Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

    Report Post
    Page 3 of 11 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 210
    1. #1
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,512
      Rep Power : 1794
      Likes Received
      654
      Likes Given
      0

      Default Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Heshima mbele wana JF na mapumziko marefu ya weekend and eid el fitr,naomba kuongeza upeo tu kupenda kujua kwa wapendanao au walio ndoa kwa jinsia zote utajuaje kama mwenza wako ametoka nje ya ndoa kwa siku hiyo?au hata kesho yake kama inawezekana?Nimewahi sikia wanawake wanaweza kujua performance ya mwenza wake:sina hakina na hilo pia kwa wanaume je?

    2. Study Abroad

    3. #41
      Bwa'Nchuchu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 1,027
      Rep Power : 672
      Likes Received
      398
      Likes Given
      60

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Quote By Dark City
      Kama utakumbuka niliyosema jana, ndoa ni sawa na sovereign state...Kwa hiyo kuna mambo ya ndani ya kila ndoa ambayo ni unique na huweza kuyakuta sehemu nyingine.
      Sijui unachokirejea hapo.

      Binafsi sihitaji kujua kama mke wa anacheat na siwezi kuhangaika kutafuta ukweli wa ovyo kama huo ambao utaishia kuniumiza bure...Ila ikitokea nikajua kuwa mke wanagu anacheat...hilo ni jambo jingine.
      Duh! Wewe kiboko.

      Kwa maana ingine ni kwamba hata kama mkeo anacheat wewe hutaki kujua kwa sababu utaishia kuumizwa (unaogopa kuumizwa)? Yaani kama anacheat na hakupi dalili zozote you are perfectly fine with it?

      Unanikumbusha mdada mmoja niliwahigi kutoka naye zamani kidogo. Kuna siku aliniambia kuwa hata kama nikiamua kucheat so long as she doesn't know she was fine with it. Sioni tofauti ya yeye na wewe.

      Sasa sijui wewe unaongelea stage ipi? Pale unapokuwa umejua, kabla ya kujua au wakati wa kuhangaika kutafuta taarifa ili ujue??
      Naongelea hatua zote.

      Mie sijui na sitaki kujua labda kama nimegonganishwa na ukweli...!!Babu DC!!
      Well, good for you. Mimi napenda kujua. Sipendi kutokujua.
      Context is everything.

    4. #42
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Yote hayo ya ini
      Dark City likes this.

    5. #43
      Mlabondo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 113
      Rep Power : 458
      Likes Received
      13
      Likes Given
      3

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Ebwana kiufupi ana kuwa anajichekesha chekesha au anazua visababu ili asikupe uchi. Or else pretending to be sick.
      Mie nliwahi kihisi nikamkorogea unga kwenye maji kisha nikamdanganya ni dawa nimepata kwa mganga tunywe kwa aliye wahi kutoka nje ya ndoa atakufa. Amani usi amini jamaa kagoma na katakata
      Dark City and IzeGREAT like this.

    6. #44
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,524
      Rep Power : 23545
      Likes Received
      6952
      Likes Given
      11297

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Quote By Bwa'Nchuchu
      Sijui unachokirejea hapo.



      Duh! Wewe kiboko.

      Kwa maana ingine ni kwamba hata kama mkeo anacheat wewe hutaki kujua kwa sababu utaishia kuumizwa (unaogopa kuumizwa)? Yaani kama anacheat na hakupi dalili zozote you are perfectly fine with it?

      Unanikumbusha mdada mmoja niliwahigi kutoka naye zamani kidogo. Kuna siku aliniambia kuwa hata kama nikiamua kucheat so long as she doesn't know she was fine with it. Sioni tofauti ya yeye na wewe.



      Naongelea hatua zote.



      Well, good for you. Mimi napenda kujua. Sipendi kutokujua.

      Poa mkuu,

      Una maana kuwa utakuwa unampekua pekua mkeo (may be ukitumia na magnifying lens) kujua kama kila siku karudi salama??

      Kama uko kwenye ndoa basi kazi unayo.......Ila kama bado, jiandae kwa kuimarisha misuli ya kifua kwa sababu heart attack haiko mbali!!

      Babu DC!!
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    7. #45
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,524
      Rep Power : 23545
      Likes Received
      6952
      Likes Given
      11297

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Quote By Mlabondo
      Ebwana kiufupi ana kuwa anajichekesha chekesha au anazua visababu ili asikupe uchi. Or else pretending to be sick.
      Mie nliwahi kihisi nikamkorogea unga kwenye maji kisha nikamdanganya ni dawa nimepata kwa mganga tunywe kwa aliye wahi kutoka nje ya ndoa atakufa. Amani usi amini jamaa kagoma na katakata
      Ulikuwa unahangaika kutafuta nini??

      Ina maana huna mbinu nyingine ya kuthibitisha kuwa mkeo au GF wako anacheat hadi ukatengeneze dawa za kichawi kama hizo??

      Ukikutana na mjanja atakunywa halafu utasutwa kaka hadi ukome!!

      Babu DC!!
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    8. Miaka 50

    9. #46
      Bwa'Nchuchu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 1,027
      Rep Power : 672
      Likes Received
      398
      Likes Given
      60

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Quote By Dark City
      Poa mkuu,

      Una maana kuwa utakuwa unampekua pekua mkeo (may be ukitumia na magnifying lens) kujua kama kila siku karudi salama??
      Hapana, si hivyo hata kidogo. Mambo ya kupekuana hayahusiki. Ninachozungumzia mimi ni hali kama vile mkeo anatoka anaenda baa na kurudi usiku wa manane. Na akirudi anarudishwa na tuseme mmoja wa marafiki zake wa kiume.

      Anapigiwa simu na wanaume ambao yeye anadai ni marafiki tu na siyo wapenzi, na mambo mengine kama hayo ambayo kwa watu wengi yanaweza ku raise red flags.

      Huwezi kujua kama mkeo amecheat kwa kumpekua pekua kwenye sehemu zake za siri. Kwanza huo ni ukichaa. Na yeye akikubali kupekuliwa namna nitamuona hana maana.

      Kama uko kwenye ndoa basi kazi unayo.......Ila kama bado, jiandae kwa kuimarisha misuli ya kifua kwa sababu heart attack haiko mbali!!
      Hapatwi mtu na shambulio la moyo hapa. Ni kwamba tu napenda kufanya informed decisions.
      Dark City and nyumba kubwa like this.
      Context is everything.

    10. #47
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,524
      Rep Power : 23545
      Likes Received
      6952
      Likes Given
      11297

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Quote By Bwa'Nchuchu
      Hapana, si hivyo hata kidogo. Mambo ya kupekuana hayahusiki. Ninachozungumzia mimi ni hali kama vile mkeo anatoka anaenda baa na kurudi usiku wa manane. Na akirudi anarudishwa na tuseme mmoja wa marafiki zake wa kiume.

      Anapigiwa simu na wanaume ambao yeye anadai ni marafiki tu na siyo wapenzi, na mambo mengine kama hayo ambayo kwa watu wengi yanaweza ku raise red flags.

      Huwezi kujua kama mkeo amecheat kwa kumpekua pekua kwenye sehemu zake za siri. Kwanza huo ni ukichaa. Na yeye akikubali kupekuliwa namna nitamuona hana maana.



      Hapatwi mtu na shambulio la moyo hapa. Ni kwamba tu napenda kufanya informed decisions.
      Kaka,

      Mimi ni mwanamume wa Kiafrika hata kama sina vigezo vyote tulivyojadili jana ila ninavyo vingi tu kati ya hivyo (may be over 80%)!! Kwa hiyo familia yangu inaishi kwa principles ambazo tumekubaliana na mie ni wa kwanza kuzitekeleza na wala siyo kuzivunja!!

      Na kwa taarifa yako, kila mtu anayeishi chini ya paa la Babu DC, alishakiri kwa kinywa chake kwamba Babu DC ni baba wa ukweli...!!

      Hayo unayoongelea wanafanyiwa wanaume wa kuchonga....!!

      Babu DC!!
      IzeGREAT and The Boss like this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    11. #48
      Bwa'Nchuchu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 1,027
      Rep Power : 672
      Likes Received
      398
      Likes Given
      60

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Quote By Dark City
      Kaka,

      Mimi ni mwanamume wa Kiafrika hata kama sina vigezo vyote tulivyojadili jana ila ninavyo vingi tu kati ya hivyo (may be over 80%)!! Kwa hiyo familia yangu inaishi kwa principles ambazo tumekubaliana na mie ni wa kwanza kuzitekeleza na wala siyo kuzivunja!!

      Na kwa taarifa yako, kila mtu anayeishi chini ya paa la Babu DC, alishakiri kwa kinywa chake kwamba Babu DC ni baba wa ukweli...!!

      Hayo unayoongelea wanafanyiwa wanaume wa kuchonga....!!

      Babu DC!!
      Alaaaaa kumbe!!! Heko kwako kwa kuwa mwanaume wa Kiafrika.
      Dark City likes this.
      Context is everything.

    12. #49
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,524
      Rep Power : 23545
      Likes Received
      6952
      Likes Given
      11297

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Quote By Bwa'Nchuchu
      Alaaaaa kumbe!!! Heko kwako kwa kuwa mwanaume wa Kiafrika.

      Usijali sana mkuu,

      Nimechungulia tarehe uliyojiunga na wadau nikagundua kuwa uko hapa toka February...Usiwe na shaka, tutafahimiana tu...Just give yourself sometime!!

      Eid njema mkuu....Msalimie shemeji, ila usianze tabia chafu ya kumfanyia uchunguzi (kule ikulu) usio na tija!!

      Babu DC!!
      Bwa'Nchuchu likes this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    13. #50
      Mkombozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2008
      Posts : 346
      Rep Power : 643
      Likes Received
      36
      Likes Given
      0

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Ni rahiSi sana,mwanamke hua anakua na ute mzito wa rangi ya maziwa mtindi.Wakati umwandaa utatoka,ukiweka jamaa akatoka akiwa amenaswa kidogo na hayo malendalenda ujue hajafanyya siku nyingi.Kama ametoka kufanya muda sii mrefu,huo ute unaofanana na maziwa mtindi hautakuwepo.Uke unakua msafi.Jaribu umwache mkeo zaidi ya wiki then ufanye nae.Pia fanya nae kila siku utaona hiyo ya kila siku uke unakua nsafi zaidi ukiwa hauna huo ute unaofanana na maziwa mtindi

    14. #51
      kazikubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 600
      Rep Power : 557
      Likes Received
      137
      Likes Given
      7

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Huwezi kufahamu cheating kwa kutumia vigezo vilivyotajwa. Hizo ni indicators tu zinazoweza kukusaidia kuanza uchunguzi kama unahitaji kufanya hivyo. Mapigo yanaweza kubadilika labda kachoka kazini au amekuwa na shughuli nyingine iliyomchosha.

      Kitu ninachopenda kifahamike kuwa tunapokutana na wenza wetu si kwamba wote tunakuwa na hamu sawa, bali kama wenza inabidi turidhishane ili kuepuka vishawishi. Kama mmoja hajisikii basi performance itakuwa chini hasa mwanaume. Hapo ndipo zogo huanza. Tuache kutumia sababu dhaifu kuwatuhumu wenza wetu
      Dark City and IzeGREAT like this.

    15. #52
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,524
      Rep Power : 23545
      Likes Received
      6952
      Likes Given
      11297

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Quote By kazikubwa
      Huwezi kufahamu cheating kwa kutumia vigezo vilivyotajwa. Hizo ni indicators tu zinazoweza kukusaidia kuanza uchunguzi kama unahitaji kufanya hivyo. Mapigo yanaweza kubadilika labda kachoka kazini au amekuwa na shughuli nyingine iliyomchosha.

      Kitu ninachopenda kifahamike kuwa tunapokutana na wenza wetu si kwamba wote tunakuwa na hamu sawa, bali kama wenza inabidi turidhishane ili kuepuka vishawishi. Kama mmoja hajisikii basi performance itakuwa chini hasa mwanaume. Hapo ndipo zogo huanza. Tuache kutumia sababu dhaifu kuwatuhumu wenza wetu

      Siyo dhaifu tu, bali ni za kitoto!!

      Babu DC!!
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    16. #53
      nyumba kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 4,047
      Rep Power : 2305
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      3969

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Bora leo nimepata support.
      Yani kuna watu wana zile imani za "siyo big gee kwamba itaisha utamu"

      Uchunguzi ni lazima hasa kama uliye naye unampenda...nani yuko tayari kuchangia bana???

      Mi nadhani watu wakiwa nyuma ya PC wanaandika vitu vya kufikirika...maana kwa experience yangu marafiki zangu wote wana wivu kwenda mbele na wanachunguza now and then...sasa hawa wanaotoa comments hapa JF za "kuchunguza ni ujinga" sijuhi wanapatikana wapi in real world.

      Maana wangekuwa wanaweka misimamo hii wazi huko mitaani nadhani ni wazuri sana kwa wale wezi wa waume/wake za watu...maana wenye mali 'hawajali'

      Quote By Bwa'Nchuchu
      Better is to know the truth!!!



      Utakuwaje na peace of mind ambayo msingi wake ni imani potofu? Peace of mind comes upon knowing the truth.
      Na huwezi kuwa safe kwa kuwa na false peace of mind. Au wewe unazungumzia safety in what sense? Mkeo acheat huko nje huku wewe unajipa imani potofu kuwa hacheat...kuna safety gani hapo?



      Imani ambayo msingi wake ni ukweli na uaminifu hiyo nakubali. Lakini imani ya upofu, kijinga, na kipumbavu ambayo msingi wake ni uoga wa kukabiliana na ukweli mwisho wake ni maziko yako wewe mwenye kuishikilia.
      BAK, Dark City, IzeGREAT and 2 others like this.

    17. #54
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 856
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Quote By valid statement
      kwani kwa mwanaume utajua??
      Yes, kwa mwanaume ukitoka ku-cheat, ukiminya kile kichwa cha **** basi utaona vimaji vinatoka. hapo ujue mtu alishapigwa bao.
      Don't break the LAW, just Bend It!

    18. #55
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 856
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Quote By Mamndenyi
      Atakuwa hana nguvu kabisa.
      Sio kweli hata kidogo, nimeshawahi kupiga mechi ya nje bao tatu (na condom), kisha nikarudi home siku hiyo hiyo nikachapa mbili safi kabla ya kulala na nilikuwa na nguvu ta kutosha tu
      Don't break the LAW, just Bend It!

    19. #56
      Bwa'Nchuchu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 1,027
      Rep Power : 672
      Likes Received
      398
      Likes Given
      60

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Quote By nyumba kubwa
      Bora leo nimepata support.
      Yani kuna watu wana zile imani za "siyo big gee kwamba itaisha utamu"

      Uchunguzi ni lazima hasa kama uliye naye unampenda...nani yuko tayari kuchangia bana???

      Mi nadhani watu wakiwa nyuma ya PC wanaandika vitu vya kufikirika...maana kwa experience yangu marafiki zangu wote wana wivu kwenda mbele na wanachunguza now and then...sasa hawa wanaotoa comments hapa JF za "kuchunguza ni ujinga" sijuhi wanapatikana wapi in real world.

      Maana wangekuwa wanaweka misimamo hii wazi huko mitaani nadhani ni wazuri sana kwa wale wezi wa waume/wake za watu...maana wenye mali 'hawajali'
      Wenzio wanajiita wanaume wa Kiafrika halafu wanaogopa kujua ukweli kwa sababu wataumia!

      Sijui ni wanaume wa Afrika ipi hao....!!!??!!
      nyumba kubwa likes this.
      Context is everything.

    20. #57
      UmkhontoweSizwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Posts : 2,006
      Rep Power : 932
      Likes Received
      548
      Likes Given
      319

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      ​Akikuita jina la mtu mwingine wakati amenogewa kwenye majambozi basi ujue hapo ni keusi na kekundu.
      "Power tends to corrupt, and absolute power corrupts absolutely." (Lord Acton, 1887)

    21. #58
      mgeni10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2010
      Posts : 445
      Rep Power : 518
      Likes Received
      102
      Likes Given
      462

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Kwa nini kujipa magonjwa ya moyo na Madonda ya Tumbo???????

      Mpaka hujaona huna sababu ya kutafuta. Labda kama untafuta sababu, mapenzi yako kwake yameisha.
      Dark City likes this.

    22. #59
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,524
      Rep Power : 23545
      Likes Received
      6952
      Likes Given
      11297

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Quote By nyumba kubwa
      Bora leo nimepata support.
      Yani kuna watu wana zile imani za "siyo big gee kwamba itaisha utamu"

      Uchunguzi ni lazima hasa kama uliye naye unampenda...nani yuko tayari kuchangia bana???

      Mi nadhani watu wakiwa nyuma ya PC wanaandika vitu vya kufikirika...maana kwa experience yangu marafiki zangu wote wana wivu kwenda mbele na wanachunguza now and then...sasa hawa wanaotoa comments hapa JF za "kuchunguza ni ujinga" sijuhi wanapatikana wapi in real world.

      Maana wangekuwa wanaweka misimamo hii wazi huko mitaani nadhani ni wazuri sana kwa wale wezi wa waume/wake za watu...maana wenye mali 'hawajali'
      Quote By Bwa'Nchuchu
      Wenzio wanajiita wanaume wa Kiafrika halafu wanaogopa kujua ukweli kwa sababu wataumia!

      Sijui ni wanaume wa Afrika ipi hao....!!!??!!
      Ndugu zangu nyumba kubwa na Bwa'Nchuchu,

      Naomba tuelewane vizuri katika hili jambo,

      Sie hatuwachunguzi chunguzi wake zetu (tena kwa mbinu za kitoto kama zilizoelewa na mtoa mada) eti kwa sababu hawawezi kucheat, au kwa vile sisi ni wanaume wa Kiafrika au vinginevyo, bali kwa sababu tumewapa heshima na imani yetu kwa kiwango kikubwa (>90%) hadi pale watakapokuwa wameia-abuse. Hili ni jambo rahisi na natural justice inasemwa hivyo...they are innocent until proved otherwise...Nyie mnaamini kinyume chake??

      Mmenielewa??

      Babu DC!!
      gfsonwin likes this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    23. #60
      Bwa'Nchuchu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 1,027
      Rep Power : 672
      Likes Received
      398
      Likes Given
      60

      Default Re: Wawezaje Jua kama Mkeo ame Cheat Siku Hiyo?

      Quote By Dark City
      Ndugu zangu nyumba kubwa na Bwa'Nchuchu,

      Naomba tuelewane vizuri katika hili jambo,

      Sie hatuwachunguzi chunguzi wake zetu (tena kwa mbinu za kitoto kama zilizoelewa na mtoa mada) eti kwa sababu hawawezi kucheat, au kwa vile sisi ni wanaume wa Kiafrika au vinginevyo, bali kwa sababu tumewapa heshima na imani yetu kwa kiwango kikubwa (>90%) hadi pale watakapokuwa wameia-abuse. Hili ni jambo rahisi na natural justice inasemwa hivyo...they are innocent until proved otherwise...Nyie mnaamini kinyume chake??

      Mmenielewa??

      Babu DC!!
      Wewe mgumu kweli kuelewa!!!!!!!!!!!!!!

      Nani kasema anamchunguza chunguza mwenza wake pasipo na sababu?

      Mtu anayemchunguza chunguza mwenza wake pasi na sababu basi huyo ni mwehu na nimeshasema huko nyuma kuwa haihusiki. Ama atakuwa anasumbuliwa na paranoid schizophrenia au atakuwa anaelekea kusumbuliwa nayo.

      Lakini pale palipo na probable cause halafu wewe na uanaume wako eti unaogopa kufuatilia kisa hutaki kuumizwa hisia zako, mwanaume gani wewe? Mwanaume gani anaogopa ogopa kufuatilia kujua kitu palipo na probable cause kisa hataki kuumizwa?

      This is just a matter of common sense. You only do it when there is reasonable suspicion. Kipi kigumu hapo kueleweka?

      Kama kuna probable cause hakuna utoto katika kufuatilia. That's what anybody should do.
      nyumba kubwa likes this.
      Context is everything.

    24. FemaTV & Radio
    Page 3 of 11 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...