Mwanamke kutongoza mwanaume - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Mahusiano, mapenzi, urafiki


Mahusiano, mapenzi, urafiki Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 22nd June 2009, 02:50 AM  
Mwanamke kutongoza mwanaume
Pretty Pretty is offline 22nd June 2009, 02:50 AM

Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
__________________
"The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."

 
Pretty's Avatar
Pretty
JF Senior Expert Member
Points: 234,186, Level: 100 Points: 234,186, Level: 100 Points: 234,186, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,627
Thanks: 309
Thanked 423 Times in 278 Posts
Views: 5045
Reply With Quote
  #21  
Old 22nd June 2009, 03:08 PM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100
Activity: 75% Activity: 75% Activity: 75%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,398
Thanks: 517
Thanked 987 Times in 685 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

I see sijawahi pata bahati ya kutokewa na mwanamke dah naililia sana mi akinitokea natafuna tu si kanipenda au kuna ubaya?
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #22  
Old 22nd June 2009, 03:52 PM
Ibrah's Avatar
Ibrah Ibrah is offline
Ibrah has no status.
JF Premium Member
Points: 597,435, Level: 100 Points: 597,435, Level: 100 Points: 597,435, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Thu Mar 2007
Location: TZ
Posts: 1,266
Thanks: 83
Thanked 80 Times in 48 Posts
Rep Power: 26
Ibrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
Hakuna ubaya wowote, kwangu imenitokea mara 2 waki-propose kuhusu ndoa na niakongea nao vizuri tu na wakanielewa. Tatizo kubwa huwa upande wetu wanaume,mwanamke akikueleza feelings zake unaanza kumdharau na hata kumtangaza kwa watu.

Ni vema tuchukue positively, maana hata kina dada nao ni watu na wana hisia sawa na kina kaka.
__________________
"Then you will know the truth, and the truth will set you free; I am the way, the truth and the life." Jn 8:32; 14:6
Reply With Quote
  #23  
Old 22nd June 2009, 04:13 PM
MwanajamiiOne MwanajamiiOne is offline
MwanajamiiOne has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 505,734, Level: 100 Points: 505,734, Level: 100 Points: 505,734, Level: 100
Activity: 20% Activity: 20% Activity: 20%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Location: TANZANIA
Posts: 2,674
Thanks: 1,777
Thanked 841 Times in 496 Posts
Rep Power: 27
MwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Hakuna ubaya wowote, kwangu imenitokea mara 2 waki-propose kuhusu ndoa na niakongea nao vizuri tu na wakanielewa. Tatizo kubwa huwa upande wetu wanaume,mwanamke akikueleza feelings zake unaanza kumdharau na hata kumtangaza kwa watu.

Ni vema tuchukue positively, maana hata kina dada nao ni watu na wana hisia sawa na kina kaka.
Hapo sasa na pia mara nyingi huwa ni hatari kwa mwanamke maana kwa kawaida mwanamke anapofikia hatua ya kumtongoza mwanaume huwa amempenda kikwelii kiasi cha yeye kuushinda moyo wake na kuvunja zile aibu za kike. Sasa anapofanya hivi anaweza akapotea na kujikuta akichezewa tu kwa sababu kama yeye ni mzuri kwa maana ya mrembo mwanaume anaweza akamkubalia ombi lake kwa lengo la kujipatia umaarufu kuwa naye alitembeaga na flani hata kama kiukweli hamfeel moyoni.

In short wanaume si rahisi kumkataa mwanamke mrembo akija kumtongoza ila wanawake ni rahisi kumkatraa yule ambaye unaona kabisa ukimwambia sawa nimekubali utakuwa unamdanganya kwa sababu unazozijua wewe moyoni mwako.

Mimi naomba tu nibakie kuwa traditionalist katika hili!
__________________
The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
Reply With Quote
  #24  
Old 22nd June 2009, 04:37 PM
msasa msasa is offline
msasa has no status.
Member
Points: 69,325, Level: 100 Points: 69,325, Level: 100 Points: 69,325, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Nov 2008
Posts: 48
Thanks: 2
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 0
msasa will become famous soon enoughmsasa will become famous soon enoughmsasa will become famous soon enoughmsasa will become famous soon enoughmsasa will become famous soon enoughmsasa will become famous soon enoughmsasa will become famous soon enoughmsasa will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Ujue sisi men tumeumbwa ndio viongozi, so kiutaratibu kabisa mwanamke hapaswi amuanze mwanaume, na hii hata ukiangalia in deep utagundua kuwa huo utaratibu upo ila kwa mwanamke hujilengesha tu kwako mpaka utaelewa tena haihitaji urijali huooo... haya mambo kwa sasa yanatokea kwa uwazi dem anaweza kukupijia sim akakuzingua nimekosea namba wakati kalegeza sauti kama mwanaume lazima utasema tu haina noma naisave tutawasiliana lol...... ndio ivo tunakiuka miko, no love there ni mikito tu hapo
Reply With Quote
  #25  
Old 22nd June 2009, 04:43 PM
Masanilo's Avatar
Masanilo Masanilo is offline
Masanilo is alcoholic
JF Premium Member
Points: 827,396, Level: 100 Points: 827,396, Level: 100 Points: 827,396, Level: 100
Activity: 46% Activity: 46% Activity: 46%
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Swat valley
Posts: 7,060
Thanks: 1,055
Thanked 1,106 Times in 724 Posts
Rep Power: 77
Masanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the rough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Hii ya kutongozwa si jipya wengine tumezoea ndo maana suala la kuowa lipo kando kabisa, wake za watu ndo kabisa wanakuambia live....mkienda semina hasa nje ya nchi ni kumegana kwenda mbele mradi utunze siri.
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous

E-mail:
masanilo@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #26  
Old 22nd June 2009, 04:49 PM
Nyani Ngabu's Avatar
Nyani Ngabu Nyani Ngabu is online now
Nyani Ngabu is on to the next one.
JF Senior Expert Member
Points: 1,210,210, Level: 100 Points: 1,210,210, Level: 100 Points: 1,210,210, Level: 100
Activity: 57% Activity: 57% Activity: 57%
 
Join Date: Mon May 2006
Location: Inside the Perimeter
Posts: 15,152
Thanks: 174
Thanked 925 Times in 500 Posts
Rep Power: 54
Nyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Mimi natongozwa karibu kila siku. Sikumbuki hata mara ya mwisho kutongoza demu ilikuwa lini....matter of fact...sidhani hata kama nimewahi kutongoza....yaani hata sijui unatongozaje.
__________________
Miafrika Ndivyo Tulivyo!!

You are talking loud but saying nothing!
Reply With Quote
  #27  
Old 22nd June 2009, 04:53 PM
Fidel80's Avatar
Fidel80 Fidel80 is offline
Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100 Points: 807,707, Level: 100
Activity: 75% Activity: 75% Activity: 75%
 
Join Date: Sat May 2008
Location: UVUNGUNI
Posts: 7,398
Thanks: 517
Thanked 987 Times in 685 Posts
Rep Power: 36
Fidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enoughFidel80 will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Mimi natongozwa karibu kila siku. Sikumbuki hata mara ya mwisho kutongoza demu ilikuwa lini....matter of fact...sidhani hata kama nimewahi kutongoza....yaani hata sijui unatongozaje.
kwi kwi kwi kwi komrediiiiiii dah i see una enjoy sana mkuu big up sana wewe unachagua ule yupi na yupi umtose.
__________________
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

Email: fidel80@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #28  
Old 22nd June 2009, 04:54 PM
Ndahani's Avatar
Ndahani Ndahani is online now
Ndahani has no status.
JF Premium Member
Points: 123,038, Level: 100 Points: 123,038, Level: 100 Points: 123,038, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
 
Join Date: Tue Jun 2008
Location: Somewhere
Posts: 1,475
Thanks: 167
Thanked 467 Times in 303 Posts
Rep Power: 24
Ndahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enoughNdahani will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Mi naona kumueleza mtu hisia zako makes more sense kwasababu inaondoa msalaba usio na tija. Majibu yote yanawezekana mwanamke anapomtongoza mwanaume lakini hata mwanaume naye anaweza kupewa majibu hayo hayo anapotongoza mwanamke. Ila kama unataka kufanya jua fika inataka moyo ati
Reply With Quote
  #29  
Old 22nd June 2009, 04:56 PM
Nyani Ngabu's Avatar
Nyani Ngabu Nyani Ngabu is online now
Nyani Ngabu is on to the next one.
JF Senior Expert Member
Points: 1,210,210, Level: 100 Points: 1,210,210, Level: 100 Points: 1,210,210, Level: 100
Activity: 57% Activity: 57% Activity: 57%
 
Join Date: Mon May 2006
Location: Inside the Perimeter
Posts: 15,152
Thanks: 174
Thanked 925 Times in 500 Posts
Rep Power: 54
Nyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
kwi kwi kwi kwi komrediiiiiii dah i see una enjoy sana mkuu big up sana wewe unachagua ule yupi na yupi umtose.
It feels good kumpiga chini demu aisee. Wee acha tu...wengine tuna bahati sana...
__________________
Miafrika Ndivyo Tulivyo!!

You are talking loud but saying nothing!
Reply With Quote
  #30  
Old 22nd June 2009, 04:58 PM
MwanajamiiOne MwanajamiiOne is offline
MwanajamiiOne has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 505,734, Level: 100 Points: 505,734, Level: 100 Points: 505,734, Level: 100
Activity: 20% Activity: 20% Activity: 20%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Location: TANZANIA
Posts: 2,674
Thanks: 1,777
Thanked 841 Times in 496 Posts
Rep Power: 27
MwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enoughMwanajamiiOne will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Hii ya kutongozwa si jipya wengine tumezoea ndo maana suala la kuowa lipo kando kabisa, wake za watu ndo kabisa wanakuambia live....mkienda semina hasa nje ya nchi ni kumegana kwenda mbele mradi utunze siri.
We Masa sema taratibu utafanya wengine tukataliwe kusafiri kikazi lol! Kumbe mambo ndo yanakuwaga hivyo eeh?
__________________
The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
kutongoza, mwanamke, mwanaume


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Alipokuwa Mwanamke Alikuwa Msagaji Sasa Kawa Mwanaume Lakini ni Shoga MziziMkavu Habari na Hoja mchanganyiko 6 10th June 2009 09:01 AM
ndivyo wanaume wawazavyo kuhusu sex mr impossible Mahusiano, mapenzi, urafiki 8 8th June 2009 10:49 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 08:45 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com