Mahusiano, mapenzi, urafikiTubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!
Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
__________________ "The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."
Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
Hakuna ubaya wowote, kwangu imenitokea mara 2 waki-propose kuhusu ndoa na niakongea nao vizuri tu na wakanielewa. Tatizo kubwa huwa upande wetu wanaume,mwanamke akikueleza feelings zake unaanza kumdharau na hata kumtangaza kwa watu.
Ni vema tuchukue positively, maana hata kina dada nao ni watu na wana hisia sawa na kina kaka.
__________________ "Then you will know the truth, and the truth will set you free; I am the way, the truth and the life." Jn 8:32; 14:6
Hakuna ubaya wowote, kwangu imenitokea mara 2 waki-propose kuhusu ndoa na niakongea nao vizuri tu na wakanielewa. Tatizo kubwa huwa upande wetu wanaume,mwanamke akikueleza feelings zake unaanza kumdharau na hata kumtangaza kwa watu.
Ni vema tuchukue positively, maana hata kina dada nao ni watu na wana hisia sawa na kina kaka.
Hapo sasa na pia mara nyingi huwa ni hatari kwa mwanamke maana kwa kawaida mwanamke anapofikia hatua ya kumtongoza mwanaume huwa amempenda kikwelii kiasi cha yeye kuushinda moyo wake na kuvunja zile aibu za kike. Sasa anapofanya hivi anaweza akapotea na kujikuta akichezewa tu kwa sababu kama yeye ni mzuri kwa maana ya mrembo mwanaume anaweza akamkubalia ombi lake kwa lengo la kujipatia umaarufu kuwa naye alitembeaga na flani hata kama kiukweli hamfeel moyoni.
In short wanaume si rahisi kumkataa mwanamke mrembo akija kumtongoza ila wanawake ni rahisi kumkatraa yule ambaye unaona kabisa ukimwambia sawa nimekubali utakuwa unamdanganya kwa sababu unazozijua wewe moyoni mwako.
Mimi naomba tu nibakie kuwa traditionalist katika hili!
__________________ The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine
Ujue sisi men tumeumbwa ndio viongozi, so kiutaratibu kabisa mwanamke hapaswi amuanze mwanaume, na hii hata ukiangalia in deep utagundua kuwa huo utaratibu upo ila kwa mwanamke hujilengesha tu kwako mpaka utaelewa tena haihitaji urijali huooo... haya mambo kwa sasa yanatokea kwa uwazi dem anaweza kukupijia sim akakuzingua nimekosea namba wakati kalegeza sauti kama mwanaume lazima utasema tu haina noma naisave tutawasiliana lol...... ndio ivo tunakiuka miko, no love there ni mikito tu hapo
Hii ya kutongozwa si jipya wengine tumezoea ndo maana suala la kuowa lipo kando kabisa, wake za watu ndo kabisa wanakuambia live....mkienda semina hasa nje ya nchi ni kumegana kwenda mbele mradi utunze siri.
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous
Mimi natongozwa karibu kila siku. Sikumbuki hata mara ya mwisho kutongoza demu ilikuwa lini....matter of fact...sidhani hata kama nimewahi kutongoza....yaani hata sijui unatongozaje.
Mimi natongozwa karibu kila siku. Sikumbuki hata mara ya mwisho kutongoza demu ilikuwa lini....matter of fact...sidhani hata kama nimewahi kutongoza....yaani hata sijui unatongozaje.
kwi kwi kwi kwi komrediiiiiii dah i see una enjoy sana mkuu big up sana wewe unachagua ule yupi na yupi umtose.
__________________ Ukiuza utumbo usiogope nzi. Chuda Raha
Mi naona kumueleza mtu hisia zako makes more sense kwasababu inaondoa msalaba usio na tija. Majibu yote yanawezekana mwanamke anapomtongoza mwanaume lakini hata mwanaume naye anaweza kupewa majibu hayo hayo anapotongoza mwanamke. Ila kama unataka kufanya jua fika inataka moyo ati
Hii ya kutongozwa si jipya wengine tumezoea ndo maana suala la kuowa lipo kando kabisa, wake za watu ndo kabisa wanakuambia live....mkienda semina hasa nje ya nchi ni kumegana kwenda mbele mradi utunze siri.
We Masa sema taratibu utafanya wengine tukataliwe kusafiri kikazi lol! Kumbe mambo ndo yanakuwaga hivyo eeh?
__________________ The Past is lost to you forever and the future is not yet yours. Now is the Only time you own. Use it wisely........ Maria Fontaine