Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ukimwi na Mapenzi

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 45
    1. #1
      PROF. ENG's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Location : KWENYE MAANDAMANO
      Posts : 123
      Rep Power : 404
      Likes Received
      28
      Likes Given
      63

      Default Ukimwi na Mapenzi

      Mume wangu nakupenda sana, ujilinde, mimi siwezi kukulinda au kukuchunga kila uendapo, unaweza ukawa kuna mambo unayafanya ambayo mimi hutaki niyajue na wala sitaki nijue, Tafadhali sana lolote lile utakalofanya jua kuna ukimwi, Angalau ukumbuke kutumia kinga, kwakweli sitakusamehe wala kukuhudumia siku ukipatwa na ukimwi. Hayo ni maneno ambayo mke alikuwa anamwambia mumewe. Lakini baada ya miaka kadhaa ya ndoa kama nane hivi mke ikajulikana yeye ndio amepata ukimwi bahati nzuri mume alipoenda kucheki yeye alikuwa bado hajaathirika. Mbaya zaidi jamaa hajawahi kusikia wala kuhisi kama mkewe anatoka nje ya ndoa mpaka alipogundua dalili za ukimwi kwa mkewe.

      Kweli ndoa ngumu. Kupata mtu muaminifu ni ndoto.
      andate likes this.
      HAKUNA NGUVU KUBWA KULIKO YA UMMA.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Bwa'Nchuchu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 1,027
      Rep Power : 672
      Likes Received
      398
      Likes Given
      60

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By PROF. ENG
      Mume wangu nakupenda sana, ujilinde, mimi siwezi kukulinda au kukuchunga kila uendapo, unaweza ukawa kuna mambo unayafanya ambayo mimi hutaki niyajue na wala sitaki nijue, Tafadhali sana lolote lile utakalofanya jua kuna ukimwi, Angalau ukumbuke kutumia kinga, kwakweli sitakusamehe wala kukuhudumia siku ukipatwa na ukimwi. Hayo ni maneno ambayo mke alikuwa anamwambia mumewe. Lakini baada ya miaka kadhaa ya ndoa kama nane hivi mke ikajulikana yeye ndio amepata ukimwi bahati nzuri mume alipoenda kucheki yeye alikuwa bado hajaathirika. Mbaya zaidi jamaa hajawahi kusikia wala kuhisi kama mkewe anatoka nje ya ndoa mpaka alipogundua dalili za ukimwi kwa mkewe.

      Kweli ndoa ngumu. Kupata mtu muaminifu ni ndoto.
      Hapo ndo ujue uaminifu ni siri ya mtu moyoni.

      Sasa huyo mke kautoa wapi huo ukimwi? Kachangua sindano? Au kaupata the old fashioned way?

      Either way, nasaha zake kwa mumewe zilikuwa zina-project tabia yake.
      Context is everything.

    4. #22
      Bwa'Nchuchu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 1,027
      Rep Power : 672
      Likes Received
      398
      Likes Given
      60

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Bishanga
      Mambo ya discordant couples hayo,jamaa amshukuru mola wake na kikubwa zaidi amtunze mkewe na ammpe moyo,waishi watunze watoto,kulaumiana haisadii,wakubali tu hali halisi.
      Wee babu J....discordant ndo nini?
      Context is everything.

    5. #23
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,858
      Rep Power : 26879
      Likes Received
      4358
      Likes Given
      4638

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Scofied
      hatujui upande wa pilli wa hii hadithi...nachelea kumuhukumu huyu mama coz hatujui nini kilimsibu....all in all uaminifu unajengwa na vitu vingi sana...
      Ingekua ni mwanaume ndie kapatikana bado ungeonesha subra hiyo hiyo?
      Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds
      Albert Einstein


    6. #24
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,858
      Rep Power : 26879
      Likes Received
      4358
      Likes Given
      4638

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Kiranga
      Inamaana hawakuwa na mahusiano ya kinyumba? Hili swala la mke/mume kuwa na virusi lakini mwenzake akakosa linanitatiza sana.

      The only explanation ni kama hawakutani kimwili, lakini kama wanakutana kimwili regularly inashangaza.
      I read somewhere that the likelihoods of catching HIV less than 0,3% per coitus.
      Ingekua kila coitus inaambukiza basi watu wangeisha duniani, tungebaki sisi tu.
      Ngoja nitafute ile source then nije ni-edit this post. Nilishangaa mwenyewe!
      Estimated HIV transmission risk per exposure for specific activities and events

      Activity Risk-per-exposure
      Vaginal sex, female-to-male, studies in high-income countries 0.04% (1:2380)
      Vaginal sex, male-to-female, studies in high-income countries 0.08% (1:1234)
      Vaginal sex, female-to-male, studies in low-income countries 0.38% (1:263)
      Vaginal sex, male-to-female, studies in low-income countries 0.30% (1:333)
      Vaginal sex, source partner is asymptomatic 0.07% (1:1428)
      Vaginal sex, source partner has late-stage disease 0.55% (1:180)
      Receptive anal sex amongst gay men, partner unknown status 0.27% (1:370)
      Receptive anal sex amongst gay men, partner HIV positive 0.82% (1:123)
      Receptive anal sex with condom, gay men, partner unknown status 0.18% (1:555)
      Insertive anal sex, gay men, partner unknown status 0.06% (1:1666)
      Insertive anal sex with condom, gay men, partner unknown status 0.04% (1:2500)
      Receptive fellatio Estimates range from 0.00% to 0.04% (1:2500)
      Mother-to-child, mother takes at least two weeks antiretroviral therapy 0.8% (1:125)
      Mother-to-child, mother takes combination therapy, viral load below 50 0.1% (1:1000)
      Injecting drug use Estimates range from 0.63% (1:158) to 2.4% (1:41)
      Needlestick injury, no other risk factors 0.13% (1:769)
      Blood transfusion with contaminated blood 92.5% (9:10)
      Sources: vaginal sex;1 anal sex;2 fellatio;3 2 mother-to-child;4 other activities.5



      http://www.aidsmap.com/Estimated-ris...8/#item1324093



      Last edited by Mwali; 22nd August 2012 at 03:52. Reason: Adding data and source
      Kiranga likes this.
      Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds
      Albert Einstein


    7. #25
      Bwa'Nchuchu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 1,027
      Rep Power : 672
      Likes Received
      398
      Likes Given
      60

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Mwali
      Ingekua kila coitus inaambukiza basi watu wangeisha duniani, tungebaki sisi tu.
      Mngebaki wewe na nani?
      Context is everything.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,858
      Rep Power : 26879
      Likes Received
      4358
      Likes Given
      4638

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Bwa'Nchuchu
      Mngebaki wewe na nani?
      Sisi ambao hatu-do
      Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds
      Albert Einstein


    10. #27
      Bushloiaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 386
      Rep Power : 511
      Likes Received
      135
      Likes Given
      51

      Default

      Mkuu have you ever heard of discordant couples?Google it .Inachanganya sana kwa kweli
      Quote By Kiranga
      Inamaana hawakuwa na mahusiano ya kinyumba? Hili swala la mke/mume kuwa na virusi lakini mwenzake akakosa linanitatiza sana.

      The only explanation ni kama hawakutani kimwili, lakini kama wanakutana kimwili regularly inashangaza.
      Kiranga likes this.

    11. #28
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,858
      Rep Power : 26879
      Likes Received
      4358
      Likes Given
      4638

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Bwa'Nchuchu
      No.
      Nani mwingine ha-do?
      Mi nitajuaje? najua wewe na mimi tu.
      Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds
      Albert Einstein


    12. #29
      Bwa'Nchuchu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 1,027
      Rep Power : 672
      Likes Received
      398
      Likes Given
      60

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Mwali
      Mi nitajuaje? najua wewe na mimi tu.
      Sasa mbona mwanzoni ulitumia uwingi wa 'sisi'?
      Context is everything.

    13. #30
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,858
      Rep Power : 26879
      Likes Received
      4358
      Likes Given
      4638

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Bwa'Nchuchu
      Sasa mbona mwanzoni ulitumia uwingi wa 'sisi'?
      majestically.
      Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds
      Albert Einstein


    14. #31
      Bwa'Nchuchu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 1,027
      Rep Power : 672
      Likes Received
      398
      Likes Given
      60

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Mwali
      majestically.
      Unamaanisha nini?
      Context is everything.

    15. #32
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,858
      Rep Power : 26879
      Likes Received
      4358
      Likes Given
      4638

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Bwa'Nchuchu
      Unamaanisha nini?
      kuna watu ambao wanarefer to themselves at the third person (singular)
      or first person (plural). Ndio nilitaka kufanya hapo: Sisi kama Mwali
      Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds
      Albert Einstein


    16. #33
      Bwa'Nchuchu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 1,027
      Rep Power : 672
      Likes Received
      398
      Likes Given
      60

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Mwali
      kuna watu ambao wanarefer to themselves at the third person (singular)
      or first person (plural). Ndio nilitaka kufanya hapo: Sisi kama Mwali
      Uwingi wa Mwali ni mwali?
      Context is everything.

    17. #34
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,858
      Rep Power : 26879
      Likes Received
      4358
      Likes Given
      4638

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Bwa'Nchuchu
      Uwingi wa Mwali ni mwali?
      in this majestic form? ndio.
      It is just like when a speaker says:" tunaamini kwamba "
      He could well say naamini, but he uses that to weight his opinion
      Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds
      Albert Einstein


    18. #35
      Bwa'Nchuchu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 1,027
      Rep Power : 672
      Likes Received
      398
      Likes Given
      60

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Mwali
      in this majestic form? ndio.
      It is just like when a speaker says:" tunaamini kwamba "
      He could well say naamini, but he uses that to weight his opinion
      Majestic ni part of speech?
      Context is everything.

    19. #36
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,858
      Rep Power : 26879
      Likes Received
      4358
      Likes Given
      4638

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Bwa'Nchuchu
      Majestic ni part of speech?
      http://forum.wordreference.com/showthread.php?t=858883
      Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds
      Albert Einstein


    20. #37
      Bwa'Nchuchu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 1,027
      Rep Power : 672
      Likes Received
      398
      Likes Given
      60

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Hilo siyo jibu la swali langu.
      Context is everything.

    21. #38
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,858
      Rep Power : 26879
      Likes Received
      4358
      Likes Given
      4638

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Bwa'Nchuchu
      Hilo siyo jibu la swali langu.
      basi sijaelewa swali lako.
      can you repeat the question
      using different words please?
      Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds
      Albert Einstein


    22. #39
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,277
      Rep Power : 606
      Likes Received
      330
      Likes Given
      58

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Mwali
      Ingekua ni mwanaume ndie kapatikana bado ungeonesha subra hiyo hiyo?
      Ntajudge kutokana na story itakavyokuwa mkuu Mwali...
      Mwali likes this.

    23. #40
      andate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2011
      Posts : 1,162
      Rep Power : 634
      Likes Received
      399
      Likes Given
      2147

      Default Re: Ukimwi na Mapenzi

      Quote By Kiranga
      Inamaana hawakuwa na mahusiano ya kinyumba? Hili swala la mke/mume kuwa na virusi lakini mwenzake akakosa linanitatiza sana.

      The only explanation ni kama hawakutani kimwili, lakini kama wanakutana kimwili regularly inashangaza.
      Hii inashangaza lakini hutokea. before nilikuwa siamini, ikaja kutokea kwa ndugu yetu. wakati mke wake ana mimba(3months) ndugu yetu akaanza kuugua ukimwi, tukaenda hospitali kibao kuthibitisha kama ana huo ugonjwa, kila hospital tulioenda ilithibitisha kuwa anao. ndugu yetu akafariki. tukamchukua mke kwenda kumpima, kila tulikompeleka tukaambiwa hana, na mke akawa anang'ang'ania kuwa mumewe amerogwa kwa sababu ingekuwa ukimwi na yeye angekua nao. lakini ukweli ni kwamba ndugu yetu alikuwa na ukimwi. Mpaka leo hii sielewi iliwezekanaje.

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...