Mahusiano, mapenzi, urafikiTubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!
Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
__________________ "The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."
Dah kwa jinsi navyo kujua wewe huachi kitu hapo lazima ukandamiza mkuu kwi kwi na unavyo jua wanajua sana neno kupenda dah we acha tu watu tunaogopwa kufumwa maana ukifumwa utakacho kipata hehehe.
Hahahah nimkusoma mpwa ukifumwa ni hadithi pevu...lakini wenyewe ndo wanatulazimisha na kama mkijiexpress ndo kabisa umeroga mke wa muungwana!
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous
labda sugarmummy hilooo au mdada kaolewa na kizeee anataka damu changa inayochemka hahhahahaha kazi unayo........
Hao ndiyo wengi kweli, usipokuwa makini utajiona mjanja kuwatafuna mara kwa mara kumbe unsaidia ku-solve shida zao....
Ila inapendeza Mwanaume ndiyo uanze kuimbisha bwana!,
Kwamfano;
"si unajua dada, mie sijaoa huwezi jua huenda ukawa mke wangu, aftaloo tutatumia "kiroba" (kondomu bwana!),......
"Mh, unajua mama ananiambia nioe muda mrefu namimi naamini muda umefika sasa, nakuapia hakiya-mulumbu no! ntakuoa ( inasaidia sana kuongea vitu visivyoeleweka ili avutiwa kuuliza na kujisogeza kwenye kona zaidi!) .....!n.k
Atakubali tu.... huku unatikisa tikisa kamguu juu na chini kisigino kikiwa ndiyo stendi. yaani!! inanoga bwana.
__________________
Heri kupendwa na mwenye akili mmoja, kuliko kupendwa wapumbavu maelfu!
unfortunately yes and it did hurt kiasi kwamba aliporudi kutaka baby come back I didnt have strength to let him in........
Aaaaawww...you poor thang...see, now it makes sense by how you reacted when I said 'it feels good' to diss/dump a female....I'm sorry to hear that happened to you. I hope you've healed and moved on...
Nasikitika kama ndo utongozaji wajo ni huu msichana ambaye yuko top of the game humlazi chali, atakuona wewe mshamba sana eti nikuowe!!! Loooh amekuambia anashida na ndoa? Eti mama kanambia niowe, so what? mzee unahitaji shule ya kusomesha demu hizi ni za kijijini ambako kila demu anataka kuolewa....pole sana kaka Mzizi!
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous
Nasikitika kama ndo utongozaji wajo ni huu msichana ambaye yuko top of the game humlazi chali, atakuona wewe mshamba sana eti nikuowe!!! Loooh amekuambia anashida na ndoa? Eti mama kanambia niowe, so what? mzee unahitaji shule ya kusomesha demu hizi ni za kijijini ambako kila demu anataka kuolewa....pole sana kaka Mzizi!
Tehe tehe Masa bwana, hiyo ilikuwa ndiyo enzi zetu kipindi hicho hatiujaoa, na tulikuwa tunawapata sana tuuuu! tena hapahapa Dar. Ila ni siku nyiiingi maana sasa hivi nduguyo nimeoa na sitongozi tena! nakula vyangu tu.
__________________
Heri kupendwa na mwenye akili mmoja, kuliko kupendwa wapumbavu maelfu!
Tehe tehe Masa bwana, hiyo ilikuwa ndiyo enzi zetu kipindi hicho hatiujaoa, na tulikuwa tunawapata sana tuuuu! tena hapahapa Dar. Ila ni siku nyiiingi maana sasa hivi nduguyo nimeoa na sitongozi tena! nakula vyangu tu.
Haya ndugu yangu nimekusoma, ila linda vyako hapo mjini kuna manyangumi na mapapa ya wake za watu! Hawa kina Fidel80 wapo kila kona.....!
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous