Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

    Report Post
    Page 1 of 7 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 132
    1. #1
      seki6's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 110
      Rep Power : 437
      Likes Received
      23
      Likes Given
      31

      Default Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      Mambo yeno mm ni mhitimu wa chuo kikuu nina degree ila nipo hapa mjini kwa lengo moja tu yani kutafuta kibarua so nimefikia kwa rafikiyangu mmoja maeneo ya sinza ndiyo nakaa nae ni mwezi sasa naishi nae illa tumeanza kutoautiana maana hakuna privacy jamaa akija na demu wake inabidi nilale sebuleni sasa maisha haya yamenishinda na nimekuja na gari langu limekua ndiyo kama la kwake na kutafutia mademu maana wakati mwengine nina wese la kuweka kwenye gari inabidi niwe mpole sasa nimeamua nibadilishe mbinu ya kuishi town natafuta mdada ambaye yupo alone anaishi pekeyake ili nikae nae kwa muda huu wa kusaka kibarua nitakua nampeleka kazini na kwenye mizunguko yake na gari langu litakua kama lake na fadhila yake kwangu mimi ni kuishi nae tu naomba madada wanao kaa mjini ambaye yupo tayari pls ani pm namba yake ya simu tuwasiliane am good looking ila kwasababu sina kazi kau handsome kamefifia kidogo

      UPDATES
      michango ilikua mizuri wengi wametoa ushauri wa kujenga ila kwa reserch hii niliyoifanya nimegundua kwamba wanaume wengi wanaogopa kuchapiwa mademu zao na wana hofu sana na vijana wasiokua na ajira kujishikiza kwa madada wanaowagaramia
      PIA KATIKA DODOSO LANGU HILI NIMEGUNDUA KUWA KUMBE KUNA WATANZANIA WENGI WANA MAWAZO YA KUJENGA ILA HAWAYATUMII IPASAVYO BADALA YAKE WANALETA USHABIKI. asanteni kwa kushiriki
      Last edited by seki6; 1st September 2012 at 01:43.
      idea, FirstLady1, MadameX and 11 others like this.


    2. #2
      Sokwe Mjanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 473
      Rep Power : 12066
      Likes Received
      206
      Likes Given
      29

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      Kwahiyo hapo mkuu mtaji ni gari au degree?

      Kha!

    3. #3
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 587
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      Wewe,kwa nini wadada tu????unamaanisha huyo atayekukaribisha kuishi kwake akukaribisha na kila kitu chake???personally nilianza kukuelewa ila ulipoanza kueleza habari za uhandsome naona sitaweza.
      Kaa tu na handsome wako lol!
      Ndumbayeye and mito like this.

    4. #4
      mzabzab's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2011
      Posts : 4,468
      Rep Power : 1352
      Likes Received
      1512
      Likes Given
      269

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      hahaha...eti uhandsome umefifia kidogo...sawa bana
      when poverty enters through the door love escapes through the window!!!!!

      whom the gods seek to destroy first call promising

    5. #5
      mzabzab's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2011
      Posts : 4,468
      Rep Power : 1352
      Likes Received
      1512
      Likes Given
      269

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      Quote By mamajack
      Wewe,kwa nini wadada tu????unamaanisha huyo atayekukaribisha kuishi kwake akukaribisha na kila kitu chake???personally nilianza kukuelewa ila ulipoanza kueleza habari za uhandsome naona sitaweza.
      Kaa tu na handsome wako lol!
      sasa huyu sii alishajua gari ndio kisu cha kuwachinjia wanawake ndio maana anataka wanawake tuu
      seki6, mito and KUN like this.
      when poverty enters through the door love escapes through the window!!!!!

      whom the gods seek to destroy first call promising


    6. #6
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 587
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      Quote By mzabzab
      sasa huyu sii alishajua gari ndio kisu cha kuwachinjia wanawake ndio maana anataka wanawake tuu
      pole yake,hata wadada twawezanunua hilo gari.asijidanganye na hilo gari lake kla mwaka 90.
      seki6 likes this.

    7. #7
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,346
      Rep Power : 5151
      Likes Received
      3328
      Likes Given
      2721

      Default

      Quote By Sokwe Mjanja
      Kwahiyo hapo mkuu mtaji ni gari au degree?

      Kha!
      Si Unajua nitoke vipi? Haaaaaaaaaaaaaa gari ndio mtaji hapo,jamaa anataka kua baloteli aka mariooo

    8. #8
      Starn's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2011
      Posts : 377
      Rep Power : 528
      Likes Received
      51
      Likes Given
      44

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      Quote By seki6
      Mambo yeno mm ni mhitimu wa chuo kikuu nina degree ila nipo hapa mjini kwa lengo moja tu yani kutafuta kibarua so nimefikia kwa rafikiyangu mmoja maeneo ya sinza ndiyo nakaa nae ni mwezi sasa naishi nae illa tumeanza kutoautiana maana hakuna privacy jamaa akija na demu wake inabidi nilale sebuleni sasa maisha haya yamenishinda na nimekuja na gari langu limekua ndiyo kama la kwake na kutafutia mademu maana wakati mwengine nina wese la kuweka kwenye gari inabidi niwe mpole sasa nimeamua nibadilishe mbinu ya kuishi town natafuta mdada ambaye yupo alone anaishi pekeyake ili nikae nae kwa muda huu wa kusaka kibarua nitakua nampeleka kazini na kwenye mizunguko yake na gari langu litakua kama lake na fadhila yake kwangu mimi ni kuishi nae tu naomba madada wanao kaa mjini ambaye yupo tayari pls ani pm namba yake ya simu tuwasiliane am good looking ila kwasababu sina kazi kau handsome kamefifia kidogo
      unaluka majivu unakanyaga moto.

    9. #9
      seki6's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 110
      Rep Power : 437
      Likes Received
      23
      Likes Given
      31

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      Quote By Sokwe Mjanja
      Kwahiyo hapo mkuu mtaji ni gari au degree?

      Kha!
      degee si natafutia kazi na iyo gari imenishinda kwa sasa ni mzigo wakati natafuta job

    10. #10
      seki6's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 110
      Rep Power : 437
      Likes Received
      23
      Likes Given
      31

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      Quote By mamajack
      Wewe,kwa nini wadada tu????unamaanisha huyo atayekukaribisha kuishi kwake akukaribisha na kila kitu chake???personally nilianza kukuelewa ila ulipoanza kueleza habari za uhandsome naona sitaweza.
      Kaa tu na handsome wako lol!
      wadada wana huruma ilo swala la good looking wanawake wengi wanapenda ata kama si kimahusiano ndivyo walivyo wanawake wa mjini hawapendi bad looking guys wala usiogope mama jack

    11. #11
      Sokwe Mjanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 473
      Rep Power : 12066
      Likes Received
      206
      Likes Given
      29

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      Sisi wa darasa la saba na tusio na magari tutakoma kulala sebuleni haki, jamani kina dada mimi ni form foo ila mjomba upande wa bibi mkubwa ana gari, mnanifikiriaje? Nami nachoka kulala sebuleni

    12. #12
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,078
      Rep Power : 849
      Likes Received
      327
      Likes Given
      580

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      njoo uishi kwa dume mwenzio upakatwe...nenda mitaa ya...
      Ncha ya mkuki haipigwi ngumi, na kina cha maji hakipimwi kwa kutia miguu yote kwenye maji!!!

    13. #13
      seki6's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 110
      Rep Power : 437
      Likes Received
      23
      Likes Given
      31

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      Quote By mzabzab
      sasa huyu sii alishajua gari ndio kisu cha kuwachinjia wanawake ndio maana anataka wanawake tuu
      gaari linahitaji matunzo tatizo huyu ninaekaa nae kama umeelewa stori anaitumia vibaya kiasi ambacho mm ni kulala sebuleni akiwa anakuja na mademu

    14. #14
      Maswalala's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th March 2011
      Posts : 149
      Rep Power : 445
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      Nonsense kabisa

    15. #15
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,346
      Rep Power : 5151
      Likes Received
      3328
      Likes Given
      2721

      Default

      Quote By mamajack
      pole yake,hata wadada twawezanunua hilo gari.asijidanganye na hilo gari lake kla mwaka 90.
      Chezea ma-marioo wa mjini wewe? Utaumia mwenyewe! Chezea baroteli wa mjini wewe itakucost mwenyeweee!!

    16. #16
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 587
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      Quote By seki6
      wadada wana huruma ilo swala la good looking wanawake wengi wanapenda ata kama si kimahusiano ndivyo walivyo wanawake wa mjini hawapendi bad looking guys wala usiogope mama jack
      seki6,huo u gud luking wako utanisaidia nini mie.wanasema mwanaume hasifiwi kwa uzuri wa sura yake ila kwa kutimiza majukumu yake,wanaume wazuri wanaolewa pia siku hizi,hivyo atafute wababa wamsaudie kwa vilw amwsema ni handsome nadhani atasaidiwa tu.
      Mtazamo wangu lakini.
      bacha and lerato like this.

    17. #17
      Ennie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Location : DAR ES SALAAAM
      Posts : 1,598
      Rep Power : 822
      Likes Received
      500
      Likes Given
      539

      Default

      Quote By seki6
      degee si natafutia kazi na iyo gari imenishinda kwa sasa ni mzigo wakati natafuta job
      Huyo bint nae jamaa yake akija si utalala sebuleni uje uanzishe thread nyingine? Lala kwenye gari yako hutabughudhiwa na mtu.

    18. #18
      seki6's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 110
      Rep Power : 437
      Likes Received
      23
      Likes Given
      31

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      Quote By Mtego wa Noti
      njoo uishi kwa dume mwenzio upakatwe...nenda mitaa ya...
      soma headline usikurupuke ndiyomaana watanzania tunapelekwa pelekwa kwa kutozingatia kinachoeelezwa

    19. #19
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,346
      Rep Power : 5151
      Likes Received
      3328
      Likes Given
      2721

      Default

      Quote By seki6
      Mambo yeno mm ni mhitimu wa chuo kikuu nina degree ila nipo hapa mjini kwa lengo moja tu yani kutafuta kibarua so nimefikia kwa rafikiyangu mmoja maeneo ya sinza ndiyo nakaa nae ni mwezi sasa naishi nae illa tumeanza kutoautiana maana hakuna privacy jamaa akija na demu wake inabidi nilale sebuleni sasa maisha haya yamenishinda na nimekuja na gari langu limekua ndiyo kama la kwake na kutafutia mademu maana wakati mwengine nina wese la kuweka kwenye gari inabidi niwe mpole sasa nimeamua nibadilishe mbinu ya kuishi town natafuta mdada ambaye yupo alone anaishi pekeyake ili nikae nae kwa muda huu wa kusaka kibarua nitakua nampeleka kazini na kwenye mizunguko yake na gari langu litakua kama lake na fadhila yake kwangu mimi ni kuishi nae tu naomba madada wanao kaa mjini ambaye yupo tayari pls ani pm namba yake ya simu tuwasiliane am good looking ila kwasababu sina kazi kau handsome kamefifia kidogo
      Ficha upumbavu wako kama una uwezo wa kumpeleka kazini huyu msichana unayetaka akusaidie kwanin ilo gari lako usilitumie kama tax?,mtafute dereva wa tax mkabizi gari uwe unapata 15k kwa siku,au kama maisha magumu uza gari nenda hata kawe kuna nyumba za bei rahisi za kupanga,acha kubweteka!! Mwanamme asifiwe uhandsome bali kazi na kwenda bank kudeposit au kuchukua midolari!
      seki6, mito, Thanda and 2 others like this.

    20. #20
      wamba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 36
      Rep Power : 507
      Likes Received
      9
      Likes Given
      1

      Default Re: Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

      kwanini usiuze hilo gari na likawa ndiyo capital ya kuanzia biashara unayodhani upo na uzoefu nayo kutokana na degree yako uliyosomea kuliko kutafuta mtu mwingine ukaishi kwakwe next time akikutenda utakuwa unatafuta mwingine au utakuwa unafanyaje sasa?, labda km hilo gari ndiyo kigezo cha kupata huyo mwanamke na si kazi km usemavyo kwakuwa km unagari sasa hela ya mafuta,matengenezo, maengesho pia unapata wapi wakati unadai huna kazi???.
      kuwa mbunifu na degree yako km kweli unayo labda km ni ya mtaani na si darasani.
      bacha, seki6 and mito like this.

    Page 1 of 7 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...