Mahusiano, mapenzi, urafikiTubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!
Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
__________________ "The great pleasure in life is doing what people say you cannot do."
Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
Pretty tuko 2009 na na siyo mwaka 47. Kwanini uendelee kuteseka roho kila siku iendayo kwa mungu kutokana na kumpenda mwanaume ambaye ungependa kuwa naye kwa uhusiano wa karibu? Rusha tu ndoano yako anaweza kabisa kunasa ha ha ha ha lakini wanaume wengi hupenda kujua kama una kawaida ya kuwapigia speed wanaume mara kwa mara na wengi watakuwa na wasi wasi kwamba unaweza kuona njemba nyingine ikakuacha hoi na wewe kwa mara nyingine tena ukairushia ndoano.
Kwa maoni yangu sioni kama ni tatizo lolote. Maana hata hapa JF tumeshaona wanawake wakitangaza kutafuta wachumba kitu ambacho miaka ya nyuma kilikuwa hakipo kabisa katika mila zetu za Kitanzania.
Pretty tuko 2009 na na siyo mwaka 47. Kwanini uendelee kuteseka roho kila siku iendayo kwa mungu kutokana na kumpenda mwanaume ambaye ungependa kuwa naye kwa uhusiano wa karibu? Rusha tu ndoano yako anaweza kabisa kunasa ha ha ha ha lakini wanaume wengi hupenda kujua kama una kawaida ya kuwapigia speed wanaume mara kwa mara na wengi watakuwa na wasi wasi kwamba unaweza kuona njemba nyingine ikakuacha hoi na wewe kwa mara nyingine tena ukairushia ndoano.
Kwa maoni yangu hakuna sioni kama ni tatizo lolote. Maana hata hapa JF tumeshaona wanawake wakitangaza kutafuta wachumba kitu ambacho miaka ya nyuma kilikuwa hakipo kabisa katika mila zetu za Kitanzania.
Siku za kisasa inawezekana....mdada anatafuta number yako ana kutafuta...bila wewe kujua...anakupa detail zake na zako anakuwa anazifahamu vyema.Humjui yeye anakujua kwa kuwa ndio mwenye nia....anakutumia sms,anapiga,credit anatuma yaani kama men akiwa kwenye mawindo.
Once anakutoa out....japo huwa tunajikakamua kwa kulipa bill kwa kuwa hatutaki kuonekana boya.So ya women out there see men follow him.Nimeuliza couple of women wanasema njia ingine badala ya kumtongoza mwanaume huwa wanajilengesha ili wapate antension yake na kutongozwa...basi hukubali.Hii ni kwa sababu kuwa utamaduni haujatulea kutongozwa na wadada.
__________________
The happiness you get from being able to forgive someone is beyond any apology.
Siku za kisasa inawezekana....mdada anatafuta number yako ana kutafuta...bila wewe kujua...anakupa detail zake na zako anakuwa anazifahamu vyema.Humjui yeye anakujua kwa kuwa ndio mwenye nia....anakutumia sms,anapiga,credit anatuma yaani kama men akiwa kwenye mawindo.
Once anakutoa out....japo huwa tunajikakamua kwa kulipa bill kwa kuwa hatutaki kuonekana boya.So ya women out there see men follow him.Nimeuliza couple of women wanasema njia ingine badala ya kumtongoza mwanaume huwa wanajilengesha ili wapate antension yake na kutongozwa...basi hukubali.Hii ni kwa sababu kuwa utamaduni haujatulea kutongozwa na wadada.
Matokeo yake ndo yale mambo ya kumegwa na kuachwa kisha kuoneana kicheche.. Mi naona bora wawe wawazi tungu mwanzoni ili jamaa mapema kabisa ajue kuwa lengo nini haswa. Kwa sababu kwa hulka yetu wanaume, mwanamke akijilengesha hata kama huna feelings naye utammega tu kumbe mwenzako yeye ana ndoto za kuwa na wewe forever ila hakuziweka bayana tangu mwanzoni.
Hiyo ndiyo huwa inapelekea wanawake kutuona wanaume kama wakatili, hatujali hisia zao pale wanapoonesha kutupenda, lakini ukweli ni kuwa njia wanayokuwa wametumia kumtokea mtu ndiyo jamaa naye anaitumia kama advantage ya kummega. Sidhani kama demu ambaye simfeel akija siriaz kunambia kuwa anataka anipe moyo wake nitakubali kumchezea ilhali najua anachokifeel. Nitamwambia tu ukweli ili asipoteze muda wake kwangu. Ila kama atakuwa anajirahisisha tu bila kuweka bayana lengo, nammega kisha nasepa..
__________________
Nobody can do everything but everybody can do something.
Matokeo yake ndo yale mambo ya kumegwa na kuachwa kisha kuoneana kicheche.. Mi naona bora wawe wawazi tungu mwanzoni ili jamaa mapema kabisa ajue kuwa lengo nini haswa. Kwa sababu kwa hulka yetu wanaume, mwanamke akijilengesha hata kama huna feelings naye utammega tu kumbe mwenzako yeye ana ndoto za kuwa na wewe forever ila hakuziweka bayana tangu mwanzoni.
Hiyo ndiyo huwa inapelekea wanawake kutuona wanaume kama wakatili, hatujali hisia zao pale wanapoonesha kutupenda, lakini ukweli ni kuwa njia wanayokuwa wametumia kumtokea mtu ndiyo jamaa naye anaitumia kama advantage ya kummega. Sidhani kama demu ambaye simfeel akija siriaz kunambia kuwa anataka anipe moyo wake nitakubali kumchezea ilhali najua anachokifeel. Nitamwambia tu ukweli ili asipoteze muda wake kwangu. Ila kama atakuwa anajirahisisha tu bila kuweka bayana lengo, nammega kisha nasepa..
Vijana wanaoanza uhusiano kwa mara ya kwanza tu huwa wanaongelea ndoa kweli? yaani kuishi pamoja forever kama ulivyosema? Mmh, siamini! Mi ninachoamini ni kuwa - wengi -wanaanza taratibu kama marafiki na baadaye uhusiano unapochanganya ndipo wanapoanza kuzungumzia mambo mazito ya kuishi pamoja forever, au?
Hey wana Jf,
Katika utamaduni wetu kama waafrika/ watanzania, mwanaume ndio wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimahusiano. Hivi sasa imekuwa tofauti kidogo, kuna baadhi ya wasichana wanaanza kueleza hisia zao kwa mvulana/Mwanaume kama anampenda au anahisia nae kimapenzi. Lakini hapa nchini kwetu inaonekana kama vile msichana anayemtaka kimapenzi mwanaume ni muhuni/ mapepe/malaya, majina yote hayo anapewa. Hii tabia ya msichana kumtongoza mwanaume hapa Tanzania kwa sasa bado watu wanaona kama msichana mwenye tabia hiyo ni muhuni au malaya, imekuwa tofauti na developed country hao hii tabia ni ya kawaida tu na wal si ajabu.
Je wewe kama mwanaJF na Mtanzania unalionaje hili, je ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume? Au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
Usihofu mweleze huyo kaka hisia zako.
__________________
All temptations are found either in hope or fear
Pretty, hata kwa kuitoa mada kwa njia moja au nyingine umeshajieleza! uzuri kaka Nyani amekuelewa na ujumbe umefika...wadau sisi tubariki bwana! na mwenye wivu ajitoe koromeo!