Mwanamke kutongoza mwanaume - Page 4 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Mahusiano, mapenzi, urafiki


Mahusiano, mapenzi, urafiki Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 22nd June 2009, 03:50 AM  
Mwanamke kutongoza mwanaume
Pretty Pretty is offline 22nd June 2009, 03:50 AM

Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
__________________
"The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."

 
Pretty's Avatar
Pretty
JF Senior Expert Member
Points: 231,609, Level: 100 Points: 231,609, Level: 100 Points: 231,609, Level: 100
Activity: 17% Activity: 17% Activity: 17%
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,603
Thanks: 291
Thanked 403 Times in 264 Posts
Views: 4979
Reply With Quote
  #31  
Old 22nd June 2009, 05:58 PM
Ndahani's Avatar
Ndahani Ndahani is offline
Ndahani has no status.
JF Premium Member
Points: 121,351, Level: 100 Points: 121,351, Level: 100 Points: 121,351, Level: 100
Activity: 24% Activity: 24% Activity: 24%
 
Join Date: Tue Jun 2008
Location: Somewhere
Posts: 1,443
Thanks: 149
Thanked 445 Times in 288 Posts
Rep Power: 24
Ndahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Hii ya kutongozwa si jipya wengine tumezoea ndo maana suala la kuowa lipo kando kabisa, wake za watu ndo kabisa wanakuambia live....mkienda semina hasa nje ya nchi ni kumegana kwenda mbele mradi utunze siri.
Nakubaliana na wewe mkubwa kwa asilimia kubwa maana hata mimi nayaona. Mambo yamebadilika sana siku hizi.Kumegana imekuwa sio issue tena
Reply With Quote
  #32  
Old 22nd June 2009, 06:08 PM
MwanajamiiOne MwanajamiiOne is offline
MwanajamiiOne has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 497,129, Level: 100 Points: 497,129, Level: 100 Points: 497,129, Level: 100
Activity: 47% Activity: 47% Activity: 47%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Location: TANZANIA
Posts: 2,660
Thanks: 1,731
Thanked 828 Times in 488 Posts
Rep Power: 27
MwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
It feels good kumpiga chini demu aisee. Wee acha tu...wengine tuna bahati sana...
__________________
The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
Reply With Quote
  #33  
Old 22nd June 2009, 06:08 PM
Shishye's Avatar
Shishye Shishye is offline
Shishye has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 72,974, Level: 100 Points: 72,974, Level: 100 Points: 72,974, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Feb 2009
Location: On earth
Posts: 258
Thanks: 0
Thanked 42 Times in 22 Posts
Rep Power: 22
Shishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enoughShishye will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Wanawake hasa walioolewa wako juu sana kutongoza wanaume hasa wenye ndoa. Yamenikuta hivi karibuni, nikawaeleza jamaa zang wakaniambia mbona hiyo ni kawaida sana siku hizi? Nilishangaa sana. Mwanamke mke wa mtu, wana ndoa; yuko bize kichizi eti ananipenda hawezi kuishi bila mimi.

Dah! inapendeza wanaume kutongoza tu. Wanawake wasubirie kuimbiwa hayo mashairi, wayasikilize na vile aibu aibu mambo yanapendeza. Mambo gani mwanamke ameshupaa anasukuma ajenda ya kumtaka men! Hapana, sioni kama inanoga mie. Labda ajilengeshe tu lakini asianze yeye kuwa mwongoza mada.
__________________
"Chunguza Mjomba, Utabaini!"
Reply With Quote
  #34  
Old 22nd June 2009, 06:10 PM
Nyani Ngabu's Avatar
Nyani Ngabu Nyani Ngabu is online now
Nyani Ngabu is on to the next one.
JF Senior Expert Member
Points: 1,202,073, Level: 100 Points: 1,202,073, Level: 100 Points: 1,202,073, Level: 100
Activity: 72% Activity: 72% Activity: 72%
 
Join Date: Mon May 2006
Location: Inside the Perimeter
Posts: 15,067
Thanks: 162
Thanked 882 Times in 469 Posts
Rep Power: 54
Nyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Why are you frowning?
__________________
Miafrika Ndivyo Tulivyo!!
Reply With Quote
  #35  
Old 22nd June 2009, 06:11 PM
agika agika is offline
agika has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 77,337, Level: 100 Points: 77,337, Level: 100 Points: 77,337, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Jun 2009
Posts: 385
Thanks: 3
Thanked 4 Times in 3 Posts
Rep Power: 21
agika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Hii ni maada/mjadala tu, haimanishi hivyo kama ulivyofikiri.
usijipe presha mammy kwani ujawazoea tu wanaume wa JF??? utani ni tamaduni yaoo
but back to the point ni kwamba what matters ni jinsi gani unamuapproach huyo mwananume unaweza ukamuaproach as a woman au ukamuapproach as a hooker, u know wat i mean? usiende kwa mwanaume ukaanza kumwachia kifua wazi, mapaja wazi unag'ta ng'ata vidole utegemeee akuelewe kwamba unampenda kidhati ... atajua may be unamtamani na unajua kuna tofauti ya kumpenda mtu na kumtamani which is temporary its like asking someone do you feel like having sex na akisema yeah you do it en no string attached no hard feelings. but unaweza ukamuonyesha mwanaume kwamba nakupenda na kuact as a woman na akakuelewa bilieve me i know what am talkin about...
Reply With Quote
  #36  
Old 22nd June 2009, 06:12 PM
MwanajamiiOne MwanajamiiOne is offline
MwanajamiiOne has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 497,129, Level: 100 Points: 497,129, Level: 100 Points: 497,129, Level: 100
Activity: 47% Activity: 47% Activity: 47%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Location: TANZANIA
Posts: 2,660
Thanks: 1,731
Thanked 828 Times in 488 Posts
Rep Power: 27
MwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Why are you frowning?
I am not frowning NN, am sad.
__________________
The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
Reply With Quote
  #37  
Old 22nd June 2009, 06:14 PM
Nyani Ngabu's Avatar
Nyani Ngabu Nyani Ngabu is online now
Nyani Ngabu is on to the next one.
JF Senior Expert Member
Points: 1,202,073, Level: 100 Points: 1,202,073, Level: 100 Points: 1,202,073, Level: 100
Activity: 72% Activity: 72% Activity: 72%
 
Join Date: Mon May 2006
Location: Inside the Perimeter
Posts: 15,067
Thanks: 162
Thanked 882 Times in 469 Posts
Rep Power: 54
Nyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
I am not frowning NN, am sad.
You a female?
__________________
Miafrika Ndivyo Tulivyo!!
Reply With Quote
  #38  
Old 22nd June 2009, 06:14 PM
Masanilo's Avatar
Masanilo Masanilo is offline
Masanilo is back the to alcohol Rehab centre
JF Premium Member
Points: 818,887, Level: 100 Points: 818,887, Level: 100 Points: 818,887, Level: 100
Activity: 66% Activity: 66% Activity: 66%
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Swat valley
Posts: 6,971
Thanks: 1,009
Thanked 1,057 Times in 686 Posts
Rep Power: 76
Masanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the rough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
Wanawake hasa walioolewa wako juu sana kutongoza wanaume hasa wenye ndoa
Si kweli hawapendi sana walioowa maana hawapatikani kiurahisi kama sisi Mabachela....maana mwenye mke wakati mwingine anakuwa hana nafasi....mabachela unapatikana anytime ......nakuambia maofisini tunaona mengi....
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous

E-mail:
masanilo@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #39  
Old 22nd June 2009, 06:16 PM
agika agika is offline
agika has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 77,337, Level: 100 Points: 77,337, Level: 100 Points: 77,337, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Jun 2009
Posts: 385
Thanks: 3
Thanked 4 Times in 3 Posts
Rep Power: 21
agika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enoughagika will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Wanawake hasa walioolewa wako juu sana kutongoza wanaume hasa wenye ndoa. Yamenikuta hivi karibuni, nikawaeleza jamaa zang wakaniambia mbona hiyo ni kawaida sana siku hizi? Nilishangaa sana. Mwanamke mke wa mtu, wana ndoa; yuko bize kichizi eti ananipenda hawezi kuishi bila mimi.

Dah! inapendeza wanaume kutongoza tu. Wanawake wasubirie kuimbiwa hayo mashairi, wayasikilize na vile aibu aibu mambo yanapendeza. Mambo gani mwanamke ameshupaa anasukuma ajenda ya kumtaka men! Hapana, sioni kama inanoga mie. Labda ajilengeshe tu lakini asianze yeye kuwa mwongoza mada.
labda sugarmummy hilooo au mdada kaolewa na kizeee anataka damu changa inayochemka hahhahahaha kazi unayo........
Reply With Quote
  #40  
Old 22nd June 2009, 06:19 PM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 798,267, Level: 100 Points: 798,267, Level: 100 Points: 798,267, Level: 100
Activity: 100% Activity: 100% Activity: 100%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,320
Thanks: 500
Thanked 945 Times in 652 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Si kweli hawapendi sana walioowa maana hawapatikani kiurahisi kama sisi Mabachela....maana mwenye mke wakati mwingine anakuwa hana nafasi....mabachela unapatikana anytime ......nakuambia maofisini tunaona mengi....
Dah kwa jinsi navyo kujua wewe huachi kitu hapo lazima ukandamiza mkuu kwi kwi na unavyo jua wanajua sana neno kupenda dah we acha tu watu tunaogopwa kufumwa maana ukifumwa utakacho kipata hehehe.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
kutongoza, mwanamke, mwanaume


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Alipokuwa Mwanamke Alikuwa Msagaji Sasa Kawa Mwanaume Lakini ni Shoga MziziMkavu Habari na Hoja mchanganyiko 6 10th June 2009 10:01 AM
ndivyo wanaume wawazavyo kuhusu sex mr impossible Mahusiano, mapenzi, urafiki 8 8th June 2009 11:49 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:35 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com