Mwanamke kutongoza mwanaume - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Mahusiano, mapenzi, urafiki


Mahusiano, mapenzi, urafiki Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 22nd June 2009, 02:50 AM  
Mwanamke kutongoza mwanaume
Pretty Pretty is online now 22nd June 2009, 02:50 AM

Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
__________________
"The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."

 
Pretty's Avatar
Pretty
JF Senior Expert Member
Points: 233,500, Level: 100 Points: 233,500, Level: 100 Points: 233,500, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,617
Thanks: 299
Thanked 415 Times in 273 Posts
Views: 5029
Reply With Quote
  #11  
Old 22nd June 2009, 05:31 AM
Bubu Ataka Kusema's Avatar
Bubu Ataka Kusema Bubu Ataka Kusema is offline
Bubu Ataka Kusema says life is GOOD!
JF Premium Member
Points: 12,662,314, Level: 100 Points: 12,662,314, Level: 100 Points: 12,662,314, Level: 100
Activity: 69% Activity: 69% Activity: 69%
 
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Mfaranyaki
Posts: 12,663
Thanks: 1,027
Thanked 1,189 Times in 690 Posts
Rep Power: 2049
Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
Pretty tuko 2009 na na siyo mwaka 47. Kwanini uendelee kuteseka roho kila siku iendayo kwa mungu kutokana na kumpenda mwanaume ambaye ungependa kuwa naye kwa uhusiano wa karibu? Rusha tu ndoano yako anaweza kabisa kunasa ha ha ha ha lakini wanaume wengi hupenda kujua kama una kawaida ya kuwapigia speed wanaume mara kwa mara na wengi watakuwa na wasi wasi kwamba unaweza kuona njemba nyingine ikakuacha hoi na wewe kwa mara nyingine tena ukairushia ndoano.

Kwa maoni yangu sioni kama ni tatizo lolote. Maana hata hapa JF tumeshaona wanawake wakitangaza kutafuta wachumba kitu ambacho miaka ya nyuma kilikuwa hakipo kabisa katika mila zetu za Kitanzania.
__________________
~*~Life is Good~*~
Reply With Quote
  #12  
Old 22nd June 2009, 05:34 AM
Nyani Ngabu's Avatar
Nyani Ngabu Nyani Ngabu is online now
Nyani Ngabu is on to the next one.
JF Senior Expert Member
Points: 1,208,190, Level: 100 Points: 1,208,190, Level: 100 Points: 1,208,190, Level: 100
Activity: 61% Activity: 61% Activity: 61%
 
Join Date: Mon May 2006
Location: Inside the Perimeter
Posts: 15,132
Thanks: 171
Thanked 911 Times in 489 Posts
Rep Power: 54
Nyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enoughNyani Ngabu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Pretty tuko 2009 na na siyo mwaka 47. Kwanini uendelee kuteseka roho kila siku iendayo kwa mungu kutokana na kumpenda mwanaume ambaye ungependa kuwa naye kwa uhusiano wa karibu? Rusha tu ndoano yako anaweza kabisa kunasa ha ha ha ha lakini wanaume wengi hupenda kujua kama una kawaida ya kuwapigia speed wanaume mara kwa mara na wengi watakuwa na wasi wasi kwamba unaweza kuona njemba nyingine ikakuacha hoi na wewe kwa mara nyingine tena ukairushia ndoano.

Kwa maoni yangu hakuna sioni kama ni tatizo lolote. Maana hata hapa JF tumeshaona wanawake wakitangaza kutafuta wachumba kitu ambacho miaka ya nyuma kilikuwa hakipo kabisa katika mila zetu za Kitanzania.
Hebu mwacheni Pretty bana...nshaongea naye miye...
__________________
Miafrika Ndivyo Tulivyo!!

You are talking loud but saying nothing!
Reply With Quote
  #13  
Old 22nd June 2009, 05:36 AM
Pretty's Avatar
Pretty Pretty is online now
Pretty ''I'm really blessed."
JF Senior Expert Member
Points: 233,500, Level: 100 Points: 233,500, Level: 100 Points: 233,500, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,617
Thanks: 299
Thanked 415 Times in 273 Posts
Rep Power: 24
Pretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enoughPretty will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Jamani hii mada tu nimeeileta hapa jamvini, sijamaanisha kwamba mie nataka kuaproach mwanaume.
__________________
"The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."
Reply With Quote
  #14  
Old 22nd June 2009, 07:10 AM
Kaizer's Avatar
Kaizer Kaizer is offline
Kaizer loving you everyday
JF Premium Member
Points: 272,442, Level: 100 Points: 272,442, Level: 100 Points: 272,442, Level: 100
Activity: 94% Activity: 94% Activity: 94%
 
Join Date: Tue Sep 2008
Posts: 3,344
Thanks: 960
Thanked 1,033 Times in 644 Posts
Rep Power: 28
Kaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enoughKaizer will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Jamani hii mada tu nimeeileta hapa jamvini, sijamaanisha kwamba mie nataka kuaproach mwanaume.
nadhani wanachommanisha ni kuwa hata ukiamua, hakuna noma
__________________
"" Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana, naye atanisamehe upotovu wa dhambi zangu"

Kaizer@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #15  
Old 22nd June 2009, 08:10 AM
Buswelu's Avatar
Buswelu Buswelu is offline
Buswelu I will
JF Senior Expert Member
Points: 284,166, Level: 100 Points: 284,166, Level: 100 Points: 284,166, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Thu Aug 2007
Location: Northern Tanzania
Posts: 901
Thanks: 5
Thanked 16 Times in 14 Posts
Rep Power: 24
Buswelu will become famous soon enoughBuswelu will become famous soon enoughBuswelu will become famous soon enoughBuswelu will become famous soon enoughBuswelu will become famous soon enoughBuswelu will become famous soon enoughBuswelu will become famous soon enoughBuswelu will become famous soon enough
Send a message via MSN to Buswelu Send a message via Yahoo to Buswelu
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Siku za kisasa inawezekana....mdada anatafuta number yako ana kutafuta...bila wewe kujua...anakupa detail zake na zako anakuwa anazifahamu vyema.Humjui yeye anakujua kwa kuwa ndio mwenye nia....anakutumia sms,anapiga,credit anatuma yaani kama men akiwa kwenye mawindo.

Once anakutoa out....japo huwa tunajikakamua kwa kulipa bill kwa kuwa hatutaki kuonekana boya.So ya women out there see men follow him.Nimeuliza couple of women wanasema njia ingine badala ya kumtongoza mwanaume huwa wanajilengesha ili wapate antension yake na kutongozwa...basi hukubali.Hii ni kwa sababu kuwa utamaduni haujatulea kutongozwa na wadada.
__________________
The happiness you get from being able to forgive someone is beyond any apology.
Reply With Quote
  #16  
Old 22nd June 2009, 11:30 AM
Ndugu's Avatar
Ndugu Ndugu is online now
Ndugu Loves You
JF Senior Expert Member
Points: 291,071, Level: 100 Points: 291,071, Level: 100 Points: 291,071, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sat Apr 2008
Location: Here
Posts: 500
Thanks: 45
Thanked 43 Times in 28 Posts
Rep Power: 23
Ndugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Hii ni maada/mjadala tu, haimanishi hivyo kama ulivyofikiri.
Nimekuelewa, Ila unaruhusiwa kuutumia ushauri wangu Just In Case..

Karibu tena
__________________
Nobody can do everything but everybody can do something.
Reply With Quote
  #17  
Old 22nd June 2009, 11:43 AM
Ndugu's Avatar
Ndugu Ndugu is online now
Ndugu Loves You
JF Senior Expert Member
Points: 291,071, Level: 100 Points: 291,071, Level: 100 Points: 291,071, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sat Apr 2008
Location: Here
Posts: 500
Thanks: 45
Thanked 43 Times in 28 Posts
Rep Power: 23
Ndugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Siku za kisasa inawezekana....mdada anatafuta number yako ana kutafuta...bila wewe kujua...anakupa detail zake na zako anakuwa anazifahamu vyema.Humjui yeye anakujua kwa kuwa ndio mwenye nia....anakutumia sms,anapiga,credit anatuma yaani kama men akiwa kwenye mawindo.

Once anakutoa out....japo huwa tunajikakamua kwa kulipa bill kwa kuwa hatutaki kuonekana boya.So ya women out there see men follow him.Nimeuliza couple of women wanasema njia ingine badala ya kumtongoza mwanaume huwa wanajilengesha ili wapate antension yake na kutongozwa...basi hukubali.Hii ni kwa sababu kuwa utamaduni haujatulea kutongozwa na wadada.
Matokeo yake ndo yale mambo ya kumegwa na kuachwa kisha kuoneana kicheche.. Mi naona bora wawe wawazi tungu mwanzoni ili jamaa mapema kabisa ajue kuwa lengo nini haswa. Kwa sababu kwa hulka yetu wanaume, mwanamke akijilengesha hata kama huna feelings naye utammega tu kumbe mwenzako yeye ana ndoto za kuwa na wewe forever ila hakuziweka bayana tangu mwanzoni.

Hiyo ndiyo huwa inapelekea wanawake kutuona wanaume kama wakatili, hatujali hisia zao pale wanapoonesha kutupenda, lakini ukweli ni kuwa njia wanayokuwa wametumia kumtokea mtu ndiyo jamaa naye anaitumia kama advantage ya kummega. Sidhani kama demu ambaye simfeel akija siriaz kunambia kuwa anataka anipe moyo wake nitakubali kumchezea ilhali najua anachokifeel. Nitamwambia tu ukweli ili asipoteze muda wake kwangu. Ila kama atakuwa anajirahisisha tu bila kuweka bayana lengo, nammega kisha nasepa..
__________________
Nobody can do everything but everybody can do something.
Reply With Quote
  #18  
Old 22nd June 2009, 11:53 AM
Babuyao Babuyao is online now
Babuyao has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 84,286, Level: 100 Points: 84,286, Level: 100 Points: 84,286, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Sat Jun 2009
Posts: 518
Thanks: 32
Thanked 47 Times in 32 Posts
Rep Power: 22
Babuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Matokeo yake ndo yale mambo ya kumegwa na kuachwa kisha kuoneana kicheche.. Mi naona bora wawe wawazi tungu mwanzoni ili jamaa mapema kabisa ajue kuwa lengo nini haswa. Kwa sababu kwa hulka yetu wanaume, mwanamke akijilengesha hata kama huna feelings naye utammega tu kumbe mwenzako yeye ana ndoto za kuwa na wewe forever ila hakuziweka bayana tangu mwanzoni.

Hiyo ndiyo huwa inapelekea wanawake kutuona wanaume kama wakatili, hatujali hisia zao pale wanapoonesha kutupenda, lakini ukweli ni kuwa njia wanayokuwa wametumia kumtokea mtu ndiyo jamaa naye anaitumia kama advantage ya kummega. Sidhani kama demu ambaye simfeel akija siriaz kunambia kuwa anataka anipe moyo wake nitakubali kumchezea ilhali najua anachokifeel. Nitamwambia tu ukweli ili asipoteze muda wake kwangu. Ila kama atakuwa anajirahisisha tu bila kuweka bayana lengo, nammega kisha nasepa..
Vijana wanaoanza uhusiano kwa mara ya kwanza tu huwa wanaongelea ndoa kweli? yaani kuishi pamoja forever kama ulivyosema? Mmh, siamini! Mi ninachoamini ni kuwa - wengi -wanaanza taratibu kama marafiki na baadaye uhusiano unapochanganya ndipo wanapoanza kuzungumzia mambo mazito ya kuishi pamoja forever, au?
Reply With Quote
  #19  
Old 22nd June 2009, 02:46 PM
Wayne's Avatar
Wayne Wayne is offline
Wayne has no status.
Senior Member
Points: 64,739, Level: 100 Points: 64,739, Level: 100 Points: 64,739, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed May 2009
Posts: 83
Thanks: 10
Thanked 4 Times in 3 Posts
Rep Power: 21
Wayne will become famous soon enoughWayne will become famous soon enoughWayne will become famous soon enoughWayne will become famous soon enoughWayne will become famous soon enoughWayne will become famous soon enoughWayne will become famous soon enoughWayne will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Quote:
View Post
Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
Usihofu mweleze huyo kaka hisia zako.
__________________
All temptations are found either in hope or fear
Reply With Quote
  #20  
Old 22nd June 2009, 02:59 PM
Omugasi Omugasi is offline
Omugasi has no status.
Member
Points: 77,283, Level: 100 Points: 77,283, Level: 100 Points: 77,283, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri May 2009
Posts: 37
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Omugasi will become famous soon enoughOmugasi will become famous soon enoughOmugasi will become famous soon enoughOmugasi will become famous soon enoughOmugasi will become famous soon enoughOmugasi will become famous soon enoughOmugasi will become famous soon enoughOmugasi will become famous soon enough
Default Re: Hii imekaaje? Mwanamke kutongoza mwanaume.

Pretty, hata kwa kuitoa mada kwa njia moja au nyingine umeshajieleza! uzuri kaka Nyani amekuelewa na ujumbe umefika...wadau sisi tubariki bwana! na mwenye wivu ajitoe koromeo!
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
kutongoza, mwanamke, mwanaume


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Alipokuwa Mwanamke Alikuwa Msagaji Sasa Kawa Mwanaume Lakini ni Shoga MziziMkavu Habari na Hoja mchanganyiko 6 10th June 2009 09:01 AM
ndivyo wanaume wawazavyo kuhusu sex mr impossible Mahusiano, mapenzi, urafiki 8 8th June 2009 10:49 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 10:27 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com