
Posts: 15,137
Thanks: 174
Thanked 917 Times in 493 Posts
Rep Power: 54
Nyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Does it matter Nyani?

Yes I am.
Have you ever been dumped/ dissed by a dude?
__________________
Miafrika Ndivyo Tulivyo!!

You are talking loud but saying nothing!
Reply With Quote
  #44  
Old 22nd June 2009, 05:36 PM
Mzizi wa Mbuyu Mzizi wa Mbuyu is offline
Mzizi wa Mbuyu has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 189,152, Level: 100 Points: 189,152, Level: 100 Points: 189,152, Level: 100
Activity: 17% Activity: 17% Activity: 17%
 
Join Date: Fri May 2009
Posts: 371
Thanks: 37
Thanked 64 Times in 36 Posts
Rep Power: 21
Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
labda sugarmummy hilooo au mdada kaolewa na kizeee anataka damu changa inayochemka hahhahahaha kazi unayo........
Hao ndiyo wengi kweli, usipokuwa makini utajiona mjanja kuwatafuna mara kwa mara kumbe unsaidia ku-solve shida zao....

Ila inapendeza Mwanaume ndiyo uanze kuimbisha bwana!,
Kwamfano;
"si unajua dada, mie sijaoa huwezi jua huenda ukawa mke wangu, aftaloo tutatumia "kiroba" (kondomu bwana!),......
"Mh, unajua mama ananiambia nioe muda mrefu namimi naamini muda umefika sasa, nakuapia hakiya-mulumbu no! ntakuoa ( inasaidia sana kuongea vitu visivyoeleweka ili avutiwa kuuliza na kujisogeza kwenye kona zaidi!) .....!n.k
Atakubali tu.... huku unatikisa tikisa kamguu juu na chini kisigino kikiwa ndiyo stendi. yaani!! inanoga bwana.
__________________
Heri kupendwa na mwenye akili mmoja, kuliko kupendwa wapumbavu maelfu!
Reply With Quote
  #45  
Old 22nd June 2009, 05:39 PM
MwanajamiiOne MwanajamiiOne is offline
MwanajamiiOne has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 504,497, Level: 100 Points: 504,497, Level: 100 Points: 504,497, Level: 100
Activity: 20% Activity: 20% Activity: 20%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Location: TANZANIA
Posts: 2,671
Thanks: 1,775
Thanked 840 Times in 496 Posts
Rep Power: 27
MwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Have you ever been dumped/ dissed by a dude?
unfortunately yes and it did hurt kiasi kwamba aliporudi kutaka baby come back I didnt have strength to let him in........
__________________
The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
Reply With Quote
  #46  
Old 22nd June 2009, 05:45 PM
Nyani Ngabu's Avatar
Nyani Ngabu Nyani Ngabu is offline
Nyani Ngabu is on to the next one.
JF Senior Expert Member
Points: 1,208,617, Level: 100 Points: 1,208,617, Level: 100 Points: 1,208,617, Level: 100
Activity: 58% Activity: 58% Activity: 58%
 
Join Date: Mon May 2006
Location: Inside the Perimeter
Posts: 15,137
Thanks: 174
Thanked 917 Times in 493 Posts
Rep Power: 54
Nyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
unfortunately yes and it did hurt kiasi kwamba aliporudi kutaka baby come back I didnt have strength to let him in........
Aaaaawww...you poor thang...see, now it makes sense by how you reacted when I said 'it feels good' to diss/dump a female....I'm sorry to hear that happened to you. I hope you've healed and moved on...
__________________
Miafrika Ndivyo Tulivyo!!

You are talking loud but saying nothing!
Reply With Quote
  #47  
Old 22nd June 2009, 05:45 PM
Sipo's Avatar
Sipo Sipo is offline
Sipo is self-assured
JF Senior Expert Member
Points: 359,135, Level: 100 Points: 359,135, Level: 100 Points: 359,135, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Jul 2008
Location: SIPAJUI
Posts: 2,167
Thanks: 382
Thanked 430 Times in 293 Posts
Rep Power: 26
Sipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enoughSipo will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

its not bad, wanawake anzeni ku-implement hii, tumechoka kuwatongoza, jaribuni muone ilivyo ngumu kukataliwa
__________________
"Ficha Upumbavu wako, husifiche hekima yako'' Invisible
Reply With Quote
  #48  
Old 22nd June 2009, 05:47 PM
Masanilo's Avatar
Masanilo Masanilo is offline
Masanilo is alcoholic
JF Premium Member
Points: 826,872, Level: 100 Points: 826,872, Level: 100 Points: 826,872, Level: 100
Activity: 46% Activity: 46% Activity: 46%
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Swat valley
Posts: 7,059
Thanks: 1,055
Thanked 1,106 Times in 724 Posts
Rep Power: 77
Masanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the rough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
"si unajua dada, mie sijaoa huwezi jua huenda ukawa mke wangu, aftaloo tutatumia "kiroba" (kondomu bwana!),......
"Mh, unajua mama ananiambia nioe muda mrefu namimi naamini muda umefika sasa, nakuapia hakiya-mulumbu no! ntakuoa
Nasikitika kama ndo utongozaji wajo ni huu msichana ambaye yuko top of the game humlazi chali, atakuona wewe mshamba sana eti nikuowe!!! Loooh amekuambia anashida na ndoa? Eti mama kanambia niowe, so what? mzee unahitaji shule ya kusomesha demu hizi ni za kijijini ambako kila demu anataka kuolewa....pole sana kaka Mzizi!
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous

E-mail:
masanilo@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #49  
Old 22nd June 2009, 06:08 PM
Mzizi wa Mbuyu Mzizi wa Mbuyu is offline
Mzizi wa Mbuyu has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 189,152, Level: 100 Points: 189,152, Level: 100 Points: 189,152, Level: 100
Activity: 17% Activity: 17% Activity: 17%
 
Join Date: Fri May 2009
Posts: 371
Thanks: 37
Thanked 64 Times in 36 Posts
Rep Power: 21
Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Nasikitika kama ndo utongozaji wajo ni huu msichana ambaye yuko top of the game humlazi chali, atakuona wewe mshamba sana eti nikuowe!!! Loooh amekuambia anashida na ndoa? Eti mama kanambia niowe, so what? mzee unahitaji shule ya kusomesha demu hizi ni za kijijini ambako kila demu anataka kuolewa....pole sana kaka Mzizi!
Tehe tehe Masa bwana, hiyo ilikuwa ndiyo enzi zetu kipindi hicho hatiujaoa, na tulikuwa tunawapata sana tuuuu! tena hapahapa Dar. Ila ni siku nyiiingi maana sasa hivi nduguyo nimeoa na sitongozi tena! nakula vyangu tu.
__________________
Heri kupendwa na mwenye akili mmoja, kuliko kupendwa wapumbavu maelfu!
Reply With Quote
  #50  
Old 22nd June 2009, 06:12 PM
Masanilo's Avatar
Masanilo Masanilo is offline
Masanilo is alcoholic
JF Premium Member
Points: 826,872, Level: 100 Points: 826,872, Level: 100 Points: 826,872, Level: 100
Activity: 46% Activity: 46% Activity: 46%
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Swat valley
Posts: 7,059
Thanks: 1,055
Thanked 1,106 Times in 724 Posts
Rep Power: 77
Masanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the rough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Tehe tehe Masa bwana, hiyo ilikuwa ndiyo enzi zetu kipindi hicho hatiujaoa, na tulikuwa tunawapata sana tuuuu! tena hapahapa Dar. Ila ni siku nyiiingi maana sasa hivi nduguyo nimeoa na sitongozi tena! nakula vyangu tu.
Haya ndugu yangu nimekusoma, ila linda vyako hapo mjini kuna manyangumi na mapapa ya wake za watu! Hawa kina Fidel80 wapo kila kona.....!
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous

E-mail:
masanilo@jamiiforums.com
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
kutongoza, mwanamke, mwanaume


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Alipokuwa Mwanamke Alikuwa Msagaji Sasa Kawa Mwanaume Lakini ni Shoga MziziMkavu Habari na Hoja mchanganyiko 6 10th June 2009 09:01 AM
ndivyo wanaume wawazavyo kuhusu sex mr impossible Mahusiano, mapenzi, urafiki 8 8th June 2009 10:49 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:14 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com